Giza na nuru zina shirika gani toeni giza katikati ya nuru tumuabudu Mungu mtakatifu....I love munishi he is the greatest true gospel singer
@madumamaduma8571
8 ай бұрын
Mungu anavyo mtumia mnishi. Siyo kwamba atamtumia hivo hivo Christin Shusho. Mawazo ya Mungu si sawa na mawazo ya mwanadamu. Njia za Mungu hazichunguziki. So tusimhukumu. Tujipe muda itajulikana baadae, Kama anaongozwa na Roho wa Mungu ama la.
@stanleywaweru1714
5 ай бұрын
AMEN
@charlesjohn2794
5 ай бұрын
From Kenya tumeanza kuogopa waimbaji wa nyimbo zainjili hasa wanawake toka tz
@Mwasame_Official1
5 ай бұрын
Nikweli kabisa
@eliebongwa8971
4 ай бұрын
wakuwa ya kwamba biblia inasema kwamba Siku wana wa Mungu walipokusanyika pamoja ,naye shetani akaja karibu nao
@JOHNGitau-wk9iy
4 ай бұрын
Mimi pia wamenishangaza vya mno. Niliwaenzi kwa dhati lakini sasa imekuwa kinyume
@agnesspaul1866
6 ай бұрын
Tusihukumu iyo ni kazi ya Mungu pia tutambue kimbadiridha mtu Mungu ana njia nyingi sana huenda ndo mwanzo wa kaokoka daimondi
@mnjaladonald9834
4 ай бұрын
Shusho Tamaa Ndio imekuingia..... Everything is vanity.....Nyimbo zako za kitambo zilikuwa zanibariki sana lakini.... pesa na umaarufu umekutoa kwa Mungu....Tafakari
@eliudnjenga9385
Жыл бұрын
From Kenya shusho kumbuka ulipoanguka mrudie YESU CHRISTO diamond unawakilisha ufalme upi na wewe ufalme upi mimi sielewi ingawa kenya tunapenda nyimbo za injili kutoka tz kiukweli mmetuangusha sana hivo sio YESU tena ni sifa na umaarufu huyu dada alianza vizuri ila asipohubiliwa aokoke tena naona hatari kubwa sana
@antonykongondo592
Жыл бұрын
Ubaya wa kuishi bila mume
@حسن-ح7م1ق
Жыл бұрын
Waabudu halisi wataabudu katka roho NA kweli sio nyimbo my dear ww muombe Mungu amsaidie but dont judge the bble says judge not
@antonykongondo592
Жыл бұрын
@@حسن-ح7م1ق wakristo halisi wanahukumu dunia dadisi Biblia halisi kaka/dada
@harrietajiambo229
Жыл бұрын
Siz juwa Kuna gospel singers wengine ni freemason kama Mondi
@stellamarisokoko1073
Жыл бұрын
Shetani anamnyakua tu mungu amkomboe.
@JohnNyasi-xb7sy
6 ай бұрын
Wewe dada hachana na tamaa humaharufu maisha mazuri na cheo vinakuondoa kwenye reli ya Mungu hayo yote yanapita lakini neno litasimama
@tunumigila8995
5 ай бұрын
Yesu alioshwa miguu na kahaba. Ukiwa mkristo u got to be very wise.
@bernardotieno4735
4 ай бұрын
Kongole sana Dadangu
@godfreyteeny768
Жыл бұрын
Dada shushu jua vizuri Leo utukufu wa Mungu humwacha mkisto kwa njia hii.hujamtendea Mungu hakiii
@حسن-ح7م1ق
Жыл бұрын
Judge not son of man pray for her and God said true worshipers shalk worshipers in true and spirit
@protuskhaoya
Жыл бұрын
Christina na Rose muhando nyinyi mumeshapotea na Sasa injili yenu haina ladha ya Mungu,Munacho tafuta ni hela na jina.... poleni dada zangu.
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Huu NDO ukweli mm nimecheka na nyimbo hizi wanazindua mmmh kazi ipo
@lillianmunyaka2417
Жыл бұрын
Ndio rafiki
@dorkal4248
Жыл бұрын
Yesu Christo yuaja karibuni na sio karibuni tuu... wakatu wowote. Kama ilivyokuwa.. Dagon na sanduku la again hazikuweza kaa katika chumba kimoja. Ni kuokoka Diamond ameokoka? Kama hivyo sawa... bila hivo mjue tu madhabau ni moja tu na ndio maana mko katika umoja. Ila mungu wetu naye ni wa wivu.. hatoshiriki jukwaa na madhau ingine yeyote isiyomwinamia.
@johnnjenga8001
Жыл бұрын
The line between righteousness and the world is becoming undistinguishable Come Lord Jesus Christ!!
@penguinngwini3933
Жыл бұрын
righteousness doesn't exist in this world my friend,,,if you think you are righteous then you are mistaken and remember Jesus used to eat and drink with sinners alafu tena yeye amekuja kama mkurugenzi wa Wasafi TV alah naweza eleza mpaka kesho,,,,,Wasafi ndo mojawapo ya media ambazo zitafanya hii album itambe zaidi
@daughterofzion200
3 ай бұрын
Thanks 🙏 🙏 @@penguinngwini3933
@patriciamakia4509
Жыл бұрын
Nuru na giza hafichanganyikani.Christina Nakuombea mungu akurudishe kwenye njia yko .lkn hapa ujanibariki kbsa zaidi ya kusikitika.mungu akuponye
@rebekamwahegwa939
Жыл бұрын
Hakika ni ufalme mwingine ulijivika utukufu wa Yesu,lakini Sasa simba wa kabila la Yuda kautwaa utukufu wake na kuiwekawazi nguvu inayotenda kazi ndani ya huyu dada.
@williammakali1759
6 ай бұрын
KWA hiyo mmeona mwenye dhambi wa kumhubiri ni yeye tu, au na kakorosho kana changia. Yesu alisema Asiye kuwa na dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe, ..ikawaje? Msimlilie yeye, lilieni nafsi zenu na vizazi vyenu. Halafu toeni maboriti yenu kwanza kwenye macho yenu ndo mweze kuna banzi vizuli. Mwacheni mtoto wa watu, Yesu alimfia siyo nyinyi.
@mksimon8849
Жыл бұрын
Siamini kumbuke Yuko siku za mwisho,watu wanajificha Tu Kwa Neno God for give us
@rosengowi847
5 ай бұрын
Kuzimu inafanya kazi kwa kasi sana🙏🙏dear Lord we need U more
@erickjanelleogaja455
Жыл бұрын
Shusho utukufu uliondoka kitambo Sana, Ata ajibambe, alete waziri na msheŕati diamond..nothing will change.
@carolynewandera2843
Жыл бұрын
May God deliver your soul from the kingdom of darkness...😭😭😭😭😭😫
@harrietajiambo229
Жыл бұрын
Huyu alienda kushika watu nimtumwa cheza ww
@isayajuma5870
Жыл бұрын
Mungu akimbadilisha Diamond mtaona paulo.tunaeza hukumu saa zingine kumbe jamaa anaitwa
@leahmollel6589
Жыл бұрын
Mungu utusaidie! Pesa pesa pesa 😭😭😭🙆♂️
@ububyutse
Жыл бұрын
Pesa..another god🤷🏻♀️
@marygacheru9311
Жыл бұрын
Shenani anatumia tamaa ya pesa.
@stellamarisokoko1073
Жыл бұрын
Pesa ilimiua yesu,shusho jamani
@elishaowino4599
Жыл бұрын
Dada kumbe uliacha kushanyika na wanaho tafuta Mungu kwa haki. Kasome kitabu cha 2Timothy 2:22- 26. Pole Sana .
@liliannyangweso8033
Жыл бұрын
Nipe macho nione nione ee! nipe macho nione sawa sawa! E bwana umenichunguza nakunijua wewe wajua kuketi kwangu nakulala kwangu! Christina listen to those two songs and go back to God, I'm praying for you
@ruthkahezani6597
Жыл бұрын
Wakati alikua na nguo tatu mbaya mbaya upako wa bwana ulikua juu Yake, Leo hi nguo moja ni ya mamiloni ya pesa hadi anasaidiwa kuibeba lakini uwepo wa Bwana umemuacha !!! asipo mgeukia Bwana mwisho wake ni Zaburi 73
@ububyutse
Жыл бұрын
Oh noooooooo😭
@RogerLwamatwi
Жыл бұрын
Shetani kwa Siku hizi anavutiya watu wa Mungu Sana tena Sana. Dada huyu alisha potea Kabisa. Hamuna lakubishi. Tutawatambua kwa matendo. Diamond yeye mwenyewe anamuonyesha Shushu njia yakuzimu
@williammakali1759
6 ай бұрын
mbonA mnamsonga Sana, hamna mambo yenu yakufanya. Chunge I Sana vidole vyemu, mnatisha.mwacheni mtoto wa watu, au vipi, mlitaka nyie ndiyo mzinduliwe? Mna lenu jambo.
@georginakadazo5303
Жыл бұрын
Huko siko dada shusho Giza na Nuru haviambatani kwani ulijiunga huko pia ww ooh God give us mercy
@susanthomas9120
4 ай бұрын
Yesu alikuja kwa wenye dhambi si watakatifu. Alikula nao na alikunywa nao Diamond ni mfano mzuri wa Christo alivyo fanya katika bibilia.
@irenenzula478
Жыл бұрын
Waleteni wote kwa yesu, congratulations Christine shusho and diamond God bless you
@antonykongondo592
Жыл бұрын
Yesu yupi Barabbas ama Kristo hapa kuna njama tega sikio utaskia hivi karibuni
@simonmdune9066
9 ай бұрын
Nonsense
@MonicaCyprianAtoyo
6 ай бұрын
Mungu tusaidie ileile roho iturudie nakusihi mungu
@janetnduku7954
Жыл бұрын
She has been my favourite but now I withdraw myself.
@mnjaladonald9834
4 ай бұрын
Giza na nuru zinashirika gani, toeni giza katikati ya nuru, tumuabudu mungu mtakatifu, katika roho, na pia kweli, yesu ni kweli tena ndio uzima, na njia ya kutufikisha mbinguni, Mungu ataka sote tumuabudu katika roho na pia kweli, ewe shetani pepo uliomchafu nakuamuru kwa jina lake Yesu, toka nani ya kanisa lake Mungu uende kuzimu ukachomwe moto, tumegundua hila na njama zako, tukuabudu wewe ni kama nani?tunae Mungu wetu yehova, sifa utukufu ni wake milele
@celinecindy7018
Жыл бұрын
CHRISTINE SHUSHO AMA NAOTA??!!! NYIMBO ZAKO ZA KITAMBO ZILIKUA ZINANIPA NGUVU ZA CHANGAMOTO ZA MAISHA! YOU WERE MY BEST!! NAKUMBUKA UKIMRUDISHA RINGTONE WETU KWA GOSPEL I SALUTED YOU!! SASA UMEAMUA KUMSALITI YESU LIVE UKAJIUNGA NA JUDAS ISCARIOT!! 😮😮 MAY GOD RESTORE AND FORGIVE YOU IN THE NAME OF JESUS!!!
@edwinandrew1674
Жыл бұрын
Kwani hapakuwa na wachungaji mpaka amuite mondi...😢..dadangu umepotoka kweli
@musyimibenson6380
Жыл бұрын
Wana wa Mungu tafadhali,chunganeni sana na wana wa dunia maana watakuwa na akili mingi kuwaliko nyinyi,si Mimi ni biblia imesema.
@francisndeleva1077
Жыл бұрын
Shusho we loved you in Kenya but now..... Mhhh you have joined another kingdom we can only pray for your soul.
@stellamarisokoko1073
Жыл бұрын
Exactly 💯
@LizLiz-tt2il
Жыл бұрын
You and which where who Kenyans????? Speak for yourself manze
@lucymlewa2229
Жыл бұрын
Remember our call is to bring those from darkness to the light,stop judging huenda ikawa njia ya diamond kutoka ufalme wa giza,mliambiwa msijudge
@lucymlewa2229
Жыл бұрын
Remember our call is to bring those from darkness to the light,stop judging huenda ikawa njia ya diamond kutoka ufalme wa giza,mliambiwa msijudge
@estonkagota1454
9 ай бұрын
We umechizi nini? Diamond is there for business@@lucymlewa2229
@MILDREDKAFUNA
9 ай бұрын
Shida na watu ni kushabikia vya dunia lakini nyimbo za roho mtakatifu hawazithamini mda mrefu.. Mungu utusaidie
@gideon546
Жыл бұрын
🙏 🇹🇿 - Sijaona Diamond PLATNUMZ akiwa Mnyenyakevu kama Vile. "May "GOD" ALMIGHTY BLESS Everybody and Bless Tanzania and AFRICA. HALELUYAH. AMEN. 🙏🙏🙏
@stellamarisokoko1073
Жыл бұрын
Anajifanya Simba ambae amenyeshewa,atamtafuna shusho vibaya sana
@mercose1
4 ай бұрын
Shocked....next tutajionea maajabu
@rosemarysuwi9293
Жыл бұрын
Usihukumu usije ukahukumiwa ukiona mtu kapotea muombee kimya kimya.usihukumu kila hukumu ya mtu IPO mikononi mwa mungu..huwezi jua pengine ndo njia ya kuwaokoa Hawa watu wa dunia..mm sijui nn kipo katikati.kati ya Hawa watu na mungu.anajua mungu mwenyewe.mwacheni mungu afanye kazi yake panapomhitaji zaidi🙏🙏
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Hawajahikumu Ila Ni KUONYANA hapa WENGI tunajifunza JINSI shetani alivyo mhalivifu
@lillianmunyaka2417
Жыл бұрын
Weweninimupumbavu
@blandinamichael7001
6 ай бұрын
Safar ya mbingun si lëlëmama,,haktaingia knyonge,imeandkwa ufalme wa mbingun utatekwa na weny nguvu,,si nguvu za kiume wala kfedha,,n nguvu za roho mtakatifu pekee,,apo shushu jehanamu inakusubir kwasababu shetan ametawala maisha ako kwa %100 na hawez kukuruhusu utoke mikonon mwake ikiwa tayar ulikua mtumish wa mungu
@lotimwansule5017
Жыл бұрын
Toka leo nimeacha kusikiliza nyimbo zako shetani ana nguvu sana .
@naomiwachiya6507
Жыл бұрын
Nyimbo hazina shida, muombe dada yetu
@janejohn4257
Жыл бұрын
Mungu niwetu sote hongera sana diamond kwa kujal
@EverlineNgige
5 ай бұрын
May be Mungu anamtafuta kwa njia hii nobody knows and Ican't conclud Mungu ananjia zake ,na njia zake hazichunguziki
@odettedogupastor4068
8 ай бұрын
Yoo kesha sana mama SHETANI asikunyanganye talents yako
@DorisAchieng-y7q
4 ай бұрын
Ni kweli... giza na nuru haviendi pamoja
@Mercyline-l5n
Жыл бұрын
Venye nlimwona na mapete kubwa kubwa nlijua kna shida ona sasa.mungu tteteeee
@phylliskegenyo1940
Жыл бұрын
Hiiiiiiiii iliendaaa.shusho alienda.. mbinguni tulipoteza . Mungu shuka usitumane😢😭😭😭
@williamwekesa6109
Жыл бұрын
Diamond muisilamu shusho mkristo dini hizi ni tofauti haziambatani
@jacksonjombo7221
8 ай бұрын
Samahani Iyo profile photo yako ni logo ya freeemason kama umeiweka kwa kujua ni sawa kama ni kwa kutokujua itoe
@christineachieng2229
Жыл бұрын
Nilikuwa napenda nyimbo zake lakini sahi ameuwa moyo wangu 😭😭😭😭💔💔💔
@ericksocrates254
Жыл бұрын
Pia na mimi
@ericksocrates254
Жыл бұрын
I still like her songs. But let her glorify God for all this.
@antonykongondo592
Жыл бұрын
Hii imegulwa hii imeenda
@SharonEndesha
Жыл бұрын
Hata Mimi nimeshangaa
@mercywaruguru1067
Жыл бұрын
Na kila kiumbe na kimtukuze Mungu ata shetani mwenyewe
@StacyBellah-gp5ne
Жыл бұрын
Shusho has been my favorite gospel singer but now 😢😢 .. Darkness is overcoming light... Have mercy on us oh God ...
@betsebamwenda4379
Жыл бұрын
Pray for her my dear it's very true there is no any connections between light and darkness the woman now the way you have chosen. Did you heard the voice of God Any way we can't judge we are not God.
@maonoprayercentre351
Жыл бұрын
Walisema aliinamia askofu ampee pesa ya album lets pray for her tusimuhukumu
@ububyutse
Жыл бұрын
Last days my brothers & Sisters 😭
@carolynekanaiza
Жыл бұрын
At Mimi simpendi nikama amejiingiza Kwa cult,huyu Christine hayuko bure
@jacintamwikali7211
Жыл бұрын
What next christina shusho favourite 😢😢
@franciswere928
Жыл бұрын
Christina shusho ulianza vizuri but you've lost on your way
@natashataraji312
Жыл бұрын
yes mluminati na mtu wa mungu hawapatani kamwe kamwe giza na niru havichangamani kamwe
@shukurujeff4094
Жыл бұрын
Pole ndugu,kwa ku jiunga katika hali iyo
@emanuelnyab9872
4 ай бұрын
Nyakati za mwisho, Christina umechemka vibaya sana
@MuhindoEdmond-oe8lx
6 ай бұрын
Heri mwisho kuliko mwanzo...Mungu ametoka kati yao zamani
@VicentTarimo-z5z
4 ай бұрын
Duuuuu Yesu wangu?
@jedidahmikisa1870
Жыл бұрын
The problem is when the Holy spirit leaves you he doesn't leave with what he brought with him. You will be there thinking the holy spirit is there because you still have the voice you still speak in tongues and perform miracles that you used to do before. Christine it's high time uamue whethe you are in the world or in Christ I pray God restores you back this are end times you just can't afford to fall back that way wewe ungemfanya diamond aokoke badala ya yeye kukuvuta Kwa dunia
@alphoncemgombera
Жыл бұрын
It is very difficult to reverse this, it started very far darkness my dear in Christ,what we are seeing evidentially is the manifestation of blood covenant which is irreversible
@naomiwachiya6507
Жыл бұрын
You are right
@elishagwivaha
Жыл бұрын
Sjaelewa christina shusho ninayemjua ndo azinduliwe na Diamond aaah makosa
@NeemaSimon-yi1eh
Жыл бұрын
Uko sahihi awa awajajua ukuu wa yesu Bado wanasumbukia pesa Dunia mungu 2 saidie wanaangalia pesa Awana shida nayesu saiv na yesu amewaacha wafate akil zao zisiso faa wa2 wangu wanaangamizwa Kwa kukoxa maarifa hsea 4,6
@TimothyChaka-ws3zh
5 ай бұрын
Mungu Ndie Aje yote..
@obadiajumamkaria2568
Жыл бұрын
Iyo ninjaa nakumthalilisha YESU wakidunia wataokokaje
@JESCAEMMANUEL-nq2pb
Жыл бұрын
Nisaidie Hilo andiko unalosimamia uniponye
@Kangemi-si6ch
Жыл бұрын
Shusho Noooooo!😢Mungu akuregeshe
@MwathiAnthony-tz6tr
Жыл бұрын
tongoza afu oa au ni oa afu tongoza? kama lengo ni kuvuta mwanamwali kwa Bwana harusi sioni kosa.......huyu wa thamani kuliko mimi na wewe tulioolewa tayari,Amen?
@EMMANUELMLEWA-d7t
Жыл бұрын
Sijaona kitu ya kuhukumu mtu hapa, huezi kemea pepo kabla hujajau source ya hiyo spirit.We must humble and let your spirit to discern what brought these two people together.... If you doubt their union,then pray for them to serve the true God.
@deborahkambua9522
Жыл бұрын
True , Mungu ni wa sisi wooote wooote
@alphoncemgombera
Жыл бұрын
Habari Yako!!!! Christine haupaswi Tena kusalimiea Bwana YESU asifiwe
@magdalena7223
Жыл бұрын
Kwishiney babujii 😢😢😢😮
@MpunduwanawakeongelavipigeniVi
Жыл бұрын
Jamani ivi ni shushu yule ninaye mujuwa awu nimwi ngine? naota awu? Iv umemutupa yesu kwa ajili yapesa sister kumbuka ulipo angukia🙆🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@ElyMinja
Жыл бұрын
Kumekuchaaa niwakat Sasa shetani kufanya kazi wazi waziii
@kimemori8540
Жыл бұрын
Shusho umeshaamguka,unafanya biashara tu Sasa Shetani na watu wake wanakutumia ,Siku za mwisho zimefika ,wana wa Mungu tazameni malango wanayoingia watu Hawa msishiriki nao
@afwililenisaidie9597
Жыл бұрын
Jamani waimba wachungaji maaskofu na sisi wakristo tunaenda wapi mbona tunafukuzana na dunia kweli iko wapi mbona hiv shusho e
@jemimamuenimutuku5417
6 ай бұрын
Yesu alikua Kwa waovu Sio,Kwa wasio waovu.
@TrupsyOfficial
5 ай бұрын
Ndio lakinii hapa sio
@sigorijoseph4977
4 ай бұрын
Huyu mama kashafanya mambo na mondi hana sifa tena
@yesutuatosha1460
Жыл бұрын
Tuendelee kumuombea huyu Dada yetu Christina Kuna mahali ameuacha upendo wa Kwanza sasa anaenda mwwnyewe. Mungu amsaidie ili apate kujua Ni wapi alipo anguka akatengeneze upya na mwokozi aliyemuita. Tunaweza kutafuta kuwa na umaarufu,majina makubwa, pesa nyingi na kila aina ya ufahali lakini tusipo kuwa ndani ya Kristo ni bure. Like:16:19-25
@bnje
Жыл бұрын
weng kusoma biblia wanajua kuelewa sasa ndio shida ilipo wengne wameishia kua wanafki mbele za mungu binadam tunajipa umungu tunakosoana wenyew hahahahahahahahaha wew unajiona uko sahihi mbele za mungu ?
@judith5112
Жыл бұрын
Hawa waimbaji naona wamepotea,huyu shusho na rose muhando,wameshika njia mbaya kufkia saai,shetani amewateka kabisa,,tangu lini Giza na Nuru vikachangamana? Mungu wa mbinguni awasaidie hawa na wapate ufahamu Tena jaman.
@devidrashidi
Жыл бұрын
Kwel kabisa
@saxisarinah7425
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@levinamathias8507
Жыл бұрын
Mungu akubariki umenena vema
@oseeluvv
Жыл бұрын
Watu wanajifanya watakatifu sana hapa ...... christian Yuko sawa kumbuka hata mwanafunzi walipo muuliza Yesu mbona unaketi na mtoza ushuru...... Usihukumu usije ukahukumiwa
@ronniekabito991
3 ай бұрын
Sawa na kweli Yesu alikaa na Kula na watoza ushulu na waovu sikwa sababu yao kumudhamini Bali yeye kuwafikia na wokovu. Hawa walikuwa wanatengwa na Jamii hawakuwa na fulsa la kuja Kwa mungu ndipo ili mpasa mungu/Yesu awafikie. Sivyo Kwa Shusho na Rafiki yake huyu. Huyu jamaa ana njia zote za kusika na kumpokea Yesu lakini aja Fanya ivyo
@KidotiMichael-qh9rj
Жыл бұрын
Muombee daimond aokoke sio kuvunjwa moyo
@VictoriaNgadada
Жыл бұрын
Kwa Mungu kila got litaolpigwa
@getrudemaluku414
Жыл бұрын
Those are baby dimensions bila Yesu hutoboi Baba Mungu usfunge macho
@nyiramugiranezaariela4907
5 ай бұрын
Yesu mixing
@SporaAlfamtewa-jb7ki
Жыл бұрын
Hatua uliofika so nzur dada
@AnchilaMpalile
8 ай бұрын
Kweli kabisa Giza nanulu haviendani uko sahiii
@puritykenda9574
9 ай бұрын
I thought I was the only one nasumbuliwa na hili Jambo
@JoanWayadi
5 ай бұрын
I totally agree with you even if God wants us to bring the sinners to him
@GeraidinaJonathan
10 ай бұрын
Kweli giza +nuru
@TuaircachimoNantola-po7oo
Жыл бұрын
Naomba mungu akusaidie sana ili umrudie mungu wako
@nderekanoella817
9 ай бұрын
Ngoja tuone matokeyo 😮😮😮😮
@hellenambasa5715
Жыл бұрын
Ya kwanza diamond atumbu na aokoke Dio injili iedelee bila Dunia kwisha shetani anaguruma kwa funzo , mungu tuokoe sasa tunapokuita
@patrickmunishi2277
Жыл бұрын
Christina shushu simwelewi Tena, nilisha mtua kabisa
@pollinejakait
Жыл бұрын
Me sijawai penda nyimbo za kumbe zina andamana na gizi
@beinamatheka799
9 ай бұрын
Tangu lini Giza na mwangaza zikapatana
@shalomnanjala379
5 ай бұрын
Luka 5 inatuambia Hata alipokwisha kunena aliwambia Simoni tweka mpaka kilindini mkashushe nyavu zenu mvue samaki Simoni akajibu akamwambia bwana mkubwa tumefanya kazi yakuchosha usiku kucha tusipate kitu lakini kwa neno lako nitazi shusha nyavu bas walipo fanya hvyo walipata samaki wengimno 🙏🏻 na neno la bwana lipewe sifa Shusho ame shusha nyavu
@Jehovarohiband
8 ай бұрын
Ona jinsi yesu nansbyotuksnwa juu ya watu wanayejifanya ety wanamhubiri
@stanelykariuki-ue3cw
Жыл бұрын
C meamini christina shusho tena nyakati za mwisho nuru ikageuka kuwa giza
Dada alianza na roho kamalisa kwa mwili mungu amurehemu gal 3v3
@Duanny-jm8fr
8 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
@godyaminieli9259
Жыл бұрын
Ingekua vizuri iyo album angeizindulia church na uyo mond aje kanisani sio mliman sity... Lakin pia watu wapo kikazi awapo kiroho... MUNGU ATUSAIDIE TUU
@RachelMligwa
5 ай бұрын
Hivi ni kweli we bint umeshajiunga na Freemason yaani Diamond anazindua Albam yako hata mtumishi mmoja wa Mungu hayupo
@joybarasa-u2o
6 ай бұрын
My people are perishing due to lack of wisdom, Mungu akuhekimishe dadangu,
@dorotheasamwel8071
5 ай бұрын
Hapa ndio anafurahia pa kushikiliziwa nguo 😢....
@paulineakoth6534
6 ай бұрын
Nashangaa. Mungu amrehemu Shusho
@miriamnjuguna1342
5 ай бұрын
Christina shusho tubu kabla maafa yajakupata God still loves you
@JudithJudy-f5t
9 ай бұрын
Mungu ni WA wote jamani
@wasilajonas8395
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa awa wanafanya ya mwili sio ya kiroho
Пікірлер: 659