Elishamah Washira, Nime barikiwa na nanamna unavyo jibu, Mungu Mkuu aibariki kazi yako, na Mungu azidi kutukuzwa Keep on going, be blessed.
@modestaulambale606
11 ай бұрын
Ubarikiwee Kaka, Mungu akuendelezee kipaji chaji, Ubarikiwee zaidi na zaidi Hongeraa
@MaryanneAwuor-jy5mj
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo zako ...Mungu akuweke kwenye kiwango Cha juu kwa utukufu wa jina lake 🙏🙏
@joyskazungu9167
11 ай бұрын
Nabarikiwa sana na nyimbo zako kaka mungu akubariki sana na akuinue kiwango cha juu,,, Joyce kutoka 🇰🇪 Kenya
@Rogathe-Rogathe
10 күн бұрын
Aixee unanibariki mnooo mnooo Elshammah!!! Unahekima na busara nyingi sanaaa❤ Yesu Kristo akutunze kubariki wengi zaidi ya Jana na Leo!!!! 🎉
@AbigaelyNoely
Жыл бұрын
Barikiwa sana kaka washira Mungu azidi kukupa moyo huohuo uliokonao tunakipenda sana na Mungu awe pamoja nawe kwenye kila hatua unayoipitia
@AaAa-tb2zw
Жыл бұрын
Hongerah sana mtumishi wa Mungu 🎉🎉🎉..napenda nyimbo zako ❤❤❤❤
@kevinahbarongonyachae
Жыл бұрын
Amina mimi ninampenda huyu washing juu ya nyimbo zake za kunitia nguvu br be blessed always 🎉
@thomasmasaba8286
Жыл бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@ClaudioMgaya-gh2gq
Жыл бұрын
Nikiwa Kwa mapito magumu nausikiliza huu wimbo,unatia nguvu Sanaa ,Mungu akuinue zaidi na zaidi🥰
@onlyhim333
9 ай бұрын
Wow yani kama son wa Martha Mwaipaja kbsa❤️🙏 Amazing voice😅😅
@chisheztv5136
Жыл бұрын
Hongera sana Kaka waahira nasi CHISHEZTV tunakuomba kwa interview
@mrnickmusician7139
10 ай бұрын
Hongera sana mtumishi keep up brother 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pia mmi naomba collabo nko Mombasa for now lakini naomba collabo mimi ni mwimbaji wa nyimbo za injili kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ZipporahAbere-ls8hk
7 ай бұрын
I'm really blessed! I wish they do a collabo with Martha Mwaipaja their voices look alike.
@kennedysalim959
Жыл бұрын
Wow! Nice interview, full of wisdom may the Lord continually guild you and give you more and more grace
@dadjayolande1126
7 ай бұрын
Sans comprendre la langue j'aime bien tes chansons soit béni ❤
@perisbeib2126
Жыл бұрын
Amen amen amen 🙏🙏 Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@marysaituni4584
Жыл бұрын
Pure talent my brother.. 🙏🙏 God bless you my brother 🙏
@shadrackmutua7447
Жыл бұрын
Ak Ur song zinatoa all stress ukona nazo Ak barikiwa xana
@raphaelkiema4710
3 ай бұрын
barikiwa sana Elshamah nyimbo zako ni za kiroho hakika huwa zinanibariki kaka na nazipenda sana
@VickyVictor-t8c
2 ай бұрын
Ubarikiwe sanaaa mtumishi wa Mungu nyimbo zako hunibariki sanaaaaa❤
@rehemaandrew3184
11 ай бұрын
Kila la kheri katika huduma yako Mungu akuongoze
@BerylNgesa-ds9nz
9 ай бұрын
huyu washira nampenda sanavmuch love too u washira❤❤
@RebeccaBarasa-my8jr
11 күн бұрын
And the voice kama ya Dada Martha mwaipaja❤❤❤love you bro
@PurityKavivi-j8o
9 ай бұрын
Mungu akupe neema
@lbrahimurwangi
Жыл бұрын
Nyimbo zake zinabariki San mungu akutie nguvu sana
@josephmbithi4327
Жыл бұрын
Your voice is a blessing, keep going 🎉
@MagretAnekeya
11 ай бұрын
hongera sana wajua kuimba
@lucymnjoroge8242
Жыл бұрын
Hongera bro nimekufuata kutoka TikTok
@gilbatvienja7204
4 ай бұрын
Naomba neema na kibali chako mungu wakati wako ukifika Mimi Sina budi kupinga wajua kilicho ndani yangu
@margaretkinyanjui5769
11 ай бұрын
Huuu moto nimkali sana lakini Mungu yupo nawewe usijali
Пікірлер: 99