Nchi kama ina stock ya kutosha, kuuza mahindi yetu ni sawa tu, tena ni hatua nzuri sana tuliofikia, respect sana Bashe.
@mamboshepea8888
3 ай бұрын
Kwani imeanza leo!!! Mbona yalishauzwa kwa WFP hapo kitambo!!!
@mwalimumstaafu8529
3 ай бұрын
Siku hizi hatusikii mauzo ya tanzanite tunatamba kwa kuuza mahindi. Kweli waziri wa fedha unasimama kifua mbele kwa mauzo ya mahindi.
@swalehebakari8400
3 ай бұрын
Mdomo huo 🤐,🙄
@mamboshepea8888
3 ай бұрын
@@swalehebakari8400 wako ukoje???!!!😔
@GastoJohn-s1p
3 ай бұрын
Waziri Bashe ni mfano wa kuigwa, na wizara nyingine kama ya fedha, madini n.k, ziige kutoka kwa Bashe.
@brasolebasoto2434
3 ай бұрын
Wanaosema mwigulu kachafua video wagonge likee
@kaaakwakutuliaa5179
3 ай бұрын
ana gundu
@aloycesamba998
3 ай бұрын
Mimi ningependekeza tungewauzia unga sembe,Dona,makande,na pumba na sio malighafi,maana tungefanya hivyo tungeongeza Ajira kwa vijana wetu na tungeongeza Pato la taifa
@kalingaasukile8730
3 ай бұрын
Swala la unga ni process,hapo hata wewe unaweza Anza kuwekeza sio Serikali tuu.Hata hivyo CPB inauza Unga Malawi via WFP
@aloycesamba998
3 ай бұрын
@@kalingaasukile8730 Ni sawa Ila Hilo lilikuwa ni wazo tu na ndy biashara natanya
@tazrywiser5126
3 ай бұрын
@@aloycesamba998 kaka ebu elewa serikali ya zambia imetaka mahindi sio unga na uenda imetoa bei ambayo serikali inapata faida unataka isubiri inchi gani na lini ambayo itataka unga?
@amedeustesha5947
3 ай бұрын
Wote walioko hapo na usomi wao wala hawafikirii Hilo yaani ni hovyo kabisa. Wao wanakula chakula wanatupa majumbani kwao wanafikiria ajira yako kijana. Yaani hapo wanakuambia endelea kukimbizana na upepo huko ukiendesha boda ufe mapema
@martinisadru9899
3 ай бұрын
Mi, siungi mkono ushauri wako, sisi watanzania, wamiliki wa viwanda sio waaminifu sana, ni wachache ndio wa aminifu.
@matthewmichaelsylvester5612
3 ай бұрын
mungu akulinde ww ni kiongozi bora sana piga kazi kaka mungu yuko na wewe
@karolikisaka8991
3 ай бұрын
Ukiona mahali Kuna mwigulu ujue tumepigwa
@GibsonNtamamilo
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@NuruJuma-zv3yz
3 ай бұрын
😅😅😅
@razakimchopi9146
3 ай бұрын
Mwanashelia wangu ypo likizo
@rutashobyanovath1116
3 ай бұрын
Haaaaaaa haaaaaa
@MusaHamis-oz2rg
3 ай бұрын
Shenzi kabisa😂😂
@BIGBOSS-hl3bu
3 ай бұрын
NCHI inapaswa kuwa na maono makubwa zaidi ya hayo ,ikiwezekana kila MKOA wapewe matrekta /mapawer tiler hata 1000 ya bei nafuu ili VIJANA wapate ajira na taifa lipate CHAKULA Cha kutosha hatimae tutauza NCHI jirani ,BADALA ya kununua gari za kifahari ,Hongera mh H BASHE KWA KAZI NZURI ❤
@hadijamandanje6189
3 ай бұрын
Samahani bosi hivi power TILA ni suluhisho au Kuna za kisasa zilizo bora tofauti na zile nunazozijua
@bakarikayugwa3295
3 ай бұрын
Ndugu tuna viongozi vilaza kwa sababu hawajifunzi hata kwa rais wa Burkina Faso kashusha tractor 430 pawatira 750 bodaza mabwana shamba 780 mashine za kumwagiria 280 huo ni mwanzo tu Sasa hapa 😂
@paschalpaul3862
3 ай бұрын
Mh Bashe ajue mwiguru hakubaliki kwenye jamii tu tu tu tu
@saidabdallah2649
3 ай бұрын
Mashaallah Allah akuhifadhi na akulinde na hasad safi sana 👌🏻👌🏻👍👍🫡🫡🫡
@kabomaskabomas
3 ай бұрын
Mim nilijua tunawUzua unga kumbe mahind mungu ibariki tanzania
@yahayaallytv2852
3 ай бұрын
Safi Sana bashe angau wakulima wauze mahindi bei nzuri
@ScopionScopion-zj9cd
3 ай бұрын
hao wote wapigaji2
@abdulhajiahmed8735
3 ай бұрын
Kazi iendelee let's work continue waheshimiwa na wananchi
@mwalimumstaafu8529
3 ай бұрын
Mh Mwigulu kuvaa skafu haimanishi mzalendo wa kweli. Umeshindwa kuwatendea haki wananchi wa hali ya chini. Bajeti imejikita kwenye mapato lakini upande wa pili unavuja. Kumekuwa na matumizi ya ovyo katika awamu hii. Nchi imekuwa ya kutembeza bakuli na kujitapa. Awamu ya saba itabeba msalaba wa awamu hii.
@BabuGga-td3mg
3 ай бұрын
Huyo mzee anavyo vaa hiyo skafu na tai zake za bendera ya nchi utazani anayo yatenda ni ya kizalendo kweli
@BabuGga-td3mg
3 ай бұрын
Huyo mzee anavyo vaa hiyo skafu na tai zake za bendera ya nchi utazani anayo yatenda ni ya kizalendo kweli
@kalingaasukile8730
3 ай бұрын
Matumizi ya Hovyo ni yapi hayo? Wananchi wa chini wamefanywaje?
@mwalimumstaafu8529
3 ай бұрын
@@kalingaasukile8730 wewe umekula umeshiba subiri Gen Z utaelewa wananchi wa chini wanataka nini. Siwezi kujadili nawe endelea kula bata.
@kaaakwakutuliaa5179
3 ай бұрын
mwiguru hatufai kuwa waziri
@kalingaasukile8730
3 ай бұрын
Kazi ya mama inaonekana,miaka iliyopita NRFA walikuwa wananunua sio zaidi ya tani 250,,Sasa hivi imefika Tani Milioni 1
@DismasMaturine
3 ай бұрын
Dafi sana our leaders kututafutia masoko
@vocalizertz6868
3 ай бұрын
Ukiona nchi ambayo wanawake wana viribatumbo ujue chakula kipo ,safi Tanzania
@NixonJohnson-zn8nk
3 ай бұрын
Hatuna Imani na ba she,, mwigulu,, na spika... Nchi itauzwa hiii... Ndigai tunakumbuka use mine wako
@rayisadesigns2646
3 ай бұрын
Acha bange
@JumaNjiku-df1fd
3 ай бұрын
Kama nchi ni hatua nzuri tumefikia. Tani laki sita na nusu sio haba.Niwapongeze sana wakulima wetu ambao jasho lao ndilo limetuletea sifa njema sana na heshima kubwa kabisa. Hili litawatia moyo sana kwa kuwa na uhakika wa soko na bila shaka yoyote uzalishaji utaongezeka sana. Hongereni sana wakulima wetu; bila nyie siasa Ni kazi bure. Wanasiasa wao kila siku wana mikakati na kubuni misamiati kila kukicha.
@DitrickNjelekela
3 ай бұрын
Safi Sana kiongozi❤❤
@shyfettymtunda4619
3 ай бұрын
Tarehe 10 tena??Mbona mwanzo mlisema ni tarehe 1?Mnatuchanganya wakulima mjue. Tunaomba mnunue mahindi yetu wakulima kwa bei isiyo kandamizi ili nasi wakulima tufaidi jasho letu.Asante.
@amedeustesha5947
3 ай бұрын
Pumbavu mkataba wa kuuziana mahindi mnatuwekea Press tuone mkisaini mbona mkisain mikataba ya madini hamuiti press acheni kutufanyia maigizo
@PaschalGerad-xq4lw
3 ай бұрын
Huyu mwigulu anakubali chochote ata ukimwambia tz inauzwa yupo tiyali huyu mshamba Ana lololote kaziyake kumsifia huyu mama tuu mbona hawakuongea kuhusu ngorongoro kuhusu kufunga maduka Hatuon lolote mama yup nje anakulabata duh watz tuamke
@aishaalbalushaishabalush8291
3 ай бұрын
sasa kama mahindi na mazao mengine vipo vya kutosha kwanini msingewashushia bei raiya wa ndani kwanza wapate kununua chakula kwa bei nafuu ili watu shida na njaa zipungue? mnaenda uza nje wakat watanzania milion 50 wanakufa njaa hivi mnatumia akili gani hizo ?
@sharifamuhd4554
3 ай бұрын
ASANTE MH.KAZI IENDELEE
@joycmsokile9220
3 ай бұрын
Yuko wapi Mpina?
@edwardmollel307
3 ай бұрын
Maduka💯
@paulmteki8196
3 ай бұрын
Turudishie ela za ongezeko la sukari
@zachmaselle6635
3 ай бұрын
......tungewauzia unga tukaongeza thamani kwa kuajili watu kusaga mahindi...
@melanialeonard4031
3 ай бұрын
Kwan we mwiguru hujui kuongea maneno au ni madharau eeeee zazazaaa kukukuuu😏
@MasterOil-qm6vw
3 ай бұрын
Ila mwigulu tunataka TRA Iondolewe serikali iweke mfumo ambao mlipa kodi atalipa na pesa itaingia moja kwa moja hazina na sio kupita kwenye mikono ya vishoka TRA
@MohamedIbrahim-bn1gz
3 ай бұрын
Bashe naona yuko hoi sura yake inaonyesha kachoka sana
@noelngowitechnicalsolution
3 ай бұрын
Hongera mheshimiwa
@sixmundleonard2135
3 ай бұрын
😢😢
@zegelibilishanga6047
2 ай бұрын
Zambia wanatuuzia mahindi kabula ya hilo janga la ukame hawatangazi nyie kuuza mahindi munaanika kasherehe muonekane mko kazini hakuna jipya
@DismasMaturine
3 ай бұрын
Safi sana
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
3 ай бұрын
❤❤
@daudmasanja9483
2 ай бұрын
Mbona tar 10 imepita
@lenniefei6710
2 ай бұрын
Kama mahindi yapo hadi ya kuuzwa nje vp bei ya unga iko juu hivi jamani
@gasparlubaga5866
3 ай бұрын
Mimi ninachojua kuvaa skafu sio uzalendo
@smallscaleminingsupplies9670
3 ай бұрын
Six hundred five thousand, be serious big man 650,000 tonnes
@barrynzeyimana6270
3 ай бұрын
Nyazifa nyingi hufanya mtu azeeke. Bashe na mwiguru wamezeeka
@BeatusNgereza
3 ай бұрын
Mpina wapi2
@hamzakimaro3764
3 ай бұрын
basi serekali inunue mahindi kutoka kwa wakulima kwa bei nzuri,maana bei ya mahindi imeanguka sana,haiwalipi wakulima,maana mahindi yakianguka bei wakulima watakata tamaa ya kulima mahindi,mwisho kutakuwa na balaa la njaa!!
@gasparlubaga5866
3 ай бұрын
Yaani hawa watu siwaamini hata kidogo
@omarybakunda2554
3 ай бұрын
Mm ni mkulima kweli mapaka sasa mahindi hayajapanda nimeshinwa kuyauza.
@HeboniBabu
3 ай бұрын
Kumbe maindi mnayo Sasa kwanini mnauza unga Bei mbaya punguza Bei ya chakula Kwa wananichi nchini
@mazulacelestine3038
3 ай бұрын
Nyinyi kama serikali,mnaporuhusu kuuza mahindi nje, serikali imeshanunua mahindi ya akiba? Sio mnaruhusu baadaye njaa ituume,inakuwa haina maana, serikali nunueni mahindi ya kutosha,ili kuzuia mfumuko
@WilbertMalula-vv7ml
3 ай бұрын
AIBU
@RamaaTz-sz8yd
3 ай бұрын
Hii imeenda
@EvaMbilinyi-c8e
3 ай бұрын
Tunashukulu kwahatua nzuli
@reginaldmapunda6702
3 ай бұрын
Ni sawa lakini bei ya mahindi iko chini sana. Hivi ni lini serikali yetu itakuwa inafidia bei za mahindi na nafaka nyingine pale bei zake zinaposhuka ilinkumwondolea mkulima hasara wanazopsta kila mwaka? Lakini la pili ni kwa nini hao wasiruhusiwe kununua moja kwa moja kwa wakulima?
@shufaamnyoty5626
3 ай бұрын
Kwani kuna mahali umesikia wananchi wamekatazwa kuuza moja kwa moja? Umemsikiliza vizuri Mh. Bashe?
@reginaldmapunda6702
3 ай бұрын
@@shufaamnyoty5626 Naongelea kuwa na mipango endelevu na ya kudumu sio mipango na maamuzi ya kutegemea matukio.
@reginaldmapunda6702
3 ай бұрын
@@shufaamnyoty5626 Naongelea kuwa na mipango endelevu na ya kudumu sio mipango na maamuzi ya kutegemea matukio.
@saidramadhan71
3 ай бұрын
Mnauza chakula njee kweli na nchi yetu inanjaaa
@MohamedAhmada-ie7ke
3 ай бұрын
Acha ujinga uwo
@henryndosi2002
3 ай бұрын
Njaa Iko wapi wewe nyumbu
@abufirdaus4254
3 ай бұрын
Lima mvivu wewe...njaa alaf unakaa kijiweni...unataka wakulima wakulimie wakuletee chakula Cha bure?
@hadijamandanje6189
3 ай бұрын
Niko Mimi Kuna njaa lakini Haina maana mtu aliefanya kazi na akajaaliwa kuvuna apate hasara Sababu ya njaa zangu Nina Imani tutapata tu chakula
@omarybakunda2554
3 ай бұрын
Acha upumbavu wengine tumeshindwa kuuza mahindi yetu bei iko chini. Acha uvivu mbwa wewe
@revocatussebastian2427
3 ай бұрын
Serikali iliopo imeokota embe dodo chini ya mwarobaini wanyonge mtajijuwa msimu wamatajiri kuchekerea nakuvuna
@joycmsokile9220
3 ай бұрын
Mpina Yuko fit, na siku zote atakuwa fit,
@MohamedIbrahim-bn1gz
3 ай бұрын
Fit wapi bwaba mtu muongo kama nini
@renatusblandes1131
3 ай бұрын
Zambia pia niwazalishaji wakubwa wa mahindi
@KhamisOmar-kt4kz
3 ай бұрын
Matapeli
@JUSTNEMITOMINGI
3 ай бұрын
Uza unga uza na pumba mpate hela mtaacha lini ujinga
@stallonerney369
3 ай бұрын
mbona mi naona kule Zambia ndo wanalima sana mahindi au
@robertphilip385
3 ай бұрын
Waziri asiefa
@josephlorri431
3 ай бұрын
Imeenda hiyo..
@YonaMayenja
3 ай бұрын
Kila kitu mnataka kufanya nyinyi Akira zitaongezeka vp
@IshipalemyPasko
3 ай бұрын
Hio mbwa hapo nyuma ilio vaa skafu ya bendera ya taifa siipendi. Linajidaigi lizalendo na linamapenzi na nchi ya Tanzania kila nguo lazima livae ikiwa na bendera ya taifa. Kumbe kuma kabisa
@fidellujo8362
3 ай бұрын
Mnajusafisha Kwa tuhuma za mpina🤣
@AshaMussa-kk4yv
3 ай бұрын
Nitalima kwa nguvu zote
@MethodkifokaMethodkifoka
3 ай бұрын
Kwani wao hawakurima
@IbrahimSimon-bi9gi
3 ай бұрын
Ukame bro
@aikt.
3 ай бұрын
Fursa kwa wakulimia,
@user-ii7yn2sd3i
3 ай бұрын
Kakibaigwa itanoga asee
@DaudadamMwansasu
3 ай бұрын
Tuwaombee na wazambia watu letee sukar
@msafirisaimoni9561
3 ай бұрын
Mimi nashangaaa serikali yangu jamani yani wao wamesaini kuuzia zambia mahindi na mahindi wanaolima n maskin wa watz why??😂😂😂
@jumashedafa
3 ай бұрын
Sikiliz itakuw umesoma heading tu
@yonawinga9971
3 ай бұрын
Tanzania Siyo manikins ndugu tupambane tuu
@JUSTNEMITOMINGI
3 ай бұрын
Ndo wasomi wetu hao bola vyuo tufuge ngedele
@IsayaSosolo-nx8zk
3 ай бұрын
Wao wapewe mahindi bora yasiyo bora atatumia nani?mnatuona sisi watanganyika wakula chakula ambacho siyo bora siyo? Acha ujinga wewe!
@MasterOil-qm6vw
3 ай бұрын
Piga kazi bashe wewe ni miongoni mwa viongozi wachache wazalendo wa nchi hii kuna wapuuzi wanataka wakuchafue ambao hawana nia njema kwa watanzania
@denisipaulo7785
3 ай бұрын
Mnazidi kuwabana wafanya biashara ok mzee wa mpina
@tazrywiser5126
3 ай бұрын
Wee kweli hujui, yaani serikali inatoa pesa kununua ili mkulima asipate shida ya masoko sasa ulitaka hayo mahindi ambayo serikali inayanunua yaozee ndani kisha msimu unaofata pesa nyingine itolewe kununua mahindi ambayo mwisho yanakwenda kuoza hapo wewe ndio utaona waziri kafanya jambo zuri sana
@tazrywiser5126
3 ай бұрын
Na ufahamu serikali kuingilia kununua ni kufanya inchi iwe na akiba lakini yale yanayozidi lazima yatafutiwe soko ili angalau baadhi ya pesa irudi kwa ajili ya msimu unaofata ,kingine ni kufanya bei kuwa nzuri maana ukiwaachia wafanya biashara wanunue peke yao wanashusha sana bei kwahiyo wakisikia serikali inanunua inawafanya nao waongeze bei ili kuyapata
Пікірлер: 126