Mukwala ni mchezaji mzuri ,atawafunga yanga mabao yakutosha yanga wajipange.
@aminaomary5567
10 күн бұрын
Mo Boss wetu hawa wakiludi toka Misri wasomowe dua nzito. Wenzetu wa upande wa pili Uchawi upo. Ila sisi siku zote hatutaki kuamini kuwa uchawi upo.Wacheza wanakuwaaga hawana tatizo. Tatizo uchawi tu. Ninaiombea sana timu yangu simba iwe inapata ushindi wa kishindo siku zote.❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏👍👍👍👍
Nawajuza tu style yake y kushangilia anaruka kavu,,,, style hiyo ya kushangilia wachezaji wanafunga sana
@RamadhaniDuruduru-y3p
27 күн бұрын
Ngoja tuone Stivin Mukwala
@IBRAHIMU-z2u
28 күн бұрын
mukwala ni shida
@oscarvumbama
18 күн бұрын
Hapana jamaa Yuko vizuri
@ernestkamata2555
11 күн бұрын
Simba bado hatujawajua inaweza kuwa timu bora sana au ikawa hamna kitu ni viziri kusubiri ligi ndo tutajua mbichi na mbivu
@aminattai2676
14 күн бұрын
Misumari ni mingi kwenye ligi yeti,yaani ushirikina,angalia ata Ile Simba mbovu msimu uliopita tulikua yunafungwa ovyo ovyo hapa kwenye ligi lakini timu Ile Ile inapokwenda nje inacheza tafauti kabisa,yanga wanaamini ushirikina sana ata mayele aliliweka wazi jambo ilo
@igihamanuel1
12 күн бұрын
hakuna hicho kitu ww. Sasa hivi ligi yetu imebadilika imekuwa nguma sana. Wachezaji top wa Afrika wengi wanachezea kwetu ukienda hata tabora United, Mashujaa n.k unawakuta tofauti na zamani. Achana na mawazo mgando ya kujifariji!
@albertlambert2810
15 күн бұрын
Mi najua . Mnao kejeli viwango vya wachezaji wa Simba sio shabiki wa Simba..ni wanafiki
@vicentbunzal7342
Күн бұрын
Hao Ni wa upande wa pili
@chrismedah2133
12 күн бұрын
Wewe ndio huna akili maana hata mpira hujawahi kucheza
@user-gy3wo2ez4d
28 күн бұрын
Kuna jamaa namba nane nimemuona anajua sana uyo alitoa asist tungemchukua pia sa tunamleta peke😂 nan anamlisha ss
@danielimalaki
28 күн бұрын
Daaaa
@SteveAvelinBuretter
28 күн бұрын
Nimtuuu✊✊
@MartinGregory-uu1ub
28 күн бұрын
Jamaa anajua
@ZachariaCharles-xk2uf
5 күн бұрын
Ubovu unatokea wap Mzee
@user-gk7pz4re6h
29 күн бұрын
Hatari
@kelvinmikida
18 күн бұрын
wachezaji wanaokuja simba ni wazuri ila wakishacheza na yanga tu, ubovu unaanza kuonekana🤓🤓🤓maana kipicho sa sahihi kwa vilabu za nje na ndani ya tanzania ni kucheza na yanga
@fj8317
17 күн бұрын
Akili yako IPO matakoni
@muksinimbaruku1233
16 күн бұрын
Nikajuwa unataka kusema yanga wachawi
@iddybora1876
28 күн бұрын
Eti job baca chura tuu
@neemajoseph4345
16 күн бұрын
😃😃
@SHIJAJITIJA
28 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@daudimichael7338
28 күн бұрын
Mbele ya Bacca, Job, Kwasi na Boka, halafu wanalindwa Aucho, kazi atakuwa nayo, aje tu😂
Пікірлер: 43