Subscribe / @7t7ministryenglish24 ili upate kubarikiwa na nyimbo za ibada kwa lugha ya kiingereza
1. Tabibu mku-u huyu, Yesu mwenye huruma:
Atuletaye faraja : Yesu mwokozi wetu.
Imbeni, Malaika Sifa za bwana wetu;
Jina la pekee kwetu, ni la Yesu Bwana.
2. Mwana kondo-o msifuni Mwokozi:
Hatia zote na dhambi Huziondoa Yesu.
3. Hakuna jina jingine Linalofa-a sifa:
A-u kutufurahisha, Isipo kuwa lake.
4. Naye atakapokuja Na utukufu wake,
Tutafurahi milele kuka-a kwake Bwana.
Негізгі бет Tabibu mkuu huyu. Nyimbo za Kristo No:111 by Gideon Kasozi
Пікірлер: 4