Wachambuzi wanachambua kiwango cha Yanga SC baada ya kuichapa Vital'O jumla ya mabao 10-0 na kufuzu hatua ya pili Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL huku Azam FC ikitupwa nje kwa jula ya mabao 2-1 na APR ya Rwanda.
Je, nini siri ya ubora wa Yanga kwenye michuano hiyo na nini kilichoikwamisha Azam FC???
Ndani ya Studio #BinZubeiry yuko na wanahabari Rashid Kejo, Nasongelya Kilyinga na Clerance Kunambi.
Hii ni #SportsAM kila Jumamosi na Jumapili saa 2:00 asubuhi LIVE #AzamSports1HD
Негізгі бет SPORTS AM: Ubora wa Yanga na kilichoikwamisha Azam FC Ligi ya Mabingwa Afrika (Uchambuzi)
Пікірлер: 2