Mimi ni muislam ,ila hapa nimekuelewa sana mno mno ,from Zanzibar ,Ahsante Muhubiri
@christinemuthoga9202
3 ай бұрын
To be honest, for the past 6 months i haven't gone to church, praying became a challenge, Bibilia sisomi, uchumba wangu ukaisha, sasa nkapatana na hubiri hii, and I receive in the name of Jesus son of the Living God I'm now aware what has been happening to me, and I reclaim my grounds in Jesus' Name Amen. God deliver me. More grace to you Apostle.
@khamismtoma4902
2 ай бұрын
Wakola mno ta mwalimu nashelerwa Mara navarikiwa 🙏🙏🙏🙏
@zakiageorge9683
Жыл бұрын
Powerful teachings🔥🔥🔥 Thank you man of GOD. Mungu atufungue, atuweke huru na kutuepusha na Uchawi na roho za matambiko Kwa jina la Yesu. Amen
@cicilialijodi1198
Жыл бұрын
Apostle, praise God, nikiwa mdogo, babangu alileta mganga nyumbani. Tulijanjwa familia nzima, mikononi na mwilini. Sasa Baba alikufa. Ila nauliza tuliopaki tufanyeje.
@janengaga2928
Жыл бұрын
Tutawambua kwa matendo yao Mungu ni mtakatifu sharti tuwe kama Yehova Mungu.
@adrianobenedict991
Жыл бұрын
Amen mtumish
@langolambinguni8653
Жыл бұрын
Amina sana apostle chuma cha Bwana,Son of major one teach me apostle, nakuelewa chief
@mariamkivuyo8154
Жыл бұрын
Haleya kijana wa Yesu
@stellahokworo6561
Жыл бұрын
Indeed pastor you're my mentor glory to Jesus
@Samuel-ch6ds
4 ай бұрын
Amen glory to almighty God
@edwinonsombi
Жыл бұрын
Amen ,sina irisi, umenisaidia, na mpenda Yesu Damu ndio irisi.
@jamesdioniz4860
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu akubariki sana, nabarikiwa sana na mafundisho yako
@edwinonsombi
Жыл бұрын
Uhishi milele mtumishi kwa Jina la .Yesu.
@liltrinix7958
Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu.Msg nzuri sana imenifungua.
@ben10jnrbulinjiye88
Жыл бұрын
Somo zuri SANA ubarikiwe SANA mtumishi wa Mungu
@catherinechisalala4055
Жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu, Neno hili limenifungua pa kubwa mno. Mungu atuepushe na maroho hayo machafu ya uchawi na uzinzi.
@kanumbapaulina5749
Жыл бұрын
Amen Appostle nimejifunza sana leo
@PeterShadrack-oy2fx
11 ай бұрын
Barikiwa mtumish nimeiona Leo hii naomba maombi kwa ajili ya mume wangu eliya lemson sinkala kalogwa mpaka mwisho mtumishi naomba omba kwaajili yake imefika hatua nahis imani yangu inayumba
@japhetyonasultan5412
Жыл бұрын
Mnapokaa kimya mnampa wasiwasi.
@OmanOman-yn2zj
Жыл бұрын
Ameeen ameeen mtumishi MUNGU wetu💪💪 nimwaminifu
@neemashabani5860
Жыл бұрын
Amen
@johnmutitu4594
Жыл бұрын
Powerful,Mtumishi,I recieve protection in the precious blood of Jesus Christ.Amen
@gracedamas5883
Жыл бұрын
We kama kunamahala nilipewa ilizi Halfu ikawa chanzo cha mateso Hio ilizi iwake moto kwa jina la Yesu Nifungue zaidi Baba
@catherinekatoto8278
Жыл бұрын
Amen. Asante sana mtumishi hii ni ya kufungua macho , kutofautisha hizi roho. Nimejifungua kabisa kushirikiana na ndugu (wachawi) walivyonavyo.
@user-ek4hd6zr2r
8 ай бұрын
❤safi mtumishi
@restitutapetro4705
Жыл бұрын
Nashukuru mtumishi wa Mungu umetufundisha kweli. Nimefurahi kwenda Bukoba, ikomboe ardhi ya kwetu , na mambo ya mizimu.
@ayubukangitani1168
Жыл бұрын
Amen 🙏
@jacklineikoki6653
Жыл бұрын
Barikiwa Sana chief Mana umefanyika baraka maishani mwetu
@cessysimule5027
Жыл бұрын
Asante sana Apostle kwa somo ili nimejifunza vingi na Mungu atusaidie🙏
@petrosamwel2528
Жыл бұрын
Powerful revelation thank you APOSTLE
@adelambaye1298
Жыл бұрын
Amen Apostle kwa kutufundisha hilo neno Asante
@aidanongole9341
Жыл бұрын
amen
@jacquelinenyange5549
Жыл бұрын
Amen Apostle Thank you 🙏
@clausychedy9324
Жыл бұрын
Amen Apostle...asante Sana Kwa ufunuo huu..... powerful 💪🏿🙏🏿
@mercykanocia7147
Жыл бұрын
Ubarikiwe saana Apostle..am learning and following from Kenya
@elishaakongwa6790
Жыл бұрын
Amen àmen Sanaa mtumishi WA Mungu nabarikiwa sanaa
@janetkanongo3265
Жыл бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu kunifungua macho yaKiroho 🇰🇪
@MARBEH_DOXA
Жыл бұрын
Yooohhh Injili imehubiliwa.. Asante Baba🙌🙌
@annomina8942
Жыл бұрын
Amen. Asante
@peninamwailunda8813
Жыл бұрын
Barikiwa sana Mutalemwa, masomo unayaleta kwa wepesi na kueleweka
@jeffersonbayekela421
Жыл бұрын
Thanks Apostle for yr teaching
@jojosky337
5 ай бұрын
Asante mtumishi🙏🏾
@victorialema4033
Жыл бұрын
Amen Apostle thank you God bless you🙏🙏🙏
@juliethchavala3314
Жыл бұрын
huo ndo ukweli kabisaaa ahsante ee mungu wetu kwa kuachillia mafunuo makubwa haya kupitia mtumishi huyu.
@alimambabazi3666
Жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙏
@JaneUrio
Ай бұрын
Ameennn
@elizabethnamwinga3210
Жыл бұрын
Ubarikiwe San mtumishi wabwana
@happymlay4696
Жыл бұрын
Napokea muujiza Wa siku tatu kwa jina la Yesu
@mcjackpettydady9435
Жыл бұрын
Ooh Yes. I receive power
@beatricenyiro5913
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@johndevi2153
Жыл бұрын
Huyu Jamaa anajua kiha
@joycemaxmillian4909
Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@madammesatalks6913
Жыл бұрын
I receive in Jesus name, Ooh Yes.Na wataachia kila kitu changu chochote kile kilicho chukuliwa mahali popote nilipo kuwa nimefungwa Amen.
@veronicaboniventura5058
Жыл бұрын
Ameen mtumishi ubarikiwe
@gladysgladys7393
Жыл бұрын
Shetani ajilia maisha yanguin Jesus name from Kenya mtumishi barikiwa kwa ujumbe msuri
@rachealkarashnjoki7806
Жыл бұрын
Mzuri si msuri
@rosehappynesasenga1886
Жыл бұрын
Ameni 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Apostle wetuuu
@meshackikatambi2386
Жыл бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana
@vickysteven1172
9 ай бұрын
Kweli kabisa
@lwimboderick7479
Жыл бұрын
Be blessed appostle.
@alexamutawa5396
Жыл бұрын
Barikiwa sana
@happymlay4696
Жыл бұрын
Bring it on son of Major 1
@fgkl8200
Жыл бұрын
Blessed so much
@estherwambuies1782
Жыл бұрын
Powerful
@alimambabazi3666
Жыл бұрын
Amen and Amen 🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🕊️🌬️💨💨💨💨🔥
@numpereuben8172
Жыл бұрын
Asante Yesu
@aishambise6529
Жыл бұрын
Umenena mtumishi w mungu 🇰🇪🙏🏻
@langolambinguni8653
Жыл бұрын
Amina amina Amina ,oh yes I receive
@langolambinguni8653
Жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu, apostle
@pquimdebecare962
Жыл бұрын
Power....
@sarahwawuda5164
Жыл бұрын
Amen Amen
@joykatv3246
Жыл бұрын
Amen amen chief
@elizabethmruma3285
Жыл бұрын
Asante Apostle kwa mahubiri mazuri sana.
@langolambinguni8653
Жыл бұрын
Powerful massag
@karwaniamendaddyzawadi4028
Жыл бұрын
Ameeen and Ameeeen 🙏
@joelsagide9607
Жыл бұрын
Asante mchungaji, ni lini utafika Kenya nipate ukombozi?, Niko na bangili nilivalishwa na Mnganga baada ya kupigwa vita kila mahali nilienda adi sasa nikaambiwa nisiende kanisa ya kuabudu kwa ngoma coz wanakemea mapepo kwa sauti kuu. Nikienda tu mafuta kazi bila sababu. Nateseka hivyo tu sina la kufanya.
@alimambabazi3666
Жыл бұрын
🤣😂
@ev.josephatobwocha2109
Жыл бұрын
mtumishi wa mungu ubarikiwe na mungu Kwa mafundisho mungu anapitia kwako
@alicekalemela7435
Жыл бұрын
Apostle hapa nilipo hirizi zimezidi, nazivunja vunja na kuziharibu katika ulimwengu wa roho Ila duuuh ! Kazi kweli kweli.........niombeeni.... mwingine kaiweka kabisa mbele ya duka langu la biashara 🙄🙄🙄....
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
Duka lako lipo mkoa gani? Nawapasua hao wachawi wanaopambana na duka lako nawapiga kwa mishale ya mbingu kufa na wafe
Пікірлер: 85