Tazama, Bwana ananitegemeza mimi.
Ee Mungu, kwa jina lako unisalimishe.
Kwa nguvu yako unifanyie haki.
Ee Mungu, usikie sala yangu,
uyasikilize maneno ya kinywa changu.
Kwa maana wageni wamenishambulia;
watu wakatili wanaitafuta nafsi yangu;
hawakumweka Mungu mbele ya macho yao.
Tazama, Mungu ananisaidia;
Bwana ananitegemeza mimi.
Kwa moyo mkunjufu nitakutolea sadaka,
nitalisifu jina lako, ee Bwana, maana ni jema.
Негізгі бет Музыка TAZAMA BWANA ANANITEGEMEZA MIMI - Zaburi ya dominika ya 25 Mwaka B. MoHeA Studios.
Пікірлер: 2