Baada ya kumalizika Kwa mchezo wa nusu fainali ya kombe la shirikisho Azam Kati ya Yanga Vs Simba iliyomalizika Kwa yanga kuibuka Kidedea Kwa goli 1-0 uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Msemaji wa klabu hiyo Haji Manara ameonesha Jambo la kustahajabisha mbele ya wachezaji na viongozi wa timu hiyo Kwa kuvua shati na kuruhusu wachezaji wapite juu...
#yanga #manara #simba #pablo #asfc #feitoto
Негізгі бет TAZAMA ALICHOKIFANYA MANARA KWA WACHEZAJI NA UONGOZI WA YANGA | AVUA SHATI. ANENA JAMBO HILI ZITOO..
No video
Пікірлер