Safi sana chumvi nyingi gang nwakubali sana tena sana mungu awazidishie kipaji chenu kizidi kwenda mbele 🙏❤❤❤💓
@user-sw4nl7er3k
Жыл бұрын
Ahsante sana kwa series yako CHUNVIiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiììiiìiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@CharlyKanduki
Жыл бұрын
Njo mwisho ama
@Bint-Zanzibari
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂wakwanza Leo ♥️♥️nipeni like zanguh
@Evelinweek
Жыл бұрын
Hongelen sna tunawapenda sana naomba mtuletee nyingine ya kujifunza zaidi asante sna chumvi nyingi na wengineo wote tunawapenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇹🇿👌
@user-ms5yp6rd4m
Жыл бұрын
Mambo evelinwek
@modestamodesta3940
Жыл бұрын
Waaaao ❤❤❤ daah mmefanya Kaz nzur mno mno kwakwel
@khadijasalim2697
Жыл бұрын
MashaAllah chumvinyinyingi gang kwa kazi nzuri
@joojjooj7204
Жыл бұрын
Woyoooo❤❤😊😊tupo mwishon mwishon chumvi nying lov you ❤❤
@user-sp9hy8oi5l
Жыл бұрын
Nawapenda nyote chumvi,,,,asnteni kwa kutufurahisha🎉🎉
@user-pi4pr4ok3m
Жыл бұрын
Sijui nimekuelewa au ndio wa kwanza 😂😂😂 Ebu nikuone kama nimekua wa kwanza au wamwisho kupitia likes zenu # from kenya
@mulhathamadomar4451
Жыл бұрын
Big up🎉 mko vzr tunawashkr pia mmetufunza ❤
@uthmangollo9587
Жыл бұрын
Chumvi nyingi pongezi Sana kaka uko juu mungu azidi kukuweka duniani uelimishe jamiii❤❤❤❤
@halemamoon1782
Жыл бұрын
Mashaa Allah❤❤❤...tunasubr kwa hamu sana series new...KAYABANANGA
@user-nw6pr2jc9y
Жыл бұрын
Safi sana kwakaz njuri nimeipenda. ❤❤❤😂😂😂
@user-ew2dw5fv7o
Жыл бұрын
Mashallah niko nanyi sako kwa bako move zenu zote.nashukuru kunachakujivunza chumvi tunakuaminia❤❤❤🎉
@sylviaomwenga8740
Жыл бұрын
Nimeipenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉nitamiss siri ya kifo lakini naongojea
@user-mi2lk3of9r
Жыл бұрын
Wozoli wozoliii sheilaaaa hatimae leo tumekamilisha #siriyakifo niseme tu tunalakujifunza hapa pia wote waliopoteza maisha kuna la kujifunza pia ❤❤❤❤
@Mlopa47_Mp
Жыл бұрын
❤❤❤❤ nawakubali sana team chumvi nyingi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@muniraahmedawadh2619
Жыл бұрын
Asante sana chumvi gang kwa kutupa raha katika siri ya kifo pia tunazidi kukusapoti na kukupenda pia
@RAM7_TZ
Жыл бұрын
GOOD JOB MY BROTHER, CHUMVI NYINGI APA 😂😂😂😂
@sabrathissa6077
Жыл бұрын
Ipo poa sana ongelen Sana m huw napend Sana kucomment mwish wa series but napend mnavyofundish wa2 maisha mnanifany nivutiwe na uigizaj Sana 😢 all in all mmetisha Sana chumv nying gang 💯🥰👍 kikubw mtup ratb itaanz lin umeyabanang tuandae ma bando😅😅
@nanaahmed4017
Жыл бұрын
Masha Allah shekh wng jinsi unavyotupa na kutuelimisha kwa vipandee vya Aya kaka nuru nakukumbali ukiacha mwenye chumvi nyingi . Allah awapee muongozo wa kheir
@kautharabdullah-ml9el
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤🎉muweza nyinyi hongereni kwenu nawapenda sana kazi njema mungu azid kuwapa nguvu mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAaaa
@joojjooj7204
Жыл бұрын
Inshaallah ❤❤❤tuombe uzima tuko pamoj Tim nzima ya siri yakifo❤❤❤
@markarim-ux9dd
Жыл бұрын
Tulikupend sana siri ya kifo ndo hivyo akuna lenye mwanzo lisilo na mwisho big up chumvi nying gang
@serafinimbena7650
Жыл бұрын
Nimewapenda Sana chumvi nyingi na timu yako
@SaraphinaSam-cw4gf
Жыл бұрын
Nashukuru sana kaka kwa stori zuri ya maisha tunashukuru sana nazan hii inayokuw itakuwa nzuri zaidi na naomba humo ndan asiksekane official na mama masudi tumewamisi sana maandalio mema ameyabananga 🙏🙏🙏🙏🙏✌️✌️✌️pamoja San
@fahmyisco2912
Жыл бұрын
Ofisho muhimu umenena kk 😅
@vicky_ylove14.
Жыл бұрын
Msema kweli ni mpenzi wa mungu hii hii muvie niatari chumvi unajua kwanza umejiandaaa
@KhalidiAlly
Жыл бұрын
Nyimb ya ile mov ya lamadhan naitak
@user-rd6zg7ut4d
Жыл бұрын
Chumvi unanifurahisha 😅😅😅😅😅 kweli
@user-hx6cc7ei9r
Жыл бұрын
😮chumvinyingi na wafuasi wako kongoleni sana mumefanya kazi nzuri sana mungu awabariki na awape ujuzi fikra nzur hekima pamoja na afya/siha njema..kwa kweli movie zenu zinaelimisha sana kwanza ile ya funzo hiyo ilinimaliza ikifuatia kifo waaaah aki acha tu nategea hiyo ingine sijui yaanza lini...gain strength my people ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@abdulazizitwalib5859
Жыл бұрын
Ukweli mambo yamekwenda pwh sana hongereni sanaaa ❤❤❤❤❤❤❤
@user-fi9gm2et5r
Жыл бұрын
Nzur mno kuliko zote kwakwel mungu awazidishie kipaj zaid na zaid
@sylviaomwenga8740
Жыл бұрын
Mm nimewapenda sana chumvi nyingi gang 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 pokea maua yako naongea tarehe moja utuletee ingine 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@nellywambui2677
Жыл бұрын
Enyewe Kuna Cha kujifunza.. Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunawapeda sana..❤
@mwashashamohamed6467
Жыл бұрын
Mapema mapema wallah🎉🎉hii series mmetuteka nyie❤❤❤❤ so poa asanteni asanteni kwa mafunzo mlotupatia nawapenda
@alexwanjala9886
Жыл бұрын
Good job tunawapenda san ❤❤❤ from Kenya 🥰🥰🥰💞💞
@antoniadudus7917
Жыл бұрын
Woooooow amazing imeishia patamu sana congratulations 👏
@SalumuMohamed745
Жыл бұрын
Daaaah chumvi ushakosa mchumba wakuzagamuana😂😂😂
@salwabamvua9245
Жыл бұрын
Dondoxha likes kwa chumvi, nimewahi jaman nipewe likes zangu
@KhalidiAlly
Жыл бұрын
Asanten san mov nitama san mamb nimo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@salwabamvua9245
Жыл бұрын
P1 kaka
@kapepero3746
Жыл бұрын
Safisana yaan nimewapenda ote kazi nzuri ❤
@latipherHussein-ig8uk
Жыл бұрын
🤣😂😂ama kwel kipaji akirogeki🥰❤️🙏
@user-ri4bm8ly3c
Жыл бұрын
Movie nzuri na mafunzo❤❤
@damesabundiko4066
Жыл бұрын
❤❤❤❤Muko vizur wapenzi wangu ila chumvi nsalimie nyau😂😂😂😂
@husnapallah9888
Жыл бұрын
Aseee Allah awape maisha marefu na afya tele mpate kutuletea tamthilia nzuri na nzurii tenaa ❤❤ 🎉🎉
@francistz695
Жыл бұрын
Safii sanaa kwa kazi nzuri yenye maudhui mazuri ya kujenga Jamii zinazotuzunguka sasa hadi vizazi vya badae....❤❤
@blonekasereka6961
Жыл бұрын
Series ya siri ya kifo mume tisha saana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@golotatz
Жыл бұрын
Nipewe tuh izo likes zangu za mwisho mwisho jaman 😅
@gladesglades6578
Жыл бұрын
Barikiwa chagama Kwa kushikilia dini❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@HazardBoy-vc1tt
Жыл бұрын
Eeeee ,eeee, Nakazia, chumvinyingi apaaaaaaaaa na gang yote tup pamoj kaka Chumvinyingi gang ,kaz kaz ,back to back ,kipaji hakilogeki 🔥 🔥
@floranceflorance3923
Жыл бұрын
Sawaaaa kama imeisha 😅😅 mm nataka hiyo ya kifo 😂😂 ama sifatiliitena 😂 hongereni kwa kazi nzuri 💋💋💋💋 kwaujmula🎉
@zakia4169
Жыл бұрын
Mashallah I can't wait kayabananga 🎉🎉🎉🎉🎉 episode 30 WOW 😮😮😮😮 Mashallah mashallah mashallah 🎉🎉🎉🎉nko na nyiee Hadi niujue mwisho wenuu au mwisho wanguu😂😂
@Danielpablo92
Жыл бұрын
Congratulations all acter we love you
@bettyiminza9848
Жыл бұрын
Chumvi nyingi kazi nzuri sana ongera 🎉🎉
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
NDIOMAANA SIJATAKA KUCOMMENT kabla ya kuangalia mpaka mwisho. Chumvi Nyingi upo kipekee sana. Mwenyekiti, Baba harusi, Huyo rafiki yako ambaye hacheki, Sauti sabufa na wote wanaonekana wahusika wakuu. Kila mtu amepata umaarufu wakutosha. CHUMVI NYINGI GANG ❤😂😂😂❤ Mmefunika GANG zote. Mkojani na ndugu zake wakae upya muambo yamesha haribika 😂 ❤❤❤
@abuuabuu9392
Жыл бұрын
Wakwanza Leo apo chumvi nyingi nakukubali sana
@philipomussa
Жыл бұрын
Tim chumvi nyingi gangster gonga like please 🙏🏿 😊!! Kipaji akilogeki
@user-rp4pn6tu2t
Жыл бұрын
Nimekuwa wa kwanza leo ❤❤❤
@perisbeib2126
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯💯💯👌👌👌👌Nice Siri ya kifo hongeren sana
@aishaaisha2224
Жыл бұрын
Chumvi we eti Kaushal bwana hahaha🤣🤣🤣💕😘♥️👌
@user-nt6uq5gp7e
Жыл бұрын
Big up sana🎉🎉🎉🎉
@user-ue8sv7if1h
Жыл бұрын
Good job chumvi nyingi gang
@user-xl8ob6qg5r
Жыл бұрын
Respect Chumvi nyingi kiukwel unajua sana...tena sana yani nakupa saruti hii movie nimeifuatilia toka mwanzo...kiukwel nimeipenda sana nakuombea kwa Mungu ujitaidi utupe kitu zaidi ya hii...half napenda sana movie zako unapofanyia kijijini napenda sana tuko pamoja sana naww..Mungu awatangulie kwa kazi nzury muzifanyazo.
@emmanuelcosmass4555
Жыл бұрын
Jamani mnajua sana Tena sana🤞🤞🤞
@zakia4169
Жыл бұрын
Unajua kuimba chenduu😂😂😂hongera sanaa🎉🎉🎉kamtoaa msukuleee mwanaaa😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤nawapenda sanaa nyie wapi likes za chnvi nyingi Gang🎉🎉🎉🎉🎉
@ClintonWilliam-dt7gc
Жыл бұрын
Mmefanya jambo jema na zuri kwenye series hii ya siri ya kifo action zilikua nzuri by Dr Clinton
@user-yi1hb1hb2p
Жыл бұрын
Good job brother chumvi❤❤❤❤
@DanielMagubika
Жыл бұрын
Team Kazi back to back KIPAJI HAKROGEKI 😂😂😂 New slogan
@user-sr1wr2xc5g
Жыл бұрын
Mashaallah 🎉🎈 nimependa sana hii story❤
@abuuasadunmwaita6026
Жыл бұрын
Kazinzur Sana baba meneja chendu tunasubir sasa kayabananga Al shekh Mwàita Shamba Mwagonda
@chaurembomealii2797
Жыл бұрын
Congratulations 👏👏 twashukuru kwa kazi yenu nzur mungu Hawape nguvu zaidi muwez kufanya vitu vtu vzr zaid n zaid from🇰🇪 twasma twawapnda n tukopamoja asnte
@user-kk6cc6lh3s
Жыл бұрын
Wakwanza jaman leo ❤❤❤
@user-yi5rj2xu7l
Жыл бұрын
Mi huwa na comment kabla ya kumaliza kuangalia.😂😂😂❤
@user-zf7ft8eg1x
Жыл бұрын
Aaaa chumvi nyingi atahatujaaona harusi yako jamn aaa lakini nimefurahi sn na nimejifunza mungu awaeeke maisha meengi insha Allah 🙏
@user-vj2wm9nw6v
Жыл бұрын
🎉🎉❤❤mposawa❤❤❤❤❤❤ chumvi nyingi ❤❤❤
@user-pr2iy6qt5b
Жыл бұрын
nawapenda wote kwakwer ❤❤
@Oman-nu2kc
Жыл бұрын
Jamani imeisha 😮 kama isiishe❤❤❤
@user-jw6jm3bx5l
Жыл бұрын
Kwangu leooooo angusha izoooooooh❤❤❤❤❤❤❤.
@rukia_mbwana
Жыл бұрын
Ohoooo chumvi katindinganya mambo😅😂😂😂😂😂 Can't wait for kayabananga🎉
@rahmamamy4034
Жыл бұрын
InshaAllah tunasubir hio inayokuja.mwenyez mungu awepe nguvu muweze kufika mbali zaid..
@theopisterjovent3483
Жыл бұрын
😂😂😂😂 chumvi kasaliti kwa viendo❤❤❤ Siri ya kifo🔥🔥🔥 like nyingi kwa Chumvinyingi Gang maana wanatupa vitu bomba🎉🎉🎉
@user-wk4sj3ni9w
Жыл бұрын
Big up chumvi nying na team Yako from Kenya ❤❤❤❤
@clarashundi2
Жыл бұрын
Nawapenda Sana 😊❤❤❤❤❤
@wilsonpaschal3360
Жыл бұрын
Asanten sana mmekuja kitu tofaut sana nipo na nyinyi Bega kwa bega🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@boscoselele1221
Жыл бұрын
Hatimae imefika mwisho kazi nzuri mungu awabaliki sana
@mohdkhalifa8828
Жыл бұрын
Asnten nyote chumvi nying group na Tumejifunza na tumelewa na mnajua sana Allah azidi kuwanyanyua
@user-in5wn6lt1n
Жыл бұрын
Kazi zuli sana ndugu chumvi nyingi movie zako zuli sana kaka nakubali lete utamu utamu si mwengine paco jr warioba
@AdamAli-ps5ur
Жыл бұрын
Asanteni sana nyote nyote mlohusika kwenye hiyo movie na Mungu awabariki sana all the way from Kenya
@user-lw6pp9qs6o
Жыл бұрын
Mubarikiwe kwa filamu nzuri, kongole kwa wote, nimimi kipenzi chenu kutoka Qatar nifanyapo kazi, ila nyumbani hasa ni kutoka wilaya pwani , jimbo la Mombasa, kata ya changamwe kata ndogo ya kwahola, Nakupendeni sana kaka na dadazanguni, na Mola azidi kuwa nanyi hadi kilele cha mafanikio yenu, Asanteni,
@user-sp9hy8oi5l
Жыл бұрын
Jaman mwisho tena na vile imekua tamu,,,ebu mtuchangamshe na ingine tena
@user-de9gx6he7c
Жыл бұрын
chumvi nyingi apaaaaaaa salute bro
@user-zf8yz3hm6z
Жыл бұрын
Nakubal san chumvi kazi nzul namatumain hii ikisha itakuja kal zaidi nakutakia kazi njema chumvi
@user-yv8zw5lm9g
Жыл бұрын
Sawa sina lakusema nilidani bado kumbe imeisha safi sana na mungu awabariki ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉😘😘😘😘😘😘😛😛😘
@manchuji3408
Жыл бұрын
Chumvinyingi kayabananga 😂😂😂 kaokoa Dem,,, Dem kaenda Kwa bwanakee 😢😢,,,,,😂😂😂 pole bana
@gadafimuemede2985
Жыл бұрын
Mungu akujalie chumvi nyingi kazi nzuri 🇲🇿🙏🏿🇲🇿
@hassanisindi474
Жыл бұрын
Dah ghafla tu nimeona sayuuu,, achieni KAYABANANGA hata Leo aisee🎉🎉
@NasraAbdallah-tp8xs
Жыл бұрын
leo nimekua wa tano❤❤❤❤
@sammyvijay1848
Жыл бұрын
Mm labda niwape hongera chumvi Gang.yani mungu awape uwezo muendelee.nasi tutawasupport
@user-sj6qz2pe1k
Жыл бұрын
Weka like apa kama unamkubali chumvi
@idayajuma4550
Жыл бұрын
Safi sana chumvi nyingi tumejifunza kayabananga tunayingoja kwa hamu❤❤❤
@asnatihosseni353
Жыл бұрын
Mwambieni chendu na mpend jamn🙏💕
@Mwana85Mwana85-wz1ol
Жыл бұрын
Wap kisofa kaa kwakutuliy kaa kwatako Moja tamu San kisofa nimeipenda mc wp❤❤❤❤❤❤
@patriciachangawa1754
Жыл бұрын
Woooow👌 kazi nzuri sana wapenzi mupo vizuri sana kiukweli mungu awazidishie heri namuzidi kuwa na umoja hivyohivyo ❤❤❤❤ frome kenya 🇰🇪
@dullaguy7849
Жыл бұрын
Mchawi kafa, Mchawi kharaba 😂, pamoja sana Chumvi Nying Gang 👍
Пікірлер: 563