Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ya wilaya ya chalinze Mhe. Ramadhani Posi akizungumizia umuhimu wa kushiriki katika kampeni ya kitaifa ya MTU NI AFYA pia amesema katika soko la bwilingu wamefanikiwa kujenga choo chenye matundu zaidi ya 36.
FANYA KWELI, USIBAKI NYUMA
MTU NI AFYA
#mtuniafya #wizarayaafya #fanyakweli #projectclear #usibakinyuma
Негізгі бет Soko la bwilingu wamefanikiwa kujenga choo chenye matundu zaidi ya thelathini na sita
Пікірлер