TAZAMA MABEHEWA 6 YA GHOROFA YA SGR YAKISHUSHWA BANDARINI DAR yakitokea UJERUMANI...
Bandari ya Dar es Salaam imepokea mabehewa sita ya ghorofa yakitokea nchini Ujerumani yatakayotumika katika reli ya mwendo kasi (SGR).
Mabehewa hayo ni sehemu ya mabehewa 30 yanayotarajiwa ambapo mabehewa 24 yaliyosalia na vichwa viwili, vitawasili nchini baada ya matengenezo yake kukamilika.
Jamila Mbarouk ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Shirika la Reli Tanzania (TRC) ambaye amesema mabehewa hayo yameboreshwa na Kampuni ya Luckmier Transport & Logistic ya Ujerumani ambapo TRC inatarajia kuyapokea rasmi Juni 9, 2023 baada ya kushushwa bandarini.
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Негізгі бет TAZAMA MABEHEWA 6 YA GHOROFA YA SGR YAKISHUSHWA BANDARINI DAR yakitokea UJERUMANI...
Пікірлер: 3