Zanikumbxha xana my dear lovely mommy Allah amuhifadhi ampunguzi adhabu ya kabri 😨😨😅
@martinkarata1097
5 жыл бұрын
Kama unasikiliza mwaka 2019 gonga like apa
@salimhassan2822
Жыл бұрын
Taarab ndo mambo yngu
@aishaabdulaziz4657
Жыл бұрын
Its a throwback ting,2023 still listing...Zinanituliza roho hizi ngoma...
@paulangoloko8642
Жыл бұрын
L.. .
@samuelmwendwa764
Жыл бұрын
Taarab kweli ni ustaarabu...2023 na bado kuipenda
@mariamwakabuta1034
4 жыл бұрын
Mimi nakumbuka wakati huwo nipo shule ya msingi mgulani, hawo waimba taarabu walikuwa wakiimba pake kambi ya jeshi jkt mgulani najisikia uchungu sana upendo wa nyumbani Tanzania siupati kama ninavyotataka lkn nashukuru nipo mpaka leo nasikia vingi kutoka nyumbani ahasante mungu !!
@thomascharles5299
4 жыл бұрын
Tanga raha sana mkuna na mkunwaji muona raha ni nani apo sasa mpaka nasinzia taarabu murua
@saidibinsharifsharifmwinyi497
3 жыл бұрын
OMG my dads number one much respect and love from UG+256 TUKO PAMOJA
@chibuplatnumz8373
3 жыл бұрын
Nawaza hapa muandishi aliwaza nini aiseee...em wahenga na makungwii em njooni mnipe maaana
@johntendiawo
4 жыл бұрын
2020 bado tupo. Kuna nyimbo zilizopendwa natamani; 1. Haina mjadala hiyoo 2. Hajatulia ~ ni mapepe
@chedichedi2992
6 жыл бұрын
Dahh hisia zimeshahama kutoka New York hadi Handeni Tanga....Ta’arab za kusisimua miaka mingi sana
@shabanimagembe9956
2 ай бұрын
Na mkumbuka Bibi yangu pili rajabu mungu ampunguzie adhabu ya kabri
@hindukassim8037
5 жыл бұрын
watanga wenzangu comment km zote
@FARIDAHKAKEI-db3vt
7 ай бұрын
❤️❤️❤️❤️🤍💚
@matesombitha2654
5 жыл бұрын
listening to this this once,,,it minds me of my lovely mum,,,,, who rarely finished a day without listening to this song,,,so many years down the line
@sufianmuhamad3534
3 жыл бұрын
Relies
@jumabakar8975
2 жыл бұрын
@@sufianmuhamad3534 H
@aishaabdulaziz4657
Жыл бұрын
Ma mother & ma grandma,nawapenda sana...2023🔥🔥
@dullatawakal1492
7 жыл бұрын
Daaah Hisia Zanipeleka Nyumbani Tanga ,,,kipindi hiko ni Twaarab AsiLia ya Pwani #MwanaHeLa #LuckyMuzik_Taarab
@anwaryabdallah7782
6 жыл бұрын
dulla breezy 😢😢😢
@ayshaysh3326
6 жыл бұрын
We acha tu. Hata taarabu iwepi waitafuta mpaka waipata🤣. Tanga raha sana asikwambie mtu
@andrehwickods841
3 жыл бұрын
Nikiskia hii nakumbika tu maisha kule nyuma 2011 msimu wa kiangazi...
@babenealoyce889
5 жыл бұрын
Nataka watu wa Tanga watunze tamaduni hizi ni muhimu katika mahitahiji
@fatmahmwesh128
6 жыл бұрын
wat a lovely Taarab Song... long time while was in Kenya... nice one eid.
Пікірлер: 218