May Allah shower down all His blessing on uh Diamond.uh such a kind hearted person
@charlesmyamba8531
2 жыл бұрын
Mondi mi sijawahi waelewa wasafi lakni leo nimeyapenda majibu yako mungu akupe miaka mingi zaidi
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Mmmh
@hamisisalim8793
Жыл бұрын
Allah akujalie mr nasib abdul aka diamond ,akupe umri mrefu broo,akujaze subra,kuwa na moyo wa huruma kaka,achia mbali majungu,ipo siku harmonize atakukukmbuka
@lingolnmunala1938
2 жыл бұрын
Harmonize good bless you I will love you so much look forward bro ✌️🌿👏👏👏
@muhundaramadhani5057
2 жыл бұрын
Angalia chimbuko lako konde siyo kushindana . Mondi salutes brother
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Pamoja sana braza
@fatumasamiasuluhuog8696
2 жыл бұрын
Mungu atakubariki mara 7 usabini mond nakupenda cna
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
🥳🥳🥳💯
@tatuissa1699
2 жыл бұрын
Mwenyezimungu akuzidishie kwaimani yako mdogo wangu subra yavuta kheri wala usimjibu mimi naumia je wewe pole sana kaka
Kiukweli mungu atakulipia wanafikiri kuwa na vipaji ndo umeshatoka huku mtaani kuna vipaji vingi sana lakin wanashindwa kutoka kwa sababu hawana wafadhili au pesa huwez kutoka bila kutoka pesa kwanza hata kama unamlipa mtu lkn je bila kukupokea yeye ungetoka pole sana mondi najua unapitia magumu
@zainawaziri8994
2 жыл бұрын
Love diamond
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
🥰🥰🥰
@zaisele7305
2 жыл бұрын
Pambana kaka ww ni. Jembe nakukubali sana miaka
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Mkali sanaaa
@danielybernard4342
2 жыл бұрын
Hivi mnajua kwamba siri ya hamo na diamond ni ishu flani za kuchanganya sana but ukweli ni kwamba hata kama mtu kakufanyia ubaya sio umtangaze huo ni unafiki but angepotezea huo ndo ubinadamu hamo asituchoshe
@sizile.samwel5610
2 жыл бұрын
When people get power always wanna be and play 'GOD' around the people they helped and wanna be worshiped..
@careenpatrick2759
2 жыл бұрын
Huyo mmakonde akauze shanga kariokoo,, asituletee ushamba wa kelele za kiswahili SIMBAA,,,,vita sana🥰🥰🥰🥰
@muhundaramadhani5057
2 жыл бұрын
Salute ,Salute
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Salute broo
@joshuaalinanisabikwa8014
2 жыл бұрын
Nakubal Sana mwamba 🥰🥰🥰👍
@kinjowadad2422
2 жыл бұрын
Pole sana Diamond ,usikufe moyo we zindi kuwainua malipo utoka kwa mwenyezi Mungu ,hata kama ulimkosea ,naona mauzuri uliyomtendea yakiwa mengi mno kuliko maubaya so usife moyo pole kwa yote na uzindi kuinua wasanii kama kawainda yako.
@singeremmanuel5141
2 жыл бұрын
Diamond is not a good person..ni hater
@gastonponera7962
2 жыл бұрын
@@singeremmanuel5141 he is the best, you are jealous of him.
@mwanaidimuhamed6540
2 жыл бұрын
Mi Dimond nampenda kwasababu Hana hasira za kijinga mtu akikosea kidogo Tu unatoa siriiii zote ah mi sijapenda huyo harmo maneno anayotapika hovyo mi nimekupenda mondi unavyojuaga kunyamaza endelea kusonga mbele achana na watu wenye wivu
@ummiti4784
2 жыл бұрын
Diamond nakukubali saana,, bila wewe hakuna mtu angemjua harmonize hata Bongo star search walimkataa,, usijali baba wewe fanya kazi mungu anaona
@ashulamusin9811
2 жыл бұрын
Tena alikua km mgonjwa
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😭
@rosejohn7543
2 жыл бұрын
@@ashulamusin9811 kama katuni
@rachelnjau2556
2 жыл бұрын
Very good Simbaa wewe ni mbegu hapa duniani, fanya tuu Mungu hatakuacha
@muzhokanta
2 жыл бұрын
Yah broo😎😎ayo ndo majibu ya Kiume xixi tunatafuta pesa atutafuti Kiki 😂
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Kabisaaa
@muzhokanta
2 жыл бұрын
@@24timesmedia64 mond xahiv mxhua ukimchafua xawa xawa kama unajichafua wew tu
@muhundaramadhani5057
2 жыл бұрын
HATA kama Kuna mapungufu Harmo tumia hekima usitKe kumdharitisha brother wKo Mondi
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
kaZi ipoooo apioo
@princesniether2174
2 жыл бұрын
Mungu atakulipa baba kwa nafs yako uliyofanya Mung akutie nguvu Bab najua upo ktk wakt Mgumu Mung atakubark baba.
The lion king of the world .....rule your world bro..... don't ever give up.lazima waongee tuu!!.
@bizzleadam9895
2 жыл бұрын
Ww Acha Uswahilii Babuu...." Nenda Karoge huwez Kumpangia MUNGU Cha Kufanyaaa
@muhundaramadhani5057
2 жыл бұрын
Big up BROO endrlea kusaidia watu wapumbavu watakubeza ila swali je wao kwa nafasi zao wamewasaidia wangapiiiiiii? Keep it up Simbaaaaaaa
@alizelfc3434
2 жыл бұрын
Harmonize is crying,,its look really hurting if what he says if true,anyway msikizane kw wema because hii n Dunia tu 😭na ya Dunia yatapita..
@ibrahimluondo6524
2 жыл бұрын
Huyu jamaa n balaa
@manassehayako1820
2 жыл бұрын
Mbona huwezi saidia mzee Nasib babako mzazi?
@muhundaramadhani5057
2 жыл бұрын
Maisha Mapito na Hadithi endelea kujitHidi iwe hadth nzur
@johnmunyoro4428
2 жыл бұрын
Wewe usimtaje mungu kwa msaha. Diomod mungu atakupa saratani ya koo. Wewe unamuogopa mungu unaoa kila sk na kuacha. Mwanao anateseka mwaza. Una roho mbaya kama sura yako.hakuna tajiri humsaidia maskini mnapata wote lakini maskini akipata akili na bindii mafanikio ya maskini was wasi kw tajiri
@HN_AFRIC
2 жыл бұрын
😅😂😂😂😂😂
@danielybernard4342
2 жыл бұрын
Usimuombee mwenzako jam bo baya kama wew kulihimili huwez
@bugowanje4638
2 жыл бұрын
Hapo sawa sana
@sizannkondeye1227
2 жыл бұрын
Mondi mtu asiyekuelewa hawezi akajua umuhimu wako, umewasaidia wengi sana, ila wale uliowasaidia baadhi yao hawana shukuran sijui ni kwa sababu ya mafanikio walio pata ndio yanayo watesa au nikukosa uelewa lkn siku wakijs kujitambua watakuewa vzr, ss hajapata kuonana na ww lkn tunajua umuhimu wako hii ni kutokana na misaada uliowapa vijana wenzetu na wengi wao saizi wameshafanikiwa kimaisha, mungu akujalie hekima, upendo na utulivu kwa magumu unayoyapitia kumbuka wahenga walisema tenda wema nenda zako usisubiri shukuran, na wakaongeza kuwa shukuran ya punda ni mateke, endelea kutenda mema mungu ndo anayejua atakupa kinachositahili kutoka na wema wako. Never give up 💪..
@athumankiboko8335
2 жыл бұрын
Dahhh aisee ww jamaaa ww kama kweli unayoyasema ni ya kweli Mungu basi akuongezee ila dahhhhhhhh
@mimifineliving2022
2 жыл бұрын
Hii mbona ya zamani sana
@zaisele7305
2 жыл бұрын
Pambana kaka yangu
@faridamohammed7221
2 жыл бұрын
Diamond you keep helping people God will give you baraka keep it up
@victerkanje1697
2 жыл бұрын
Achana nae baba malipo yako utayakuta kwa mungu.
@wilsonmwenda7286
2 жыл бұрын
@@victerkanje1697 💥💥💥
@mussaagrey5679
2 жыл бұрын
Good boy
@siyaringo1267
2 жыл бұрын
Hapana,Diamond waache unaowasaidia wakafungue lebo kwa nn unawang'ang'ania waachie bwana kuwabana hiyo ni tabia mbaya,acha majungu na kuongea uongo,unaua vipaji wewe 'una Roho mbayaaaaaaaaaaa sana
@ronaldiregi3248
2 жыл бұрын
Basi kubali harmonize afanye kazi yake kwa amani
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Nakubali mzee ronald
@ronaldiregi3248
2 жыл бұрын
@@24timesmedia64 sawa
@atonizeh.entertainmentbran5706
2 жыл бұрын
Nachojifunza hapa Ni uvumilivu/ bidiii Na Upendo.
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Good
@victormunene9171
2 жыл бұрын
Achana na uyo, akwende uko
@teereecehd2416
2 жыл бұрын
kuwasadia ama kujinufaisha. you take 60% which does not take any weight kusema unawasaidia
@happynjukiz6495
2 жыл бұрын
Wangapi walikua wanataka hata hicho kidogo
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Duuh kaZi ipo
@egonemmanuelkudaba4945
2 жыл бұрын
@@happynjukiz6495 wao wamemuona harmonize sasa ivi amesha kuwa star ila alivyo kuwa anasotaaa kitaaa hawakuona kipaji chake
@happynjukiz6495
2 жыл бұрын
Kama unafikiri ni rahisi nunua ukwaju peleka kwa Azam arafu omba akusaidie kufungasha na kuingiza sokoni.
@jackyouumeme9633
2 жыл бұрын
Mziku waa Mac voice mpya
@maymatha7959
2 жыл бұрын
Kumbe unamjua mungu
@geoffreygideon3614
2 жыл бұрын
Inategemea unasaidia mtu namna gani.
@abednego3876
2 жыл бұрын
Hiibni ya 2019
@Steadymelodybrown
2 жыл бұрын
Kwa nini mnapoteza poteza sauti bwana aaa
@respicehekima1958
2 жыл бұрын
Wewe haumu weze tembo🇨🇩
@neemalaizer507
2 жыл бұрын
Pole simba
@jeremiahnsananiye1365
2 жыл бұрын
Huyu mpuuzi tu mbona humsaidi babako
@donathafrancis9973
2 жыл бұрын
Diamond umesema VIZURI.Achana na hao wanaokusema vibaya.Hata cc wenye umri mkubwa tunakupongeza.Songa MBELEEEEEE
@muhundaramadhani5057
2 жыл бұрын
Konde mnafiki tu , akumbuke alikotoka siyo baada ya kusaidiwa na kufanikiwa Kaanza kumvimbia kaka yake aliyemuibua . Shukran ya punda mateke
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Binadamu tumeumbiwa kusahau
@jaberjohn7556
2 жыл бұрын
Diamond be human your behaviors are becoming lethal . You are not helping you are doing business. Kindly be a Muslim and speak the truth. Final advice go to school let money not control you. Money has a season
@wizzkhana2456
2 жыл бұрын
Yes good advice if r u Muslim
@omaryally5555
2 жыл бұрын
Mnyonyaji
@nzeyimanajidah5691
2 жыл бұрын
wanakuonea gere baba
@robe661
2 жыл бұрын
Hayo mapembe kichwani yanamaana gani
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙌
@bugowanje4638
2 жыл бұрын
Ajibu kisomi alisoma
@ramadhanmohamed1712
2 жыл бұрын
Wew uliosoma upo wap unateseka tu
@nelsonadenmwanchejel1740
2 жыл бұрын
mulizeni vnzr atazila aposio mda anakuwepa kwepa
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
🙄
@marwanyansiri1279
2 жыл бұрын
Mac voice
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Hana ishuuu
@ndulububinza8077
2 жыл бұрын
We mnafiki ti
@mwanahawabakari718
2 жыл бұрын
Mungu anakujua wewe lini umeenda kuswali
@pascalmakondo7976
2 жыл бұрын
Diamond unajikqnyaga Ila mafisi inakusuta
@fabbulous2
2 жыл бұрын
diamond anaona kama pesa hazowezi kuisha
@christinapaschal3190
2 жыл бұрын
Unamsaidia mtu lkn kwa lengo la kujinufaisha wewe sio kumsaidia
@sommnetengineeringltd6117
2 жыл бұрын
Kamjibu kisomi yeye kasoma wapi awe msomi fafanua
@halidimgonza5945
2 жыл бұрын
kwenda huko mnyonyaji mkubwa Harmonize kaondoka kw roho mbaya yko
@slamboyimoto3390
2 жыл бұрын
May God bless harmonize,this guy is a hater
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Amen💯
@waltermfikwa4361
2 жыл бұрын
Zingatien kigugumiz cha mtu anaejieleza,,,,,,,,, coz uwongo hujitenga na ukwel
@mwanahawabakari718
2 жыл бұрын
Mwombe mungu msamahaa wewe
@fatumahassan1371
2 жыл бұрын
Kama umsaidiaji kamsaidie babako😏😏
@sayyid8291
2 жыл бұрын
We humjui Mungu unajua miungu watu Mchawi wewe
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Khaaa! Kazi ipoo apoo
@purityangle
2 жыл бұрын
Diamond bana ulikosea sai tuseme tuu unajirekibisha ungeeza kubali msanii wako awe nalebo yake saii tuu ndio umekubali msanii wako awe nalebo ila uyo uyo mwenyezi mungu ndio anajua ndani zaidi bt hapo umevaa ngozi yakondoo baba mrudie Allah nauombe msamaha
@jumayahayaseleman5874
2 жыл бұрын
Kaongo haka kajamaa kanajifanya kana wema Sana kumbe hamna kitu
@mwanahawabakari718
2 жыл бұрын
Wewe ndio umeanza kutukana,umeanza,Bob junio yuko wap wasafi yakwako
@meshackmanofgod8151
2 жыл бұрын
UyuJamaa anavyomtaja MUNGU utadhani kweli
@OscarAsukenie
2 жыл бұрын
Kusema Eti diamond anawasaidia wasanii, Sio sahihi. Tena hiyo kauli aifute Yeye anawekeza kwa wasanii ili aje alate faida baadae. Hivyo ni biashara kama zilivyo zingine.
@mwanahawabakari718
2 жыл бұрын
Kuwaseidia watoto yatima ndio mashart yenu wachawi
@elikelly5803
2 жыл бұрын
noma
@daudiramazani4348
2 жыл бұрын
unaroo mbaya sana
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Kweli sura so rohoooo😂🙌
@sightseeingchannel9508
2 жыл бұрын
Usaidie mtu then awe akikulipa 60% ya Jasho lake....ubinafsi huo...😭😭😅
@frdmedia6235
2 жыл бұрын
Kwendshuko hata ukipewa deni mtu anakuw amekusaidia nani wakuwez kukukopa pesa nying kamahiyo kwamafanikio yako pekeako et kamsaidia ndio
@sightseeingchannel9508
2 жыл бұрын
Ubinafsi
@zuwenakukuli7497
2 жыл бұрын
Konde hawezi sema unafki mmemchokoza wenyewe kaa kwakutulia mond
@catherinechande9981
2 жыл бұрын
Mhhhhhhhhh
@siyaringo1267
2 жыл бұрын
Wewe Diamond MNAFIKI SANA yaani asiyekujua atapata shida sana,ila malipo ni duniani
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Mungu atamuhukumuu
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Sisi tumuacheed
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Umeona eeee
@hajijuma9908
2 жыл бұрын
wewe ni mchawi usitudanganye hata wachawi pia wanamwomba mungu waho asiye hai
@royalkings254
2 жыл бұрын
Tunakubali unawasaidia ila wasikuzidi wewe.....lol kua kama mzazi ama mwalimu....saidia roho safi
@samueljaimedomingoskuy9954
2 жыл бұрын
Mimi niko na wewe
@raymondwilliam3042
2 жыл бұрын
Huna lolote kauzu tu huwez jisafisha kwa Tembo,, Anza kujisafisha ktk Familia yko pesa za mashart hiz mnatuzngua tu,, ukwel Jesh keshawaeleza Wananch
@rohkydskyler209
2 жыл бұрын
wewe hujasoma ndo maana hutofautishi kampuni na mwenye kampuni. sheria za kampuni lazima
@fidelyaredi4137
2 жыл бұрын
Auwezi uka jibu kisomi wakati ww auja soma
@nassoromussa2423
2 жыл бұрын
Yn kk bado haujajibu hoja hata moja za Harmonize, mm nakukubali mtu m'badi lkn inabidi ujipange sana kujibu hoja zile!
@silasiladon1487
2 жыл бұрын
Wewe ni sinichi
@jumanzige9644
2 жыл бұрын
sio ya leo hii waongo nyie wehu kbs, interview hii ya kitambo sana
@aaliyahloubna8919
2 жыл бұрын
Kabisaa yamda huu
@rashidmanyile3863
2 жыл бұрын
Kijana wa kiislam lakin kasuka mabutu kichwani
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
🙆
@24timesmedia64
2 жыл бұрын
Nacheka mimi
@justinbyadieu2739
2 жыл бұрын
Wewe simba tu💪💪
@maliamuduma3594
2 жыл бұрын
atakama unamsaidia mtu usimtangazie kama umemsaidia
Пікірлер: 241