Unapowaona raia wa ki-esia hapa kenya taswira ya senti na utajiri inakujia. Lakini je, wajua kuwa nchini India yamo matatizo chungu nzima sawia na hapa Kenya? Na je, wajua India pia ina jamii zinazozurura barabarani bila makao rasmi almaarufu chokoraa? Mwanahabari wetu mpekuzi Mohammed Ali katika pita pita zake mjini Mumbai India alishuhudia hali hii haswa
Watch KTN Live www.ktnkenya.tv...
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya
Негізгі бет Taswira ya jamii zinazozurura barabarani bila makao rasmi almaarufu chokoraa nchini India
Пікірлер: 26