Afande Allah akulipe kheri kwa kukumbusha Waumini.Usemayo ni sahihi!
@chikujuma18
6 күн бұрын
❤❤ mashallah hongera afande kwa ujumbe nzur tena ya hekima
@HamisiFaki-q8g
3 күн бұрын
Mashallah afande Allah akufanyie wepes kila jambo lako ameen
@allymbarouk5362
5 күн бұрын
Hizo Aya akaziangalie Tena sio ktk surat kahfi ili watu wasije nakiri vibaya Ujumbe Mzuri
@salummussa1139
3 сағат бұрын
............wa pemba nishekh kwa bara
@FarhanFarhan-js1ei
2 күн бұрын
Allah akulipe kila ujira katika kukumbusha
@IssaIra-j9u
4 күн бұрын
Amevaa Kiyahudi lazima akoseye Aya
@alimuse6980
3 күн бұрын
Naona hujui unacho ongea
@BakaryOmally
2 күн бұрын
Kula makka umeshawaona askari wao wakiwa msikitini wanavaaje sema nyinyi kila kitu kwenu lazma mseme
@omarngushai6450
23 сағат бұрын
Mashaallah
@hamisishabani4072
5 күн бұрын
MAA SHAA ALLAH.
@IssaIra-j9u
4 күн бұрын
Wanajikosha wanafiki hao
@reformerthrone972
4 күн бұрын
Pemba enzi yetu ilikuwa ijumaa misikiti inajaa na maduka bidhaa ziko nnje na hakuna kuiba au kuibiwa.. Inasikitisha Sana kama hivi ndio ilivyo pemba Siku hizi
@SuleimanMkubwa-ic1ig
5 күн бұрын
Kukosea aya ilipo ni kweli lakin hio ipo ktk qur an na lengo kutufikishia ujumbe na umefika
@shamzone388
5 күн бұрын
Aliyosema yoote ni kweli kabisa Watu wapo bizy na mishughulisho yao ina lilah waina ilah rajiun
@maryamabdullah9169
5 күн бұрын
Mashaaallah umeongea kweli hakika ya Ukumbusho huwafaa Wanaouamini
@hamzakimaro3764
6 күн бұрын
ujumbe mzuri wa kuzingatiwa na kufanyiwa kazi, waislam tumeshindwa amana ya kuwalea watoto wetu!!
@FaridaAly-r5n
5 күн бұрын
MashaAllah jazakallahu lkher
@ZainabSaid-y4j
5 күн бұрын
Mashaa Allah mungu akuhifadhi
@RamadhaniKitala-gx6wc
5 күн бұрын
Maashallah tabarrak allah ❤
@kiboshokiboshomungumkubwa7789
5 күн бұрын
Mashallah afande uko vizuri
@HassanHajji-u3u
6 күн бұрын
Hassan Haji umeshafikisha ujumbe mzuri huna dhima mbele ya ALLH ni juu yake aliefikiwa na ujumbe kufuataa
@massaremassare
3 күн бұрын
Allah akulipe afande
@asiaswalehe
6 күн бұрын
Afande mashaalh❤❤❤❤
@HabibuSaid-up5sn
5 күн бұрын
mashA allah
@mbingwaali7791
5 күн бұрын
MashaAllah
@HusnaSalum-p1q
5 күн бұрын
Mashaallah
@sebiibrahim5710
6 күн бұрын
Alhamdullillah
@muhayakizibaTV
5 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@arahmantvonline
6 күн бұрын
Ma Sha Allah
@YahyaHash-n2p
6 күн бұрын
Masha Allah
@NassourJuma
6 күн бұрын
MashaAllah
@allykwaya
6 күн бұрын
Barrakalahu
@OmarKhatib-kj8jb
4 күн бұрын
Aya unayoitaja inatoka kwenye Surah Adh-Dhariyat (51:55) katika Qur'an. Aya hiyo inasema: "Na kumbusha, kwa hakika, ukumbusho huwafaa Waumini." (Surah Adh-Dhariyat, 51:55).... NA 56 ndio hatukuumba majina isipokua kwa ajili ya kumuabudu allah
@jumahamadomar9124
5 күн бұрын
Afande hapo umeteleza kwenye suratul kahfi tena aya ya 55 hakuna aya hiyo unayoinukuu
@MnubiMm
5 күн бұрын
Ndio Uzuri wa elmu nimefurahi Sana ulivyoongea kwa lugha ya Stara kwamba afande umetereza sio kejeri Ila Mimi Sina ilmu hiyo NAMI ningekupinga Kama ningekuwa na elmu
@JaniMohamed-xe5ml
5 күн бұрын
Sasa kahfi aya 55 inasemaje mbona ww husemi😂
@jumahamadomar9124
4 күн бұрын
@@JaniMohamed-xe5ml Na hakikuwazuia watu hawa kuamini ulipowajia uongofu na kuomba maghufira kwa Mola wao isipokuwa wanangoja iwajie hali ya wale watu wa kwanza au adhabu jahara hivi. (55 AL KAHF) Ushahidi wa kuona ni bora kuliko wa kuambiwa nenda kafunue mas-hafu uone ukweli kati ya mimi na afande
@jumahamadomar9124
4 күн бұрын
@@MnubiMm hapo ungenipinga kwa lipi ndugu yangu..Suratul Kahf iko na aya 110 lakini sikumbuki kama kuna aya imesema kama alivyoinukuu afande lkni jiridhishe kwa kuangalia mas-hafu au ulizia Kama nimesahau ALLAH anisamehe
@mohamedayoub8576
2 күн бұрын
Kikubwa ujumbe umefika na maana yaliyoikusudia imetimia
Пікірлер: 41