Viwanja vya soka vitakavyoandaa mchuano wa Afcon mwaka wa 2027 vitakuwa tayari vyote kufikia mwishoni mwa mwaka ujao. Rais William Ruto amewahakikishia wapenzi wa soka ya kwamba kila kiwanja kitakamilika kabla ya mwezi desemba mwaka wa 2024, miaka miwili kabla ya mchuano kuandaliwa na nchi za Uganda Tanzania na Kenya.
Негізгі бет Talanta Sports City kuwa tayari Desemba 2024
Пікірлер: 9