Serikali ni muda WA kufanya biashara na jirani Zenu Waganda
@dylankanyubi3700
Ай бұрын
Mpaka 4:20 sisikii kile wanavyosema.
@LuckymusyokiLuckymusyoki
Ай бұрын
Wametengeneza ama wameunganisha kama kiwanda Ile alizindua mama Samia hivi karibuni,kuna kitengeneza na kuunganisha
@ndukulusudikucho_
Ай бұрын
Hata Boeng au Airbus huunganisha tu vifaa kutoka sehem mbalimbali, okay tufanye wameunganisha kwanini tusijipongeze kwa hili , ukiona rahis njoo na ya kwako tuone, tupeane moyo Afrika sio kila wakati tuwe negative tu
@PeterMtui
Ай бұрын
Nashindwa kuelewa kwamba Uganda wenatengeneza? Au wanaunganisha?
@mmarandu2417
Ай бұрын
Ni wakati mwafaka Tz kutumia Umeme mabasi ya Rapid Buses Dar na mengineyo mijini, tuna umeme wakutosha. Tuokoe fedha za kigeni kuagiza mafuta nje.
@amanijampion3045
Ай бұрын
Mama aliahidi mabus ya umeme lakini hadi kesho no bus alitu-enjoy
@fidelfidel-jz4iw
Ай бұрын
East Africa tunaweza ila hakuna viongozi wenye mtazamo mkubwa tumekalia udalali tu badala kuwekeza Kwa vijana wetu Sisi tunatafuta wakezaji hao wamekopa kwao lazima warudishwe kwao tusipo badili mtazamo tutabaki Yuma ti
@alfinmbilinyi5985
Ай бұрын
Utaagiza mabasi ya pite wapi wakati huku songea Ruvuma barabara zishakufa mashimo matupu wametuachia wabeba makaa ya mawe bara bara ya baba wa taifa mzee Nyerere songea makambako hali tete mashimo matupu roli za makaa ya mawe yametuharibia tanroad pia wamelala sijui tuta mtoa wapi mfugale mwingine aongoze vizuri hii taasisi wengine ni tia maji tia maji tu.duu!
Пікірлер: 16