Kazi ya jpm ndiyo tunaona matunda yake leo dah😢 R .I.p shujaaa wang
@kambamazig02024
7 ай бұрын
Mbona hatupandi hata miti na maua, inakuwa concrete jungle! Curb appeal na landscaping ni vitu vya muhimu, mimea hu-absorb radiant heat!
@barutiboniphace4335
4 ай бұрын
Mtangazaji mimi ni Defensive driving trainer na masuala ya barabarani pamoja safe trainer in General. Nimeona ulinyo kua unaingia kwenye LIFT uliweka MKONO ili LIFT itambue uwepo wako hiyo ni hatari sana sometimz lift inaweza ku misbehave isi sense ikafunga ukabanwa mkono harafu ikaanza kushuka au kupanda isee mkono umeenda. So tuwe makini sana na kwenye milango au lift kuzuiya kwa mkono very dangerous. Big up sana bro 🙏
@atenionesmo_A10
2 ай бұрын
asante kwa elimu ila nna swali kdogo hapa kwan namna nzur ni ip ya kuingia
@praygodmunisi8999
6 ай бұрын
Broh @snash Kuna kitu umesahau hapo toilet,kuhusu huo mstari wa njano chini .. Yaani hiyo alama ya njano chini iliyoingia na toilet nikwaajili ya watu wenye ulemavu wakuona (vipofu).. Yaani inaalama maalumu ambayo kipofu akaifika tu akiikanyaga anajua maana yake ninini, kwahiyo anaifuata kwakutembea Juu yake na itamfikisha Hadi toilet🤝🤝🔥
@SuzyFkajjsis
Ай бұрын
huyu kaka ni mtangazaji wa kutika Chanel gan au kituo gani charedio! Mbona kama anafaa Sana kwa jazi hiyo namuonaga, akitangaza electronic kama tv, radio, fruit na vingine vingi
@mosesfrancois752
7 ай бұрын
Sijashangaa Steshenie... huyu host anafaa sana , ata asiejua sentamisungwi uko anamuelewa kwa wepesi
@hastatz
7 ай бұрын
Mama samia hahusiki hapo ni magufuli
@dullykobbiemainoo
7 ай бұрын
basi unahusika ww😅
@hamzakhamis1575
7 ай бұрын
Yuko wapi uyo magufuli anaehusika apo, wacha ushabiki wa kijinga.
@thamani5842
7 ай бұрын
Roho mbaya tu, ukitaka anahusika hutaki anahusika
@J4UPro
7 ай бұрын
Mkuu mama anahusika, kwani si walikuwa wote!
@J4UPro
7 ай бұрын
@@hamzakhamis1575usimjibu hivyo kwani mjinga hajibiwi ujinga. Mueleweshe tu kuwa hii milada mama anahusika kwa kuwa walikuwa wote na mzee full stop 🛑
@tukuyufm
7 ай бұрын
safi sana kaka snash unafanya vyema sana Mungu akubariki sana katika karia hii
@starjay3052
7 ай бұрын
nakubali mzee uwaga nakufatilia sana
@rodgence9641
7 ай бұрын
Iyo sehem ya kukata ticket zipo 6 ila utakuta mfanyakazi mmoja anayeingia na kutoka😂😂😂😂😂
@KSACTV
6 ай бұрын
hongera sana tanzania one love kutoka kenya
@victorwiketye2461
6 ай бұрын
Pamoja sana! We are one pple.
@kakaziller
7 ай бұрын
Nzuri iyo, unajua wajibu wako kijana
@habibuhabibu9728
6 ай бұрын
Nakubar Snashitz
@tradamus4158
6 ай бұрын
Hongera sana magufuri wew ndio ulio tujengea pumzika kwa aman uncle magu
@hallin9561
7 ай бұрын
Kaka nimeikubari review yako na unajaribu viti kwa ukaribu ad kugonga, That's so good tunatazama na uimara maana mainjinia wa bongo hawachelewagi kutuletea midosho
@rashidhamad8697
7 ай бұрын
Hongera sana mama samia
@GodfreyOsward
2 ай бұрын
@@rashidhamad8697 Hongera sana wtz
@bellam.vyampi5528
7 ай бұрын
Mama samia umetishaa sanaa mama munguu akulinde.
@ahmedhamis
7 ай бұрын
Magufuli alitisha sana
@sketchbabu
6 ай бұрын
Hongera sana brother. Kazi nzuri, safi.
@amemasudi5735
6 ай бұрын
Baba upo vizuri unavyochambua halafu unajuwa kuvaa mwnngu mwili henga
@vincentmushi1247
7 ай бұрын
Asante kwa Tour...tunaomba urudi tena utuonyeshe station yetu baada ya mwaka mmoja...kama utakuta toilet seat na mabomba kama yapo maana tunajuana😂
@slowclimbertothetop4572
7 ай бұрын
Mwaka mmoja mbali ikianza kazi wiki 2 aende akapige picha tena. Na vile viti vya treni ndani utavikuta vingunguti mtu anakalia home
@jeremiahmwasele4259
7 ай бұрын
@@slowclimbertothetop4572😂
@vincentmushi1247
7 ай бұрын
@@slowclimbertothetop4572 🤣🤣🤣🤣
@elibarikimaganga9571
6 ай бұрын
Yani hilo ndilo tatizo letu watanzania. We think globally but we act locally, ikianza matumizi baada ya wiki utakuta mifuniko ya vyoo imeng'olewa, Koki na mabomba ya chooni yanavuja ndio za plastiki na makopo kama yote vyooni, machinga wamekaa mpaka kwenye korido na kwenye sehemu za kusubiria abiria wanaouza maji, machungwa, biskuti na kila kitu...😂
Superb video Quality, and with a phone, am impressed, kudos to the color grading as well.. looking forward to more coverage on this subject
@jeremiahkeko7618
7 ай бұрын
Ila we jamaa ni mkorofi Yan ndio uanze kugonga gonga ung'ate ng'ate viti
@nicksonmusa3457
7 ай бұрын
Umenifanyaa nimecheka kijingaa
@superstuwart2434
7 ай бұрын
kwanini umengata viti dakika ya 9:00. tofauti na hapo good work brother
@moodybanka1327
7 ай бұрын
Namba 1 leo
@alfinmbilinyi5985
7 ай бұрын
Kazi iendelee tunasubiri reli ya mama Samia Dar lindi mtwara songea speed300km/h kila la heri mama Samia Tanzania yako zidi kuing'arisha ipendeze hongera sana.
@itNeza
7 ай бұрын
Kazi nzuri Sana Snash 🙌💯👑, ( Sim Ipi ilio tumika ku Shoot ? )
@LuckyMusyki
6 ай бұрын
Umeelezea vizuri Sana
@chybuwagwantaz8054
7 ай бұрын
Hata pale mbezi mlisema kama airport ndogo leo hii kupo kama zizi la malisho 😂😂
@carlosmzena548
Ай бұрын
Airport terminal 3 vyoo havina maji
@MudiBwanga
6 ай бұрын
Good job
@kelvinkaniki7186
7 ай бұрын
Best review ever 🔥
@stewardsambala4892
6 ай бұрын
Kazi iendelee
@fadhilileskar3210
7 ай бұрын
Kazi nzuri
@husseinallysuleiman4657
7 ай бұрын
Safi sana viongozi wetu
@Mpakauseme
7 ай бұрын
ushamba mwingi sana mara vip mara imagination , mazingira mazuri sana shida shida ushamba mwingi
@charlesmtesigwa2923
7 ай бұрын
Kwani ushamba ni kosa mkuu
@thamani5842
7 ай бұрын
Ww ustaarabu wako nn?
@godfridkapipi7035
6 ай бұрын
Kama kuna mkono wa mtu kwenye kifo cha anko Magu aiseee afe vibaya sana
@moredigital_
7 ай бұрын
Safi sanaaaa
@idrisadalluc4498
7 ай бұрын
Mzee wangu magufuli nakukubali milele mungu akusamee makosa yako 🙏🙏
@raystudio7563
7 ай бұрын
Snash Tafadhali Naomba Review Nyingine Ukiwa ndani Ya Mabehewa
@djseletz3112
7 ай бұрын
Magufuli the best
@JabariKapindya
2 ай бұрын
... ni the best Nyerere naye ni nini?...
@fauzibinzoo6563
6 ай бұрын
Kiukweli huu mradi umeingia gharama nyingi sana nashauri tuulinde na tuupende maana ni kodi zetu wenyewe hazijayoka kwa wahisani wala hao viongozi hawajatoa mifuko i mwao so tuwe wazalendo tuulnde
@musabenard4117
3 ай бұрын
yah kweli make hii ishu haikuepo kwenye sera ya ccm ni ya meko tu na kufosi tu make ata wabunge hawajapewa ata mjadala wowote kwaio meko ndio kila kitu apa kwaio mama nae ajitaidi kuanzisha zake kama yeye je ataweza hii ni vita kubwa sn
@shabanifp8711
7 ай бұрын
Jina la Mama Litukuzwe, ameeena.❤
@Mafimbajunior
7 ай бұрын
Sio mama ni magu😢
@Rashidasarumbo
3 ай бұрын
Dar stend au stesheni Iko wap jman
@erickabel6201
7 ай бұрын
Magufuri ❤❤❤
@egdldm4981
7 ай бұрын
Hivi kwa nini watanzania mna tabia ya kushikashika ukuta? Angalia huyu mtangazaji, finishing ikikuvutia ni lazima ushike? Kuna ulazima wa kugonga gonga mlango kuonyeshwa uimara? 😮
@hallin9561
7 ай бұрын
wacha kukariri bhana, wazungu wenyewe wapo mbele kitechnolojia ila wakivutiwa na kitu wanagusa kabisa ivyo ivyo adi kutaka kutumia ikibid. sembuse kugusa ukuta, watazame wale wanaoReview magari wanavyofanya, au wale wa simu sometimes adi wanazigongesha
@egdldm4981
7 ай бұрын
@@hallin9561 Wazungu wa wapi hao wana test kwa meno? Watakuwa wale wa Ukrainie labda.
@jayharryson4913
7 ай бұрын
Watu kama nyie ndo mnaonaga wazungu miungu wakati wana ujinga mpk we mwenyewe unashagaa huyu mtu au mdudu@@egdldm4981
@egdldm4981
7 ай бұрын
@@jayharryson4913Naona washamba mmealikana kuzindua treni kwa mtindo wa kishamba mlioukariri kutoka kwa wazungu ... kazi iendelee.
@Kabwela776
6 ай бұрын
@@hallin9561wazungu gani wanashika shika vitu Na kung’ata viti na meno ? Huyo mtangazaji sio mstaarabu
@bilid4128
7 ай бұрын
Hivyo viti vitavunjwa vunjwa vyote wabongo hawa aisee ni kipengele...wengine wataleta kunguni hapo 😅😅
@ModuNaseem
6 ай бұрын
😂😂😂
@MusaMkembela-ex6ev
3 ай бұрын
Mbona saiz sion miradi mipya au mwenye akili ameshakufa
@MishekiMnkondya-dm8ny
2 ай бұрын
Siyo samia ni jpm sisi ndo mashahidi
@GodfreyOsward
2 ай бұрын
@@MishekiMnkondya-dm8ny Kweli ni JPM, ni sifa kwa Rais wetu Samia, kubeba Maono ya Mtangulizi wake. Tz tuna mambo mengi sana ya kujifunza. Awamu ya kwanza na ya pili. Maono ya nyakati hizi mbili yalipishana. Wengine wanadai ni madiliko ya kidunia yalifikisha huko. Kwa kutafakari utaona ni Maono ya Nyerere na Mwinyi havikuendana. Moja la kutunza amani liliendelea kufanikiwa. Viwanda, mazao, huduma, uadilifu, siasa vyote viliporomoka. Hivyo ni hari mrithi kuendeleza jambo jema . Kwa nchi Zetu hizi chochote kizuri au kiongozi anaweza Fanya bila kuulizwa na yeyote. Mfumo wetu wa utawala bado mchanga mmo. Kwa changamoto Zetu kila mmoja angependa magwiji wa utawala na maendeleo,bahati mbaya bado kutokana jamii yenyewe.
@JumaNtasimba
7 ай бұрын
Jaman muwe munamkumbuka magufuli mbona hamumutendei haki
@mtatatv1414
7 ай бұрын
Kaka miaka yote raisi akipita anapongezwa aliyopo ata kama miladi ilianzia nyuma atuwezi Kila siku mzungumzia mtu aliepita sawa alianzisha ila samia kamalizia maana samia angekuwa afai asingemalizia miladi kwa wakati ko pongezi kwa mama kwa kumaliza miladi iliyoanzishwa
@chrithicksambo2287
6 ай бұрын
Sio mama samia ni Magufuli
@Ibrahim-ne3in
7 ай бұрын
Sasa watu wanafanya Kaz manyumbu yapo kuandamana😂😂
@stevoovlogs8645
7 ай бұрын
iko wapi?
@mcback4384
6 ай бұрын
Mkiruhusu abiria wa Treni ya MGR waingie humo ndani patakua kama jalalani
@mg_panther
7 ай бұрын
❤❤❤❤
@Omix_production
7 ай бұрын
1:33 snash hii content imepigwa kwa smartphone S24 ama camera
@fredyjunior6961
3 ай бұрын
UTAMU UTAMU
@Iam_mgahivevo
6 ай бұрын
Magufuli kwa nini umetuacha mapema baba tungepata mambo mengi mazuri kama haya okay kazi ya Mungu haina makosa Rip chuma
@2pacFreeStyle96
7 ай бұрын
We unasema hauna cha kumlipa mama samiha kwa sababu ya hiyo station hujui kwamba hiyo imejengwa kwa kodi zetu au unafikir mama samiha katoa pesa zake mfukoni
@samuelseverua
7 ай бұрын
nasubiri picha za Termnibus ya kulee
@AgredaMoyo
6 ай бұрын
Iko wap station na nauli sh ngap Moro??
@EMMAMEDIA-h1c
7 ай бұрын
R.i.p JPM haya ni matunda uliyoyaanzisha japo hayajakamilika Kwa wakati
@mohamedihamisi292
6 ай бұрын
😂😂😂 Ingekuwa ipo Kenya hii station tusingelala nawakumbusha wakenya ipo kama hii nyingine Dodoma halafu boraa zaidi sasa zipo Mwanza mbili kaliii mbona tutaelewana tu Safari hii
@abdullahpongwa1537
5 ай бұрын
Kweli kwa watu mashughuri hata kuingia umeshindwa umeishia kuangalia kwa mbali na kusifia tuu😂😂😂
@Moviesclip6action
7 ай бұрын
kwenye tren la umemewaweke king'amuzi cha azam
@jamilasaid5698
7 ай бұрын
Badala useme Dstv unasema Azam duuh
@BakariIssa-nx3yf
6 ай бұрын
Magu hoyooooo
@dayan_lee
7 ай бұрын
Mambo mazuri kama haya huwezi ona comments za Wakenya coz wanajua station ya reli yao ilivyo kama ukumbi
@SmilingCorgi-pr9bn
6 ай бұрын
😂😂😂😂 exactly 💯 👏 🙌 👌 🤣
@emmanuelchiza7733
6 ай бұрын
Kweli kabisa wakenya wanawivu mchafu sana dhidi ya Tz😂😂😂😂😊
@victorwiketye2461
6 ай бұрын
Hivi kwa nini Waafrika tunachukiana wenyewe kwa wenyewe?
@GodfreyOsward
2 ай бұрын
@@dayan_lee Amini umependeza, usibiri uambiwe na na jamaa au dugu wa karibu. La sivyo utaishi kwa tabu sana. Tunajenga kwetu kwa nini usubiri kusifiwa na jirani?. Tatizo la kusubiri watu wa nnje wanasemaje. Lilivuruga uchumi wa Africa. Magofu ya viwanda ni jibu la kusikiliza wa nje wanasemaje. Reli hiyo hatukudhubutu tulisubiri wanasemaje. Lugha ikawa kasungura kadogo sababu huko nyuma wanasemaje. Utakumbuka JPM alivyo dhubutu, walikuwa wanasemaje. Tumekuwa na juhudi za kuchimba magadi , tulipowasikiliza wanasemaje. Kila kitu kibaki kama kilivyo. Kwa ushindani wa uchumi wa kimataifa ukiona sifa zinakuwa nyingi Jitazame. Unakuwepo uwezekano mkubwa kiporo cha wanao umewapa watoto wa jirani. Kipindi hicho tulipojaribu kutaka kuuza mazao kwa faida. Ulisikia kwamba mahindi ya tz yanasumu yalizuhiliwa mpakani. Tulipowasikiliza hiyo wanasemaje kelele kwisha. Laiti tungekaza Buti bila kujali wanasemaje. Mkubwa wao akisema mbele ya macho yetu alisema biashara Kati ya Tz na wao ilishakufa siku nyingi labda tuwauzie mahindi. Kutakazama na maisha yanaendelea. Wote tunashukuru mola kwa kutupa fursa angalau. Kwa kuwambia wakina Musa wetu nyimbo za shangwe na furaha.
@ramamabinda5063
7 ай бұрын
Hapo ndio hua nauona ubaguzi wa watanzania dhidi ya watanzania wengine. Kwanini kigoma tu kama njia ya wageni na sio maeneo mengine yanayopakana na nchi nyingine? Huwezi kumsikia mtu au kiongozi akiongelea mikoa kama, mbeya, kagera, mara, Arusha, Kilimanjaro, mtwara au ruvuma, kuhusu wahamiaji haramu zaid inatajwa kigoma tu. Huo ujinga hua naupinga sana kwakua hiyo ililetwa na wakoloni. Waliokua wakiziona nchi zilizotawaliwa na wabelgiji na wafaransa kua kama adui kwa nchi za kiingereza, kijerumani na nyungnezo. Muendelezo huo unaendelea hadi sasa ndio sababu watu wamefanya kuinekana kigoma kama mkoa wa kiukimbizi. Wilaya ya ngara imekuzwa na watu kutoka rwanda, hakuna anaeongea lakini kwakua ni moja kati ya watu wenye nguvu za kimaamuzi serkalini
@petroezekiel9097
7 ай бұрын
Naungana na ww kaka ni upumbavu wa hali ya juu sana
@swaloweddingcollection
6 ай бұрын
Kak umetisha katik ukaguz upo vzr 😂
@starjay3052
7 ай бұрын
kigoma 😂😂 ila kiukweli wamuah sio watanzania ila basi tu
@vincentmushi1247
7 ай бұрын
Dunia hii kila mtu ni muhamiaji...cha muhimu ni kufuata sheria za nchi tuu Familia ya kiingereza ...Queen elizabeth na mumewe ...sio waingereza halisi...lkn walikubalika Sembuse ss kajamba nani...africa inatakiwa iwe free movement...soon inakuja Kenya na Rwanda wameanza...watu wanazuiana wakati sote tu masikini😂
@slowclimbertothetop4572
7 ай бұрын
Hivyo vyoo sasa vitachafuka balaa
@Ibrahim-ne3in
7 ай бұрын
😂😂😂na wabongo tulivyo wachafu
@emmanuelchiza7733
6 ай бұрын
Kenya watu wa kidheri onyesha yenyu😅😅😅
@husseinmwinyi6833
7 ай бұрын
Nauli ipoje ?
@eligiusedmund3187
7 ай бұрын
Kwani na uko umeme unakata viuno kama huku
@zikirination6769
6 ай бұрын
Sisi tunajua ni JPm sasa izo story zingine zakuchangamsha uchaguz
@selemanmaganga-le4zg
7 ай бұрын
Wakenya mje muone station ya kisasa siyo nje mnapanga mabenchi ya kukalia watu!.
@jumalihumbo5314
7 ай бұрын
Me naona miradi mingi kaacha jpm tu😂😂😂
@lameckbalekere1962
7 ай бұрын
Magufuli oyee
@jenyyusuph4973
5 ай бұрын
Rest in happy daddy jhoni we will not forget you our love
@AsdDsa-fi5qk
6 ай бұрын
Kamanimtu amemuuwa magu bsa mungu ndie mwenye hukumu
@catherinejohon1282
7 ай бұрын
Spati pcha magufuli angekuwepo
@RajabujitMawimbi
6 ай бұрын
Mama samia mingine 5
@abubakarishariff8489
6 ай бұрын
Sio mama Samia ni magufuli jamani da!
@thamani5842
7 ай бұрын
Ahsante Mama, wewe ni jembe
@Max9_captain
7 ай бұрын
kama mbele yan
@jaberalyafei274
7 ай бұрын
Huyu jamaa anaroho ya hasad hataki😢tuendelee mbona Aiir port ya JK nzuri
@lameckbalekere1962
7 ай бұрын
Magufuli
@josephmalale4860
6 ай бұрын
PROJECT ZA MJOMBA MAGU IZI
@SaimonIsaya-c9j
7 ай бұрын
J p m💪🇹🇿
@BarakaPeter-r4x
6 ай бұрын
Msituchanganye magufur ndo Kaz yake
@dogobonge
7 ай бұрын
EMBU AJITOKEZE MTU APIGE SHOTS APO , KUNA VIEW FLANI NIMEONA KAMA UNACHUNGULIA TWIN TOWERS NI NOMA😂
@AstonyMathayo
7 ай бұрын
Restin peace Magufuli
@williamruto3103
6 ай бұрын
R I P ,, J P M😢
@ClaudGeorge
7 ай бұрын
❤❤
@MusaMkembela-ex6ev
3 ай бұрын
Mbona saiz sion miradi mipya au mwenye akili ameshakufa
Пікірлер: 153