🔐Mararîa gî thîinî! Post 1963🛫☮️⚓️💜🖤✈️⛴❤️💚🤍💙❤️🩹🔐🇺🇸🚑✨🇰🇪
@alexkuriahwamutogoni9380
3 жыл бұрын
Weka Gathoni part 1
@MrThiosh
3 жыл бұрын
Getting it for you. Immediately I upload it I will send the link.
@alexkuriahwamutogoni9380
3 жыл бұрын
@@MrThiosh , please do. I've been looking for it since
@josephkarianjahi1467
5 ай бұрын
Nikilinganisha wasanii wa siku hizi na wale wa hapo mbeleni ni kama usiku na mchana. Tofauti ni kubwa mno. Huyu mzee Joseph Wainaina ni shujaa katika eneo la kati na nchi kote kwa jumla. Hakuna kanda yake hata moja ambayo haiburundishi. Ni kinaya kwamba aliuacha usanii wa nyimbo za densi ambazo zilimpa jina na kuegemea upande wa nyimbo za kumsifu mungu lakini ni haki yake kufanya kile kinachofurahisha roho. Kama kuna tuzo la usanii kutoka kwa rais, huyu muungwana bila shaka anafaa kuwa mmoja wao.
Пікірлер: 102