Naam shukran sana sheikh Kwa khutba nzuri yenye mafunzo makubwa🙏🙏ALLAH ATUSTIRII🤲
@AlbaloshiAlbaloshi-f1w
Жыл бұрын
Yaa Rabb 🤲 tuna kuomba tujalie wangine ma sheikhe mfano wa sheikhe Kishki nuru ya ulimwengu 🌙 Allah azidi Kuku hifadhi sheikhe wetu kipenzi
@bentybenty2343
Жыл бұрын
Allahumah Amiin 🤲
@SociedadeSust1234
Жыл бұрын
Allahuma Amiin
@aishaabdullah837
Жыл бұрын
Allhumma ameen
@KhadijaKhassim-ns2eg
Жыл бұрын
Shekh hongera sana kwa kipindi Cha Leo Yani Katika vipindi vinanikera basi hicho Allah akulipe kwa kuliona hilo
@khamisyussuf4903
Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah vizuri sana mungu akujaze kila la kheir by fathiya khamis yussuf ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@fatumazuberi9842
Жыл бұрын
Asante kwa ukumbusho shekhe wetu Allah akujaze kheri❤
@rahmahty7026
Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh. Akupe maisha marefu. Wallahi inauma
@jamaludinmanji8856
Жыл бұрын
Asalamu alaykum,sheikh noordeen khiski.excellent mawaidha!.Mimi na tumaini ku wasiliana wewe mwenyezi mungu akipenda,Insha Allah .0
@MwanakomboAbasi-j1r
Жыл бұрын
Shukran sana shekh akuzidishie ilmu uzidi kuelimisha
@ramadhanhashim
Жыл бұрын
Allah akujalie shekhe nurdin kishki allah akujalie na moyo uo uo
@AlbaloshiAlbaloshi-f1w
Жыл бұрын
Maasha Allah , Tabarakallah ,👌👌👌 sheikhe wetu mpendwa Allah akujaze kila lenye Kheri duniyani na Kesho akhera ,Allah azidi Kuku tuhifadhia kabisa ,tuna shukuru sana kabisa kwa khutba hii .Barakallahu fiika sheikhe wetu mpendwa ❤ Allah aku zidishie juhudi sheikhe wetu kipenzi cha Ummat wa kiislaam .
@fatmakhatib2935
Жыл бұрын
Mashallah shukran kwa ukumbusho kwani uislam umesisitiza kukumbushana Alhamdulillah Allah akujaalie umri mrefuu natamani sku moja uwashike mkono vijana wangu waje kuhifadhi kitabu cha Allah kupitia Alhikma
@ffed1876
Жыл бұрын
Shukran sheikh Mola akujaze kheri nyingi na afya uzidi kutuzindua na kukemea yote mabaya yanayoharibu mustakbali wa maadili yetù.Mola akupe umri wenye amali njema ww na aila yako.Aamin.
@asnathally18
Жыл бұрын
Allah akulinde shekh wetu nakupenda kwaajil ya allah na tamanio langu na Dua zangu kwa allah siku atakaponijaalia mwanaume wakunioa ningetaman ndoa yangu ifungwe na wewe inshaallah
@AdamDaudy
Жыл бұрын
MashaAllah ndoa umepata dada unaishi mkoa upi na umri miaka mingapi?
@asnathally18
Жыл бұрын
@@AdamDaudy nipo dar ila nimzaliwa wa Tanga umri 24
@altamando
Жыл бұрын
Insha Allah
@rukiymbarak7087
Жыл бұрын
Allah akujalie kheri Inshaallah kwa kusema ukweli sheikhe kishki mwanga wa ulimwengu
@NasraIbrahim-dw1hr
Жыл бұрын
Sheikh maneno unayoyazungumza nikwel, mm binafsi yamenigusa, sheikh mwenyezi mungu akulinde nauzid kutuongoza
@lareineminah1353
Жыл бұрын
Ni udhuniiii... Na wanawake wana kubali aje kwenda... Subhanallah tumefika mbaliii...
@FatnaAlly-hp7kw
Жыл бұрын
Allah tujaalie tuwe tunakataza maovu na kuelimishana mema na allah ulie mtukuka ❤❤❤sikiliza kilio cha mja wako yarabi na utujaalie tuwe ni wenyekukutwiii mola wangu na kukuabusu ipaaavyo
@fatumaissa1074
Жыл бұрын
Masha Allah sheykh Allah akuhifadh n akupe maisha marefu yenye manufaa
@mwantumjaff1602
Жыл бұрын
ALLAH akuhifadhi Sheikh Kishk akupe umr wenye manufaa leo dunian na ikawe salama kesho KIYAMA
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Shehe Allah akuweke miaka mingi Duniani naakujaalie mwisho mwema. Unasemaga ukweri na unatukumbusha mengi Allah akuifadhi ww na familiayako jazakallah khaillah
@HawaMungura-ew4xu
Жыл бұрын
Mashaaa Alaaah.
@aishahassani4681
Жыл бұрын
Upo sahihi shekhe ,mwenye masikio atasikia inshaallah
@banihashim5347
Жыл бұрын
Allah akulinde sheikh wetu
@hidayaamri1915
Жыл бұрын
Allah akujaalie uwe kiongozi bora duniani na kesho akhera Inshaallah.
@asiahmaoro2525
Жыл бұрын
Mashaallah sheikh Allah akupee umuri na mwisho mwena nakupenda kwa kuwaambia ukweli bila kuogopa mtu.
@salmanassor8732
Жыл бұрын
Shehe wetu umeongea ukweli mtupu Allah akuongoze Shehe wetu tunakupenda kwa ajili ya Allha ❤
@SociedadeSust1234
Жыл бұрын
Allah akuifadh Sheikh Kishki
@asiabashiro3512
Жыл бұрын
Allah akuzidishie kher shekhe wetu🤲🤲
@princessmakwega2444
Жыл бұрын
Mashallh allah akuzidishie afya njema innishallh akupe pepo ya firdaws amuomba allah atujaalie miongoni wa watu wa peponi 🙏🙏🙏
@mwansitihassan
Жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikhe
@KelvinZubery-bz6nt
Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu shehe
@mohamedoman9344
Жыл бұрын
Subhallah subhallah subhallah Allah atupe Iman njema nguvu njema
Nakupenda sana kwaajili ya Allah zidisha nawala usijali watenda maovu nawatu wao
@miishhassn
Жыл бұрын
Allah akulipr kher kwel unajulikana mpk watoto wanatak wawe kama wew❤❤
@rahmahty7026
Жыл бұрын
Allah atuhifadhi na machafu haya sisi na watoto wetu Yaa Rabbi
@savagemob536
Жыл бұрын
Amin Ya Rabb
@MialiiMohamed-m9l
Жыл бұрын
AMIIN 🤲
@shadyahamad3724
Жыл бұрын
Amin amin amin🙏
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Amiin.
@omanmct135
Жыл бұрын
Aaaallllah huma amin
@ramadhanikenga274
Жыл бұрын
Kwa kweli ni mtihani mkubwa na ukiangalia waendesha kipindi cha mr right wengine ni waislam shek kishk ALLAH akupe maisha marefu kwa kuongea ukweli na kuinusuru dini ya ALLAH nakufatilia sana natokea kenya 🇰🇪 🤲🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Allah Akulinde n.a. maadui uendelee kuipigania dini yetu ya haki kwani hii nchi ina viongoz wa ovyo kweli
@salimmariga149
Жыл бұрын
Aamin yarabb Aamin Jazak Allah kheiryan
@zenakioga6567
Жыл бұрын
Hakika hutba imepenya mmomonyoko haswaa wà maadili Allah akbal mungu tunakuomba utusitili waja wako na utuepushie na tabia zote chafu kwa uwezo wako amiin
@salmaalkyumi6030
Жыл бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
@lifeinmiddleeast8179
Жыл бұрын
😢😢😢wa llahi kama tukiacha maovu tutasalimika
@ZamdaMisembe
Жыл бұрын
Nikwel tumetoka kwenye maadili ya kiislamu ,Allah atunusuru ❤️
@FatnaAlly-hp7kw
Жыл бұрын
Mashallah
@FatnaAlly-hp7kw
Жыл бұрын
Allah tujaalie tuwe ni miongoni mwa wenye kutekeleza yarabi
@SharifaYaru-ev9su
Жыл бұрын
Wanasema sheria haimfungi kahaba mbona nyerere mwaka 1974 alisema atakae onekana kavaa nguo fupi anakamatwa na kuwekwa selo na waliacha kuvaa nguo fupi kemea shekhe mungu akujaalie haya yaakemewe na srekali kwa hajili yako
@isarichard
Жыл бұрын
Naomba laini ya sheikh Nurdin kishik ya WhatsApp mimi mufasi wake wa Lusaka Zambia 🇿🇲🇿🇲🇿🇲❤❤❤
@AbdiaAbdi-qz7no
Жыл бұрын
Allah atuongoze inshaAllah
@aisharamadan4803
Жыл бұрын
Shukurani sana shekhe wetu na kupenda kwa jili ya Allah
@amsodewiz4901
Жыл бұрын
Yaa..Rabb🙏tuna kuomba tujalie kila kitu cha kheri
@subiranalinga
Жыл бұрын
Allan akuhifadhi shehe wangu akupe umri mrefu tuzid kifaidika na ww
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
Жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah
@ukhutfatumah1154
Жыл бұрын
Innallillah wainnah lillah rajuun huuu msiba mzito ndugu zangu sijui hata tunaelekea wapi allah atujulie mwisho Mwema
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
Жыл бұрын
Sana mtihani shekhe wangu
@RafiaIddy
Жыл бұрын
Shukurun sheikh walai mm nilingombana na rafiki yangu kisa hicho kipend nilimwambie ni harama akasema nishushe Aya shukurun kwa kuliongelea Leo nitamtumia hii ili ajue ni vby😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@khadijasalum2302
Жыл бұрын
Ameen yarrab
@LelaSadiq-z8y
Жыл бұрын
Sheikh kishki nisaidie nikona kigugumizi inanisumbua sana
@omanmct135
Жыл бұрын
Aaaalllah atupe mwisho mwema yarab
@hawamafita368
Жыл бұрын
Allah anihifadhi niendelee kutokukijua maana ndonakisikia
@24hrs.dawaaa
Жыл бұрын
Ya Allah grant our sheikh jannah
@FatnaAlly-hp7kw
Жыл бұрын
Allahu akbar
@MwanakomboAbasi-j1r
Жыл бұрын
Ma shaa Allah
@bentybenty2343
Жыл бұрын
Wallahi mtihani wapotoshaji wakidai wafanya jambo xawa,kisha eti nao wanajiita waislam machawa wa ibilisi wakubwa..ALLAH awaongoze
@FatnaAlly-hp7kw
Жыл бұрын
Na muomba manani akuze yakotv tuzidi kuelimika yarabi
@twahirburhan3726
Жыл бұрын
Jazaaka llaahu kheir shekh,na Bakwata nyie ndo chombo kikuu cha waislam Tanzania embu pigieni kelele Haya na si kusubiri issue za Mwezi Mwandamo na Suala la Arafa ndio mpaze sauti zenu
@omanmct135
Жыл бұрын
Subhannnallllah
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
Жыл бұрын
Mashaallah shekhe kishik
@mubirirashidi
Жыл бұрын
Mashaaallah ❤️❤️❤️
@aminanahimana8759
Жыл бұрын
Hafidhwakallahu ya shekhuna❤
@lareineminah1353
Жыл бұрын
Wala hatujawahi kuona Ndoa ilo tokea Mr R...
@ustadhisimbula8622
Жыл бұрын
Wallah niudhalilishaji mkubwa wanaufanya kwa dada zetu kweli tumefikia pabaya sana udhalilishaji wanautaka wenyewe wanawake
@AlanAlan-ih3bz
Жыл бұрын
Ni wenyewe wana wake kujidhalilisha
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
Жыл бұрын
Mtihani shekhe wangu watu tunaiga mambo mengi
@mwantumjaff1602
Жыл бұрын
Sikipend kile kipind had cku moja niliwaambia pale ndan ALLAH atunusur sisi na vizaz vilivyopo na vtakavyokuw vizaz vyetu 😢
@nekashash2190
Жыл бұрын
Shee nakukubali sana ila uongeaji wako ndio unatumia nguvu sana... Ongea tu kawaida...
@saidmadizi9152
Жыл бұрын
Uwasilishji ujumbe uko aina ukiwa umesoma kozi ya da awa utaelewa Kuna njia ya upole n ya ukali zote mtume alitumia
@sulekhaabdulahi2183
Жыл бұрын
Allah barak
@SharifaYaru-ev9su
Жыл бұрын
Sawsaw shehe hukosei wanazidi kututukanisha waislamu na sisi wenyewe waisilamu tunaona. Sawa mabint zetu kudhalilishwa kemea shehe sawsawa
@tatuaamuuinyi9633
Жыл бұрын
Kweli kipindi cha kishenz
@setiseti5281
Жыл бұрын
Shukrani
@diyembarak5506
Жыл бұрын
Allah atuongoze
@fatumajuma8113
Жыл бұрын
Mashallah ❤❤❤
@pilykingo
Жыл бұрын
Kipindi hicho kimeasisiwa Denmark miaka 10 iliyopita , Tanzania wanaiga uovu huo nå wasipokuwa makini ,wataanzisha wasagaji Pia wachaguane hadharani
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa maneno yako shekhe kishik
@Noorein-ws8wk
Жыл бұрын
Wanaiga nchi nyengine tu hao watanzania,naona ipo Kenya kitambo sasa wameiga badala kuiga mazuri wanaiga mabaya..
@Zaynab-ny6gr
Жыл бұрын
Jazzaka llahu kher
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
Жыл бұрын
In lillah wa inalillajium
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
Жыл бұрын
Mtihani shekhe wetu
@PrincessWorld-r7p
11 ай бұрын
Kishk nakukubali sana najifunza kupitia wewe
@FASSALEHALIB
Жыл бұрын
SUB HAANALLAH
@fatmaabdi8813
Жыл бұрын
Allah atuongoze 😢
@princessmakwega2444
Жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya allah
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
Жыл бұрын
Umeongea kitu kizuri sana
@OmanOman-dd5qk
Жыл бұрын
Walaaaniwe wrote waendeshakipindi chakushangaza na waisilamu wapo uposahihi shehe kweli hawajitambui wengine wanasema mimi ndio babako huyo laana hao
@shamsahukwe325
Жыл бұрын
Ni kweli kabsa usemacho
@bilo1106
Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
Жыл бұрын
Msiba mkubwa ya rabra aramin
@KhadijahAlly-jz7rl
Жыл бұрын
Serikali inaangalia mapato tuu
@hamadiomari7804
Жыл бұрын
Mtihan wawahi
@AbdillahSOthman
Жыл бұрын
Sheria ni ni za Allah binadamu hana sheria atakayo eka ikadumu.
Пікірлер: 133