Nakupongeza millad kwa kufikisha views 3 million KZitem
@zuhmas2
3 жыл бұрын
MashaAllah, Mola ampe Jannat Firdaus
@charlescosmas7823
3 жыл бұрын
Laizer somaaa iyoooo
@kassimrajabu7805
3 жыл бұрын
Hahaha
@adolphmwairwa4830
3 жыл бұрын
unapita na twitter za watu millard
@fadraj6899
3 жыл бұрын
Bwana Acha uhongooo Mtu tajili ni Nabii SULLEMAN hivyo sio huyo MANSA MUSSA sema nae ni tajilii ila sio ajawai tokea kushinda yeye . USSI DANGANYE UMAA
@kabyjxjrd9874
3 жыл бұрын
Point
@eliarichard9218
3 жыл бұрын
Msameehe.
@stephanosantus1317
3 жыл бұрын
noma san
@kingaboy3468
3 жыл бұрын
Daaah
@eliarichard9218
3 жыл бұрын
Ila kwenye Mabilionea wa views mmetishaa kama ulivyo sema.
SOMO MUHIMU KUHUSU UGONJWA WA TB (KIFUA kikuu) www.mrbunduki.com/2020/09/tuzungumze-kuhusu-ugonjwa-wa-kifua.html?m=1
@tonyspencer1928
3 жыл бұрын
Mansa kankani musa
@nass.pofficial4086
3 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/o6iNzZqLpoiQhY4 Jamani ile nyimbo yetu pendwa tayar imeachiwa rasmi
@abdallahahmedmmary225
3 жыл бұрын
HAKUNA ATAKAE FIKIA APO NA LEO HII WAZUNGU WALIFANYA HILA ILA 1280 ALIZALIWA
@rybotreiz4329
3 жыл бұрын
☹️Je wewe ni mtanzania? 🧐Je una kiu ya mafanikio? 🤨Je waweza pata muda huru wa kutumia simu au kompyuta yako masaa mawili kwa siku? 😲Basi jiunge na ukurasa wetu wa facebok ujifunze jinsi ya kutengeneza pesa mtandaoni BILA kuwekeza pesa Tembelea Www.facebook.com/successcheat 🤝Usisahau kulike na kufollow ili uwe unapata taarifa ya offer mpya za kutengeneza pesa mtandaoni kwenye muda wako wa ziada. Siku njema😉
@rumdeesonsoa1811
3 жыл бұрын
Kumbe watu wameanza kufarik wakiwa na umri mdogo tangu siku nyng tu, tofauti na tunavyodanganyana kwmb siku hz watu wanafarik wakiwa na umri mdogo. Mungu amlaze pema huko aliko, aliisaidia watu kiukweli.
@jumajustin5846
3 жыл бұрын
Ushawahi kujiuliza hivi vipofu wanapata ndoto? Kama ndio kiaje yan? wanaona nini? au zikoje yan? kama hapana inakuaje? See the answer by clicking the link below👇🏾 kzitem.info/news/bejne/wohvp4KIpXWSl20
@laizermathew3152
3 жыл бұрын
Kama ww ni CCM acha like yako hapa
@jallyjonster4006
3 жыл бұрын
Mansa Musa na Mobutu seseseko nani alikua na pesa???
@rumdeesonsoa1811
3 жыл бұрын
Si umeshaambiwa apo kwmb Mansa Musa alikuw na 400 billion dollars, sasa ukishajua Mobutu alikuw na dollar ngp ndo utapata jibu kwmb nan alikuw tajir zaidi
@jallyjonster4006
3 жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 sasa ndugu yangu mansamusa wame aproxmate tu sio kwamba ndo hela zake coz enzi hizo kulikuwa hakuna technology but Mobutu seseseko yeye ni wa juzi tu alikuwa na hela chafu yani watoto wake walikuwa wanasoma day ufaransa walikuwa wanaenda na ndege asubuhi ufaransa then jioni wanarudi congo sasa apo nani ana hela
@rumdeesonsoa1811
3 жыл бұрын
@@jallyjonster4006 ata kama wame estimate lakn huo utajir wa Mobutu pia ni estimated. Na hiyo kusoma day ufaransa ata matajir wa sasa akina Jeff bezos, Bill Gates na wengne kwan unataka kunambia hawawez kuaford? Kujua nan alikuw tajir zaidi tafta historia zao kwa wote wawili
@jallyjonster4006
3 жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 historia zao zote nazijua that's y nakwambia Mobutu ndo alikua na pesa
Пікірлер: 31