Putin anajua kingereza vizuri sana ila sio mtumiaji sana wa kingereza kwa nini? WENZETU wanajali sana lugha zao
@zaexplore
22 күн бұрын
putin anazungumza english german tena vizr sana maan ameish german maish mingi than kirud ndo lugha yake
@aishaalbalushaishabalush8291
22 күн бұрын
kwa sababu sio rimbukeni 😂😂😂
@FahadAbubakari
22 күн бұрын
Wenzetu wanajali mnoo lugha zao ndo maana hata Leo uende ulaya nje ya uingereza kila mtu anaongea lugha yake kuongea lugha ya mwenzio ni utumwa sisi bado tu malimbukeni hatujipendi wala hatupendi vyakwetu na akili za ukaragosi ndo maana tunaganda vya kwetu
@FahadAbubakari
22 күн бұрын
Sa we Leo bila aibu Kuna nchi kibao za kiafrika zinajisifu lugha zao za taifa ni kiingereza, kifaransa au kireno , angali Wanalugha zao za asili
@deniccgabriel6153
22 күн бұрын
Ukizungumza na Putin nisawa umeongea na walusi walioko urusi
@allykwaya
22 күн бұрын
11:42 Dr Tulia kapata bahati sana kukaa meza 1 na Raisi halisi wa Dunia ya
@dullahabdallah-nu1py
22 күн бұрын
Hakuna haki sawa
@PUTINN365
22 күн бұрын
Ushakuwa shoga@@dullahabdallah-nu1py
@GraceMashinga-be9wb
22 күн бұрын
Kabisa
@festohaule9716
22 күн бұрын
Asante na hongera sana...Spika wetu jifunze uzarendo.. na waulinze Russia bandari zao wamempa nani!!!! Russia wanalinda Rasilimali zao Kwa nguvu kubwa sana!!!!
@shijandobehe4953
22 күн бұрын
Point kabsa
@lovisfrederick3629
21 күн бұрын
Safi💪
@Vwanaman
19 күн бұрын
Duh we ni master mind
@JuliusKiria-j7i
22 күн бұрын
Hapo mnajitahidi kutuhabarisha kwa wakati mkifanya hvy mtapata wa fuasi wengi zaidii
@user-it7ih1it3m
22 күн бұрын
Kweli maana taarifa ni ya jana
@worldhappiness1181
22 күн бұрын
Sio rahis kukaa meza moja na Putin, it needs a heart of lion to speak with. Hongera kwa Madamee
@sarahmuhammed6872
22 күн бұрын
Huyo put in,ni mchafuzi wa dunia,vita kila pande ,yeye na ISRAEL
@evaristmbuya6220
22 күн бұрын
Putin yupo makini sana 😊
@evaristmbuya6220
22 күн бұрын
Kwa vyovyote vile lazima Ukraine isalimu amri au iwe majivu
@issandule1750
22 күн бұрын
Nafasi yake ndiyo imempa hiyo nafas ya kukutana na wakuu wa dunia
@aboudasilver6541
22 күн бұрын
Mama Anacheo kikubwa sana Mainshaallah
@mohamedturanardan8871
22 күн бұрын
Ma Sha ALLAAH?
@cath-ef7wd
22 күн бұрын
Our future presidee
@amourmbarouk1568
22 күн бұрын
Mheshimiwa Tulia, shukran kuwakilisha Tanzania na watanzania
@atupelemwasambili4476
22 күн бұрын
Bravo madam speaker
@Maryc2G
22 күн бұрын
Nashukuru sana Dr Tulia kwa kazi nzuri ya kudumisha Amani Duniani.👏🏽
@jumamayonga8914
22 күн бұрын
Tanzania oyeee✋✋
@dullahabdallah-nu1py
22 күн бұрын
Tanzania wanazungumza lugha gani kabla ya oyee
@ImaiJuna
21 күн бұрын
Oyee ya nini sasa
@user-sr8tc8ke6q
22 күн бұрын
Tulia kwani kasomea wapi na mimi nimpeleke mwanangu,🔥🔥🔥
@user-ri5ks4zs4n
22 күн бұрын
Waombee watoto wako kwa Mungu awabariki Mungu ndie uinua watu hallelujah
@mlelwatv5831
22 күн бұрын
Utuletee huyu putin Serengeti tulia 🎉🎉❤
@fidelfidel-jz4iw
22 күн бұрын
Hongera sanaa maadam speaker una muhimu sanaa ktk hili .
@HassanToboke
17 күн бұрын
Thek you tulia akson
@user-wc3hn4kt1x
22 күн бұрын
Yaani daa kila nikifikiria Combination safi ambayo ingekuwepo kati Tanzania na Urusi kama HAYATI Rais Magufuli angekuwepo daaa!!!!. Tanzania tungekuwa mbali sana. Mungu aendelee kumpa ujasiri Mheshimiwa Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA
@allykwaya
22 күн бұрын
Nikweli kabisa.
@Hussein-gx4qu
22 күн бұрын
Kasim majaliwa wa mama Samia mlea wezi kama mama Samia mwenyewe
@mejamiela7436
22 күн бұрын
Sana
@mejamiela7436
22 күн бұрын
@Hussein-gx4qu kweli kbs
@user-wc3hn4kt1x
22 күн бұрын
@@Hussein-gx4qu wewe hauelewi. Akikamata watu nakuwafukuza kazi. Kesho yake wanarudishwa na Mkubwa. Unategemea nini?
@gosbertireneus5558
22 күн бұрын
kukaa meza moja na Putin wakati huu ni sawa na kuongea na dunia nzima...
@BrotherR9
22 күн бұрын
Mwamba vladmir Putin live long
@user-pd5hl9di2q
22 күн бұрын
Hongera sana Dr Tulia
@josephjohn1143
22 күн бұрын
Spiker Tulia, ni sehemu Product ya Magufuri , katika uongoizi ❤ Tanzania 🇹🇿
@KudraWanguvu-em1xw
21 күн бұрын
Ni kiwete ndio alie mteuwa kwa mara ya kwanza tunajivunia chetu anawasilisha African na tz
@abcelectricalsolutions7000
21 күн бұрын
Tulia ametulia kweli ni mwanamke makini sana. Nafurahi kuona mtanzania anakwenda kusuruhisha migogoro worldwide ni heshima kubwa kwa nchi yetu.
@faridmnyamike556
22 күн бұрын
Very Articulated Hon. Dr. Tulia Akson, you really deserve the Presidency of IPU, am very proud of You Madam Speaker and President of IPU.
@josephmwinyi
22 күн бұрын
Hongera sana Madam speaker
@rejobu9723
19 күн бұрын
Ukweli usemwa hapa tanzania 🇹🇿 imetumia akili kubwa sana hongera kwako madame spiker
@19ddr
21 күн бұрын
Nafasi kubwa sn umeipata dada Tulia
@hubman6780
22 күн бұрын
Hongera sana madam speaker.Naamini mama anatakiwa akutane na huyu mwamba
@Machozihussen-er8cp
22 күн бұрын
Congratulations, umeongea kiingereza kizuri na sauti nzuri( lafidhi) nimekuelewa mzalendo mwenzako
@aidanikasembe8191
22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@kibwetere1418
22 күн бұрын
Huyu Tulia anaonekana ana kitu kikubwa ndani yake aungwe mkono
@onesmomwakasege5215
22 күн бұрын
Tanzania tumepiga atua Kubwa hongera Sana spika wa Dunia ingekuwa powa sana ungepiga kinyaqusa kidogo
@papaamasauti1973
22 күн бұрын
WAKENYA mnasema hatujui kiengereza hapa Dr Tulia anaongea kiRussi
@kassimbayuu5217
22 күн бұрын
Kazi nzuri sna
@jevanallan802
22 күн бұрын
Moja kati ya kazi yako ni kutafsiri kwa kiswahili bwana mwandishi
@allykwaya
22 күн бұрын
Nashangaa anatupa kazi 2,
@user-tb8gi3ut5z
22 күн бұрын
Hongera sana spika wetu kwa kuongea na raisi wa dunia ambaye tunamwamini sana mtata wa dunia tunataka watu kama Vladimir Putin
@user-ju4md1yq6o
21 күн бұрын
Dr tulia ❤
@aboudasilver6541
22 күн бұрын
Mainshaallah
@user-sr8tc8ke6q
22 күн бұрын
Tulia ongea kidogo bwana mwenzio ana KIKAO NA MABOMU
@Abdillahjuma-u2q
22 күн бұрын
wee vp imagine ww unakutana Mama samia tu unaongeaje kdg
@JohnDonard-u9h
20 күн бұрын
😂😂😂
@kingsniper9769
21 күн бұрын
❤
@vladimirputn1809
22 күн бұрын
Sasa nimeanza kukupenda tulia 🌺🌺
@wamsifunimweta
22 күн бұрын
Ingependeza Sana Tulia Ackson angeongea kiswahili nayeye kujivunia lugha yake
@user-vi7ly9zh1q
22 күн бұрын
Sasa kwann nayeye asiongee kiswahili 😂😂
@muddyso1953
22 күн бұрын
Kweli kabisa na nimekuelewa saana Mwenyezi Mungu atujalie tusimamie vyakwetu tujivunie kila kitu chetu maana hata lugha yetu ametujalia Mwenyezi Mungu kwanini tuikatae!
@LastdayJesu4153
22 күн бұрын
Yeye ni Rais hapo wa mabunge duniani awakilishi Bongo tu ..mnafeli
@davidanselmo4041
22 күн бұрын
@@LastdayJesu4153 Ndugu zetu wanadhani ni kiswahili tu 😂😁
@sharifahabsi5004
22 күн бұрын
Mashaallah 🎉
@AdamAmos-rr6fg
22 күн бұрын
Nayeye angeongia kiswahili amefeli hapo
@Mumewangu
22 күн бұрын
Sio lazima
@MendezyMendezy
22 күн бұрын
Hpo kaenda kma mwenyekiti wa bunge kidunia
@emmanuelmtalis1590
22 күн бұрын
@@MendezyMendezykweli
@khlafanmwassa
22 күн бұрын
Huu ndio upumbavu wa Waafrika, Mwafrika anaona akiongea kiingereza ndio ataonekana kasoma kumbe ni ufala
@rumdeesonsoa1811
22 күн бұрын
Huyo anaetafisri anajua Kiswahili?
@JumanneissaK
18 күн бұрын
🖐️🤚
@AFRICA_D669
22 күн бұрын
Madam tulia tunakuomba utuwakilishe, iambie selikali ya cremlin ,Tanzania kuna vijana wengi tuna nia yakuja urusi kuipigania kwa maslahi ya mataifa mawili na dunia kwa ujumla ila hatuna muwakilishi tunakutegemea wewe kulingana na hyo atua uliyo ichukua 🙏
@allykwaya
22 күн бұрын
Wazo zuri sana, Dunia ya Haki na Usawa
@AFRICA_D669
21 күн бұрын
@@allykwaya haswaaaa
@rejobu9723
19 күн бұрын
Mwenzako anaisha utaifa wake wewe umeg'ang'ana na lughu zawatu piga kiswahili hapo 🎉🎉
@GraceMashinga-be9wb
22 күн бұрын
This is to big big up tz
@emmanuelfari8924
22 күн бұрын
UBARIKIWE na kutunzwa sana dada Tulia YOHANA 14:14🙏🤝
@dullahabdallah-nu1py
22 күн бұрын
Acha kuchanganya dini na serikali,amka
@kelvinmboya5846
22 күн бұрын
Good work 👍,
@zuwenarajab6675
22 күн бұрын
Natamani nchi zote za Afrika zijiunge Brics.
@nicksonmusa3457
22 күн бұрын
Dj sma najua utatufafanuliaa hii kitu naona kuna kitu hakipo sawaa
@dullahabdallah-nu1py
22 күн бұрын
Utumwa maombolewo ndio unatumaliza,
@jumamasele5793
22 күн бұрын
Hata mm nimeona kuna kitu hakipo saw
@chusseboywcb2808
21 күн бұрын
🙏🙏🙏💪💪💪
@juliusdonard933
22 күн бұрын
Congratulations our head of parliament , m nataman kukutana na putin ila sna uwezo
@SalumSalim-ss5me
22 күн бұрын
Mashallah
@wasswapatrick1063
21 күн бұрын
Hii hatua nzur ya kujiunga bric's+
@shaabanramadhan6770
18 күн бұрын
Huu ndo utofauti kati ya mzungu namuafrika sisi bado tumebaba bendera ya kitumwa lkn pia nakupongeza dr tulia
@Mpapyrizy
21 күн бұрын
I wish Angekuepo mzee 😢
@SamSamwel-p2z
22 күн бұрын
Tanzania🎉🎉🎉
@user-xp6xw8fy8o
22 күн бұрын
We need logical things that will bring about change in Africa, not looking for a solution in Ukraine, Volrdimir Zelenky, the mayor of Ukraine, how he and his Americans are talking about our relationship with Russia.
@Josmedard
22 күн бұрын
👏👏👏👏
@SamsonEzekiel-or9xc
21 күн бұрын
Mhhhhhhhhhhh
@ZainabuBakari-yb4vj
22 күн бұрын
Sina shaka na spika wangu,luga ipo
@josephntungiye6232
22 күн бұрын
Lugha gani ushamba tuu! Kwani unazani putin hajui kingereza?
@bakarmsangimsangi7757
21 күн бұрын
kujichoreshaa tuu wakati Africa tuna mengii yanatusumbuaa mmeshindwaa kuyatatua mnadilii na putin mtuu mzito tujadili yakwetu umeme tanesco wanakata kila siku nini tatizo maandamano #kenyas nini ufumbuzi #kongoo nini chakusaidiaa au tunakulana wenyeweee😢😢😢😢
@allykwaya
22 күн бұрын
BRICKS. NEW CROSS AND POWERPOINT OF NEW WORLD.
@michaelchunser734
19 күн бұрын
Lugha yetu pia ni vyema ikatumika kimataifa kwa kuitangaza sisi wenyewe kama wafanyavyo wengine
@omarmohammed5157
22 күн бұрын
Kuna haja ya kiongiz wa bunge wajifunze kupitia urus jinsi wanavoongoza bunge, na mambo ya muungano jinsi inavofanyika sio ile mchanga na mchanga halaf tukapigwa za kichwa
@mohamedmzeemohammed3739
22 күн бұрын
❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@SamsonEzekiel-or9xc
21 күн бұрын
Tulia na Duniani hatariiiiiii
@NimClassic360
22 күн бұрын
First
@Brunotarimo10
22 күн бұрын
Msisahau kuifuatilia crown media pendwa zaidi tz
@chikusangalala7759
21 күн бұрын
Hapo puti anamuogopa doctor Tulia body language yake inazungumza
@thebmcblackmiccatcher3949
20 күн бұрын
Hii DJ SMA aitafsir vizuri, tumsikie Putin anamwambia nini shangazi yetu, shangaz tumemsikia kawakilisha VYEMA SAWA SAWIA 😂😂😂
@MohamedyMsagati
22 күн бұрын
Moja ya vitu vinanikera ni wakuu wetu wa nchi kuongea kiingereza wanapokutana na viongozi wakubwa duniani halafu wanabaki kutusisitiza sisi tukuze lugha yetu ya kiswahili wakati wao ndo wanatakiwa wawe wa kwanza maana wanapata nafasi kubwa dunia inawatazama Kama mh spika hapo hiyo ndo ilikuwa nafasi kuitangaza lugha yetu
@akidashekue163
22 күн бұрын
BIDEN anamsikiliza ili andae vikwazo kwa nchi yenu
@joycelinelyimo-fenske8745
22 күн бұрын
Na yeye siku si nyingi atapigwa mkwala na Trump. Hakuna shida.
@simaikhatibu5280
17 күн бұрын
Kwa nn haya maongezi yasiwr kwa netanyau naeangamiza wanawake na vichanga
@PUTINN365
22 күн бұрын
Mama samia hapa nakukubali spika wetu nmekuelewa me ndo putin wa tanzania upo upande sahihi viva russia
@LucasRozi
21 күн бұрын
Wewe ongea kiswaili izo endi endi atuzielewi
@user-xi8cl2rx4f
22 күн бұрын
Inape ndeza
@user-kg9fn1ph9d
22 күн бұрын
Ila huyu mama eti wamezungumzia vita
@user-tb8gi3ut5z
22 күн бұрын
Natamani sana siku moja Africa tuwe na raisi mwenye msimamo na mwenye ubunifu mkubwa ktk nyanja zote sio kwenye vita tu bali Urusi imeendelea sana sana tujifunze kwake Vladimir Putin
@African511
22 күн бұрын
Afrika tunataka technologies kutoka kwa mrusi na siyo chakula na mambo mengine.
@jumashedafa
22 күн бұрын
Huyu ndiye mwenetu
@dullahabdallah-nu1py
22 күн бұрын
Sio kwa kimombo, wakati yeye Ni mtanzania
@jumashedafa
22 күн бұрын
@@dullahabdallah-nu1py si kumaanisha Tulia..Mie namaanisha Putin..Suala lugha lishaniumiza mno sasa nimechoka..Sisi tunathamin sana lugha za watu kulik kiswahili chetu huku tunajiita ndio waasisi na wapigania kiswahili kienee...Yan tunajiitwa tupo ktk harakati za kukuza kiswahili kienee hasa baran afrika na dunia kwa ujumla ukirud Tanzania..Shule, mahakama, mihadhara, midahalo na ktk baadhi ya sehem watu wanaongea kidhungu na wanaona ndio usomi..Hili lianze na Doktori Samia suluhu
@almasbakari5359
22 күн бұрын
Was a grate attempt to try to to advise Mr Putin in a good intentions but remember attained peace to him is still threatening. Fact to know that he is not ready to do that but he try to. Listening to you mam if you are also understand his situation,I’m not looking for violence just i just try to overlook indeep Pc
@thrivehappy9610
22 күн бұрын
Nawapongeza wa Tanzania Kwa kuonekana ulimwenguni katika kutafuta amani! basi nawaomba pia Tanzania kuungana na bara la (Asia) na kuachana kabisa na Us na (Europe) ikiwa tunataka kupiga Hatua za maendeleo!
@AjudeKaluwa-bp1zz
22 күн бұрын
Sns ninaierewa saana kwa habari zao huwa hawakurupuki wakikaa kimya najua wanakuja na ukweri tusio taarifa za kudandia
@hamudshabani7801
22 күн бұрын
Bado sijaona uzalendo wa tulia ikiwa hatekelezi utawala bora na utendaji haki ndani ya bunge
@deomajuva2432
22 күн бұрын
Angeongea kiswahili tu kwan lazn aongee ma bailatro bailatro bwana
@pacomezouzoua9175
22 күн бұрын
Hahahah Huyo nae anaongea na Putin nini hahahaha
@saadasalum6033
22 күн бұрын
nampongeza sana maadam spika wetu bi Tulia kwa uwakilishi, ila hapo naona kama katuangusha kidogo ilibid atumie lugha yetu ya kiswahili. Inabid tufike hatua tuanze kujivunia lugha yetu ili tuikuze na tuache kuendekeza lugha za wakoloni hasa pale tunapowakilisha nchi yetu na kwenye mambo yote ya msingi yanayohusu nchi yetu. hao warus kila sehem wakienda wanaongea lugha yao, wachina hivo hvo, wafaransa , wajerumani n,k na sisi Africa ni wakati sasa tuamke tusiendeleze ukoloni.
@issalyanali4119
21 күн бұрын
Ruto yeye anasemaje? Kwa hili alilofanya speaker wa bunge TZ
@mvullamanase
22 күн бұрын
Rasmi Tumeanza kuingia Duniani
@GabrielSky64
19 күн бұрын
Tukumbuke lakini hajaenda kama spike wa Tanzania kaenda kama spike wa bunge duniani
@user-pd5hl9di2q
22 күн бұрын
Tulia kasoma bongo hii ,Zanaki secondaty na University of Dar rsalaam elimu zilizofuatia ndizo kasoma nje ndiyo kasoma nje elimu yetu ni nzuri tu
@user-mh9hj3lx7q
22 күн бұрын
Kwani umekwenda rusia kufanya nini? Mnachezea pesa za walipakodi bure
@user-zh3cf5wk1k
22 күн бұрын
Putin anaona anacheleweshewa muda 2...
@paschalsafari9747
22 күн бұрын
😂😂😂😂 true
@saidfhamad
21 күн бұрын
😂😂😂😂 Muda wa nini au Vita 😂😂😂
@Africaamkenitznawenuso
22 күн бұрын
Labda viongozi wa tz mmeanza kujitambua hivi, ila msitetereke lazima msimame imara kama jpm magufuri mana hivi punde vikwazo vinakuja, manyang'au wanawasikiliza na wana waona. Uzuri rasia na china nikila kitu lkn watu hamjui tu.
@fadhilisule
22 күн бұрын
tulia vijana tupo tayal kuungana na purtin kumsambaratisha mharamia marekani usisahau kumwambia bingwa apo sawa
@Godfreyolekidongo
22 күн бұрын
Mbona Kama tunataka kuhusishwa kwenye migogoro ya mataifa mengine? Tukiwa kama waafrika hatuegemei upande wowoteule ijulikane hivo tu.
@king_maik6375
22 күн бұрын
Hapo ndo utajua kwamba wanaee penda kingereza ni washamba, mh. Putin anajua lugha 4 ikiwemo kingereza lkn hutoweza kuskia akiongea
@evancemichael5489
21 күн бұрын
Hawana cha kumuambia Putin Zaidi watataka kumshauri akubaliane na misimamo ya NATO na Marekani
@issalyanali4119
21 күн бұрын
Madam speaker akitoka Russia aingie north Korea,,,mwamba anamsubiri mapangi,,,😅
Пікірлер: 320