Taarifa ya kitambo sana kipindi kile Cha hanang. Kule kigoma
@abuuramadhan8093
14 күн бұрын
Yan Bashungwa hana wizara hata moja amabayo ameiweza yan nmizigo kwa nchi
@kiliantereba6502
14 күн бұрын
Tunataka na bandari kavu aliyoanzisha JPM imaliziwe, mbona mmeitelekeza. Hizo barabara zenyewe zitawaumbua mwaka wa uchaguzi
@mohamednyenyema997
14 күн бұрын
Kigambon muda si mrefu tutakua hatuvuki na vyombo mpaka sasa kivuko kimoja tu
@abuuramadhan8093
14 күн бұрын
Huyu bashungwa ni mzigo san sijui kwann mama hataki kumtumbua
@mataypanga5262
14 күн бұрын
Waziri umeelezea vizuri ila kutaja ilani ya ccm na rais ndio
@majaliwabwitonde6900
14 күн бұрын
Huyu Regional manager anaharibu sura ya mji kwa kujenga barabara za Kigoma, hasa zinazoingia mjini bila umahiri. Barabara njia mbili, moja iko juu nyingine chini, kwa nini
@kiliantereba6502
14 күн бұрын
Hizo barabara mnatudanganya. Hamuwasimamii wajenzi, wanatujengea vitu fake halafu mnalindana eti siyo upigaji. Ni upigaji tu.
Пікірлер: 10