nyimbo za marijani zinanikumbusha mbali sana,naweza nikasikiliza siku nzima.chini kumebeba watu.
@amosmurabu2874
4 жыл бұрын
Pure,raw,undiluted music. Music without the help of producers,assists. Everything is so natural. RIP,Marjani.
@hebelmlagala5847
2 ай бұрын
Wimbo uliimbwa kwa hisia kali sana. RIP Marijan Rajab
@husnamohamed9448
5 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akusamehe dhambi zako jabali
@jjrussell081
6 жыл бұрын
Hizi ndizo nyimbo, siyo za hawa wabana pua wa kizazi kipya,RIP, you will always be missed
@restymlale6003
5 жыл бұрын
Nice song my favorite.
@josephyegella4816
3 жыл бұрын
We still love your music "Jabali la muziki" , a highly talented vocalist!
@robertwanasibwa7471
Жыл бұрын
What a masterpiece!
@dullamdete7905
4 жыл бұрын
Safi sana weken nyimbo za wanamuzik wa zaman
@GodfuryBirukila
4 ай бұрын
Nyimbo za zamani zilikuwa namafunzo
@jairusonindo691
9 ай бұрын
Jabali la mziki. Mawaidha bora sana.
@nyungwajunior1301
4 жыл бұрын
Jabari la muziki. Huyu aliyepiga midomo ya bata na aliyepiga solo gitar ni hatari sana. Kipindi hicho ukiwa na stress unashauriwa kusikiliza muziki lakin siku hizi miziki ndiyo inasababisha stress maana unasikiliza nyimbo huku una wasiwasi muda wowote mwimbaji anaweza kutukana kama sio kubaki nusu utupu.
@mariammnongo2149
2 ай бұрын
Nakumbuka mama angu jaman
@rajabumadenge5582
2 жыл бұрын
Nyimbo zenye mafundisho tosha
@aggreychoreh7030
6 жыл бұрын
music with clear message, gone r the days when music was music. good memories
o tized boy vc è o cara mano, unatukumbuka long time ago! ndani ya club ya amana ilala
@SangomaSengwaji
6 ай бұрын
Hakika huyu ni mwalimu hasa asante kaka yangu @sangoma mourice kunialika huku
@bonfacekivuyo9413
8 жыл бұрын
Nakubali sana nyimbo zazazmani kwani waliimba kilichopo nakinachoonekana walijipanga ndo wakaimba hongereni sana wakale
@halima3821
15 жыл бұрын
kweli ukeweze unatabu sawasawa maneno yanasema kweli Tizedboy asanteni kwa wimbo maridadi wenye maneno yanayotuilimisha maisha ya uke wenza
@evanschegerokonzolo7991
7 жыл бұрын
mashairi ya hekima uke wenza
@evanschegerokonzolo7991
7 жыл бұрын
wimbo was mawaidha kabisa
@flowila82
9 жыл бұрын
mola akupumzishe kwa amani jabal la muziki
@pudencianamlewa6486
3 жыл бұрын
Old is Gold
@charlesnyamu3753
8 жыл бұрын
Bila shaka hii miziki haitobanduka kwenye ulingo....chozi lanindondoka kwa haya mambo mazito aliyabwaga mwenda zake na tunayashuhudia miongo kadhaa baadaya...lala pema wee!
@robertalphonce3014
8 жыл бұрын
Mzee Marijani Alikuwa Gwiji wa Muzik wa kale,Na alijua kufundisha Jamii ilio mzunguka kwa nyimbo zake.
@jabirimussa2126
4 жыл бұрын
Marijan Rajab alikuwa fundi lkn, Mbaraka Mwishehe alikuwa fundi zaid
@mosesmulashani5124
Ай бұрын
Wote walikuwa na vipaji haswa! @@jabirimussa2126
@husseinomary4466
3 жыл бұрын
Pumzikeni wazeee wetu hongereni
@babawetu4343
11 жыл бұрын
The best of those days up to now
@skibezstc1141
3 жыл бұрын
Ni nyimbo zenye mafundisho ya hali ya juu na wala,kamwe haziwezi kuchuja na kuwa hazina thamani
@thadeimwingira1790
3 жыл бұрын
kweli ya kale ni dhahabu
@bramwelmasika541
3 жыл бұрын
A very nice song.
@SuperRUNANU
11 жыл бұрын
truely rich music all round men
@masieyidaglas7332
10 жыл бұрын
Memories are made of this message
@antipussamambile991
5 жыл бұрын
Nimekumbuka mbali sana
@lucysteven9621
9 жыл бұрын
Yan sitaman ata kusikia ukewenza.....yaliyonikuta imebak historia
@salmafabiani
7 ай бұрын
Nakumbuka mbali
@hamidabdallah5664
12 күн бұрын
🤝
@bashiriabubakaari2194
3 жыл бұрын
Marijan tajabu
@kelvinemajangah3450
6 жыл бұрын
2018 and still strong hujafa hujaumbika
@majurajohn4939
7 жыл бұрын
miziki yeti sisi wahenga
@salimakuluwa2063
6 жыл бұрын
Nzr kqwri nyimbo za zamani
@yasinmuona8198
7 жыл бұрын
mimi nakumbuka hapo nna miaka 14 nasoma mtejeta mpwapwa amakweli yakale ni dhahabu
@youngbesha1003
5 жыл бұрын
Sawa gwji la muziki nymbo zako hazichuji daima
@masungasamwel3583
11 жыл бұрын
Kiukweli nyimbo za kizamani huwa zinanifrahisha nakusahau mawazo,shida nayote matatizo juu yamaisha hususani marijan,je nitapataje CD ya nyimbo zake?
@enosbarasa6795
6 жыл бұрын
Huyu Marijani Rajabu ndiye aliyenifunza Kiswahili kupitia nyimbo zake zenye maudhui mazito. Nani atapinga nisemapo wimbo wa Mwanameka ni hazina kuu ya kusomesha methali? 'Sio mimi ni sababu ya mapenzi' unaondoa nta na komango masikioni mwa wazazi wanaowashurutisha wanao ni Nani wa kuoa na kuolewa naye. Sasa natarazaki kwa sababu ya Kiswahili nilichojifunza kutoka kwa Rajabu Marijani. Nakisia alifariki 1985. Mwenye uhakika anijuze.
@allymazige964
6 жыл бұрын
enos barasa nyimbo tam sana
@ericernest929
5 жыл бұрын
1993
@sakumunalakamanqanqax
5 жыл бұрын
Alifariki mwezi wa tatu mwaka 1995 (March 1995). Mwenyezi Mungu amlaze pema peponi
@abdulnyawaba4515
6 жыл бұрын
Jabal la mziki... R I P
@fredricketabale9377
3 жыл бұрын
Fanya mambo yako kulinga a na wakati wako ya kale wachia wakale yasije yakakudhuru
@coyoluo
13 жыл бұрын
AFRIKA NIKUPE NINI NDIO UJUE NAKUPENDA? OOOH AFRIKA!
@donaldkigali6300
5 жыл бұрын
Mausiha tele.
@daudikwileka2083
4 жыл бұрын
Kibao hatari sana hicho
@phillippetershayo9016
8 жыл бұрын
Kweli za kale ni Dhahabu.Nyimbo za zamani zina mafundish sana vizazi na vizazi bado zitapendwa.
@ahmadikilenga9392
7 жыл бұрын
Music
@janethmalegi9988
5 жыл бұрын
Kweli Kabisa wahenga tu japo tulikishia kuisikiliza tu hatukutakiwa kwenda disco
@doricefaridi1835
6 жыл бұрын
kuna wimbo nautafuta siujui jina lake ila una kisa cha kijana alimpeleka mchumba wake ulaya kusoma yule dada akamtumia picha siku anafunga ndoa na mzungu, naupataje huu wimbo?
@chachamadini9372
6 жыл бұрын
Dorice Faridi huo umpigwa na DDC mlimani park andika nanani aliemdanganya mchumba wangu
@doricefaridi1835
6 жыл бұрын
Ahsante sana chacha madini mungu akuzidishie kumbukumbu
Watoto watoto Sikia Muzak ya wakubwa truu mzazi kwer ni miziki ya wakubwa
@victormkebezi5599
5 жыл бұрын
Kwangu mimi katika dunia ya muziki hakuna km marijani. Hii ni dhahabu iliyozaliwa kwenye matope ikakulia mchangani. Laiti ingrkuwa zama hizi marijani ingekua dhahabu inayong'ara kila pembe. Pumzika pepa jabari dunia ya kibongo haina shukrani. Ulitenda yako mema hungoja shukrani nasi hatujalitambua hilo kukushukuru
@shabanibumbo2515
8 жыл бұрын
mm kila ninapomcikliza Marijani lazima nitoe machozi maana zinamguso.
@shaabanmusa5127
8 жыл бұрын
Duh kweli somo tuko Wengi lakini hatujuwani, Wacha aitwe Jabali
Пікірлер: 73