Asante Mungu kwa kuliona hili naamini badadiliko yamekuja
@JulianaNdashikwaMsonga
3 ай бұрын
Amen MUNGU Aliye hai Awabariki Sana Watumishi WA MUNGU Kwa.kusema.kweli
@PastorMsigala
3 ай бұрын
Safi sana viongozi wetu MUNGU awabariki Sana watumishi wa Mungu🎉
@jeremiahsimon9043
3 ай бұрын
Asante kwa uwazi huu juu kweli ya MUNGU. Visaidizi vimebeba nafasi ya MUNGU na kuwafanya watu waweke Imani zao kwenye Visaidizi kuliko MUNGU Mwenye uweza ndani ya Visaidizi hivyo.
@sirshijathegreat4526
3 ай бұрын
Hivyo visaidiz unavyovisema haviwezi kuchukua nafasi ya Mungu, labda vichukue nafasi za wachungaji, maana watumishi wa Mungu wa zama hizi ni waoga
@trophywilson7211
3 ай бұрын
@@sirshijathegreat4526hahaha
@patrickmunishi2277
3 ай бұрын
Haleluya matapeli wamekua wengi sana, bora mmekemea hili, pia kuna wacongo wako Tz wanafanya uganga kupitia jina la YESU
@godfreyhiza1075
3 ай бұрын
Haiwezekani kuuza vifaa vya upako na nguvu za BWANA zikashuka, lazima wanatumia ushirikina!!!
@hemedshalua2002
3 ай бұрын
Mbarikiwe sana kwa kuweka msimamo kuilinda Imani ya kweli
@barakamtallo5449
2 ай бұрын
Well done CPCT.God bless you all for this.
@FredNzunda-w4g
2 ай бұрын
Pointi kubwa sana wana wa Mungu naiman sauti yetu imefika
@SamwelMdamanyi
3 ай бұрын
Asanteni viongozi wetu Imani yetu ilishaingiliwa na matapeli.waendee na mambo Bali wasijihu na Yesu Yesu hajaagiza hayo wanayofanya
@FilemonRoman-f7u
2 ай бұрын
Mungu awabariki watumishi kwa kukemea usanii,wa kwanza ni mwamposa
@kanankiramungure
3 ай бұрын
Baraza Mungu Awabariki sana kwa Tankio Hilo la CPCT.tunakubaliana nalo kwa pamoja
@rev.musabalalarogersmusabalala
3 ай бұрын
Baraza Mungu awabariki sana kwakuweka msimamo sahihi kwa kanisa
@egbertlambert
2 ай бұрын
Tatueni matatizo ya washirika wenu,tafteni nguvu ya Mungu,sikuhizi ibaada zimekuwa za liturujia,siku moja ibaada 4, inaada saa moja na nusu mahubiri dk 20,kuimba na kwaya dk 60. *TAFTENI NGUVU ZA MUNGU
@ChristantusNyambo
2 ай бұрын
Usihofu ,usichukie ni wajibu wa kanisa,
@ElishaKasambo-yu5jt
2 ай бұрын
Mpendwa liturjia ni utaratibu ambao watu hujiwekea ili kumwabudu Mungu kwa wakati waliojiwekea , pia Ina beba matukio ya mwaka kama vile pasaka , chrismas Ujue bila muongozo mnaweza kikaa kanisani muda mrefu kwa sababu hamna muongozo Pia, hata dakika au saa yatosha kupata nguvu za Mungu, nguvu zake MUNGU hazina ukomo wa MUDA. AMINA
@KamandawaYesu24
3 ай бұрын
Mungu awabariki sana viongozi wetu
@andrewbilali9706
3 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe hakika viongozi wetu sasa nawakubali sana
@johnmakundi2415
2 ай бұрын
Mungu awabariki kabisa nimesubiria huu msimamo muda mrefu sana
@fredmyinga9007
3 ай бұрын
This far God have helped us. Mungu asimame na kanisa hili la mwisho
@ericaerasto2192
3 ай бұрын
Mungu awabariki
@denisbongore3098
3 ай бұрын
Ahsante sana watumish wa Mungu but pia waambieni watu ukweli mapambo n dhambi wanawake waachane navyo
@Faustinsafari-g5s
3 ай бұрын
Amen, Mungu awabariki.
@KasumbiLulyeho
3 ай бұрын
Amina hao walipe kodi wezi
@florencemengo7395
2 ай бұрын
Nilikuwa nimekata tamaa kwa namna ambavyo upentecoste ulivyokuwa unazidi kuharibika ila Kwa msimamo huu wa viongozi wetu NIMEJENGEKA UPYA KIROHOKUMBE VIONGOZI WETU MKO MACHO❤❤
@amosdaniel4596
3 ай бұрын
Be blessed
@AbdinegoNoel
2 ай бұрын
Safi sana mungu yuu pamojaja nanyi ameniiii!!!!!!🎉🎉🎉🎉😅😊😊@ B
@benedictmbise9672
2 ай бұрын
Mbona msianze na kumtukuza Mungu,hata Bwana Yesu asifiwe hamna
@YustongaoLosero
3 ай бұрын
Mungu atosha visaidizi vipotelee kwa waganga wa kienyeji
@deogratiusmpemba5413
3 ай бұрын
Kweli kabisa mungu awabaliki sana
@misitutfs6576
2 ай бұрын
Mimi sioni sababu ya kupinga ikiwa we we ni Mkristo. Yesu, anatufundisha anasema viache vyote vifanyika, viote, vyote kwa pamoja LAKINI Yeye aliyeviumba (Bwana Mungu) anajua namna ya kuviengua.
@johnmbungo1971
2 ай бұрын
Wewe unatoa wapi maneno hayo
@MALIKIISAYA
2 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe watumishi wa mungu, mbalikiwe sana kwa msimamo huo
@LeventinaNyamya
3 ай бұрын
MUNGU awabariki sana wabeba maono wetu kwa tamko nzito hii ni sauti ya MUNGU kabisa
@zawadielisikay
2 ай бұрын
Mungu aturehemu naona sasahivy wapentecoste kufanya jambo nzr na ya msingi
@generosennko8343
2 ай бұрын
Asante kwa msimamo wenu sahihi juu ya hili jambo. Tamaa ya pesa na utajiri ndivyo vimewafikisha baadhi ya wachungaji wa kipentekoste ktk upotoshaji wa neno la mungu. Get back to the truth. And let the truth set those pastors free. Damage is already been done accross the board. But the grace of God is sufficient to forgive and cleans us once again.
@GeraldMyuku
2 ай бұрын
Safi
@peterkaji7552
2 ай бұрын
Safi sana sana tumechoka na hayo mambo ya uzushi wa manabii feki.
@reganerasto5161
2 ай бұрын
Amen bilashaka mmeiwakilisha mbingu vzr Mungu awabariki watumishi wake.
@casfeta-tayomimwecauchoir443
3 ай бұрын
MUNGU atukuzwe kwa ukweli huu aliowafunulia.Huo ndo ukweli ❤
@nashonkibayayu3776
2 ай бұрын
Ni maombi yetu kwamba, watu wakaelewa Nini msimsamo wa Imani yetu, tuliyo ipokea. Mungu awatie nguvu watumishi msimame katika kweli. Lakini pia, watu wafundishwe kujua nyakati na majira yaliyoko katika vizazi vyetu. Mbarikiwe sans.
@elibarikimollel7149
2 ай бұрын
Visaidizi sio viambatisho vya wakati wote,na kwa watu wote bali kwa wakati maalum,na watu maalum kulingana na jambo husika la maombezi na uponyaji wala haviuzwi.
@RobertJonathan-jm5um
2 ай бұрын
Aminaa Yesu azidi kutukuzws
@kitwanajohn8237
3 ай бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa BWANA
@BarakaMajura-m9v
2 ай бұрын
Amina watumishi
@nicolasnkembo4997
3 ай бұрын
Nimefrahi Sana Kwa Jambo hili
@lilianluhasi311
2 ай бұрын
Hakika Mtumishi wa Mungu aliye hai katika Kristo Yesu
@jacksonmatosha8895
2 ай бұрын
HAKIKA asanteni sana viongozi wetu wa kiroho
@FridaLisu
2 ай бұрын
Ameeeen,katazeni hii maana linakua kama ni upentecoste kumbe sio kweli
@kevinMwiva
2 ай бұрын
MUNGU awabariki saana
@EvarineMdaki
3 ай бұрын
Be blessed.
@joelmalomba2762
3 ай бұрын
Utukufu kwa Mungu
@juliusdonaldkikoti7313
2 ай бұрын
Safi sana nawapongeza sana KIONGOZI wetu wa cpct taifa
@EvansDaniel-ue4fc
2 ай бұрын
Amen Amen Amennnn🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽 God bless you Thaman halisi ya upentekost inatakiwa irudi in Jesus name
@MagangaMwagala
2 ай бұрын
Yesu hasaidiwi
@Bigeso-e9q
3 ай бұрын
YESU asifiwe
@MWINJILISTHURU
3 ай бұрын
Kwani Yesu na manabii wake anasemaje kuhusu hilo,
@trophywilson7211
3 ай бұрын
Yesu hakufundisha kutumia Vitu hivyo
@MWINJILISTHURU
3 ай бұрын
@@trophywilson7211 wewe ndio yesu
@barakathomaskibona1131
2 ай бұрын
Waooo 😊: 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@uumbajiwamunguniwaajabutv2584
2 ай бұрын
Mbarikiwe sana ila mbona ya machifu hamjakemea ?
@michaelrweyemamu1068
3 ай бұрын
Naunga mkono hili tamko
@gideonkiyiapi8026
2 ай бұрын
Ni kweli na hakika.
@atupelealfred
2 ай бұрын
That is true
@kevinMwiva
2 ай бұрын
Amen
@leutnatmisana5164
2 ай бұрын
Amen❤
@DanKanyange
2 ай бұрын
Safi sana
@AlfanIssaya-k8v
2 ай бұрын
Nakupongeza Sana baba ya ngu
@PASTORPETERMKIPAYAWORDOFLIFE
2 ай бұрын
Ni kweli kabisa.
@GenePlummer-u7d
Ай бұрын
Fernando Ridge
@pirminmatumizi5464
2 ай бұрын
HONGERENI CPCT. HATA HIVYO MUMECHELEWA SANA KUTOA TAMKO HILI. WATU TULIKUWA TUMEANZA KUUTILIA MASHAKA UPENTEKOSTE/ ULOKOLE
@florafaustine4637
3 ай бұрын
Ameeeeeen
@HezronZachariah
3 ай бұрын
Kazi yenu ni njema sana kwani 1.kuondoa mkanganyiko wa imani hasa kwa waamini wapya( wachanga) wanaopotezwa kwa makusudi wakidhani ndio imani ya kipentecoste 2.kuwasaidia watu wanaoibiwa na kutapeliwa waujuwe ukweli ibakie uamzi wao wenyewe.
@FrankBororo-dk1fv
2 ай бұрын
In as much as Jesus Christ is the same yesterday,today and forever,it means that anything that comes into contact with God's anointed ones today,can be taken to the sick,the poor,the demon-possessed,the barren and they will be healed, blessed, delivered and become fruitful.
@FrankBororo-dk1fv
2 ай бұрын
All you need to do is to believe in the one God has sent (John 6:29). Jesus Christ has done everything for us; all we need to do is believing in Him. Remember, believing is possessing. The instant you believe,you have it;the instant you believe,it is yours.
@LiberathTesha
2 ай бұрын
Tuweni na kiasi
@monicalyimo-v9u
2 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@frolianhulubano6358
2 ай бұрын
Hapa naomba kutoa ushauri, watumishi wa Mungu wa kweli hawa watumishi wa uongo washitaki kwa Mungu sio kwa serikali alafu tafuta nguvu za Mungu muache kula sadaka Bila kuifanyia kazi ili hata hawa wanaotafuta viambata wapate kufurahishwa au kuuona ukuu wa Mungu mnayemtumikia
@asherimtonga6335
2 ай бұрын
Nimeipenda hii ubarikiwe saana Wana KAZI ya kusema tuu hawaoneshi njia
@ognessntulilehi8809
2 ай бұрын
Huo ni msimamo wenu,sio wa kibiblia hamuwezi toa ushahidi wa hayo muyasemayo.Unashtaki Ili iweje?Nyinyi muende km mlivyoitwa na uwaache wenzenu waende km walivyoitwa.Mmepauka hamna nguvu za Mungu.
@CadiaOnesmo
2 ай бұрын
Una macho lakini huoni Mungu na akufumbue macho Yako ya ndani Amen
@laurentraphael5470
2 ай бұрын
Kanisa limelala na kuacha magugu kumea kila kona. Sasa watu wanapenda magugu coz they are looking similar to ngano. Mungu atusaidie
@PhillipKatabi
2 ай бұрын
Kwa msimamo huo, sasa nakubali kwamba upentekoste na wapentekoste wa kweli bado wapo Tanzania
@PastorRainAngel
2 ай бұрын
Kweli mmeishiwa La Kufanya, sasa Mwaanza Kuhukumu kwa Akili zenu, Mbona Hamuonyeshi Mungu wa Kweli Tubuni Mnadhani Mungu Ni Mpentekoste?
@NaomiSalewa
3 ай бұрын
Amen amen 100 kwa 100
@damasmkisi1835
3 ай бұрын
🙏🙏🙏📌
@fratelltutiilaudatosi4153
2 ай бұрын
Wote ni walewale mpsngo mzima ni ukatoliki
@Mch.AyubuDanielMassay
2 ай бұрын
Huo ndio ukweli dah!!! Watu wanachanganyikiwa maana umekuwa biashara
@MWINJILISTHURU
3 ай бұрын
Kumbe ni umoja wa pentecost tz ndio unapinga matumizi ya mafuta, nilidhani ni Yesu anapinga. Kumbe kikundi cha watu😂
@isayamwasile3103
3 ай бұрын
Hahahahah
@oscarwissa
3 ай бұрын
Wanapinga kwa kutumia neno la Yesu. Ambalo ndio kipimo cha mafundisho sahihi. Wanatumia neno la Yesu, kwahiyo kama ni neno la Yesu, basi anayepinga hayo ni Yesu mwenyewe.
@salummussa9871
3 ай бұрын
Msiishie kuzungumza chukueni hatua kwawatu wanaouza ambao wako chini yenu😊
@trophywilson7211
3 ай бұрын
Kweli kabisaa
@samuelErnest-s9q
3 ай бұрын
Hawapo cpct hao ila wanatanabaishwa na upentekestp ndo mana wamesem
@fratelltutiilaudatosi4153
2 ай бұрын
Wote ni walewale mpango mzima ni ukatoliki
@PastorRainAngel
2 ай бұрын
Hatunaga Upentecoste halisi But tuna Mungu halisi. Mitume na Manabii wamevuruga akili Zenu kabisa Mpaka mmechanganyikiwa, Tafuteni Neema nanyi mtafanikiwa.
@jesusfirstchurch4162
2 ай бұрын
Hao wanaofanya uganga makanisani katiba zao zipitiwe ijulikane walisajili kitu gani..wengine wanadai si kazi yao kuwaambia watu waache maovu ilimradi tu wamletee pesa..KATIBA NA MWONGOZO VIANGALIWE.. KAMA WANAKIUKA WAFUNGIWE.
@PASTORMphubusaZebedayo
2 ай бұрын
Natoa pongenzi kubwa
@jeremiahblazio4781
3 ай бұрын
Waacheni wapigwe siwanajipeleka wenyewe
@DastanDisimas
3 ай бұрын
Hakika MUNGU akubaliki kwakusema ukweri MUNGU akupe siku nyingi
@shadymoses5813
2 ай бұрын
Naomba Muundo wa kutambua na kusajili kanisa uwe hapa nchini uwe kama inavyokuwa kwa viongozi wa kisiasa (Yaani wawe wanachama wa chama husika ndo aruhusiwe kugombea nafasi ya kisiasa)hivyo, Sharti la msingi la kusajiliwa kanisa, kuwe ni lazima kanisa husika liwe mwanachama haya mabaraza CCT, TEC, CPCT, then haya mabaraza yasimamie practices za haya makanisa. Na yeyote anayekiuka, aonywe au ikiwezekana kusistishiwa uanachama na hivyo kupoteza sifa ya kusajiliwa hapa nchini. Hii itasaidia kukuza jamii inayopata mafundisho sahihi kwa utukufu wa Kristo Yesu. Muumini
@eliasisaya9693
2 ай бұрын
Kama munakubali ibaada ya jumapili hamuwezi kukwepa visaidizi vya kristo hiyo ni trela bado move yenyewe mtaona vituko vingi sana vya kilokole
@DrJosephNyakigali
2 ай бұрын
Kinachonishangaza pamoja na hayo yote watu wetu wataendelea kusongamana kwa Mwamposa na wengine wote wanaouzavitu hivyo, tatizo wengi hatusomi meno
@thomaskitemi3283
2 ай бұрын
Na tamko la ushoga tulitoe rasmi kama wapentecoste na dhambi zote.
@alexmaula7308
3 ай бұрын
Wafungiwe huduma zao..tusipojihadhari watatuletea Shakahola ya Kenya...Moshi mafuta yaliua..hizo ni biashara zao...upako hauuzwi...serikali amkeni
@gabriellyadam9415
2 ай бұрын
Unaumwa ww kaombewe
@eliasisaya9693
2 ай бұрын
Ikumbuke siku ya sabato
@CharlesMisungwi-f8t
2 ай бұрын
Wanamageuzi hao ndio hawakuzishindakuvuza shetani kwakuwa hawengi ndio wanaopiga lamuli zashetani ndani ya nyumba eti zaibaada kinyume kabisa na agizo laMungu.wengine hatakuzuiawauminiwao wasiende hospital .
@davidsimbeye1548
3 ай бұрын
Duh 🙄 taasisi kubwa kama CPCT hilo jambo muhimu sana la kuieleza serikali? Wakati mambo haya yangeweza kusomwa kwenye vya habari. Kuna vitu vya msingi kama vile makanisa ya CPCT kutengwa kwenye shughuli za uapisho wa viongozi wa nchi, kuna swala TBC kutumiwa na baadhi ya makanisa kurusha ibada ibada huku wapentekosti tukiwa tumenyimwa fursa hiyo. Kuna wimbi kubwa la mmonyoko wa maadili kama vile mambo ya ushoga na usagaji hayo hamhayaona? Hao wanaofanya hayo ya kuuza vifaa vya upako asilimia kubwa ni watoto wenu wa kiroho ambao mna uwezo wa kuwaita na kuwaonya kuhusu mambo wanayoyafanya kuliko kuiambia serikali serikali itafanya nini? Tanzania haina Ila watu wake ndiyo wanadini.
@ChristantusNyambo
2 ай бұрын
Usihofu,ni wajibu wa kanisa kutoa tamko kama hilo,kwani viongozi wa kiserikali wanachagiza hayo pia.tamko la ushoga lilitolewa 2023,swala la kusishwa kwenye kuapisha viongozi limefanyiwa kazi
@PantaleoEdward
3 ай бұрын
Ni jambo jema ila serikali inahusikaje na dini?
@MRHURUMAHuruma
2 ай бұрын
Hakuna mmiliki wa imani wala roho mtakatifu iman ni ishu ya mtu binafs hakuna mtu alyelazimishwa kuchukua kununua ama kutumia na hao wanaotumiaa hiz vitu hawavunji sheria ya nchi mhubiri mkubwa Benhn anauza vitambaa vya upako na huyo ni mzungu kutoka marekan jambo lingine waziri mkuu ni mtu wa imani nyingine hajuii chochote kuhusu iman ya kikrsto na upentecoste swali je injili ambao mmehubiri waziri mkuu nikuongea ujinga ujinga wenu nakudhalilishana kama ninyi mnatumiwa na Mungu kwann wale wa mafuta wamewashinda adi mnakwenda kulialia kwa serekali aibu kwenu kwa viongoz wa cpct mlipaswa kuhubiri kweli maana yesu alisema mtaijua kweli na kweli itawaweka huru kinacho wauma ni watu kununua maji au mafuta bas hiyo ni wivu maana huwez mtawalia mtu pesa yake asinunue kinacho mpa mtu aman mfano kama mtu kapata hela yake akaenda kununua pombe akanywa akalewa nani ako na uchungu kwann anunue achen chuki kila mtu afanye kazi yake kwa ufunuo alyo pewa na Mungu serekali plz isijaribu kuingia kwenye huu mtego wa mafarakano ya kiimani serekali haina dini na hawana kipimo cha ukweli wa nanani mwenye ukweli kama watu hawafanyi jinai msichonganishe serekali na dini na imani za watu la mwisho kila jambo na wakati wake na kila kitu ina sababu na mwisho shem on you maaskofu waziri mkuu alitaman kuska neno la Mungu kumbe anakuja kuambia shanga za upako massage ya upako utoto mtupu biblia inasema mtu wa kwenu akiwa na jambo juu ya ndugu yake msishitakiane kwa watu wa mataifa je si mnabaraza ya kwenu
@lilianluhasi311
2 ай бұрын
Una masikio Lakini husikii, Nakuombea Mungu aliye hai akufungue masikio uweze kuelewa
Пікірлер: 204