Kama unaamini mwanri ni zaidi ya Bashite sema fire🔥🔥🔥🔥
@mwamvuajumanne6090
4 жыл бұрын
Salehe Innocent fire
@joeljulius6389
4 жыл бұрын
Salehe Innocent amnaa
@watakaniitaje1215
4 жыл бұрын
Usimfananishe Mwanri na vitu vya ajabu jamani
@braitonandrew8598
2 жыл бұрын
Fire
@paullaurent5200
4 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@edwardmachumu2440
4 ай бұрын
Dah huyu mwamba hachoshi kumtazama 😛😛😁😁 saivi 2024 mwezi wa 4
@mr.salmini3384
5 жыл бұрын
😂😁😀😁😂embu eleza ulivyomgombeza.... Kama hujacheka unayako😁😀😁😂😂
@janethjustin5256
5 жыл бұрын
Kwakweli nimecheka mno😀😀😀😁😁😁
@davidmkwizu25
5 жыл бұрын
Yani nimecheka kuliko kawaida
@sulleysidey2844
5 жыл бұрын
Kabla ya kueleza lazima ucheke kwanza
@yohanamasombe1267
4 жыл бұрын
😁🤗
@factsandmemesandfunnyjokes
4 жыл бұрын
NJUGO MCHUNJUGO nimekusoma sana
@abumusabmusab3771
4 жыл бұрын
Km umesikia " eleza ulivyowagombez gonga like
@heraldloshi1864
3 жыл бұрын
😂😂😂
@peterpain5594
5 жыл бұрын
Aise kama unaona uyu jamaa anafaa kupewa uraisi wa jamuhuri ya muungano wa TANZANIA gonga like
@husseinzaidi788
5 жыл бұрын
kabisa
@d.a.t3383
5 жыл бұрын
Unafikiri uraisi ni rundika ndani tuuu weeeee kuna multipurpose issues u need to be aware of
@athumanomary1438
5 жыл бұрын
Asante san kiongozi wetu kwa umakini wako kwa mari za uma mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@dutchsafari7562
5 жыл бұрын
Ulimgombeza Ulimgombeza ebu Eleza ulivyomgombeza msiniangalie kwa hurumaaa mimi nabeba dhamana hapa.. Mbona una ni itikia kinyongee ... Namkae chonjo ....twende hukuuu..twende kwenye maji hahahhaha role model wangu huyu kabisa
@edsonmunuo7112
5 жыл бұрын
sure ananitoa stress saana mheshimiwa
@rehmadamian8020
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan stress zote zinaisha
@d.a.t3383
5 жыл бұрын
Umesahau machooo yko wapi
@imamuhemedi4387
4 жыл бұрын
Dutch tz
@allenmrema2919
5 жыл бұрын
dah! hii serikali ni ya washujaa tofauti na ya nyuma kabisa, congratulation Pdt MAGUFULI
@faidamasegenghe3379
5 жыл бұрын
Umeonaee kila mtumishi anasimamia kaz yake
@efelimwambije708
5 жыл бұрын
Njoo mbeya mkuuu utandaji wako uko vizuri sana.... Hongeraaa mkuuu
@bilaliadam6015
9 ай бұрын
Once a leader always a leader #Aggrey_mwanry
@HamisZuber-n5z
24 күн бұрын
😂😂❤❤ Kiongozi bora matendo, mungu, akupe maisha malefu,
@emmanuelmganga6248
2 жыл бұрын
Huyu mwamba yupo vizuri anafaa kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania huyu ni kama JPM kabsa hongera kwa kazi zako nzuri huhurumii mtu anapofanya kazi kinyume na maelekezo au kinyume na raman ya kazi pongezi Sana mkuu wa mkoa wa tabora
@dr.erickjmazyala8905
5 жыл бұрын
msiniangalie kwa huruma …mimi nabeba dhamanaaah! Piga kazi mkuu wangu wa mkoa mpaka wakuelewe hao!
@big-h-official
4 жыл бұрын
I always sweat when I listen to this guy mwanri
@amarido12
5 жыл бұрын
Inatakiwa Mtu akiiangalia hospitali aseme hapa ntapona, sio mtu akiangalia majengo tu anajiuliza hapa ntapona kweli 😂😂😂😂
@agastynelucacmshoro1519
5 жыл бұрын
hahahahahaah ilbid nirudie nmckie vizur
@imeldabamba3779
4 жыл бұрын
😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃Rido
@serianjamal8254
4 жыл бұрын
Hahahahaha nimecheka mpaka hoi
@noahmwakatoga3711
Жыл бұрын
Jamani Uyu MZEEE Namkubari Sana
@omarymamaa7595
4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa tabora ni mfano wa kuigwa huyu ni magufuli wa tabora big up sana
@mtungifrance4228
5 жыл бұрын
Ukivuka salama na hyu mzee baba bac popote ww utafanya kazi!!
@mosahemagarya4807
5 жыл бұрын
Mtungi France
@robsonalen4011
5 жыл бұрын
Hahaha hahaha hahaha
@davidmkwizu25
5 жыл бұрын
Aaaah kabisa mzazi..
@subiradalabu6616
4 жыл бұрын
atariiii😀😀😀
@princemujuni9803
5 жыл бұрын
Mimi huyu mkuu wa mkoa naamin yupo hata kwenye awamu ijayo aisee.
@dainesigebo7019
5 жыл бұрын
Asante mkuu wa mkowa nimecheka sana 😥😥😥😥😥
@charlesmushi2305
5 жыл бұрын
Ebu eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂
@baragatimaingu5623
5 жыл бұрын
Mungu akutunzeee Baba....
@annaniasbyarugaba5788
5 жыл бұрын
Hyu mkuu wa mkoa anabidi apelekwe Dar kusimamia miradi, sio Makonda. Mh Raisi naomba asikilize hili wazo langu
@bahattumainitishasana4768
4 жыл бұрын
Nice
@peterkingili5305
5 жыл бұрын
Jmn mm nyumbani tabora lkn huyu RC kiboko ya mabishooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 angaria naefanania weka ndani #kanyaga wote
@ismailmashimba3470
5 жыл бұрын
Muheshimiwa RC hao no kuwachota na kuwasukuma ndani
@reganngoo8571
5 жыл бұрын
Kama anafanania wote sukuma ndani watajua uko ndani
@fidelistitus5775
5 жыл бұрын
Mkuu nakushauri ukiwa unatembelea katika site ambazo bado zinaendelea na construction uwe unavaa helmet kwa usalama wa kichwa chako! Ni ushauri tu!
@charlesboniphace2343
5 жыл бұрын
Ushauri mzuri sana ndugu,me nafikiri engineer ndo angetakiwa kumpa muongozo kuhusu uvaaji wa helmet
@fidelistitus5775
5 жыл бұрын
@@charlesboniphace2343 labda wanaogopa maana huyu mzee ana beat la nguvu
@yusuphsimon8151
5 жыл бұрын
Anhaaa we jamaaaa
@d.a.t3383
5 жыл бұрын
Engineer mwenyewe hajavaa kiu salama lakini alimgombezajeeee utacheka sana eti nilimgombeza nikamwambia..... Mhhh ss na yy agombezwe kwa kutovaa hvs helmets boots rundika ndani nikosa kubwa kama makosa mengine tuu
@poulsaid3915
4 жыл бұрын
Hahahahahah
@evaristerelias7373
5 жыл бұрын
Kaka Millard habar zako ziwekee tarehe bas
@vincentauxerbius7554
5 жыл бұрын
Ebu eleza ulivyomgombeza hahahahhahahahhahaha.......huyu Mzee hapana......kazi nzuri mkuu wa tabora
@wachugypsumtz5089
4 жыл бұрын
Kama na wewe upenda utendaji kazi wa RC huyu kama mimi gonga like tujuane😀😀😀😀Ulimgombeza .. 😀😀😀
@brayo001
5 жыл бұрын
Huyu bwana mtupe sisi wakenya tumpe Mombasa County aisimamie
@rubondopharmacy
5 жыл бұрын
Lipieni tu tutawapa
@freddymello3227
5 жыл бұрын
brian lawrence ,Andikeni barua ya maombi tutawapa!!huyu hata uraisi anafaa sana!!
@justinwakudat6792
5 жыл бұрын
Mchukuen tu hamna shida
@ayubusaiba7972
4 жыл бұрын
daaah mzee noma acha like yako twende sawa
@simbavevo7318
5 жыл бұрын
Tukiwapata viongozi kama hawa 100 tu tanzania basi tutakuwa mbali
@renatusmisigaro6332
5 жыл бұрын
Nimependa namna engineer anavyo gombeza nataman aje anigombeze na mm!!
@emmanuellisso4346
5 жыл бұрын
😂😂😂 shenzi sana mtoto ww,ety aje akugombeze
@naamohamed9964
4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@raheemamkambha6013
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣we nyau kweli🤣
@gracesongelael631
4 жыл бұрын
Hahahaaaaaa unatamani kugombezwa na wewe 😂😂😂😂
@mariamismail9878
4 жыл бұрын
Renatus Misigaro nice
@gigotz1755
5 жыл бұрын
Eleza ulivyo mgombeza
@bigowillythomaskayanda7763
5 жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti aisee.
@charlessteer4906
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@franciscogosbert9603
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mossymtwana6422
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saidseif7469
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 dah sio mchezo n hatar.
@ashaally6993
5 жыл бұрын
😂😂😂😂 Eti eleza ulivyomgombeza😂😂😂😂😂
@hesaujames589
5 жыл бұрын
Huyu mzee sometime anamaswali yakisenge kisenge
@charlesryoba7499
5 жыл бұрын
Mama yuko vizuri kama kakumbuka alivomgombeza safi sana mama
@Nesphore1
5 жыл бұрын
Kama Wakenya WANGEKUA Na RC kama hawa kumi, sai tungekua mbali sana.
@JophasJohn-oh8zu
5 ай бұрын
Nchi yenu ya Kenya ni tajiri sana ila wizi ndo mwingi yaani pesa inaingia mifuko ya watu wachache najivunia kuwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Пікірлер: 501