Imani na nguvu za mungu umueka mtu huru,asante sana babu kidume cha kijiji pamoja na mjukuu wako Rita.
@helghibrealfanelatifoalfan6111
9 ай бұрын
Me Biba e a Asma são melhores actores,sou moçambicano de cabo delgado,mas sou fã desses tanzanianos, ou melhor,sou fã desses actores tanzanianos, meus parabéns.
@wickliffebulemi3163
2 ай бұрын
Asante Kwa kuokoka mzee kindume
@neymamtatiro6879
3 жыл бұрын
Mazingira yak pow so ile bit ndiy inabow I'll mpo vizuri
@chidifroo7869
2 жыл бұрын
Muko godi kabisa dah na mm ninaweza kupata nafasi ya kujiunga na kikundi hicho Mana na mm najuwa kuigiza
@mwashambakipanga4528
2 жыл бұрын
Mariam unaweza udugu Wang mungu akubariki katika kazi yako
@chidifroo7869
2 жыл бұрын
Na mm naomben nafasi ya kuigiza
@aminamuyinga2313
2 жыл бұрын
Daar asanten kwa move nzur mungu awasaidie
@jumakavula.896
Жыл бұрын
Kuna mafunzo meng sana ndan ya filam hii, hongeren sana.
@biommy6700
3 жыл бұрын
Pwahahaaa Ati ndizi na maparachichi aah wee Mzee weee nimecheka yangu yote
@valestwolo7776
Жыл бұрын
Sina uhakika ila kama huku sio kwetu sambaani lushoto ni bahat sana kunu naghamba ni lushoto du hata muemee
@m.mmarckus6298
3 жыл бұрын
Kaaaaaaa babu noma eti nimalizie naww
@wickliffebulemi3163
2 ай бұрын
Kwa ni huyu mzee ana madawa ya kushawishi wasichana simuelewi
@FadhilikifuntaFadhilikifunta
8 ай бұрын
Muve Zur San + Lushoto hiy
@suleimanibrahimndoro8099
2 жыл бұрын
Nimempenda sana huyu binti Asma na binti Ngoma
@fikirijuma9530
2 жыл бұрын
Mhhhh
@alexkelvin1690
Жыл бұрын
Ila movie Kama hizi huwa sipendi mnavyokata sauti
@samwelnyamhanga2265
3 жыл бұрын
Ninacho kishangaa kuna maneno mengine hayasikiki nasikia biti 2
@alexkelvin1690
Жыл бұрын
MUNGU aibariki kazi ya mikono yenu.
@ayushjhay4361
2 жыл бұрын
ndizi na maparachichi😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮 jaman huyu bàbu100%
@user-cl9hg3uc8e
9 ай бұрын
Yaan movie zote saut tatizo mnanini lakin
@rahmar3564
3 жыл бұрын
😂😂😂😂Asifunge məkanda ama zipu duuuh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kime umana duuh🤭🤭🤭🤭
@rahmar3564
3 жыл бұрын
Tena akome akomaeeh kweli🤣🤣🤣🤣🤣aende kwa mama yake😁😁😁
@jyohana0059
2 жыл бұрын
Munaigiza fresh lakini maelezo malefu mno Hadi tunachoka kusubilia
@mtabiriwanyotasheikhadinan2574
2 жыл бұрын
Mazingira ya lushoto vijijini
@mwanamisirama1836
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 babuu umevunja rekodi aky
@jeromekalumbwa4246
Жыл бұрын
YANAGUSA KWELI HAYO
@petermagumba4440
9 ай бұрын
Waigizaji Msipende kuiga vitu ambavyo haviendani na hitajio la Tamthilia....Nini Maana ya kuto sauti.....wenzenu hufanya kwa kipande kifupi sana cha sekunde...na mana yake utaipata mbele....nyie heeee...??!!!!!
@mazruyonlinetv2423
Жыл бұрын
Wabongo tunatakiwa tutumie akili zaid juu ya tunachokifanya,mm nadhani maana mchezo kwa muangaliaji ni mazungumzo na wala sio mziki,hivi lini waigizaji wetu mutaweza kuishawishi dunia ili tujivunie cha kwetu kuwa ni bora?
@user-eg1vz8ry5q
9 ай бұрын
Sasa move gani hii inaanza hata sauti haipo nn mbaya na nyinyi kila mara ndoo hivoshida haswa ni nn?
@aderajanuary2526
2 жыл бұрын
Noma san
@hovsback1405
2 жыл бұрын
Movie smart sana napenda kufatilia hii team inavyo act,, wanaact vizuri sana na kimaisha halisia ya sasa. Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@braisonmangula7270
Жыл бұрын
Ry5y
@omarmkali3610
3 жыл бұрын
Mko vzuri aise
@zalhahmustaph7219
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣et ndiz na marachichi
@zalhahmustaph7219
2 жыл бұрын
Mtu na babu yake wakutan
@rahabmashud6619
Жыл бұрын
Sauti jameni hakuna
@user-eg1vz8ry5q
9 ай бұрын
Hata mmezidi ayiii kila mara ni sauti hakuna hamjui SS tuna follow move??
@hajiabdalla5772
3 жыл бұрын
Mchukuwaaji shooting hodar .rangi sauti balance .
@nelsonmtunguja1918
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@fettyharoun1333
3 жыл бұрын
Kwetu kaya😂👌
@kimarokimaro925
2 жыл бұрын
Kimarosafisana
@ashasoud5890
2 жыл бұрын
Mov zenu nimzuri hata mazinhira yake ya kijijini ikop
Пікірлер: 62