Rabbiy nilinde na wenye nia mbaya kwangu asante mwanahawa ally
@thurayyathurayya1007
4 жыл бұрын
Rabbi nilinde Yeye ndio ngao kweli😍🤲
@ramlalithomusa1431
4 жыл бұрын
Tueke na ya sabah Salum. Yaimba hiviii. Ikiwa yametendeka labalaa na mimi sija husika naktaa
@happyantonyantony8228
4 жыл бұрын
Pambe tuu Asante kwa Ujumbe mzuri ubalikiwe Sana ALLAH akuongoze
@damariam7497
4 жыл бұрын
Nilinda yarab🤲 Santa mummy kazi njema Allah akujalie afya utupe mzik mzuri.
@masikamohamed6897
2 жыл бұрын
Ameen
@mariamsalum5426
4 жыл бұрын
Teeeena kilicho chema ni chema asali si kama maji 😅❤❤
@hightechnology9842
4 жыл бұрын
Mwanahawa Allah akulinde uko juu
@ramlalithomusa1431
4 жыл бұрын
Woow asante wallahy nime furahi sanaaa kuipata
@abdulhamidsuleiman4953
4 жыл бұрын
Semeni mnayotaka mpo kwenu nipo kwangu hayawi mnayo taka Mpo kwenu nipo kwangu Muyapangayo pangeni hamutonibadilisha Ndio Mimi na nyinyi ndio nyinyi Sote waja wa manan hamtonitisha
@mishedady2546
4 жыл бұрын
Asanteeeeeee tenaaaaa
@ashashabani4210
4 жыл бұрын
sitishiki kamweee husda zao washindweeee na walegeee
@hadijalukasmdeg9987
4 жыл бұрын
mambo shatashata 👌👌👌imenoga 🎧🎧🎧🎻🎻🎷🎷🎺🎺🎺📢 📢📢📢
@marjansempa
4 жыл бұрын
Kbsaaaa
@hadijalukasmdeg9987
4 жыл бұрын
@@marjansempa good 👍
@abdulhamidsuleiman4953
4 жыл бұрын
Marjan Sempa weye ni nouma Umeleta bonge la songi,Sarut kwako Tupe vitu vzur kama hivi
@marjansempa
4 жыл бұрын
Ushasema! Abdulhamid
@lecool2350
4 жыл бұрын
Yaani Vitu vake Konki sana
@mvoih4854
4 жыл бұрын
@@marjansempa kuna wimbo mmoja Aisha Masanja unaitwa Usijisahau na dunia hebu utafute na uuweke!!
@marjansempa
4 жыл бұрын
@@mvoih4854 mbna siujui huo wimbo
@HamisaYusuph
Ай бұрын
Tuekee na mzomeeni mnoko @@marjansempa
@KisimaTv99
8 ай бұрын
Tangu juzi nautafuta huu wimbo. Hatimaye nimeupata. Shukrani sana kwa kutuwekea hapa
@fadhilampita2655
4 жыл бұрын
Kila mja na liziki,paaambe ttu
@mwanaidimuhindi6671
4 жыл бұрын
Fanya mpango wa mama shughulu naipenda sana
@razackkambi2839
4 жыл бұрын
Mwambie uyo
@ustazimaalim1377
4 жыл бұрын
Swadaqtaaaaaaa,,, bi mkubwa
@cutebibbah6258
4 жыл бұрын
Sana
@cutebibbah6258
4 жыл бұрын
Mi pia naipenda sana
@mwanaidimuhindi6671
4 жыл бұрын
@@saumubakarimfaki7822 naipenda sana lakini KZitem haipo
@shardalove1159
4 жыл бұрын
Manenooo👌👌pambee
@hawayusuf2950
4 жыл бұрын
Ma Shaa Allah ma Shaa Allah napenda mashairi yako yalo kwenda shule nautaratibu wake yani bonge la song hawakomboi🔥🔥🔥🔥🔥✨✨🔥👌
@ilhamsadiki5951
4 жыл бұрын
Nilinde daima👏 rabii☺
@ziadamawazo8421
4 жыл бұрын
Tuwekee na Nisipokuona nalia ukiwa,jua raha sina mgonjwa nakuaa...
@abdulhamidsuleiman4953
4 жыл бұрын
Si kwa pupa si haraka taratibu mambo yangu Na halitonifika kila apangalo Mungu Na moyoni sina shaka hio ndo iman yangu Bure kujipa wahaka na kujitia machungu
@mariamhamza6376
4 ай бұрын
Swadakta❤ Bi mkubwa
@hassanali4838
4 жыл бұрын
Dadangu huyoooo.
@ruqayabakari788
4 жыл бұрын
Twakupata mamy, safi sana
@azizaathuman2986
4 жыл бұрын
Niliitaka sana hii👌
@aishasalum2963
4 жыл бұрын
Mwanahawa mama nakupata vizuri kutoka Dubai buzabi 😗😗
@Mumewangu
4 ай бұрын
Msaidie kipenzi chetu
@halali_ya_naseeb
4 жыл бұрын
santhaaaaaa💃💃💃💃💃💃
@hamidaissa4769
3 жыл бұрын
Sina cha kusema juu ya hili song linavyonikonga moyo wangu najua mwenyewe
Пікірлер: 141