Ongera sana mnatisha kinyama tunawapenda congo tolingi bino mingi nzambe apambolayo clam vevo kuzua bandeko nabiso kotiya bango na snake boy
@JoelElifadha
15 күн бұрын
Ndugu zangu kama unamwamini MUNGU usipite Bila kulike utabarikiwa sana 🎉🎉
@Peter-comedy
15 күн бұрын
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
@meninafilmstz
15 күн бұрын
Visa series imetoka kzitem.info/news/bejne/1KaqqpiFe6ucdmksi=bhurBsZK5ryjz3ms
@anthonylister754
15 күн бұрын
Mungu hatumii smartphone kaka, Matendo yako ndio yatayokupeleka mbinguni.. na inaandikwa Mungu na sio mungu.. Anza na herufi kubwa
@edineezke1616
14 күн бұрын
Sisi tunaamini mizimu@@anthonylister754
@saumucharo3239
14 күн бұрын
Kwa kila njia Ili mpate like😂
@ShamsaMudathir
15 күн бұрын
Mashallah Leo nimewahi wa 2 ila uwe unawah kutuma hii muv mana inachelewa sana
@Peter-comedy
15 күн бұрын
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
@angelpeter-ce6jx
14 күн бұрын
Ila jamanii tumkumbuke mungu siku za ujana wetu mambo ni mengi siku hizi tumuombe mungu tuwe na mwisho mwema🙏🙏
@EverlynKenneth
9 күн бұрын
Be Blessed 🙌 Angel Peter 😇
@angelpeter-ce6jx
9 күн бұрын
@@EverlynKenneth 🙏🙏dear
@FatmaChuba-y8e
6 күн бұрын
Amin
@jameswissa9981
15 күн бұрын
Faume atapinduliwa pinduko la hatar sana, Mana team inayotaka kumpindua ni kubwa halaf wanaotaka kurithi kiti chake hao hao watakuja vurugana, Tanu unaakili Mingi sana kuwateka had hao watu wa juu wa Chief
@abubakarimlyandi8571
14 күн бұрын
Umeona mbali💪
@jacksonmassato8017
15 күн бұрын
Kama upo hai mpaka Leo, Mwambie Mungu Asante
@MwanakomboSalim-i5z
14 күн бұрын
Asante
@benjaminaxwesso4561
14 күн бұрын
Asante mungu wangu we ndiwe
@EverhHope
14 күн бұрын
Asante mungu
@mohammedkidody5618
14 күн бұрын
Asante mungu
@Lawrencetngenzi
14 күн бұрын
Amen
@IanKidundu
15 күн бұрын
Is on top clevo from Kenya I really love Tanzanian things 🔥
@Richy622
15 күн бұрын
Na ni kweli clam vevo ameshidikana KZitem 😮only 26 minutes 10k views..Huyu kashidikana ...kama unaamini ni ukweli goga like ❤🎉
@jumannemalungo5018
13 күн бұрын
Mbona views zake zimeshuka
@sarahnjeri-tz8eu
14 күн бұрын
Mwenye kufurahia mipango ya Tanu gonga like 👍👍👍 tuko pamoja sana🎉🎉🎉🎉
@user-jt8wt9pf2m
15 күн бұрын
Vevo naomba no za uyo mlimzi wa chief mwenye rasi jamani anatembea na moyo wangu🤦♀️🏃♂️☺️
@ogtz3337
15 күн бұрын
Nikupe namba
@LaziaBashilu
14 күн бұрын
😂😂😂😂nimechoka kama fala
@SarafinaSaimon-p3l
14 күн бұрын
0684
@khadijahamina8457
13 күн бұрын
yuko sawa
@queen_zashi
13 күн бұрын
Mimi ndo nilikuwa na muwaza sana jamani Yani ananivutiaaaa
@abdizzydhasofia6958
15 күн бұрын
Nimekuwa wakwanza nipewe maua angu, from mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@GloryEmmanuel-b2t
15 күн бұрын
Wa kwanza leo naombeni ata like 100 jaman hamjawah kulike kwangu
@Peter-comedy
15 күн бұрын
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
@Suma001
15 күн бұрын
Sasa wewe iz like zikusaidie nin
@GloryEmmanuel-b2t
15 күн бұрын
@@Suma001 napata pesa
@Suma001
15 күн бұрын
Tafuta kazi kijana
@DPShabani
15 күн бұрын
❤
@Frankline.
15 күн бұрын
Tanu ndiye msaliti mkumbwa 😂 but he knows how to play his part very well
@aishaomar2287
15 күн бұрын
Very well
@willsonvallency8275
13 күн бұрын
Tanu anatisha mbaya mbov
@ashabaruani
13 күн бұрын
For sure...na yy ameshapata msaliti wake, mlinz rasta😅
@abudaizyvonvincer8701
15 күн бұрын
Oooyaaaa wanangu wa snake 🐍 boy 👦 kaa Mpelampela kama Wana wa nzoya ... fanya kunigei like zangu nimewahi sana
@josephusekwelas9743
14 күн бұрын
Asante mwasi ume fanya kazi nzuri 🇨🇩🇨🇩✌🏽✌🏽✌🏽
@mkacibeiib7278
15 күн бұрын
jamani Mimi uwa nangalia movie ya snake boy na ni mgeni ntk naon like jmn 🎉🎉🎉
@josephattwipa470
15 күн бұрын
Utapeleka wap
@josephattwipa470
15 күн бұрын
Utapeleka wap
@Ubahalpha
15 күн бұрын
Sasa huwa unaangalia ama ndo mgeni
@FatmaJumawazir
14 күн бұрын
Kama hatuzioni
@André-c6
15 күн бұрын
Musiwa wagumu kugonga Like jami, kazi tunapata yamoto 🔥🇲🇿🇲🇿
@fullanimalstz6212
15 күн бұрын
kzitem.info/news/bejne/soir03ZjqoJ9aZw
@EliasMoris-gh1pv
14 күн бұрын
Kwani muvi ni yako unaitaji like😮
@SobiTz
14 күн бұрын
Kazi kuomba like tu, mtakuj kuomba na mboo siku moja
@André-c6
14 күн бұрын
@@SobiTz você fumou liamba 🤌
@nickluca1512
15 күн бұрын
SHAHIDI + FAUME+ TANU hawa majamaa wanavaa uhusikaa vzur sanaa❤❤😊
@stevekasawala2315
15 күн бұрын
Sahihi wanajua sana
@ahmadgoha-xe6co
15 күн бұрын
Muongeze mwasi!!
@AsiaOmar-mr7bk
15 күн бұрын
Tanu anajua mn akicheza naumia mm mtizamaji huku muda mwengine nafumba nacho ikifika zam yke
@mohammedkidody5618
14 күн бұрын
Kabisa yn na mwasi
@Anitha-h4v
9 күн бұрын
Kwel kbx
@jamessamwel9456
15 күн бұрын
kajolo kapewa kaz ya kumchunguza Tanu, na pia kapewa nafas ya Kapera lakin pia Tanu kamuahidi Kajolo nafasi ya Usaidizi baada ya kumpindua CHIfu😂
@ArafatAbdallah-f3b
14 күн бұрын
Apo Sasa ngoja tuone kitakachotokea
@StephenMollel-i5v
13 күн бұрын
Mmh, kazin kwa kajolo kuna kazi
@goodluckmanfred410
15 күн бұрын
Bila yupo vizuri sana na uhusika huo ameuvaa vizuri sana. Kazi nzuri sana
@annaki318
15 күн бұрын
Butua, mwasi na chaupele wametuacha na pigo kubwa sanaaa. Wapumzike kwa amani, Mafans wenu tutawamis sana😢😭
@rizikladyherson8451
14 күн бұрын
Mwasi pia amekufa😢😢😢
@MonicaSimon-cl9cw
14 күн бұрын
Mwasi hajafa jamn
@TuzoMtuku-ju6id
14 күн бұрын
Al@@rizikladyherson8451hajafa huyo kabadilika jinsia yake
@DeogratiusMataruma
5 күн бұрын
Bi ndiro jamaniii mbona harudiii
@mwaurapaulofficial7033
15 күн бұрын
Wale wamesikia vibaya chaupele alipomezwa😢😢 like hapa.
@mosesashikoye3288
14 күн бұрын
Nimeumwa zaidi hata kuliko vile niliumwa juzi nilipompata mrembo wangu na mwanamme mwingine 😂😂😂
@SobiTz
14 күн бұрын
Daah 😂😂💔@@mosesashikoye3288
@SalamaTaura
14 күн бұрын
😢
@user-yj1lk2jg7p
12 күн бұрын
Daaah imeniuma sana
@HAWAMAULIDI-zl5xd
12 күн бұрын
@@mosesashikoye3288usinichekeshe tafadhali 😂😂😂
@judithpendo9985
15 күн бұрын
Waliochelewa km mm n kufurahia umbile la kakoso kurudi tukutane nyuma ya tent 😂🇰🇪🇸🇦♥️♥️♥️love from team kubwa 🥰🥰🥰 nawapenda nikiwa riyadh like utabarikiwa😢
@rajabjuma1450
14 күн бұрын
MANSHA'ALLAH ALLAH AKUZIDISHIE BARAKA KHELI NA AKUPE MAISHA MAREFU UNATUFULAHISHA MASHABIK ZAKO KAKA
@Kamhandamapambano
15 күн бұрын
Kila kukicha ni Neema.....TUNAMSHUKURU MUNGU.... Tuendelee kupambana Ndugu zangu..Kila la kheri kwenye MAPAMBANO YeNu😊🎉
@NuruNdegwa-yg2bm
15 күн бұрын
Kwako pia🙏
@mohammedkidody5618
14 күн бұрын
Kwa sote❤🎉
@modex_0376
15 күн бұрын
UKISOMA MSG HII NA KUNIPATIA LIKE ZANGU MUNGU AKUBARIKI NA AKUJALIE UWISHI MIAKA MINGI IN SHAA ALLAH
@rizikladyherson8451
14 күн бұрын
Aamin
@Dianaf774
15 күн бұрын
Kipara na sengo wachinjwe krismas ya mwaka wana umbea sana😂😂😂😂
@cristaezekiel1036
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@CosmasMaweu-vl4qk
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-pb1gh1nb2m
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@kibibimlaula2526
14 күн бұрын
Mpka wanakera yani😂😂😂
@Halimamaere
14 күн бұрын
😂😂😂😂wameshindikana hawa
@DoctorKipingu-jb2cp
15 күн бұрын
Wakwanza leo naomben like hata mbili tu jaman upendo kuwa unampenda CLAM VEVO
@AsiaOmar-mr7bk
15 күн бұрын
Clam upo vzr mashallaah ila tukisema tukuombee duwa uzidi kufanikiwa itakua hatukupendi mn hii ni starehe ya dunia * bora tukuombee duwa uwe miongoni mwa waja wema ukifa uwe mtu wa peponi *Aamiin
@FredrickfatumaMaita-e8r
12 күн бұрын
Amin
@aminahaule1806
15 күн бұрын
snake boy iko poa sanaaa bravo clam vevo👏👏
@PlaisirKabuyaya
15 күн бұрын
Soso Lelo nakoliya yoo kkk zinga oyebi lingala solo 😂😂😂😂😂
@user-dz4vl7wm5n
15 күн бұрын
Wa Kwanza leo jaman musinizarao kwasababu kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 nipe mawa yangu
@carlpsonmunisi7315
15 күн бұрын
Oya nimekua tanzania one wadau Like ziwe nyingi sasa❤
@Peter-comedy
15 күн бұрын
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
@muddyibrahim9891
14 күн бұрын
vvbvvcvccobbv
@Smailmudabado
14 күн бұрын
Return of kakoso Kama umefurah gonga like❤
@cristaezekiel1036
15 күн бұрын
😊😊😊😊Kwakweli mlinzi ananikosha sana analafudhi nzuri sana 😊😊😊kajolo
@user-bt1vl8nu5n
13 күн бұрын
Ana sauti kama ya Rk tunga
@FortiMtolela-xl2nb
15 күн бұрын
Jamaniii leo ndio nimenunua simu kubwaa tangu nizaliwe naombeni likes zenu kama kunikalibisha katika ulimwengu wa smartphone ❤
@nurumwinyi796
14 күн бұрын
@@FortiMtolela-xl2nb ndio uitangazie?
@ElizabethMumbi-c6x
14 күн бұрын
@@nurumwinyi796Ndio niyake lazima atangaze furaha Yake Wew Vp 😂😂😊
@mohammedkidody5618
14 күн бұрын
Hhhh
@DeogratiusMataruma
5 күн бұрын
Xx ndo uanze kuangalia kipande Cha 34 wakatiii Kuna Cha kwanza huko nyuma umetukoxea xana
@lydiaezekiel3044
15 күн бұрын
Nyiee watu mpo fasta sana yani😂😂😂😂 hongereni sana kumpa saport ckam vevo
@RoseAmilet
15 күн бұрын
Nini ckam
@user-ch9sv9ze3u
15 күн бұрын
Toka naanza kufatilia. Hii move sijawahi pata hata like moja
@zenapius3796
10 күн бұрын
Like zinakusaidia nn
@officialchui5653
14 күн бұрын
Tunaochukizwa na poketblocker TUJUANE hapa😂😂
@mohammedkidody5618
14 күн бұрын
😂😂😂leo ntiba kaongea kiswahili much love clam vevo gang
@Swahili_Nation_Studios
15 күн бұрын
Here we go Champion boy🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇨🇩🇨🇬🙌
@FanuelMhonjwa-fm1oe
15 күн бұрын
Aah😅 Kila inavoisha ndo inzidi kuwa Tam ila Snake boy big up sana ..🔥✊✊
@AnzuluniAlfane-wp5nf
15 күн бұрын
Mm w kwanza nipo like zangu from Mozambique 🇲🇿🇲🇿💪
@JullianaEmmanuel-tm5xg
15 күн бұрын
Tanu , Tanu sku yako yaja ,kitakuramba ktu
@ZaylinahNindae
15 күн бұрын
Clam Mimi nauliza tu huyu mlizi wa chifu wa nyoka kajolo ameoa🥰
@Dorcelbyamungu9544
15 күн бұрын
DRC tuna furaha sana Kuona muna ongeya lingala . Ni lazma tuwa sapoti 🇨🇩🇨🇩🫶
@FaliduHamidu
15 күн бұрын
Nikwel clam anaitikisa Africa mashaliki Kama unaamin gonga like
@user-ne6pd4rl4p
15 күн бұрын
Ndan ya dakk moja pekee nimeona like 380. ,,inaonesha nikias gan kaz ilivo nzuri,, usituangushe shabiki zako
@VeronicaNekesa-p9x
15 күн бұрын
Wenye tumefwatilia snake boy tangu ianze gonga like hapa❤
@hamzaIlunga
6 күн бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team vevo
@RafiqueSaide
15 күн бұрын
Leo nimebatika kwa wa kwanza namombeni like zangu jamani from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 please clam Vevo kazi nzuri
@joshuakaduma-kf4yn
15 күн бұрын
mimi sitaki hata hizo like japo ni wa kwanza 😅
@rashfordsulley7402
15 күн бұрын
Wa kwanzaaaaa
@Faraja255
15 күн бұрын
Umeniwahi kubabake
@alberiusgerase9167
15 күн бұрын
Ila wejamaa umenisulika
@Peter-comedy
15 күн бұрын
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
@SpaiyGo
15 күн бұрын
spaiygo ndo naingia, habari zenu jamani na waomben kitu ki1 kwa kuwa mm ni mgeni kwenye snik boy, like ziwe za kutosha🙏🙏 nawashukuru sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 for life One love ❤
@razesdragon
13 күн бұрын
Wewe nikama Kanumba bro 🙏 from Congo 🇨🇩🎉🎉🎉
@user-co7nu4kj1k
15 күн бұрын
Jaman tulikuwa tunaingoja kwa hamu kubwa sana mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉
@SalamaTaura
14 күн бұрын
🎉🎉🎉
@AnthonyOgega
15 күн бұрын
Leo n mm wa qwanzq naomba like❤❤
@user-ek1gi9fv9z
15 күн бұрын
Vevo leo katuwahishia kbsaaa kaz njema sna
@SarahCharls
13 күн бұрын
😅😅😅 eti hili umbile la mwaSi lina maadui wengi sana 😅😅 umeogopa kuwa kama kimu. Nakupenda sana kakoso kazi nzur mwasi asante kwa kazi yako nzurii❤❤❤
@YoungblackPeople-qf7vx
14 күн бұрын
Tuna kila sababu ya kumushukuru mwenyezi mungu kwa kila jambo🙏wapo wengi wame tuacha ila kwa sisi tuliyopo hayi tuwa ombee wenzetu waliyo tanguliya bila kusahawu kujiombea na sisi 🙏🙏🙏AMINA
@sniperislam4547
13 күн бұрын
Inshallah
@Shahembreezy
15 күн бұрын
Haya wa kwanza leo mm 😂😂 naomba like Ang😢😅❤🎉
@GodblessMpenda
15 күн бұрын
Leo hakuna kuwapa WAKENYA like tafadhari 😂😂😂
@EsterEmmanuel-l5s
15 күн бұрын
😂😂
@nurumwinyi796
15 күн бұрын
Why?
@rizikladyherson8451
14 күн бұрын
Acha ubinafsi
@user-iv3yi2jq1l
15 күн бұрын
Wa kwanzaaaaaaaaaaaaa 🇨🇩🇨🇩
@chusseboywcb2808
15 күн бұрын
Hua sifatilii muve lakini hii nafatilia paka mwisho🎉🎉🎉🎉❤❤😂😂asaka ndenge asakamoko zinga kiboko😂😂😂😂
@OMMYGUNJO-if3gg
14 күн бұрын
Yaan sikuhizi imepooza Sana tofauti na mwanzo hamna matukio alafu mnachelewesha nn shida
@nurusaid4698
15 күн бұрын
Yani Mkofanya Yote Ila Mungemuacha Chaupele Amalize Hii Move Nilimpenda Bure Cjapenda Eti Kumezwa Na Nyoka
@vee4296
14 күн бұрын
Mimi pia nimechukia
@rogynee8135
14 күн бұрын
Tupo wote 😢
@martinmunywoki
14 күн бұрын
Imeudhi Wanafanya matukio mengine yasiwe na umuhimu wowote kujenga ploti kuu.
@mohammedkidody5618
14 күн бұрын
Ata na mm pia😢
@seifkhamis2840
12 күн бұрын
Upuuz t
@ShamsiKaim
15 күн бұрын
Kali sana
@Peter-comedy
15 күн бұрын
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
@AmilyKahomi-i6v
15 күн бұрын
Wakwanza hapa🎉
@Peter-comedy
15 күн бұрын
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
@abdulrazackmafugalo4933
15 күн бұрын
hey hii noma kibara ananifanya kuìpenda filam na mwenzie kikono like zenu
@mustafampande173
15 күн бұрын
ila Tanu 🙌🙌
@JamilahMusavi
15 күн бұрын
Leo mm wa Kwanzaa wapi likes zangu
@laurentharuna8671
15 күн бұрын
Umeweza mzee baba hongera
@PurieMakena
15 күн бұрын
Wa kwanza leo nipeeni likes from Kenya 🇰🇪❤❤
@meninafilmstz
15 күн бұрын
Visa series imetoka kzitem.info/news/bejne/1KaqqpiFe6ucdmksi=bhurBsZK5ryjz3ms
@PatrickKimaro-do3lj
15 күн бұрын
huyu tanu anamaliza mmoja baada ya mwingine hata huyo mlinzi aliechukua nafasi ya kapela yuko hatalini kuuwawa
@Bombwejr18
13 күн бұрын
Hii series Tanu analeta mvurugano ila mwanangu Chaupele kwann amezwe na joka ila mkimuondoa VILA hii movie mtanikera kabisa mganga mtaalam kabisa 😂😂🙌🙌
@JullianaEmmanuel-tm5xg
15 күн бұрын
Clam vevo ww n hatar sanaaaah, Mungu azd kkpa malifa Mara dufu.
@BarlosinChidy-i7f
15 күн бұрын
Kila mtu kawai kila mtu wakwanza ila kutoa maon kuusu ii movies anhaa😂😂
@harmomzaga8728
15 күн бұрын
wa kwanza kuview toka Kenya...si mnipee likes jameni😂❤
@fatmamohammed8346
15 күн бұрын
jammaniiiiii daaaaaah kazi bombaaaaa🎉🎉🎉🎉
@KarbandikaPromax
15 күн бұрын
Bozoo bebisa langue nabiso te boyebi oh Solango te botika lingala ezali yabino te c'est pour nous les congolais 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@canzilatanziro
15 күн бұрын
Can from Msumbiji Mozambique naomba like zenu
@IrangezaYaga
15 күн бұрын
My Team Clam and Kakoso salute nyie wote kwafilam nzulii sana uuuuu
@MaryKariuki-qw7oh
15 күн бұрын
All the way from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤❤ GEN Z nipewe zangu
@eggysulle7988
12 күн бұрын
Jmn tutammis Mwasi khaaa!kakoso kukumis n ww duuu!Tanu saasaa jmn😂😂😂namkubal sana chief Faume 🔥🔥🔥💯👌
@Blacksontigre25
14 күн бұрын
Ongera sana vevo
@dainesmsagala8588
15 күн бұрын
Dakika kumi tu watu washakuwa 400 na kidogo duh😂😂 nyie watu nimewashindwa
@Alimekatizii
15 күн бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza naombeni likes za kutosha 😂😂😂
@AnitaVictor-nb3oh
15 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉 from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@JeanLunda-nv5fd
14 күн бұрын
Nakukubali Sana kutokea Congo 🇨🇩🔥🇨🇩
@_Wayiva_mukuta_jean
14 күн бұрын
Clam vevo bingwa wa bingwa ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@saimelody5844
15 күн бұрын
Chaupele 😢atleast angetumia ungo kupaaa nyoka hatambai angani😂😂 snake boy kila uchao moto kakoso is back
@cristaezekiel1036
15 күн бұрын
Yaniiiii 😢😢😢😢
@rizikladyherson8451
14 күн бұрын
What about mwasi
@saimelody5844
14 күн бұрын
@@rizikladyherson8451 ndio hivyo kashasahaulika kakoso karudi katika nafasi yake
@gidenprotz
15 күн бұрын
Nimewai leo like zangu kutoka congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Peter-comedy
15 күн бұрын
youtube.com/@peter-comedy?si=DRgvTsQDe8MmH401
@BarlosinChidy-i7f
15 күн бұрын
Movies Iko poa sana ila anachokosea ili tangazo kuliweka katikati ya movi kwann asiwek mwanzo
@ruuspicyasmr1694
15 күн бұрын
Nikweli angeeka tuu mwisho na mwanzo tuu
@mohammedkidody5618
14 күн бұрын
Kweli bora angeweka mwisho
@BarlosinChidy-i7f
11 күн бұрын
@@mohammedkidody5618 yeah
@AgreyAckim-pt3wv
11 күн бұрын
Yesuu yuaja kumlipa Kila mtu ujiraa wakee sawasawa na matendo yake OKOKA NDUGU
Пікірлер: 2,1 М.