Nabii nmeamin wew mungu kakushusha Tanzania, naomba niponywe marath yangu ya mda ya kiuno na mgongo pia homa mbalmbal amen , naitwa korudula leons
@edgercyprian964
Ай бұрын
Mungu amekupa kibali kikubwa Sana mtumishi wa Mungu ubarikiwe san pia Mungu akupe maisha marefu uzidi kutusaidia wenye matatizo mbali mbali Amen 🙏
@pendorobert3552
6 ай бұрын
Tena sisi wanawake naona ndo tutakua wengi sana motoni coz tunatumika kwa wingi sana kufanya usanii kwenye makanisa ya uongo😢ni huzuni kwakwel MUNGU nisaidie
@VenerandaKundi-ph4hg
6 ай бұрын
Hivi inakuwaje hadja hata kumkiri yesu ni bwana Sasa hapo anaponywa na nani mungu tusaidie
Barikiwa sanah pastor kiboko ya wachawi ,naomba uniombee pia me nlitolewa kwa ndoa yangu na mamamkwe na bibi ya kijana yake kwa nguvu za unganga be blessed man of God as well continue praying for me
@LeahCosmasNzoka-po3dr
21 күн бұрын
Aweee❤ Nmekuelewa mtumishi amina sanaa niombee na mimi
@user-io1tp6nz8m
4 ай бұрын
Ameeeeeen pstr barikiwa sana mumishi wa mungu 2:59
@JacklineMasawe
4 ай бұрын
Amina mtumishi,,, naomba mchumba wangu afunguliwe honest afunguliwe Kuna kuvu za giza Zina muandama mtumishi
@user-li5ol8yo5l
19 күн бұрын
From Kenya,nimeangaika sana baba nisamehe niombee nabii
@esterabonga7947
8 күн бұрын
Muombe Mungu wa Isaac na yakobo tu huko kwingine utaenda kujaziwa mapepo tu
@lazarojosephat4417
4 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi kiboko ya wachawi, naomba unitabilie maisha yangu, mm Lazaro Josephat Lazaro
@godcalist5654
4 ай бұрын
Pastor Dominic kiboko ya wachawi mungu aendelee kukubariki sana sana Godfrey kalisti kutoka sinza
@EmmanuelMachungi-kk7ys
2 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu, naitwa Emmanuel nasumbuliwa naupotevu wa pesa katika mazingira yakutatanisha kwenye biashara yangu.
@tabiangonyani3526
6 ай бұрын
Utapeli hao wote wanajuana bana mungu atabaki kuwa mungu na huyu ni binadamu kama mimi
@pamelaouma6400
6 ай бұрын
Msubiri MUNGU ashuke umuone akutumikie utakosa mengi.
@tabiangonyani3526
6 ай бұрын
@@pamelaouma6400 Bora nikose kuliko kumfuata mtu kama uyo
@MaryNdamgoba
5 күн бұрын
Baba naomba niolewe na mchumba wangu mwaka huu 2024. Amen
@scolasticakaduma5143
6 ай бұрын
Nakukubali Mtumishi wa Mungu. Naomba Mungu anijalie nipate nauli nitafika hapo . Haleluya.
@mrikongosi3151
4 ай бұрын
Unapata nauli ya kuja hapa unaambiwa wewe mchawi unamloga baba yako wallah
@BethaJohn-es3fj
3 ай бұрын
Bwana yes asifiwe mtumishi ninaomba mwombee mwanangu Gilbert anasumbuliwa na kitovu kina miaka 4 hakiponi baba nisaidie jamn
@shanti-hd7zy
10 күн бұрын
Mungu wa haya Madhibau aje anikombowe nimechoka na Maisha magumu🇩🇪
@StelaJohn-nj5yf
Ай бұрын
Be blessed Man of God. Hallelujah
@user-px2ob8hd6z
Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi naitwa joselida Joseph naomba niweze kulipiwa ada na serikali
@user-li3ey4nc6b
4 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mtumishi Ili ufanye kazi yake ipasavyo naamin nammi nitapokea uponyaji naamin kwajina la yesu amen.
@tumainimwakalinga4749
4 ай бұрын
Kweli mungu tuhurumie dah Hawa manabii wa siku za mwisho,wanaharibu utakatifu nakudanganya watu mungu tuponye
@innocentboykid2442
2 ай бұрын
Hata hao manabii walioanza walificha makucha tu
@RedentaMahessa
Ай бұрын
Shetani yupo kazini. Anatengeneza na hasafisha
@SalmaBinyaga
18 күн бұрын
Yaan huruma
@drcharlesswai1123
Ай бұрын
kama kweli ni mungu anatenda haya uendelee kuwepo ila kama ni uwongo ee mungu Israeli simama toa ule upanga wa Haki Amina
@ShangweNgiroliti
Ай бұрын
Nakukubali sana baba MUNGU akupe maisha marefu,, nipoo Arusha Naomba utabiri neno kwa familia yangu baba tupoo tunakusikiliza wote hapa
@SilviaLuhumbika
4 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki baba
@SalmaYusuph-jb1sx
16 күн бұрын
Baba nabii kiboko ya wachawi naomba mwanangu asha Ibrahim aongee na ufahamu wake uludi amen
@inviolathaathanas7989
4 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi. Tafadhali niombee Mungu anifingue
@OliverKikole
3 ай бұрын
Barikiwa mtumishi Naomba mume wangu afunguliwe na nguvu za giza tumekuwa ni watu wakugombana 2 hatuna amani na ndoa yetu
@navierstokes7641
Ай бұрын
asee hapa umakini unahitajika...sisi tulienda hapa tukatangaziwa kwamba kama huna laki 5 ondoka hakuna maombi ya bure na kama unaona ni utapeli " tembea na yesu"... cha ajabu zaid ni pale ulipopigwa wimbo wa mapenz madhabahuni na wimbo wenyew ni " bring me back (ft .claire ridgley) [sped up] miles away...na kuna maji ya millita 600 ukifika tu unaambiw shart uwe na chupa 2 na kila moja inauzwa 2000, unajua pepo wenye nguvu nao hufukuza pepo wanyonge, fika mwenyew ukatazame usivunjike moyo
@juniorjamhuri4348
Ай бұрын
Ubarikiwe Mtumish Naitwa Kayus Joseph Minja wa Mungu na mke wangu amejifungua naomba umuombee apone
@JacklineKoko-em9xb
Ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu naitwa jackline koko naomba unitabilie maisha yangu maana nafanya kaz lakin hakuna hata kitu cha maana nimewah kufanya😢hata nikipata hela nimpaka iishe ndo nipate nyingne
@SalmaYusuph-jb1sx
16 күн бұрын
Baba nabii naomba nipate kibali mara 2 maboss zangu wanipende wasinichukie amen amen
@christinenanzala6569
4 ай бұрын
bwana yesu asiwe mtumishi kiboko ya wachawi naomba niombe nimekuwa mutume na maombezi mwenye maono lakini kimepungua kwa sababu ya mtoto wangu mimi mgonjwa wakutojielewa nisaidiwe mtumishi wa mungu
@Hawael-ek1ev
Ай бұрын
Mungu akubariki sana..Nabii Ninakuombea maisha marefu
@ashashabani5397
Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi naomba uniombee sana niweze kurudiana na mke wangu Asha shabani nkunya
@NaimahAbdi-xs7dk
Ай бұрын
Tokea nianze kusikiliza maombi yako baba naona kabisa nabarikiwa amina baba mungu aendeleee kukueka
@DevothaMkinga
29 күн бұрын
Ibada yake lini na lini
@SalmaYusuph-jb1sx
16 күн бұрын
Baba nabii nakufatilia sana niombee nibalikiwe na family yangu yote amen
Nabii, uchumi wangu mbaya sana, naomba nisaidie... Kiboko ya wachaw
@janemangowi4579
6 ай бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@nathaliakajubili3701
2 ай бұрын
Nabii naomba nisaidie Nina changamoto kubwa kwenye familia yangu na maisha yangu kwa ujumla.. familia yangu ina matengano,uchumi wangu,elimu yangu na watu wanizungukao
@twalibabdully4987
2 ай бұрын
Aminaaaa baba, yesu alotenda haya yote naomba atende na kwangu baba, MKONO WANGU WA KULIA umepooza baba na mpaka Leo sijajua tatizo Nini pastor naomba nisaidie.
@user-uy3hn2wp8q
4 ай бұрын
Naitwa Maua Hassan tumeachan na mume wangu lakin ata kila mwanaume nnaempata anahaid kunisaidia uduma alaf naon anapotea sielew muelekeo WA maisha yang naomba unisaidie babaangu
@user-uy3hn2wp8q
4 ай бұрын
Nisaidie kiboko ya wachawi nisaidie babaangu
@JoycelAzarobalam
4 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe kiboko ya wachawi mtumishi mimi naitwa joyce lazaro naomba unitabirie maisha yangu maana kila biashara nayofanya haiendi uchumi wangu umeyumba
@barakamwalukomo2998
4 ай бұрын
Hongera sana mtumishi wa MUNGU unuliwa nabii
@JanethDesderius
6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@gracerishandumilema278
6 ай бұрын
Amen,mambo yangu yanaenda kubadilika
@user-xt9ne3uv5d
6 ай бұрын
Mungu azidi sana kukuinua mtumishi
@jonathanbrayson6946
6 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mtumishi hakika unatenda makubwa Sanaa nabiii ubarikiwe sanaaaaa mungu ni mwema Sana jaman taifa limepata mkombozi
@scholarmawala1403
6 ай бұрын
Yeeeeeeeesu wewe ni mchawi kuliko hao unaowaombea wokovu😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@scholarmawala1403
6 ай бұрын
Hivi umemaanisha au unatania!!! Hamna nabii apo
@pieremchome5202
6 ай бұрын
Huo usanii mtupu,huwa wanawapanga,haiwezekani mama mzima akubali kupekuliwa kwenye mwili wake,aise Mimi wataniua hapo mbele lakini hakuna MTU atanikagua mwili wangu
@bilombelekilozodieudonne123
4 ай бұрын
*Ahsante mtumishi Ubarikiwe sana*
@pendorobert3552
6 ай бұрын
MUNGU nisaidie na uniongoze nisije ingia majaribuni nipngoze kanisa la kweli lenye kukutumikia ww kwa uhakika ni huzuni huyu namsikiaga kwenye radio eti anafufua hatukatai MUNGU Anaweza lkn nafsi yangu sijui kwann inakataa MUNGU nisaifidie🙏
@annajoshua
12 күн бұрын
Nabii ubarikiwe na Mungu mtumishi mimi naitwa Anna niko Arusha ninamtoto mtoto wangu mdogo wakati nikiwa mzazi kitovu chake kilipoteza ndani kwa mazingira ndiyo yaelezwa mtoto anaitwa goodlick
@user-gw4vv5uh9z
6 ай бұрын
Kweli kabisa maingizo 😂😂😂 kwanza angalia kwanza mwendo mzima 😂😂😂
@Njeriii536
6 ай бұрын
Wacha akusanye maokoto YA wajinga😂
@SalmaBinyaga
18 күн бұрын
Yaan wajinga ndio waliwao
@michaelfaraday9568
2 күн бұрын
Subiri mpigwe matukio ndy mtajua kama ni maigizo au la@@SalmaBinyaga
@SalmaYusuph-jb1sx
16 күн бұрын
Be blessed man of god. Haleluyaaa
@AdventinaPhilimon
Ай бұрын
Ubarikiwe Sana Nabii,naitwa Adventina naomba kufunguliwa kiuchumi maana kila ninachofanya hakileti mafanikio
@MeryMshana
12 күн бұрын
Naomba uniombee Kila ninachokifanya sifanikiwi nikishika Hela zinaishia mkononi kujenga imeshindikana maisha magum baba naomba unisaidie kuniinua
@user-kg1sb3bl7u
4 ай бұрын
Ubarikie nabii kwa huduma yako nzur pia naomb unitabrie
@user-ct5yp7wk7l
3 ай бұрын
Daaah manabiii WA Siku hizi za mwisho niatr Nabiii anakirimu kweli kbs
@SifaMwashite-dg3bl
6 ай бұрын
Eee mungu nisaidie namimi nifunguliwe matatizo yangu yoote kwanye mwili wangu matatizo ya kiuchawi nataka namimi nifunguliwe mwezi huu kwa Jina la yesu
@Lillian-iz2mq
Ай бұрын
Asante naimani utanisaidia baba
@irenebeddah6524
6 ай бұрын
Mungu akutumie vyema kutuondolea watu wa baya jamani tumechoka kuteseka. Barikiwa
@lightnessmlay4189
13 күн бұрын
Naomba msaada baba Mama yangu anaumwa shida isiyoonekana ...Anapoteza kumbukumbu..Tuliambiwa na pressure lakini hospital lakini pressure hakuna.. Naomba msaada. NAOMBA PIA MSAADA JUU YA FAMILIA YANNGU
@user-oz9bd7kh5i
4 ай бұрын
Amen mtumishi naomba nifunguliwe na roho ya kukataliwa
@user-ev8bd5eh3w
3 ай бұрын
Hi
@janethmkoba5145
6 ай бұрын
Nakuamin nakuelewa pastor Dominic.
@zuwenasalim2794
6 ай бұрын
Kama niuchawi ,uongo,mm hainihusu na sifwati matendo yake kikubwa imani yangu na kupata uponyaji Mungu akujaalie nabii uwe zaid na zaidi
@agnesnjoroge4328
6 ай бұрын
Mungu nimwema..akumbariki naakuinue milele amen.ata Mimi niombee juu niinaona kwetu nikama hiyotu nikipata NO Yako twaweza kuongea saidi
@user-mm6ys7ex6r
5 ай бұрын
Jambo nabii mimi naitwa marie josee nina matatizo nimetoka burundi niko apa canada ni meacha mwanag burundi adi kwasasa anaumwa sana nisaidie umombey mwanag apon kwasabab nina wasi wasi namwanag san sipati raha juu ya mwanag nauni saidie kwamaomb waniletey mwanag kwamahan namkumbuka sana nisaidie nabii ili mungu afany jambo lake
@Rogersbillingtonemosi
5 ай бұрын
Mungu akamponye mwanao
@kilosajr
5 ай бұрын
Mtumishi mungu akuweke❤❤❤❤❤❤❤
@TinaSaid-rd6kh
3 ай бұрын
Ameen ubarikiwe
@ZainabuJumanne-xf8qk
Ай бұрын
Amina nitabilie baba
@vickystellah3194
6 ай бұрын
AMEEN .THANK YOU JESUS CHRIST OF NAZARETH.. BE BLESSED PAPAH
@user-lv1ce9hm5k
6 ай бұрын
Mimi matrida francis naomba maombi katikat familya yangu
@rehemapeter5894
5 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@user-le6jm2tf5y
6 ай бұрын
The day is coming..... Kila mtu atavuna alicho kipanda
@janetchinga695
6 ай бұрын
Uyo mama usimuuwe ila muombe aache uchawi kwasambabu yesu ajaua ila aliponya
@user-ir6pv4oe5z
4 ай бұрын
Amen ubalikiwe nabii
@SalmaYusuph-jb1sx
16 күн бұрын
Bwana yesu asifiwe baba nabii naomba nisaidie niongezewe mshahala wangu mie npo Oman nafanya Kaz
@StellaVicent-lg6yy
28 күн бұрын
Mtumishi okoa uchumi wetu okoa hapa tulipo Kuna mtu amedondoka Kwa mapepo na Mimi mwenyewe nahisi kudondoka lakini nashidwa nabaki kutetemeka mtume okoa maisha yetu ndoto zetu mama yangu anahangaika sana umaskini umetuelemea kaka yangu kashidwa kwenda chuo sababu ya uchumi tuokoe
@suzikweka5342
Ай бұрын
Amina baba, uzidi kubarikiwa
@estermamy432
5 күн бұрын
Amen baba
@benardbemerengwe9332
4 ай бұрын
Amina pastor
@neemaneychricious6493
5 ай бұрын
Mungu akubrk mtumish
@latifaabla6441
24 күн бұрын
naitwa anna joseph naomb nifunguliwe kiuchumu,navitu vbya vya kichawi vinitoke🙏🙏
@EnjoyMuniss
3 ай бұрын
Bwana asifiwe mtumishi na kwamajina naitwa enjoy munisa naomba utabirie familia yako napia na mdogo wangu anaitwa devid ametapelia mshaara wake shilingi milioni mbili baba naomba nisaidie
@user-gt6jh7dj9e
6 ай бұрын
Nakukubali pastor
@suzanngoty3827
7 ай бұрын
Mungu ni mwema natamani sana kuonana na wewe nabii was mungu.
@user-ft7wl4uu5t
6 ай бұрын
Ubarikiwe baba
@majaliwamassawe
6 күн бұрын
Naitwa vailety massawe kutoka mbez mwishobyesu anisaidie na mam mama mkwe wangu hanitak anadai namharibia mambo yake naomb yesu huyu mama mkwe akakate moto, nabii nisaidie bado nampenda mume wangu na ninamuhitaj
@JullyMushy
12 күн бұрын
Amen naomba unitolee unabii
@fridahnakhumitsa9126
Ай бұрын
Amina Baba.. naomba uniombee.. na unitabirie
@NancyrimoyVenancy
Ай бұрын
Baba naomba unitabirie ,🙏🙏🙏 thanks father
@AnnaTemu-oj2uy
Ай бұрын
Baba naitaji neema ya mungu maisha yangu magumu sana Kipato Kila kitu ni vurugu tupu nimekua mtu wa shida na kuanza upya Kila siku
@EstherForodhan
Ай бұрын
Naomba unisaidie Mimi na familia yangu..mama yangu Esther na Baba angu gabriel.na Mimi katika Masomo yangu ..naitwa ANETH
@SalmaYusuph-jb1sx
16 күн бұрын
Amen pastor
@SabinaAntonny
Ай бұрын
Ubalikiwe baba naomba mungu anisaidie mim na familia yang
@user-ky5cy1ux4z
6 ай бұрын
Uponyaji katika jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye hai Amen
@joycesanga-in6es
2 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe baba kwamajina yangu naitwa joyce sanga kutoka bunju baba naomba msaada ninapata shida kwenye ndoa yangu pia baba naumwa ninaugonjwa wasukari baba naomba unitabirie napata shida sana
@chollesticahkwamboka
2 ай бұрын
God bless you
@valeriaothman9327
28 күн бұрын
Baba Mungu akubariki utuombee baba tunamatatizo ya kifamilia tusaidie
@AgnesNamwereni-kh6uf
15 күн бұрын
Amina nabii
@FransisMawanga
Ай бұрын
Mungu nimwema sana,mtumishi wamungu naomba unisaidie kunitabilia maisha yang u nimagumusana.pia nataka unitabilie mamayangu ugonjwa wake yupo malawi
@farajisewe7416
13 сағат бұрын
MODERN UGANGA/UCHAWI,UTAPELI,.. RAMLI HIYO CODE IMEANZA KUTUMIKA About 10yrs
Пікірлер: 826