Mke ni mke wamupe akamuzike mume wake ndugu wa mume apo wako wanataka mali tu
@Amedeus-fg8wq
13 сағат бұрын
😂😂😂 HUYO alikuwa ana pesa, Msiba wa maskini hakuna Mambo hayo
@rahema907
12 сағат бұрын
😂💯
@halimamasai2234
12 сағат бұрын
😂😂😂😂
@ZuhuraSaidi-y1j
12 сағат бұрын
Dah ukiwa na pesa hekaheka mpaka siku ya mazishi...ingekuwa maskini kitambo tu
@lovenessvisent9408
11 сағат бұрын
Niliongea hivi hata kabla ya kusoma coment
@joyceryoba4813
2 сағат бұрын
😂😂😂
@GodySwitie
13 сағат бұрын
Anajua akizikwa hapo hapatauzika huyo mama anamalengo makubwa
@asiamalonji5962
13 сағат бұрын
Mtaamuaje mazishi bila mke kumshirikisha ndugu wa mume mna viherehere😮
@RosemaryMalya
12 сағат бұрын
Sana sijui wana kwama wapi
@ShukranMustapha
12 сағат бұрын
Tamaa ya mali
@NoelaPeter-dc4dn
10 сағат бұрын
Tamaa za mali tu Amna kingine
@judnesstemba7252
11 сағат бұрын
Dah huu ni unyanyapaaji wa mke wa marehemu hawamthamni shemeji kwa kuwa mume kashafariki
@EmmanuelNyinyigwa-m1o
11 сағат бұрын
Wachaga mmezid utapeli kuwazulum wajane
@richardswai5206
11 сағат бұрын
Angekuwa masikini tungeshamzika njiro daaaah😭😭😭
@asteriashios1852
11 сағат бұрын
Heshimuni mamunzi ya mkewe maana walishapanga watazikwa kwingine ndugu wasiingilie familia ya watu hata km ni ndugu yao
@EdwinJambo
8 сағат бұрын
Baada ya ndoa familia ya mwanaume ndio wenye kauli na sio mwanamke ivyo upande wa wanaume wakikubali kwenda kuzika upande mwanamke alipo pataka nashuri upande wa kiume wasiende
@GlorydavidJeremiah
12 сағат бұрын
Tunamihitaji Mungu sana lakini wacaga wanapenda mali sana
@judnesstemba7252
11 сағат бұрын
Oya tengua kauli yako sio wachaga wote kima ww
@annamussa185
11 сағат бұрын
@@judnesstemba7252ni wachagha wote😂😂😂mnapenda mali
@israelkisaila8401
11 сағат бұрын
Wachaga ni watu wa hovyo,hawana utu hata kidogo wao ni Pesa,Mali,utu hawana,Mimi sitakagi hata mchaga 1 awe jirani yangu na ninashukuri MUNGU,hajawahi kunipa jirani yangu mchaga.😢😢 Ni watu wa hovyo,husitamani.
@Brunn-mh2bq
11 сағат бұрын
@@israelkisaila8401Israel weye kakuambia nani kuwa wachagga wanakuhitaji. Waongea kama mtu wakati weye mpuuzi tu. Tangu lini kabila nzima wote uwaone wa ovyo weye kabila yako ina sukari gani. Hii Tz bado mnataka kuturudisha kwenye enzi za ukoloni. Tuache hii tabia mnajidhalilisha tu kwa wivu wenu wa kijinga. Weye huwezi kujilinganisha na ye yote maana akili huna 😢
@judnesstemba7252
10 сағат бұрын
@@israelkisaila8401 we usijumuishe wachaga wote pimbi mmoja
@MajunMsouth
2 сағат бұрын
Mungu ailaze pema pepon rohoo yakee umesaidia xana jamii
@RehemaMasunga-ml7kt
12 сағат бұрын
Lakini kama ni mke halali ana haki sasa kwa nini ndugu wa mwanaume wazuie angekuwa hawara tu ni sawa kuzuia ila ni mke
@veronikahau2935
12 сағат бұрын
Huu msiba una Mambo mengi had huelew Nani kakosea
@israelkisaila8401
11 сағат бұрын
@@veronikahau2935kabisa,maana Mume kafa dar peke yake Mke hakuwa huko,yani kuna shida kubwa ,mahali😢
@dallasmusic6465
5 сағат бұрын
NDUGU HAMUHUSIKI NA MALI ZA MAREHEM NA KAMA MAREHEM ANA WATOTO NA MKE MALI ZAKE NI HAKI YA FAMILY YAKE NDUGU TAFTENI CHENU NA FAMILY ZETU... TAMAA ZA KIJINGA TU AKATI WOTE HAPA DUNIANI NI MAREHEM WATARAJIWA TUACHE TABIA YA KUSHOBOKEA VYA WATU NA MAREHEM ANA HAKI YA KUCHAGUA PIA PA KUZIKWA
@annamussa185
11 сағат бұрын
Nina mashaka na ndugu au wamechangia kifo cha huyo Baba aje mpange maziko bila ya kumwambia mke wa marehemu😮😮😮😮
@israelkisaila8401
11 сағат бұрын
Wachaga ndo walivyo,yani wao uwa wakilala,wakiamka wanaweza Mali tu basi😢
@maprosokelly2986
Сағат бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu mahal pema mbinguni
@itanzaniaAS
12 сағат бұрын
SAFI. USIA WA MAREHEMU UWE UNAHESHIMIWA. TUACHE KUDHARAU KAULI ZA WATU WAKIWA WAMEKUFA
@hanifamziray277
13 сағат бұрын
Ila ndugu wa mume mmeyatimba mtajuta
@edinachami4318
13 сағат бұрын
Mjifunze kitu Apo
@DonasiaKisanga
Сағат бұрын
Mungu atakupigania my wii
@gervaslukaya
11 сағат бұрын
Haki ipo kwa mke hapo wamuachie akampumzishe
@husseinhemedi9314
Сағат бұрын
Wenzetu nanyie mmezidi bhana kila siku ni nyie Wampumzixh mahali popote tu bora awe kastirika
@bonifasimichael1320
2 сағат бұрын
Serikali iingilie Kati na imsaidie huyo mama uyo wifi mpumbavu kbs ndio maana wanakujaga kufa ovyo .Kama mnakumbuka kifo Cha mareemu Bilionea Erasto wifi alikua mwiba akaja kufa kifo kibaya kuuwawa na watu wasiofaamika mpaka Sasa
@graficitv4412
10 сағат бұрын
Mama hilder wangu pole jiran yangu
@JACOBNKURLU
10 сағат бұрын
Wanaume mnapoishi na wake zenu wa ndoa hakikisha mnaacha wosia na ushahidi kwa Ndugu zenu mkiwa bado hai mahali mtakapozikwa. Tena wosia uwekwe wazi kwa mke na Ndugu upande wa kiume. Mkikaa kimya mwanamke anafanya maamuzi anavyotaka.
@apostleclintonluena
10 сағат бұрын
Na kwanini usiseme wanandoa wanatakiwa waweke wosia kwanini iwe mwanaume tu kwani sheria inatakiwa aanze mwanaume? Fikiri mara mbili
@JACOBNKURLU
10 сағат бұрын
@@apostleclintonluena Mwanaume akishakuwa kwenye ndoa na mke wake kumbuka mwenye mamlaka yote ya familia ni mwanaume, yule mwanamke ameolewa kwaiyo anamfuata mume sio mume amfuate mke. Au unaamuliwa kila kitu na mke wako Apostle mtumishi wa Mungu? Wewe una mamlaka ndani ya nyumba mwanamke hajapewa nafasi ya kutawala hata biblia imeandikwa. Sisi tumeambiwa tuwaheshimu ila wao watii. Mwanaume yupo juu ya sheria amepewa mamlaka hata Adam alipewa mamlaka na Mungu ya kutawala bustani ya eden sio hawa. Ukikubali na kujishusha ya mwanamke utaonekana dhaifu.
misiba ya matajiri tunawaachia matajiri.sisi maskini ni dua tu knachofuata n chepe fit6.kwsha
@officialChamboy
12 сағат бұрын
Daah jamaa wamekula chakula kizuri sanaaaa
@victornselu517
12 сағат бұрын
jiandae kwa lolote
@gracemil9714
11 сағат бұрын
Pole jaman, duh
@Team-dabuji-comedy
13 сағат бұрын
❤❤😢😢😢😢😢
@darajalakidatukilomgi2362
13 сағат бұрын
Ndoa iheshimiwe na watu wote
@sleeprelaxation8431
7 сағат бұрын
Akifa masikini husikii ndugu kelele, afe tajiri ndo ndugu wanajifanya mali za ndugu zao. Mali ni ha mke na watoto. Hapo wanaona mwanamke kapata utajiri sasa wana taka wamnyang’anye. Mashetani
@abuukamanda.s.mkenga6687
12 сағат бұрын
Ma wisfi bhanaa🙆
@veronicajohn7645
9 сағат бұрын
Angekuwa lofa Wala haya yasingekuwepo, angeulizwa make Mumeo anazikwa wapi akijibu tu kwishwa wanazika wanaondoka zao.
@anithawidambe7543
10 сағат бұрын
HAO NDUGU WAKOROFI SANA WANATAKA MALI ZA MAREHEMU. HIZO MALI ZOTE NI ZA MKE NA WATOTO. NYIE NDUGU NI MATAPELI KWANN MNAGOMBANIA MAREHEHEMU?
@JudithAdonis
3 сағат бұрын
Ndugu upande wa mwanaume cjui huwa wanakuwa na shida gan jamaaniii 😭😭😭😭 Most of time huwa wanaleta fujo and wakati mwingine hata muhusika akiwa hai yaaaan wanajiona zile mali ni za ukoo - mke anakuwa mnyonge !! Wanaume naomba muwe mnatupa nafasi kama wake ( ndugu ni muhimu sana kuwa support lkn usimfanye mkeo awe mnyonge kwao 😭😭😭 ) Hao wamepata wapi hzo nguvu za kumsumbua huyo Mama ? Huo ujasiri umetoka wapi ?
@abedysteven4930
9 сағат бұрын
Jaman muheshimu maneno ya marehem!! Ndgu muache azkwe alipo sema yeye akiwa na mke wake!! Heshimu maamuz
@cassianmkeko1514
13 сағат бұрын
RIP
@anithawidambe7543
10 сағат бұрын
HAO NDUGU WAMEHUSIKA KWENYE HICHO KIFO KWANN WALAZIMISHE KUTAKA KUZIKA? HUO NI UKOROFI SANA
@anithawidambe7543
10 сағат бұрын
NA NYIE KWANN MNAMNYANYASA MJANE?NA NDUGU UPANDE WA MME TUMIENI AKILI MKE WAKE ANA HAKI ZOTE HESHIMUNI KAULI ZA MKE WAKE KWANI NDUGU ZAKE MLIKUWA WAPI? MARA NYINGI HUWA WANA NYANYASA SANA WAJANE. SERIKALI MSAIDIENI HUYO MAMA WAJANE TUNA HALI MBAYA HESHIMUNI MAAMUZI YA MKE WAKE.
@asteriashios1852
10 сағат бұрын
Mke ana haki ya kumnzika mumewe hiyo ni Sheria kabisa ndugu Wana shida sana
@kennethbenjamin275
13 сағат бұрын
Duh
@DeusJohn-m6g
13 сағат бұрын
😢
@hellenngwilla550
10 сағат бұрын
Ndugu heshemuni maamuzi ya mke wake kwan mnataka kitu gani?
@elizasichone6104
2 сағат бұрын
Ukiwa masikini shida ukiwa na mali matatizo...ndo mana nikipata afu10 watu wanajuwa niko vizuri mana lazima wanione buchani woiiiii😂😂😂😂
@bonifasimichael1320
2 сағат бұрын
Mama simamia haki zako ao wengine Ni njaa zinawatesa. Ilo kaburi anazikwa kondoo mzima kbs.ndivyo inavyofanyika ili kusudi izuie kufa kwa watu ktk familia iyo
@graficitv4412
10 сағат бұрын
Mama hilder wangu pole jiran yangu
@Msafirimakini
13 сағат бұрын
😢😢😢😢😢
@DottoDotto-j6t
11 сағат бұрын
Jamani hao ndugu wanataka kuzikatu au niusulutani tamaa
@ScolaMasanja-fg7hi
12 сағат бұрын
Mzee huna heshima kofia gan hio nauzee huo
@SifaEmma
4 сағат бұрын
Uchawi na kurusha mawe na makopo stejini..mbinu za Samia na CCM kumushusha Diamond Platnumz 💯😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@zuhuramuhanga5400
2 сағат бұрын
wachaga ni waroho wamali
@lukasielibariki3181
9 сағат бұрын
Anajuwa apatauzika maana hataki
@mtulivu-ir1nq
Сағат бұрын
Haya mambo ya kupangia ukifa uzikwe wapi me sioni faida yake ukifa na kila kitu chako kimeisha popote kambi hata ukifa kwenye tumbo la samaki pw tu 😂😂
@nyabahailani3169
8 сағат бұрын
Wampe mme wake axike jamani
@CecyGeorge-vx9uc
12 сағат бұрын
Mali ndio kila kitu haujui
@tumainimwaifunga3884
10 сағат бұрын
Wampe haki mke wake jamani
@amox_enterprises
13 сағат бұрын
Guys nimekua wa kwanza Ku view hii video am sure ndani ya sekunde 3 baada ya video kupostiwa...😁 nipeni like zenyu wadau
@felixhaule
13 сағат бұрын
UCHOKO huo kulilia likes
@Rahima-kv6mn
13 сағат бұрын
Kwaiyo tukusaidie baada ya kuwahi 😏😏
@ShamsiMbago-n2q
12 сағат бұрын
Ila ndg wa mume duh
@linnerphilip4260
12 сағат бұрын
Ila Arusha😂😂😂😂😂
@msetikebwasi7270
Сағат бұрын
Africa tumekalia migogoro ya ajabu ajabu yu
@josephlukumay6920
37 минут бұрын
Arusha bhna
@magejuliani5293
12 сағат бұрын
Tuandike usia na Rita wanatunza usia kwa gharama mdogo Sana kwa mwaka
@verombwambo3703
14 секунд бұрын
Wanaume mjifunze kuwa na msimamo wa ndoa haya ona Sasa hii aibu
@olivernyange2349
52 минут бұрын
Wachaga si wanazikaga kwao ,ulipoolewa ulipaswa kujua umeolewa mchaga na wana mila zao na Ana ndugu pia kwani nikioa na undugu umekufa? Kaeni muelewane
@aishakambenga6191
12 сағат бұрын
Mama wa chakula mbona ana makasiriko
@StanleyBarushi
11 сағат бұрын
Umeonaaa eee kanikera kweli halafu hajachangia hata cent
@TakeAshot-sw2jn
11 сағат бұрын
R.I.P
@HellenKarungura
11 сағат бұрын
Mke kweli au? Mbona mkavuuu?
@israelkisaila8401
11 сағат бұрын
Wachaga wanamengi ndugu yangu,ukute hata yeye yumo,na hapo kitakachofuatia saivi,utasikia wanaanza kuuwana.
@ayoubbajuta4427
10 сағат бұрын
Ila god
@brysonmandari5694
2 сағат бұрын
Kwani Robaa na mjombaa wao wanasemaje?
@hassanthabit3726
12 сағат бұрын
Pumbavu mke wa marehemu huna haki za mwili wa marehemu. Kaka yake au dada yake mkubwa ndio mwenya haki Wanaokushauri hao tunawasiwasinao
@tuikezeezra1315
12 сағат бұрын
Sawa lakin Mali zake haziwahusu, wakae wakijua hivo, sema mke wa marehemu jicho kavu, half ukute Mali katafuta yeye lakin wanaanza kushoboka wao😮😮😮😮
@PendoPeter-rr4jk
12 сағат бұрын
Mke ndo Kila kitu ndugu SI angewao wao
@joycesarakikya4211
12 сағат бұрын
@@tuikezeezra1315umeonaee mkavu kama vile msiba ni wa jirani!
@philipombwambo1980
12 сағат бұрын
Huna akili wewe
@MariamNehemiah-ts9ul
12 сағат бұрын
Kuna vitu vinakera usipo simama unapoteza kila kitu,pia sio muda wote utalia tuliofiwa tunamuelewa😢@@tuikezeezra1315
@selemanimasatu2421
10 сағат бұрын
Watu wanawinda pochi ya marehem, pamoja na mzigo wa rambirambi .
@bigboys016
12 сағат бұрын
Kama cheti cha ndoa,kipo hakuna mtu kukatiza hapo mbele,
Пікірлер: 113