MUNGU MUUMBA MBINGUNI NA DUNIA, tupe macho ya rohoni tujue kweli yako, na tukae ktk njia zako Amina...... 🙏
@user-sv6zy3hc8o
Ай бұрын
Kwaio humu ulikua unasoma biblia au imeingiliana VP na maombi 😂😂😂😂
@user-jc1og5cr3i
Ай бұрын
@@user-sv6zy3hc8o😂😂😂
@AweiyBeauty
Ай бұрын
Jaman jaman jaman watu hahahahahhhh!hayo majb sjui wp tunayapata wallah
@MohammadSwaghir
Ай бұрын
Wewe ndo umesema la maaana
@MosesKahindi-ys2xb
Ай бұрын
Amen🙏
@user-rl4cf6tc5n
Ай бұрын
mi mpk nilshakata tamaa kbs ya kuifuatilia snake boy mnakawia sana mpk nilihamia zangu kwa kp na zeb mnaboa sana au kwa kuwa tunasifia kazi nzuri ndio maana mnatucheleweshea
@MoneyKey247-fk4oy
Ай бұрын
Kweli😂😂😂
@NawaliKassimu
Ай бұрын
Mpaka unasahau uliishia wapi
@fahadfaraj6474
Ай бұрын
Inahitaji akili ndogo tu kujua mwanzo mlikua mnalalamika inakua fupi sana muda mdogo sasa Hivi wameweka ndefu zaidi maanayake lazma watakua wanatumia muda mrefu kuandaa bado tena malalamiko
@LovenessPaul-yf7rz
Ай бұрын
Kwakweli😢😢
@MaulidMrisho-hk2vi
Ай бұрын
usilaumu kukawia angalia wanatumia muda mlefu kuandaa maana siokitu chalaisi2 kiivyo wanatumia malifa mengi
@EphrahimIlomo
Ай бұрын
Daaa tumesubiri sana mnakaa mno mpaka tunasahau kama Kuna snake boy anyway kazi nzuri sana@clam vevo
@Kaloki-hv7dx
Ай бұрын
Sijui mm ni wangapi naombeni likes hapa...mwenyezi mungu haibarki snake boy...clam vevo hatariiii..
@PatrickAntony-w4d
Ай бұрын
Mm. Wakwanza udugu
@user-mm3ri2up9c
Ай бұрын
Kazi nzuli jaman naomba like from burundi tujuane
@_Wayiva_mukuta_jean
Ай бұрын
Clam vevo the number one ☝️ mpaka apa Congo 🇨🇩 na kubali équipe clam vevo.
@YoungblackPeople-qf7vx
Ай бұрын
Mwenyezi mungu akubaliki wewe na familia yako muwe na maisha malefu kwa wewe unaye soma comment hiii
@EverinRobert-cg6cx
Ай бұрын
Amina
@mrsinia3064
Ай бұрын
Amiina
@user-ed8nq6ve7q
Ай бұрын
Amini❤
@user-jq5lh9mo1v
Ай бұрын
Amiiiiin 😊
@gakozimartinvalentin2763
Ай бұрын
Amina
@KibweOnlineTv
Ай бұрын
Nimekuwa wa Mia mbili na 53, Naomba likes zangu, snake boy ni motooo 🎉🎉🎉
@HudhaimaYussuf
Ай бұрын
Afadhali umesema kweli mana kila mtu wa kwanza humu😂😂😂😂😂
@officialgvanny8334
Ай бұрын
@@HudhaimaYussuf😂😂😂😂
@TajaIssa
Ай бұрын
Kama unamkubali mtanzi gonga like
@NdohoAud
Ай бұрын
@@HudhaimaYussufhhhhhhh😂😂 nihatal
@Mashenene_Robert
Ай бұрын
Wewe adimin 😅😅😅
@adidjahassan6046
Ай бұрын
From burundi ❤❤ napenda sana snake boy clam apewe maua yake jamani kama tukopamoja gonga like apa ❤❤
@filexingutia3620
Ай бұрын
Mimi ni miongoni mwa first 80,000 waaah! Si watu mnawai jamani... Yaani karibu nianguke😂❤🇰🇪KE🇰🇪NYA🇰🇪
Snake boy 🐍 inazidi kua hatariiii umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥💪
@nestorykakatv7526
Ай бұрын
Ushauri wa bure msiwe mnakaa siku 10 jaman mjue tunapenda xn hii kazi
@professor1992
Ай бұрын
Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tangu nianze kufuatilia snake boy sijawai pata likes, jameni naombeni likes mukinifuata youtube
@Kib-jsanley
Ай бұрын
Mombasa😂😂
@DuniaMayombo
Ай бұрын
Nilisha kupa likes ambayo uliomba❤
@collinsmlay1438
Ай бұрын
Nimekupa dislike moja aisee nataman nikuongezee zaidii
@AshaMussa-r4z
Ай бұрын
Kazi nzuri kaka Allah akulinde uzidi kutoa kazi nzuri ila munachelewesha sana
@RifatiJeshi
Ай бұрын
Mkishajua tunawafatilia na kuwakubal mnatuchelewesha sana kutoa muendelezo!! Jirekebshen bhac
@rashidkwengwegu6876
Ай бұрын
Kuchelewa kwao ni kuandaa kitu kizuri kitakacho kuvutia
@ramadhanmbai648
Ай бұрын
WA Kwanza kutoka Kenya. I love Tanzania bongo movies .. big up Tanzania ❤
@yassatv2129
Ай бұрын
Naomba wote mnaoangalia snake boy mwenyezi mungu awape afya njema na mafanikio makubwa katika maisha yenu🙏
@NadzuaMrema
Ай бұрын
Amen 🙏 🙏 nawe pia
@Dogs-jg3mg
Ай бұрын
Amina
@mulhathamadomar4451
Ай бұрын
Amiin kwak piA
@abedysteven4930
Ай бұрын
Amen
@user-ib5gg4kb5c
Ай бұрын
Amina
@Puchuanitz
Ай бұрын
Jaman me nataka mwakatobe ak zinga team zinga dondosha like
@mosesashikoye3288
Ай бұрын
Clam siku hizi unachekewesha sana hadi nasikia nimeanza kukosa hamu tena, imarikeni kwa hilo. Tunawapenda sana huku Kenya
@amothedecorationiw9iw
Ай бұрын
Kigongo kinachelewa mpaka napata hasira kiukweli sijafurahia kabisa week mbili tunakaa kinyonge aaaahhh director amezingua
@FeydhullahTwalib
Ай бұрын
Kiujumla vevo na team yako mupo vizuri tena mupo vizuri sana
@Jeremiahc224
Ай бұрын
Kazi njema inaitaji watu hodari na nyinyi nyote ni mahodari kabisa 🙌🙌🌹❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉.
@sarahnjeri-tz8eu
Ай бұрын
Wenye kufuatilia hizi episodes tujuane 😂😂😂mimi ata ikifika episode 50 lazima niifuatilie team Clamvevo wapi likes 👍👍👍
@PatrickAntony-w4d
Ай бұрын
Tunawaombea sana❤
@sarahnjeri-tz8eu
Ай бұрын
@@PatrickAntony-w4d 😘😘😘
@Akili820
Ай бұрын
Clam noma sana 🇨🇩🇨🇩☝️
@FrankLuhaha-dt5sh
Ай бұрын
Watu waliokubaliii kaziii hiii ya CLAM VEVO gonga like hapa❤❤❤❤ movie iko unyamaaa sanaaa
@qaltumsaid3095
Ай бұрын
Najaribu kufanya mazoezi ila najikuta kukosa mueleko😢... Kama umeamka Salama sema Asante mungu Kwa Kila pumzi ninayopumua.... team strong hapa kutoka Tanzania 🇹🇿🇶🇦
@FrankHakizimana-rb3zs
Ай бұрын
Upo sawa
@qaltumsaid3095
Ай бұрын
@@FrankHakizimana-rb3zs Welcome
@rizikladyherson8451
Ай бұрын
Asante Mungu
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
Asante mungu ww umeongea la maana kuliko kuomba like
@qaltumsaid3095
Ай бұрын
@@mohammedkidody5618 ubarikiwe sana
@BakariNgare-v8z
Ай бұрын
Duuh Clam vevo watueka sana wachelewesha mzigo but ongera Kwa kaz nzuri naona next kanumba miaka inayo kuja karibu Mombasa Kenya.
@eggysulle7988
Ай бұрын
Dakika 40 pia umegewa
@BakariNgare-v8z
Ай бұрын
Hahahaha 40minutes n sawa but anatueka sana Vevo best wishes to this guy is very genius@@eggysulle7988
@MagrethDaniel-cu5fg
Ай бұрын
Aisee huy dada urembo unamtesa jaman kaqa kama mpira ahahahaha!!! Ungekuwa na sura ngumu ka me akaaaah! Hata ukitupwa pale mbwa hanusi😂😂😂😂😂
@Monystar01
Ай бұрын
Aisee kama kuna mtu alikua anaumia Snake 🐍 boy kuchelewa kama mimi Gonga likes 👍
@saidpolish1988
Ай бұрын
Unachoka mtu kuifatilia inavochelewa sana
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
Kabisa inachelewa sana mpk tunakata tamaa
@Big-studios255
Ай бұрын
inakuja ndugu zangu 😥😥😥😥 kazi ni nyingi upande wetu sisi ma producer
@SaidiHemedi-ug6qw
Ай бұрын
Wewe nimshamba tu
@DamarisDammie
Ай бұрын
Wakwanza from 🇰🇪🇰🇪 ila mnachelewesha sana hd tunasahau pale tulipoachia ila kazi nzuri sana Clam vevo tunaikubali ❤
@user-dh5wh9ts2i
Ай бұрын
Safi Dama Mkenya wangu
@edwardngugi3537
Ай бұрын
Ii kiswahili yko c ya Kenya 😂😂😂 buana
@DamarisDammie
Ай бұрын
@@edwardngugi3537 hiki n Cha wapi kipenzi
@DamarisDammie
Ай бұрын
@@user-dh5wh9ts2i good ❤️
@user-qz2dn3qb1x
Ай бұрын
Naomba unicheki bax
@yonamaduma6284
Ай бұрын
Tujuane tunao fatilia snake boy kwanzia season one kama mimi ngonga like hapa
@AsmaEdgar
Ай бұрын
Gonga na kwangu basi
@user-hn6co1ul8l
Ай бұрын
Naku kubari kazinzuri sana Ila muna cherewa jitaidini ata muwe munatoa vipande vitatu kwawiki 🎉
@JackyTarimo
Ай бұрын
2po kimoja
@wamboiwamboh
Ай бұрын
❤❤❤si mnipitie akh😂
@KigabiChanceline
Ай бұрын
Niko
@Nancykerush
Ай бұрын
Naipeda xana na watch nikiwa Nairobi Kenya wapi likes zangu jamen
@AishaAbdallah-lm4ic
Ай бұрын
From Kenya..🇰🇪🇰🇪 watching from Qatar 🇶🇦 🇶🇦 Nikiwa Moja Wenu🤝💕💕💕
@Dorcasmwende764
Ай бұрын
Maandamo ni Tuesday CBD tupatane 😅
@AishaAbdallah-lm4ic
Ай бұрын
@@Dorcasmwende764 Inshaallah mpenzi pamoja 🫂
@khajiathuman-zq4bj
Ай бұрын
tunaemuona tanu ajulikan yupo upande gani 😂😂 tien like ap
@LysonMshan-kf7rg
Ай бұрын
tanuu bwanaa Mii simuelewii yanii 🤣🤣🤣🤣
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
😂😂😂
@stephanmpangire4741
Ай бұрын
Alooo 😂😅
@saumbliz8983
Ай бұрын
Medick,mbwela,mwasi, Zumba,sengo,kipara ,na kakoso, nawakubali sana na team nzima 🎉🎉🎉🎉hongereni sana washirika nyote wa snake boy mwaitendea haki kabisa hii move 🌹🌹🌹🌹
@Shacky665
Ай бұрын
Kazi nzuri Tim vevo hamjawahi niangusha🎉🎉🎉🎉
@ShizoMsosa
Ай бұрын
Kukudadakei one number
@MellanierChristian-wn9mw
Ай бұрын
Movie intufundisha hii dunia kuna watu wetu wa karibu ni wanafikii saana si mnaona rafiki ake mtukufu anavojifanya hajui alichokifanya yaan mtu anakupa msiba af anakusaidia kuliaaa 😢
@amilahmuta7586
Ай бұрын
Maana kuu ya kikulacho ki nguoni mwako
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
Kabisa yn na utawala wa kimabavu
@EstherShania-u8i
Ай бұрын
Leo nmechelewa lkn naomba like hta 2 tuh
@KIBETLOTIPO
Ай бұрын
Watching live from the capital city of Africa 🇰🇪 KENYA,wapi like zangu,ila mnachukua muda mwingi kutoa episode
@qurthummrabdllh3635
Ай бұрын
Mtoe maoni basii kazi wsicheleweshe sana 😂😂😂 kuomba like tu 😂😂😂
@judithpendo9985
Ай бұрын
KWANI watu mko n sim kwa mkono jmn 😂😂 nawapenda 🥰 Bure Genz 👊 team strong team clam vevo🇸🇦🇰🇪❤️❤️❤️
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo❤
@siafuonlinetv
Ай бұрын
Kama kuna mtu kila siku alikuwa anaangalia kama clam kaaploud au laaa gonga like kwangu
@hashimuomary4569
Ай бұрын
Kwan mnaoomba like zinawafaidish nn nyie vibwengo watoto wa mwakatobe
@MwabuJackson
Ай бұрын
Hi cast of the snake boy, we are really enjoying your wonderful movies. Please keep it up, I wish you the best in your remaining seasons. I'm Zambian.
@user-dw3dz2zt4i
Ай бұрын
Hiii movie inaongelea Uongozi mbaya kama vile Kenya viongozi wengine wanavo wanyanyasa Wana Himaya ,,,,,ndio unakuta kuna wenye wanakufa ndo wengine wasaidike baadae,,,,,halafu kuna wakina Raila apo kina Kipara huku Yuko na kule yupo
@user-gw1tc8tf5j
Ай бұрын
Kwel ina mafunzo Meng San y kujifunza hpa
@hamisikamanda9933
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
Kabisa yn😂😂😂
@user-wq2np3dm3d
Ай бұрын
😂😂😂
@SallyMateru
Ай бұрын
Hatimaye baada yakusubiri kwa muda mrefu😂😂
@crazykea2032
Ай бұрын
Eeeeh wanakawia sana adi mtu huchoka😂
@SallyMateru
Ай бұрын
@@crazykea2032 yaani mpaka unaanza kusahau ilipoishia 🤣😂😂 ila Ndo tunaipenda Hata iweje hatuachi kufatilia
@salhkiyagi
Ай бұрын
Kazi nzur san ila punguzen baadh ya vitu move iende vizur mtuletee nyingne mwaka sasa unaenda tunafwatilia move iyo tu mwiso itakifu ipoteze ukwality tulio elewan tujuane kwa like
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
Ай бұрын
Kweli kabisa
@salhkiyagi
Ай бұрын
@@HASHIMMAKUNGUHAMDANI unaweza ukasahau hata ilianzaje
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI
Ай бұрын
@@salhkiyagi yaani jamaa anazingua sana yaani mpaka hamu inaaza kuondoka
@DianaBoniphace-bh7dr
Ай бұрын
Unyama sana👏👏
@JumaRajabu-gg7ib
Ай бұрын
Yanii mov ishee kwann usi🎉🎉🎉🎉😅 iishee ww
@MahadiMusa-b1z
Ай бұрын
Sasa nyie mnao like amuwaambii kua ii igizo saivi adisi aeleweki nini inamaanisha wamalize2uuu
@shamiraramadhani3145
Ай бұрын
Mnakalia kuomba like tu na wakati wanachelewesha saana hii move clam acha kuchelewesha hivyo bhn
@mohammedkidody5618
Ай бұрын
Ww umeongea mpk tunakata tamaa
@kizzydaniel4388
Ай бұрын
umetucheleweshea sanaa mzee sisi huu ni zaidi ya ulevii
@BensonNtahombaye
Ай бұрын
Kweli kabisa wana tuchelewesha
@medytrueboytz8450
Ай бұрын
Kweli kabisa Yani mpaka nime boeka
@eggysulle7988
Ай бұрын
Umegewa pia dakika kibao za kuona
@NyamweruAlex
Ай бұрын
Umeona
@davidnyolo1668
Ай бұрын
Walai manze
@husseinmohamed1380
Ай бұрын
Anguka nayo clam vevo,much love from 254🇰🇪.
@RaymondMahadi
Ай бұрын
Alright thanks for your work bro 🙏 Good morning our lovely videos I'm Raymond mahad from Kenya Mombasa or Nairobi I'm so happy for this channel
@diva_20162
Ай бұрын
Sema kipara anaupiga mwingi sana aseee maua yake,, hachezi mbali na fursa 😂😂
@BeatriceMussa-y4b
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 umbea wa faida
@ErickyTz-ku7dt
Ай бұрын
Why this young boy clamvevo doesn't trending although he is the best and large number of pure views any way much love from Toronto canada
@IssahBrighton
Ай бұрын
Oy
@IssahBrighton
Ай бұрын
❤
@Rigobertpanga9
Ай бұрын
Jamani ndugu zangu kama Kuna aliyesubiri snake boy Kwa hamu kama mimi agonge like apo 🐍
@Misheckkazilist-cv2hb
Ай бұрын
Kazi nzuli sana ongeren ila maoninyangu kazi inachelewa kwa siku nyigi sana jmn fanyeni malekebisho kwamuda sahihi na dakika za kutosha ❤❤
@Barnizeboy
Ай бұрын
Wa kwanza leo naomba like zangu toka dr Congo 🇨🇩💪💪
@mwajumaahmed9888
Ай бұрын
Hakuna kazi ndog jmni wanajitahid sana na kutoa ndefu ndefu had rahaa mungu awabariki kwenye kzi zenu
@SaidesimbaSimba-sm1xx
Ай бұрын
Mambo
@CostaTande
Ай бұрын
Santé sana kwawangizadji yote wa muvi snack boy mungu awabariki wote clam vevo n'a Kim Nadayrecta Kakoso mungu amulinde kwakweli ni Costa Tande Justin kutokeya Congo
@aminielenock2050
Ай бұрын
Huo mziki bonge moja la ubunifu 🔥🔥
@aminielenock2050
Ай бұрын
Mnachelewesha sana kazi wakuu pia nzinga ni tumemiss misemo yake na timbwili
Nipeni likes za wakenya, nampenda vevo na kazi zake
@user-bi9pl4eu2o
Ай бұрын
Kazi nzuri bro mbwela big up sana
@idrixalumany5902
Ай бұрын
Wana mzengo mko moto sana😂😂
@isharaganechi6616
Ай бұрын
Mimi wa kwanza kutoka kongo naomba munilae kibas kidogo sababu naikubali hii muvi na imecheleweshwa ila tunaipenda tu
@mwanaidisaidi1101
Ай бұрын
Sijawahi kucoment acha leo nikomenti unatucheleweshea sana mzee yan unafanya mda wote tushinde KZitem maana unawaza inatoka saizi au laah,,,,hongera kwa kuitoa maana tumeisubili kwa hamu sana tunashukuru kwa kutuongezea dakika bigup utafika mbali kijana
@VictorObeth
Ай бұрын
Namuona ndugu yangu ibra mbwera au chif safi kaka kazi nzuri
@fatumahashimmcheni9610
Ай бұрын
Ku edit Videoo ni kazi ngumuu sana kupangq vipandee na kuandaa kazi nzur
@DianaRose-kh7sr
Ай бұрын
Watu mko vizuri mapema mshawahi 🧡🧡🎉
@SUraxPalmaboy
Ай бұрын
Vip
@SUraxPalmaboy
Ай бұрын
Ol❤❤❤
@user-yk3cf6jp2y
Ай бұрын
Nakubari unyama huu apa nisubiri kwa hamu sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@ronzevannyboychui1661
Ай бұрын
ila namie sija chelewa sana nipo kabisa namie naomba like zangu 15 hapo ila nawapongaza sana kitu kizuri kabisa jaman ila Clam vevo 🎉🎉❤
@VarraneOmjo
Ай бұрын
Naomba like ata 2 jamani
@shabanbachane7318
Ай бұрын
Kuwa wa mwisho naomba like 5
@PatronizeNgombo
Ай бұрын
From kenya 🇰🇪 254 naomba like hata 5
@user-dh5wh9ts2i
Ай бұрын
Safi mkenya mwenzangu 😊
@ngoyaboy1590
Ай бұрын
Tuambie kama ni Genz kama sio Genz hupati like uku tzz tunawakubali Genz
@Moisesmoceya
Ай бұрын
@@ngoyaboy1590😂😂
@user-ts2pv6db3e
Ай бұрын
😂😂
@ryankoech
Ай бұрын
Tuko pamoja bro
@dismasjuma7440
Ай бұрын
aura4aura nikiwa kenya kazi bro clam.wakenya wenzagu like natukutane tuesday CBD kwa mapambano
@Boshbriz3344
Ай бұрын
😂😂😂
@UserOkelohansi85
Ай бұрын
Kuwa wa Kwanza naomba like ata 2
@graffinamisi
Ай бұрын
Like hupeleke wapi
@MosesBakari-mh5of
Ай бұрын
🎉
@Helmankilosa
Ай бұрын
Za nn
@MichaelMwemezi-y4f
Ай бұрын
Kenge wewe
@user-pw2sw1sk1b
Ай бұрын
Omba mboo tujue moja
@topaztz7601
Ай бұрын
Nakubali kazi nzuri sana team Clam Vevo, bila kumsahau Director Kakoso na Mganga wa taifa anaependezesha Movie yetu.. Mwakatobe.. Hongereni kwa kazi nzuri tuko pamoja mwanzo mwisho.. KAMA UNAIKUBALI HII SERIES NA ULIKUWA UNAISUBIRI KWA SHAUKU TUJUANE HAPA KWA LIKE❤
@Mr.bossrivMr.bossriv
Ай бұрын
Nami wa kwanza jamani naomba link hata kumi tu🎉🎉
@MartinLazaro-zj6ke
Ай бұрын
Clam VEVO. Sterling wa snake boy umekuwa Bora sana. Season 1 na season 2. Kazi nzuri sana ❤❤❤❤
@hamisimbwana-yf3ze
Ай бұрын
Wakwanza leo Fedha boy Aka Hamisi Mbwana from kenya mombasa kenya
@SylvesterMwinga-ff5iy
Ай бұрын
Safi kazi nzuri>Team strong tujuane
@mustafamwenda
Ай бұрын
Ila wadau saiz watanzania tumepiga hatuwa kwenye movie camera saiz zina hd ya kueleweka unaona mpak chunusi kwakweli tujipongeze wote tz❤❤❤❤
@user-yy6fx8hm4g
Ай бұрын
Ila kipala anaogopa kufa 😂😂😂😂
@MARIAKANIMEDIA_254
Ай бұрын
Wapi wale wakenya🇰🇪 nataka kuona nguvu ya 1k likes
@zamirhassan81
Ай бұрын
🐍 Boy ya Motooo
@peterleonidasofficial3135
Ай бұрын
Itumie hii series piah kujifunza..make vipo vingi sana vya kujifunza...naomben likes bhas😇
@NurdinAthuman-lw7yc
Ай бұрын
Yaani inayofata toeni hata mwakani basi maana mnachelewesha tuu bhana 😢😢😢😊
@ARONPaul-bz3ws
Ай бұрын
Nomaaa sana kwa movie tamuu vevooooo ila nisimsahauu director kakosooo anafanya kaziii nzuriiii sana
@aganzeroger
Ай бұрын
Wa kwanza Leo kutoka Congo nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉🎉
@MaicoKaniqueMaico
Ай бұрын
From mozambique 🇲🇿 tunakubali sana snak boy
@sandulutu8635
Ай бұрын
Mnachelewa mpaka tunasahau mlipoishia
@othmanali5799
Ай бұрын
Toeni sikuuu maalum tuu ya kutoa kama baba Oliver tunajua ni ijumaaa mtu unasubiri mpka unachokaaa
@sundaymarwa9322
Ай бұрын
Tatizo mnaforce sana ati kila EP ifike laki saba ndo mtoe ingine mnadhani ati hii ni wrong house ya R.K😂😂😂😂😂
Пікірлер: 2,5 М.