Hizi nyimbo ni Rasilimali za wana Tanga toka 1960 hadi leo Old Is Gold
@pinkladylady707
3 жыл бұрын
Alianza pekepeke, kugombanisha wenzake Sasa yuko pekeake, kama ng'ombe aso pembe Kamaliza hila zake, hazifai hata chembe
@1971march
Жыл бұрын
Kaimba Bi. Eshe Hasun Egyptian ❤
@salumrashid3207
Жыл бұрын
nimeipenda. sana. nipeni. vitu
@MnyorokaAhmadSimba-wk4gr
9 ай бұрын
Anaitwa Shakira said .nimnyiramba kutoka singida hukotanga aliolewa tu Wala siokwake kaacha alama kubwa ktk tathinia yataarab asilia tz Africa nadunia mzima
@mohamedmasanga9134
Жыл бұрын
HONGERA mwimbaji nahitaji kujua jina lake
@mohamedmasanga9134
Жыл бұрын
Mwimbaji ana sauti ya kuimba na sio kusema wengi hawaimbi bali husema
@mohamedmasanga9134
Жыл бұрын
NAAM HAKIKA TAARAB YA ZAMANI NI TIBA
@MnyorokaAhmadSimba-wk4gr
9 ай бұрын
Kiukweli huyo hakuwahi kuepo hayupo hatakuepo tuache unafki anatukumbusha mbali japo yupo karibu
@MnyorokaAhmadSimba-wk4gr
9 ай бұрын
Kwanza nimsomi wadini hizosauti ni.nahwandi.aajemi.sika .girka.bayati nandio maana kama hujapita madrasa huwezi patasauti hizo utamalizia kulamayai yakienyeji nayakizungu broila kikubwa kupita. Madrasa t
Пікірлер: 10