Punguzeni kuomba like mpeni saport mwamba anafanya kazi amazing sana CLAM VEVO
@ramadhanihamisi658
7 күн бұрын
True
@sylviakoech2204
7 күн бұрын
Wanao omba likes ndio iwe je wanakera
@samiuhassan8153
7 күн бұрын
@@sylviakoech2204 sijui wanataka za nn
@telesphormatinya1394
7 күн бұрын
Lakin wao kuomba wapo sahii ili kuwa influence wengine pia wawe wanawahi kuangalia na kuanglia nkumsupport🎉
@user-nx6wi7sl4y
7 күн бұрын
Kabisa bora umesema
@symochanji6896
7 күн бұрын
Kama unamkubali Clam Vevo ni mcheza filamu Bora Tanzania nipe like, much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪.
@mwanahabibimsham9306
7 күн бұрын
Nikupe wewe like au clam Vevo?
@judithkantimbo4369
7 күн бұрын
@@mwanahabibimsham9306😂😂😂😂
@youngpaincompany1440
7 күн бұрын
toa like kka acha hasira 😂😂@@mwanahabibimsham9306
@user-ph9wb7lq7m
6 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂😂
@MichaelCharles-uo6rw
7 күн бұрын
Unae soma comenti hiii mungu akupe maisha malefuuu
@NalingigwaElibariki
5 күн бұрын
Amen
@martinsimon2806
3 күн бұрын
Ahsante
@MwajumaMustapha-n3p
Күн бұрын
Amin inshallah mwenyez mungu akujaalie maisha marefu pia
@HussinMwamed
Күн бұрын
Na ww pya
@muuhhb4787
7 күн бұрын
Ningependa nikushauri tu Mr snake....ni watu wengi wanafwatilia sana hii serie....kama inakupendeza uwe una toa mwendelezo cku maalumu...mfano hii week umetoa jumatano na week ijayo bc iwe jumatano ili kila mtu awe na siku maalum...ni ushauri tu ..❤
@NillanHassan
7 күн бұрын
Kwel kabisa
@ADDO036-ot1sb
7 күн бұрын
Yaan itakuwa vizuri zaidi🎉
@jaybacky9613
7 күн бұрын
Ndio anavyo fanya kila j5 anachia
@SephrozaMatuli
7 күн бұрын
Sahh
@user-mq5gq6ey6c
4 күн бұрын
Umeongea kitu Cha maana haswaaa🎉
@Chudo_boy_Zombie
7 күн бұрын
Wakwanz mimi nipeni like zangu niondoke nazo sitaki kuacha hata like mojaa....😂😂😂😂
@mjsteven3297
7 күн бұрын
Mjinga sana😂umepata dili ya hizo likes
@Suma001
7 күн бұрын
Aache ushamba like haziwz kumsaidy msanii wetu unatakiw kutoa maoni juu ya filam yetu n wasanii wetu
@madrassatulihyaa-ilislaami2911
7 күн бұрын
Em makinikabuangalie kwanzo, hujamaliza tayar watak like
@Tetesizausajili152
7 күн бұрын
We unaomba like za nn kwel huna akili ww
@Fedda258
7 күн бұрын
Ata cama ukiwa wakwanza si tunausiana na nini
@husnabilali3099
7 күн бұрын
Clam mungu akupe maisha marefu yenye mafanikio ndan yake pia akuongezee ubunifu tuendelee kuinjoy na kujifunza zaid🎉🎉🎉❤❤❤❤
@ahmednoorwahab2884
6 күн бұрын
Waaah kila nikujaribu niwe wa kwanza nakuta watu wamenitangulia😢 kweli hii movie imebamba dunia nzima wapi likes za Kenya🇰🇪wakilisha inchi yako popote ulipo
@JumahMswaki
Күн бұрын
Nipo kenya 🇰🇪 ila mtu wa Tanzania 🇹🇿
@StiveKomba
5 сағат бұрын
Una. Opa. Musada. Au. Una. Cuba. Watu
@StiveKomba
5 сағат бұрын
Kenya. Kuna. Vida. Kazi. Kwenu
@KarisaMtama-ud4gx
7 күн бұрын
Wa kwanza from Mombasa naomba likes ata kama ni mbili tu
@kombosefu8726
7 күн бұрын
Snake boy ni ya 🔥🔥🔥 Sijakuja hapa kuomba like... Wanaosoma comment ndio wenzangu
@KibweOnlineTv
7 күн бұрын
Mimi leo nimekuwa wa 46, naomba likes zangu please 😅😅, ila hii snake boy ni ya motooo 🎉🎉
@Leoonarf
7 күн бұрын
Aya sasa. Kakoso
@AnordTembojk
7 күн бұрын
@@LeoonarfKakoso tena Sasa mkwele Leo umekua kakoso
@BasuleBasule
7 күн бұрын
Hadi Wewe
@KibweOnlineTv
7 күн бұрын
@@BasuleBasule 🤣😆😀😄😂 Em niache zangu
@hun_sen_139
6 күн бұрын
DIRECTOR KAKOSO PUNGUZA SCENE YA KUTEMBEA UNATUMIA MDA KWENY KUTEMBE KWENYE EPISODE ZAKO UNATUCHOSHA WATAZAMAJI WAKO😢
@hafidhkikocho9161
7 күн бұрын
Sijakuzarau ila ningependa kusema kua Dogo unajua mpaka unakera mungu akujaalie upate kua m'bunifu zaid kazi nzuri kwa sasa huna mpinzan. sisi fans ndo tunaona.
@EmmanuelCharo-to4ij
7 күн бұрын
Hii movie ni nzuri sana na Kuna wakenya wengi wanafwatilia snake boy tujuane mm pia ni mkenya from Mombasa kenya
@EmmanuelCharo-to4ij
7 күн бұрын
❤
@user-ue8lt8if7o
7 күн бұрын
Asante sana clamvivo nakufata kutoka hindia uku kuwa hazifeke mbiyo movis
@catherineotimbo3110
7 күн бұрын
director unajua mpk unajua tenaa big up brooo na nyie waomba like mnaboa
@MwajumaMustapha-n3p
Күн бұрын
Sanaaaaaaaaaaaaaa mpaka wanaboa tena
@Daniel_kimambo2013
7 күн бұрын
Visasi ni vibaya sana Bora uwe mwema ila huyu zinga kweli ameharibu
@SAB-Tv5
7 күн бұрын
Jamani nyaluke nimecheka mimi SIZANI ILA NTAJALIBU katiwa kwenye chupa mtoeni jmn mbona gafla😂😂😂😂😂
@pharrellkevins7846
7 күн бұрын
😂😂
@getrudegeorge2133
6 күн бұрын
Gafla sio kidogo san😂😂😂😂
@stephanmpangire4741
Күн бұрын
Yaani ile chupa angetumbukizwa Kipara mapema sana 😅😂
@isharaganechi6616
7 күн бұрын
Hii movies ni nzuri sana naipenda ni mimi wa kwanza kutoka congo naomba mnilae hiki kidogo basi muvi naikubali sana tutaendelea kuwa support🇨🇩🇨🇩
@burhanabuuburhan-eo7jn
7 күн бұрын
Hata mm naipenda sana❤❤❤
@isharaganechi6616
7 күн бұрын
@@burhanabuuburhan-eo7jn kongomani wewe ndugu yangu tukwenda support wale ambao wanajiweza tu
@Dellylubunga
7 күн бұрын
Wa kwanza ku toka DRC 🇨🇩🇨🇩 naomba like zangu
@danielimperial2818
7 күн бұрын
Ombi langu limejibiwa hatimae himaya ya nyoka na wao wamepata mbeya wao 😂😂😂😂🎉
@WardaBido
7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 huyo ni atar ata kipar akasome
@danielimperial2818
7 күн бұрын
@@WardaBido kwakweli
@ShamimHassan-qm1et
7 күн бұрын
😂😂😂
@rachelmikey5493
7 күн бұрын
Aaku ntue
@sajumahege4903
6 күн бұрын
Bora amewekwa kwenye chupa anakera
@GloireJeremykarhendezigloire
7 күн бұрын
Mimi wakwaza kutoka afrika ya kusini 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦 nipeni hinzi like zangu hapo😊
@StiveKomba
5 сағат бұрын
Una. Taka. Musada. Au
@zuluRaphaelItangishaka
7 күн бұрын
Big up sana director kakoso na team yote ya snake boy,love from burundi❤❤❤
@happinessonly1
7 күн бұрын
Hii filamu ni nzuri kuliko vipindi vingi vya runinga
@user-ss5xy7lb7k
7 күн бұрын
Kweliii
@mohammedkidody5618
6 күн бұрын
Kabisa yn❤
@user-tx7yd4jo2m
7 күн бұрын
Clam uko vizuri mungu akupe hekima usiingie kwenye makiki kama wanavofanya wasaniii wengine😊
@michaelrimisho
7 күн бұрын
Leo mmekosea mahali katika mavazi, mmoja wenu katumia kitenge cha WAWATA yaan wanawake wakatoliki Tanzania. Director naamini umepitiwa kidogo hapo🙏
@user-ui8ch8vr2j
4 күн бұрын
😂😂😂
@IbrahimAthumani-yh8jt
7 күн бұрын
Ahsante kwa season nzuri na hakika tunapata mafunzo pia
@Kib-jsanley
6 күн бұрын
Like apa sasa🎉🎉mimi tiari
@Edwin_automotive-spareparts
7 күн бұрын
Duuuhu nimechelewa leo naombeni like ata kumi😅
@Sibmencomedy
7 күн бұрын
Jameni mimi sifahamu swahili ata like Moja Niko mkongimani
@minginhoathuman3361
7 күн бұрын
Nyinyi mnaombaga like umnajua wanaofanya kazi wanapitia bado muwasupport wanaofanya kaz nipe like mmi namba moja kila mtu usamba uo 😔😔
@user-fr4lj7jw9g
7 күн бұрын
Watu eehhhh watu eeeh DUde hewani tayari😂😂one hr ago imepostiwa nahata amniambie 😂mko na roho nzuri kweli🙌haya pia likes msinipe pia
@ShamimHassan-qm1et
7 күн бұрын
😂😂😂
@MariaJonh-pq7jf
7 күн бұрын
Mtukufu wew kiboko Wala chakula chamgonjwa mungu anakuona
@dogomondijean2483
7 күн бұрын
Wakwanza kutoka kampala but congolese naomba like zangu
@Daniel_kimambo2013
7 күн бұрын
Yeeree mamaaa,mhhhh haiya oOoOO auahhauahaaa ahuaaaha yeeree mamaaa song tamu sana
@AnthoniaIsdory
5 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 umetisha mkuu
@MwajumaMustapha-n3p
Күн бұрын
Hahahaha😂😂😂
@Daniel_kimambo2013
Күн бұрын
😂😂😂, hatari beat linanipa mzuka@@AnthoniaIsdory
@Daniel_kimambo2013
Күн бұрын
@@MwajumaMustapha-n3p😂😂😂😂😂😂nomaa
@mohamedlopa8410
7 күн бұрын
Kwa amabao tuliokuwa tunasubilia snake series ngonga like zakutosha tusiache ata moja ❤❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@CalivinNjau
7 күн бұрын
Iike zinakusaidia nn ww kenge
@mohamedlopa8410
7 күн бұрын
Kama hauna d mbil uwez kuelewa
@user-cw2om4cn2q
7 күн бұрын
Kutoka sio michongo yangu nishaachaga mpaka mmmh sidhani ila ntajaribu 😅😅😅big up vevo
@malungatvchannel8190
7 күн бұрын
Muitikio umekuwa mdogo sabab clam haonekan mda sasa
@manadia1303
7 күн бұрын
Ako kwenye chupa 😂
@dullahsaleh8507
7 күн бұрын
Yupo ndani ya chupa😅😅😅😅
@ThomasMayungaCharles
7 күн бұрын
Duuh kila coment ni kuomba like😂😂😂
@user-uh6ux5ei6l
7 күн бұрын
Duh kumbe kipara kpt mshindan mwenzake kwa umbea😂😂nyaluke😂😂umetisha
@janethmmaxxy6162
7 күн бұрын
😂😂kwa hiyo kila himaya ina kipara wake mwenyewe tabia za umbea umbea
@Samwelmagita-jb1so
7 күн бұрын
Uyu mmbea Atari sanaaa
@adifantastic7954
7 күн бұрын
Skuiz vevo unatup vit vikal mbali n vzr dkk nying san big up bro ❤❤❤❤
@saidially5892
7 күн бұрын
Team nyaluke tujuaneeee. "Sidhan ila nitajaribu"😂😂😂
@mohamedsheealom8745
7 күн бұрын
Viwers wengi lkn likes kidogo badala mlike hii video kumsapot clam mnaomba nyinyi likes kwa comments hmna maana kabisa
@sylviakoech2204
7 күн бұрын
Wanaboa sana
@user-oe5ze5uq8m
7 күн бұрын
Clam kweli anajuwa sana Wangu nipe like zangu kama unamupenda Clam kutoka kongo 🇨🇩🇨🇩
@NalingigwaElibariki
5 күн бұрын
Duh now clam unanchelewesha kutoa 😊 nakua wa mwisho Ku like 🎉😅
@user-ds3os5qv4o
7 күн бұрын
Eti kangoso nakupenda sana 😂😂 dah anautani huyu
@Kib-jsanley
6 күн бұрын
Tiari mimi na we sasa like 🎉
@abudaizyvonvincer8701
7 күн бұрын
Oyaaaaa weekend timu snake 🐍 boy leooo pia nimewahi hivyo nipe like zangu
@pakpatriot-xk7qg
7 күн бұрын
Twafuatilia toka Uganda 🇺🇬🇺🇬 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ Snake boy is the best movie
@MwajumaMustapha-n3p
Күн бұрын
Ahsante sana brooo karibu
@deafricanrockstar5277
7 күн бұрын
Hicho kimwamba kimbea Cha himaya ya nyoka kimeliwa za kichwa😂😂😂😂 umbea tuu kuoga aaaah 😂😂
@LeeFidele
7 күн бұрын
Kazi safi mungu awasaidiyeni muendeleye kutupa burudani safi kbs vevo team ❤❤❤
@MayaOuthman-bd8bg
7 күн бұрын
Fomu Burundi Nimekuwa wakwanza Tm vevo Allah Azidi kuwapa nguvu kazi nzur sana ❤❤❤❤❤
@aganzeroger
7 күн бұрын
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉
@user-mf6vv1mf6x
7 күн бұрын
😂😂😂eti mke wa mtu nilikuwepo kwenye harusi yako kama umeskia naww gonga like hapa
@salomejames9639
7 күн бұрын
😂😂humo t humo t
@IrenefrancisDonald
7 күн бұрын
😂😂
@mathnamohd
7 күн бұрын
Jomn na Mm wakwaza Naomb like ata kumi 😂
@safiyakhalid9545
7 күн бұрын
Ufanyie nn?
@mariethajoseph6538
7 күн бұрын
🎉🎉 hapa sasa tunaenda sambamba VEVO ON POINT kazi nzuri saan na Mungu awabariki❤❤
@Muidumbe450
7 күн бұрын
Nakukubali clam❤❤❤❤
@daudimalangu1708
7 күн бұрын
Tujitahidi kuacha hii tabia ya kuomba likes. Nadhani ni vema tuwe watulivu, tuitazame kazi , Kisha tutoe maoni, Nini kipungue na Nini kiongezeke. Sio kila mtu , mara WA kwanza, mara wa kumi , mara wa mwisho.
@hutahuta1170
7 күн бұрын
Mmbea waimaya yanyoka koma jamani kazi nzr sana hongeleni wote washiliki❤❤❤nawapenda sana
@Brightonmax1114
7 күн бұрын
Jamaica well presented nipeni likes zangu
@PaulineBosibori-xr8ne
7 күн бұрын
Ila mtukufu wewe..yaani wali kwa maharage hampishani😂😂 hujali kula chakula cha mgonjwa
@user-qq4zr3sk2g
7 күн бұрын
Kipara ni mbea ila huyu Nyaluke 🙌😂😂😂😂😂halipoi jambo kwake🙌👏😍
@japhethodhiambo716
7 күн бұрын
Kenya tunapenda hii
@rahmalumary-xs6qp
7 күн бұрын
Mapema leooooo wa kwanzaaaa😂💃🏾
@dizzomontana7219
7 күн бұрын
Naona mwamba alikua anaomba apachike daaah kumbe ni ndoto
@emorutnicholas1893
7 күн бұрын
Watching from Nairobi City, hongera Sana Clam na team yako, mnatuburudisha sana🥰
Hi guys mm Niko 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya naipenda sana filamu ya snake boy
@ErickMackidonald
7 күн бұрын
Mambo uku ni moto like nyingi kwangu
@jaquelinniyonkuru5307
7 күн бұрын
Nimeona wanetuleteya kipara number too yani nimecheka😂😂😂😂 waombea ombea niwengi
@numbijeankishimba7731
7 күн бұрын
Wa tanzania munipe liké zangu mimi nimukongo
@IbrahimuSaid-fz9yy
7 күн бұрын
Mtukufu 😂😂😂 chakula gani wali na maharage oyaa kwa ubwawaa maharage mtamuua mtukufu 😂😂 Mnipe like 10 wakuuu
@danielbraitony9696
7 күн бұрын
Dada Mwenye Ndoo Jicho Hilo
@user-ql9vz7np7b
7 күн бұрын
Binafsi nimefurahi na nimependa sana safari hii hamjachelewa kutoa kipande cha 24 hongereni sana
@salumuwembo-fo5rr365
7 күн бұрын
Clam-vevo ndiye muigizaji pekee bora kwa sasa Tanzania 🙏🙏🙏🥰🥰🥰🥰from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩👏👏👏
@fundiseif1096
7 күн бұрын
Snake boy 🐍 inazidi kupamba moto 🔥🔥🔥💪
@Officialevaltisq
5 күн бұрын
Dah huyu mbeya wa himaya ya nyoka hajafua dafu kama kipala😂😂😂😂
@DJ-sadrh
7 күн бұрын
Nipe polee kwanza nr toa maoni yako daaaaa hii imeniacha nilkuwa zangu napika chakuraa lakn nimeona niache kwanza maan 🎉🎉🎉🎉 mpoo lakn TEAM CLAM kama mpoo gonga
@user-wi6to3kb8v
7 күн бұрын
Nimewahi naomben like zangu 😂😂
@lesjeunesleaders-un2ul
7 күн бұрын
Wakwanza from DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 kama wewe ni shabiki wa aTeam clam vevo gongo like ❤
@Kib-jsanley
6 күн бұрын
Like 🎉🎉basi
@mwashyombo9241
6 күн бұрын
Director wa hii movie alituliza kichwa anajua na nyie wakuomba like mnaboa saana saana
@jumaathman5232
7 күн бұрын
From Kenya tayari shabiki wa vevo
@StiveKomba
5 сағат бұрын
Vita. Vp
@kingmtetezi6670
7 күн бұрын
Wa mwisho leo nipeni like zangu twende sawa
@FOURTEENSTAR-mv1qb
6 күн бұрын
Hahahahahahahahahabahahhahahahahhahaahhaha. Hapo kaota tu anatongozwa je angefanya nae hahahahahhaha
@FabaMusengasoko
3 күн бұрын
Kwa sasa territorry yote ya beni congo drc wamemjua Clam vevo,kutoka kwangu tangu comedi mpaka leo najipatia mihela usiku na mchana kwa kutuma kazi hizi kwenye memory card,flash,....😊
@RumsyMsafiri
7 күн бұрын
Wa 3 tuko the United States of America
@kelvinfficial
7 күн бұрын
Saa yote nimekuwa na ingiya KZitem finally leo wa kwanza ata like 10 tu
@Kib-jsanley
6 күн бұрын
Nyaruke na kipara ndo watu muimu ndani umu wote semeni kipara one man😂😂like🎉🎉
@hamzaIlunga
6 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa❤❤
Пікірлер: 2,2 М.