NIMECHOKIPENDA kwenye hii Tamthilia kila mtu kapewa nafasi kubwa na kajenga jina kupitia Tamthilia hii. Mfano: Huyo kiongozi mpya wa kijiji ambaye ni nyoka. Butua, Sengo, Kipara, Zumba, Mwasi, Kim Mbwela n.k NIMETAJA wasio na majina makubwa sana ktk tasnia. Nimewaacha akina Calm, Kakoso na Mwakatobe ❤ Hata wasichana wamepata umaarufu sana tatizo majina yao sijayazingatia sana zaidi ya KIM na SARA Hii ni kazi kubwa sana. Lakini nachokiomba ichangamke ktk mapambano. Mambo ya kugeuza geuza kuku hayana maana kabisa....😢
@giftmalandi5524
2 ай бұрын
Kakoso msituweke sana twausubiri mzigo🇰🇪🇰🇪
@Sali-dr3xx
2 ай бұрын
Fanyeni mambo mwakawia achilieni utamu
@user-yl2zx3et9l
2 ай бұрын
Najua inakaribia kuisha....Ila mzigo mwengine tunauuhitaji movie iwe msituni
Jamani munatuchelewecha Sisi tuna hamu ya ntanzi tayla fanyene fistr bass. Osssumane from mozambique 🇲🇿
@ExaveryLukas
2 ай бұрын
Mnaringa sie tumeshbilia sehemu 19
@user-ru5oe7cm3h
2 ай бұрын
Kwanza hii app unatumia ya kubadilisha mtu kuwa nyoka dah nikiijua balaaa
@patrickokot6478
2 ай бұрын
Tumechoka na izi behind the scene tupeni mwendelezo.....
@user-nl7jm2mt5g
2 ай бұрын
Mnazigua mnachelewa kupost mnakula mb zetu bule
@owenyatv9142
2 ай бұрын
super director
@roudhamahmoud763
2 ай бұрын
Nimekuona sonically hapo mashallah natamani kuona ukipafom humo ndani sijui utatokeya kipengele gani ila nasubiri kukuona mrembo.kim wewe naona kama uangukiya kwa claim vevo yani ndo uwe nae mwisho wa hii utapendeza napenda cap yenu
Пікірлер: 21