Safi kamanda😂 nimefurahi sana🙏🙏🙏 mwenyezi mungu akulinde na akufanyie wepesi sana hata ukistaaf uende hija na pia uendelee na vazi la heshima kamanda wangu
@malugukushaha6764
Ай бұрын
Masha Allah, asante sana kamanda. Allah akujalie afya njema,Ameen.🤲
@KadumaIssa
Ай бұрын
Masha Allh mungu akuongozee vema Kamanda nautapanda cheo Kwa uwezo wa Allah Inshallah
@JadeMCT-i9o
Ай бұрын
MashaAllah Well done Kamanda Maelekezo mema kwa jamii Mungu akuhifadhi
@JadeMCT-i9o
Ай бұрын
MashaAllah Kamanda well done Mungu akuhifadhi azidi kukupa kipaji
@user-pd4qb7uz8b
Ай бұрын
Allah akujalie heri kaZi na dawa ndo mpango nzima, mashaallaah allah akujalie kila lenye heri ,
@KibwanaSimba
Ай бұрын
Ukweli kutoka moyoni nakupenda sana kamanda wangu adi nahisi kulia kwakweli hongera ziende kwawazazi walio kulea vyema afande
Пікірлер: 19