Director Kakoso ni wa 🔥🔥🔥🔥 na kama na ninyi mnaamini hivyo like za kutosha hapo....
@Hulkamani1960
2 ай бұрын
Leo nipo wa kwanza ku like na ku comment hiyo video.
@RahmaAdam-gt5oy
2 ай бұрын
Naomba kuuliza uyo kijana mmbea kwani kila mtu anapoongea umbea na mtu mwingine kwann lazima mum mumuweke awe anasikia kinacho semwa mm nachefukwa bt naipenda snake boy
@noelyjaime7219
Ай бұрын
Sindyo maana kawa mmbeaa anatoaa taarifa kila mahali ili tukio lisifanyike kwa wKati uo tuendeleee kupta uondo zaid
@condeboy257tv9
2 ай бұрын
Super Director , Nakupenda.❤
@husseinmlewan
2 ай бұрын
Leo wa kwanza Kenya kilifi
@KaserekaMulenguyaya
2 ай бұрын
Nakupongeza directeur kakoso courage papa natokea DRC CONGO
@WixBoy-lc2esmrvumiliaSKMUSIC
2 ай бұрын
Nimewai leo nipeni mauwa,yangu
@johnrogeo2161
2 ай бұрын
Mnafanya kazi nzuri sana
@muthamimutemi9144
Ай бұрын
Kazi nzuri...nagojea episode 23
@ComboLee007
2 ай бұрын
Kakosoooo unajidai sana mzeeee unatupa taratib sanaaaaaa😂😂😂😂
@khatijakhatija3481
2 ай бұрын
Kaz nzuri direct tupo wote tangu season one na tutaendelea two from Oman🇴🇲
@user-yl2zx3et9l
2 ай бұрын
@DIRECTOR KAKOSO....zinga asiuliwe kizembe lazima afe mwisho wa episode tena kiume...alafu mwasi abakie mpaka mwisho wa episode ndio uje wewe huyo dada yuko sawa...much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Mpakauseme
2 ай бұрын
Zinga atazaliwa tena pengine
@niyonkururobert5667
2 ай бұрын
Kazi yenu ni nzuli sana lakini mnachelewa sana
@user-dt9xf9pz3c
2 ай бұрын
Hizo n ganiii
@user-ye2je6xq5m
2 ай бұрын
Kwa kweli mwanifurahisha mno😂😂😂, coz nyote mliokwenye tamthilia ya snake boy hakuna alie badilisha nguo kama clam tu
@hamzaamry6251
2 ай бұрын
Bravo bravo director kakoso kazi nzuri sana tupia epsod 23 ila mwambie mtukufu apunguze uroho😂😂😂
@user-rl3cz3js6f
Ай бұрын
Na imechelewa sana jamn
@Mustafa-fc3rv
2 ай бұрын
Hapo ninavojua directors kwa kutoa rushwa ya ngono huyu mwasi mara kashaliwa na kakoso😂
@KuluthumuMsuwakollo
2 ай бұрын
Utafika mbibgun umechoka 😂😂😂kwnn mwasi jmn 😂😂
@AlyNgwali
Ай бұрын
Pamoja n kwamb tunaandliw mmb mazur zaid lkn saiv mnachelew kdg wadau tunapoa sana mpk tunaboek kwkwel
@kipzik8029
2 ай бұрын
Hii 24 ni zaidi ya kali, I swear
@user-kh3pi9xu5k
Ай бұрын
Nyie kazi imewashinda tafuteni shughuri ya kufanya
@ShabanKhamis-ns4vc
2 ай бұрын
Mbona nzinga hapokei kichawi kama marehemu kaka ake
@ChrissMaulidi
2 ай бұрын
Dondosheni Hilo dude la 23 tunalisubir kwa ham 🤤
@user-qy6kt5bb2w
Ай бұрын
Tatizo tumewachoka tutawapotezea kwa kuwa munatukawiza sana wakati Bado letu 😢😂
@hansboytz7494
2 ай бұрын
Naomba tu niseme ukwel wanetu mnapambana sana Move yenu kali san akuna km SNAKE BOY
@JemaNyato
2 ай бұрын
Nzurii hii jmn
@ekyociesengana1657
2 ай бұрын
Kasoko umetisha bana 💥💥💥💥💥 ,mi sitaki snaki ihishe mapema natamani iweka kama season za wahindi hadi ep 300 ,nope like kama tupo pamoja 👍👍
@Kakajammzke
2 ай бұрын
Huyo mrembo anaplay kama kakosso nataka Kenya nimuoe kama bibi
@RizikiZiki
2 ай бұрын
Mfate Tanzanie we sindo unataka bb
@Kakajammzke
2 ай бұрын
@@RizikiZiki ok sawa.... Point taken
@Manyamamnyama
2 ай бұрын
Mnachelewesha sana mpaka mnaboa 😢Sasa ndio mmetuwekea kitu gani
@kudrakakoso2485
2 ай бұрын
Keep it up blood
@jeysenbenedict
2 ай бұрын
Kakoso mmeshaanza kushuti na black magic
@user-sb8mg9pz6n
2 ай бұрын
Kiukwelii clam anaukanumba ndani yake
@EdisaLaul
Ай бұрын
Mbona mnachelewesha movie
@MuyahJuma
Ай бұрын
mnazngua sana
@fanitofaustino4108
Ай бұрын
Achieni goma uwanjani
@KitunduGang
2 ай бұрын
Hakuna anaekufikia kaka hapa tz natamani sana kuwa kama wew Ila support hakunaa
@minge254ke
2 ай бұрын
Its gonna more than more💪💪🫵
@user-cr3uw7ic9y
Ай бұрын
Mbna inachekewa ktoka
@fatumakushonda4277
2 ай бұрын
Kikosi kizima cha snake boy ❤nawapenda bure mjue
@Boniphaceshayo5
2 ай бұрын
Inatoka lini
@ummialey6391
2 ай бұрын
KWANI MIMBA. SI. KAFA
@jobkababaye
2 ай бұрын
Mnachelewesha sana wazee tuleteeni Raha haraka
@JajiKazungu
2 ай бұрын
hebu leteni vitu, mnakawia sana
@kaka-of2oq
Ай бұрын
MNAGANDA SANA MPAKA TUNAZANI KUA FILAM ISHAISHA. JAMAN ETY SIO KWELI. WANAONIKUBALI WAWEKE LIKE
@leonardkinsonto164
2 ай бұрын
Jiunge pia kwenye youtube hii gbm Galaxy boys
@RizikiZiki
2 ай бұрын
Nami leo cjacelewa 💔💔💔💔
@user-ug7ui2cd3x
2 ай бұрын
Mwacheni kakoso wangu😅
@AishaMohammed-vh7mm
Ай бұрын
Iv iyo season 23 mbona hamtoinakaa sana bnana
@KaserekaMulenguyaya
2 ай бұрын
Michezo yenu inanifurahishaga nawashukuru wachezaji wote kabisa
@user-es7xd3bg7c
2 ай бұрын
Mambo 🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
@godfreyjames4232
2 ай бұрын
Kwani Vila karudi tena
@mashakakazogolo6161
2 ай бұрын
Ndio mmeishiwa hamtaki kuleta hio epsode ya 23 au
@faiqaanwar7268
2 ай бұрын
Si tabiya yangu ni shaachaga
@BekkaBoy
2 ай бұрын
🎉❤
@LucyNechesa-vu7rq
2 ай бұрын
Tunaisubiri kwa hamu
@BenjaminKibani
2 ай бұрын
Very good
@damasmayanja2930
2 ай бұрын
Director Kakoso kazi nzuri sana, iachei basi tupate rahaaa
Пікірлер: 63