Mm nipo hapa sisikilizi kinachozungumzwa mana sielewi Ila nimekuja hapa sababu ya kichwa cha habar Tu 🤣🤣🤣, Ila comments zinamakasiliko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@faizamohamed5989
2 жыл бұрын
😄😄ww ni mm kabisa
@bonynamungu5142
2 жыл бұрын
Pia mm cielew
@ashumohd2192
2 жыл бұрын
😂😂😂 jamn
@dusabearafatrwigema9248
Жыл бұрын
Mashallah, 🇷🇼🇧🇮🇰🇪🇺🇬 wanyarwanda , warundi Kenya na Uganda twasema hongera sana kwenu🇹🇿🇹🇿 tzd Africa mashariki twajivunia kuwa nanyi ndugu wa tzd
@calfiolahblack1892
Жыл бұрын
Hello. You have a first name of my grandy and my actual sir name. This amused me
@khadijasemtumbi8312
2 жыл бұрын
Maashaallah hongera my dada Allah humpa ampendae namwenyekuwa nacho ndie mwenykuongezewa inshaAllah mwenyezimungu atakupa zaidi unaweza DADA
@sweetletmushi2801
2 жыл бұрын
Hongera sana Binti Mungu akulinde na kukubariki
@nusalim3389
2 жыл бұрын
Kwani kamzaa ikulu? Si wamesota pamoja wote wameajiriwa miaka na miaka,wanu mkubwa kuliko umri wa mamake ndani ya siasa,mama tangu aanza siasa ngazi za mitaani wanu tayari kikubwa,tuache roho mbaya
@franklinassey6600
2 жыл бұрын
Asantee sana waambie wajinga
@allymngwaya2831
2 жыл бұрын
Ni kweli
@KhalfanMwatime
2 жыл бұрын
Nu Salim umeongea point ya maana sana 🙏
@alisaleh2507
2 жыл бұрын
Nu salim, waelimishe, waache jelas
@piusmdoe8094
2 жыл бұрын
Huu ndio ukweli,wa tz tuna roho za kwanini,mtu wakati anapambana ,anaonekana mshamba,akiwin,wwnapeana.!
@angelinamayombo5511
2 жыл бұрын
Like mama like daughter
@joycekisamo4896
2 жыл бұрын
She is beautiful but she has to fix her smile jamani (crooked teeth) ...she needs braces; it's not too late (it will be fast to fix if she'll remove some pre-molars to create space...definitely you have money girl; fix that, it will increase your beauty and confidence. Ambao hamtanielewa na kupiga kelele; sitawashangaa...exposure is important...but that first daughter (binti wa raisi) has exposure...kajisahau tu. Fanya hivyo mpenzi...you will be happier.
@cnm2976
2 жыл бұрын
"TuMsifu Yesu Kristo!" umesahau kuisema. Rais JPM alikuwa anasema zote bila ubaguzi
@mwasitiomtima1896
2 жыл бұрын
Poleee
@rajabsalim6849
2 жыл бұрын
ili iweje
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
Wacha tu. Lakini kila kitu kina mwisho
@ericcbulamile612
2 жыл бұрын
@@rajabsalim6849 ili iwe inavyotakiwa kuwa..
@maryodrwebandiza2056
2 жыл бұрын
Yawezekana wote ni waislam
@olivajoseph1697
2 жыл бұрын
Kizazi Cha Matajili hongereni kwa kusomeshana jamani.
@bukheytmohammad2831
2 жыл бұрын
Wivu huo
@mwajumamohammed4975
2 жыл бұрын
@@bukheytmohammad2831 Wivu au ukwel
@birianination7097
2 жыл бұрын
@@mwajumamohammed4975 kusoma sio utajiri.
@serafinamalecela4728
2 жыл бұрын
Wasomi ni wengiiii mbona sema 🤣🤣🤣
@muhsinaman8990
2 жыл бұрын
Na wewe ungekuwa na nafasi halafu usisomeshe watoto wako tungekucheka kwamba moto umezaa jivu. Jema ni lipi? Acheni hizo.
@machoguhameri7757
2 жыл бұрын
Ukitoka familia ambayo kuijua njaa ni wakati tu wa mfungo ama kwarezima au Ramadhani, ni mtihani mkubwa kujua mwananchi akisema ana hali ngumu ya maisha ana maanisha nini?!!!!!!!
@EbondoSounds
2 жыл бұрын
Upo sahii
@flackomasterbaddest4155
2 жыл бұрын
True
@hijjafadhili8873
2 жыл бұрын
Ndio maana mungu akaleta mwenzi wa ramadhani ili matajili wote wafahami
@sighankagimacy6500
2 жыл бұрын
Anatembea kama mama yake
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
Ushasema kama Mama yake...
@nancyg8664
2 жыл бұрын
Eee kweli kama mama yake aisee
@sassboy9360
2 жыл бұрын
Icho kigoma cha wamakunduchi apo mwisho dj kanikosha na sijui km si cool para
@edithamushi430
2 жыл бұрын
Du! Natamani sana watoto wa marehemu wakulima nao wakakumbukwa na elimu zao hawana pakutokea
@nurukisigo3294
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie sana. Amen 🙏.
@tousihhhh6765
2 жыл бұрын
huy mwili kamzidi mamayake punguza tako wew
@blackcolour8183
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣kumbe na ww umeona kama mm
@tousihhhh6765
2 жыл бұрын
@@blackcolour8183 my tozo hiyo imemkubali😂😂
@kabwelasutiviraka4765
2 жыл бұрын
Wivu tu mbwa wewe
@sadatisabihi3818
2 жыл бұрын
@@tousihhhh6765 Nyie ahahahhah
@blackcolour8183
2 жыл бұрын
@@tousihhhh6765 😂😂😂
@rehemaally6623
2 жыл бұрын
CJAPENDA SALAMU YAKE ....CJACKIA AKITAJA SALAMU YETU YA BWANA YESU ASIFIWE .....
@josephinemecky9278
2 жыл бұрын
Kwakweli kwenye mkisanyiko din zote zipo
@salumsheikh5349
2 жыл бұрын
Yeye mwenyewe hazungumzia dini yake unataka azungumzie dini yako! Una kazi ww
@NasraMohamedi-eo1nk
Жыл бұрын
Nsamehe bure
@nyeurakibura4791
2 жыл бұрын
Ww ndo wafaa kumwita mama aswaaa...maana wengine twajipendekeza tu,,,kuleni niwati wenu
@maryamalli9090
2 жыл бұрын
Usijali mamy na wewe wakati wako utafika tu
@zamdaomanizamdaomani3172
2 жыл бұрын
😁😁
@hidaya95james53
2 жыл бұрын
😂😂
@mwaneyseifseif3059
2 жыл бұрын
🤣🤣
@queensaidi6420
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ahmedbashash3672
Жыл бұрын
mashallah toto la nguvu yan nko tayari kumuoa ❤ mashalllaah mwanamk umejaaliwa
@yateramadavaathumanmmbaga7776
Жыл бұрын
Yaani cha kwanza ulichokiona ni kukimbilia kuoa mmmmh
@shuweikhaabdallah586
Жыл бұрын
😳😳
@twalibkatuli5318
Жыл бұрын
😊😀😀😀😀😀nimecheka wallah
@muharamikahundi1915
Жыл бұрын
Kashaolewa tena na Waziri... Mbunge wa Rufiji Mh. Mchengerwa
@thebisadorychannel7574
2 жыл бұрын
Jambo zuri sana kuwafikiria wanawake visiwani na wengine katika srhemu zote za nchi watajifunza kutoka kwenu💪💪💪 Nimeona huo upungufu na mwanamke kujisahau maisha yake ya kesho yatakuwaje. Kwa mfumo huu mzuri utawawezesha wanawake kwa pamoja kusimama na kuijenga jamii na sio kusubiria kitu kipelekea unyanyasaji Afrika.
@conchesterchristopher3501
2 жыл бұрын
.
@MzeeKipakapaka-ev9qy
Жыл бұрын
❤
@itanzaniaAS
Жыл бұрын
Napenda wana siasa ambavyo kuwa wanawapa nafasi watoto wao na kuwainua.
@hillowadam6552
2 жыл бұрын
Mashallah anapendeza from 🇰🇪
@valerieshinia8526
2 жыл бұрын
Kabisa aki .
@hajiabdalla5772
2 жыл бұрын
Kuleni riba Tu huku wanyonge wanalala na njaa
@tinnacosmas9420
2 жыл бұрын
Umependeza
@jubilatembise8431
2 жыл бұрын
so salam cku hizi ziko mbili tu cyo haya bwn!
@mwinyiali
2 жыл бұрын
Zanzibar hakuna salam ya bwana
@kingazishekalaghe9598
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣daaah nimecheka Sana aisee
@ashasuleiman1464
2 жыл бұрын
Hongera sana mdogo wangu chapa kaziiiiiiiiiiiiii💯
@niyakhalid5650
2 жыл бұрын
Naona mambo yakiendelea hivi Tanzania itakua kama Kenya ambapo viongozi huleta watu wao kwa serikali yaani kurithishana uongozi
@omarykayanda9138
2 жыл бұрын
ni bora kenya wanarithishana madaraka lakini wanajali wananchi wao ndo maana kenya inaendelea
@sudaissaid8428
2 жыл бұрын
ndo maana yake hata mm ukinipa urais kwanza nawaweka ndugu zangu wote nafasi za juu ili wasiniombe
@faustervalerian9318
2 жыл бұрын
Uganda mfano mzur zaidi
@azizayahyah1597
2 жыл бұрын
@@sudaissaid8428 😄 🤣 😂
@binsalum4698
2 жыл бұрын
Na hii sio mfumo wa kiserekal ni wa binafsi raisi ni mualikwa tu
Yameshaanza tena mashirika ya kuchota pesa za wananchi
@serafinamalecela4728
2 жыл бұрын
Ni huzuni 😭
@barakakusa7606
2 жыл бұрын
🤣😂
@janesemngindo4878
2 жыл бұрын
Mtu mzima kabisa hongera mama samia
@msabahaali758
2 жыл бұрын
Safi waachen wachache wapige hela tuliobaki tusubr tupewe vitenge na bombe tuipigie kura ccm tuendelee ss na vizazi vyetu kua masikini
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
Kwani yeye ndie Rais wa kwanza kufanya hiviiii???? Walopita wamefanya zaidi ya hayo. Basi subiri vitenge. RAIS SAMIA OYEEEEEE
@liliankapia451
2 жыл бұрын
,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
KUMBE WEWE UNASUBIRI KAZI HUTAKI
@lucylucy3678
2 жыл бұрын
Hii inchi inakula yeye kw yenyew masikin khaa hatujulikan😂😂😂
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
SIYO sasa hivi tuu...nyiye miaka mingi hamjulikani mnaishi tuu . Usiseme sasa hivi tuu utakuwa unabagua hapo.. haya mambo yako ZAMAAANIIII sasa yanaendelea...
@lucylucy3678
2 жыл бұрын
@@awatifalghanim1106 sas yamezid san khaa
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
Lucy sasa walokuwa wakiiba wanyama na dhahabu na almasi zote hizo mali za UMA tokea miaka hiyo hukuwaona??? Umekuja kumuona Rais Samia....Ahhhh mbona unazidisha mambo...
@hussenaaghe2760
2 жыл бұрын
So mana wewe pia
@onesmojustice2348
2 жыл бұрын
@@awatifalghanim1106 anakulipa sh ngapi mwenzetu naona povu linakutoka
@marycelestin6586
Жыл бұрын
Mh . Wanu hongera kpnz❤
@NasraMohamedi-eo1nk
Жыл бұрын
Mashallah
@josephamos6636
2 жыл бұрын
Sauti kubwa kama mama yake
@GMD820
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
Wananchi ni maskini sana sema 80% kwasababu Serekali haina uwezo wa kuwapa Wananchi wake makazi ili kila mwezi MWANANCHI ajuwe nini anapata na anafanya kwenye maisha yake. Kuna watu washafika miaka 80 bado wanafanya kazi..na vijana wamekaa bila ya kazi...na wamesoma vizuri.
@ednaJF1028
2 жыл бұрын
Of course kwasabu nafasi za kazi zikitoka wanapeana wenyewe mjomba, shangazi, Dada, kaka. Je? Wasio ndugu wapate wapi kazi? Tena mbaya zaidi wengine wanapewa kazi hawana hata ujuzi nazo kwasabu hawakusomea hiyo trauma. Ndo mana magufuli alikua anawatimua wengi tu humo maoficen. Just feel sorry for my people. Niliaza kutamani kurudi watakati wa magufuli but now hell No.
@salumsheikh5349
2 жыл бұрын
Serikali ikupe nini wewe , tafuta hela wacha lawama
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
@@salumsheikh5349 Weee mimi sihitajii kitu kwenye SEREKALI wala lawama kwa Serekali unayo isema haa haa😂😂😂🤣 Wananchi wengi ni maskini UNGUJA NA PEMBA hao ndio Serekali IWAFIKIRIYE kwa makazi ili waendeshe maisha baada ya kuomba omba majiani...
@salumsheikh5349
2 жыл бұрын
@@awatifalghanim1106 na kwani serikali inafanyaje! Hiyo taasisi ilofunguliwa imefunguliwa kwa lengo gani ?
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
@@ednaJF1028 Very sad....Mungu atakusaidia..Comment yako inaleta maana...siyo Comment ya kijinga..
@manyotaskipper5765
2 жыл бұрын
Mtoto ana MATAKO BALAAA dah kafungasha
@nocolasendru4196
2 жыл бұрын
Mkundu chekwa,
@salumsalim7564
2 жыл бұрын
Mamaa mama uyoo mamaa mama uyooo nani km mamaaaa🤣🤣
@lulurubby2235
2 жыл бұрын
Foundation za kuchotea pesa zimeanza
@mizingayaudongo1097
Жыл бұрын
❤ Excellent !!
@aishachambo8663
2 жыл бұрын
Bonge la mama😂😂
@mimahally8025
2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@alhudhaify7810
2 жыл бұрын
@@mimahally8025 kajazia mashaallah 😃
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
Wanakula nchi
@marygregory7566
2 жыл бұрын
Lkn mnaokoment vibaya mtakuwa tu na wivu
@aishandwata845
2 жыл бұрын
Mashallah mtoto wa mama ni mama.
@ummu2101
2 жыл бұрын
Mamaako peke yako
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@ummu2101 HUNA ADABU NA MAMA WA WENZAKO HUJAFUNDISHWA WEWE.
@ummu2101
2 жыл бұрын
@@salimmalaka256 samahan sijakutusi na ww pia huna adabu
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@ummu2101 NA NDIO MANA NIMEKUPA KAVU KAVU.
@silvertv8083
2 жыл бұрын
Wale washua wa chato waliongeaga siku za msiba TU Mzee alikuwa kauzu SANA😁
@jamil1547
2 жыл бұрын
🤣🤣
@emmycharles8463
2 жыл бұрын
Daaa kwahyo amekaa hapo jiran na Raisi
@user-ks8oy9lt7z
6 ай бұрын
Tz raha bwa akitoka baba hupewa mtoto akitoka mama hupewa mwana aaa! hii nchi tamu ajabu vizuri lakini mnyonge abakie mnyonge na royal family ibakie ivo ivo but kwa Allah hakutokua na iyo "inna akramakum inda LLAh atkakum"
@sylvestercharles3585
2 жыл бұрын
Hatukuwahi hata kumwona wala kumfahamu japo mtoto wake mmoja kabla, kwa kweli alikuwa ni mtu wa tofauti sana.
@martinemaganga5253
2 жыл бұрын
Je uliwahi kumfahamu mtoto wa mkapa na Magufuli?
@maireshsaid1628
2 жыл бұрын
@@martinemaganga5253 anamaanisha Magufuli
@christianmwashala9760
2 жыл бұрын
Yaaaaaan Marais woote ndivyo walivyo kuwafahamu watotowao ni mziki balaaaa,,,,kikwete mwenyew Ridhiwan alifahsmika kwajili ya bata zake mkapa ndo kabixa magu ndo kabisaaaaa mam ndo kaanza
@ashaashanalinga3635
2 жыл бұрын
Watu wengi hawamjui lakini uyo mtoto wa mama samia ni mbunge uko zanzibar
@pazikilindi1302
2 жыл бұрын
@@ashaashanalinga3635 Na siku zijazo anaweza akapewa uwaziri kiongozi hatimaye waziri katika jamhuri ya muungano wa Tanzania
Anaandaliwa ajekuwa waziri huyo au raisi wa Zanzibar
@mkkitchenware4930
Жыл бұрын
Kumbe mama Ana mtoto mashallah hiv na hamsemi...
@enzihamiduenzi5412
Жыл бұрын
Mke wa waziri huyo😊
@paulanina1552
2 жыл бұрын
Huyu ndio mtoto wa rais ama dadake😂😂😂😂
@faizamohamed5989
2 жыл бұрын
🤣🤣
@imeldabamba3779
2 жыл бұрын
Hahaha
@rogermiller165
2 жыл бұрын
Good job Wanu, wewe ni mfano, uliyofanya ni makubwa na mema.
@DavidMMKing
2 жыл бұрын
Hivi ni kwanini hakusema "tumusifu Yesu Kristu 🤔 Hakika uku zenji ni wabaguzi kweli adi wanachoma makanisa wakati, wakristu wanajenga misikiti yao. Mfano msikiti wa Dodoma wamejenga wakristu. Sasa sisi wakristu tunaoishi Zanzibar tujisikieje au ndio tuhamie Burundi uh Mama Samia mbona mtoto wako anafanya hivi na wewe unasema je, tuambie!!! Tumusifu Yesu Kristu 🙏 🙏 🙏
@mussamanyehe3918
2 жыл бұрын
Chizi tu na wewe huna jipya wakrist ndo mdudu gani
@DavidMMKing
2 жыл бұрын
@@mussamanyehe3918 mtume Mohamed SAW aliwatambua wakristu lakini bwege kama wewe unafikri unajua kuliko ata mitume na manabii. Jifunze maana ya Islam maana ni mabwege kama nyie mnaochafua uislamu uh 😡
@binsalum4698
2 жыл бұрын
Zanzibar wengi ni waisilam kwa iyo wanaenda kiislam na wala sio ubaguz ni mfumo
@omarhusna1766
2 жыл бұрын
Kwanza ismu ya kujengwa makanisa kwenye ardh tukufu ya Zanzibar hatutahii Zanzibar ni ardh tukufu Ila watanganyika Wana husda nayo kwakujenga vilabu via pombe na magest house yasokua na maadili kwaukweli hatutaki mtujengee makanisa zanzibar.
@mussahussein3583
Жыл бұрын
hhhhhhh Sasa utamlazimishaje mtu aseme asichokitambua wala kukijua.. na hata asichokiamini! Maajabu haya jamani... Sema tu wewe inatosha kwa niaba. Na huo msikiti unodai kwamba wamejenga wakristo kama lengo nikua waislam nao eti wamsifu Yesu Kristu basi nibora tu mkae mushauriane mkauvunje manake hiyo haitokaa ije itokezee
@tinershayo6191
Жыл бұрын
Watu hamkosi la kuongea binadamu tunamambo
@saidkhalifa34
2 жыл бұрын
Mashallah wowo lipo wanuu
@hafazstanzania5577
2 жыл бұрын
Wanakula na familiya zao maisha wanaona rahisi sana kuna wanohangalika chakula yani sijuwi niseme nini
@awatifalghanim1106
2 жыл бұрын
Usiseme kitu......na walopita kabda ya Rais Samia jeee???? Umesahau... Wamefanya nini????
@alisaleh2507
2 жыл бұрын
HAFAZS, TULIA ROHO YAKO WW, HAWA HAWATOKULA ZAIDI YA WALICHOKADIRIWA NA MUNGU, NA WW PIA UTAKULA ULICHOKADIRIWA MUNGU,
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
NA WEWE KULA NA FAMILIA YAKO NANI KAKUKATAZA.
@sw832
Жыл бұрын
Mumemsaa Makuful!? Mpaka kajenga uwanja wa ndege chato!😂😂😂
@jacksonmars7894
2 жыл бұрын
Mbona mtoto mzuri kuliko mama
@EbondoSounds
2 жыл бұрын
🤣
@eshasozy69
Жыл бұрын
Akizeeka atakuwa kma mama yke sbb wamefanana sana
@ahmadmohd3771
Жыл бұрын
Ww Samia pisi Kali umri tu
@salumabdallah6680
2 жыл бұрын
Yaani kufa usifiwe maana hata ukitizama clip za Jpm kabla hajafa watu walikua wanamponda tu ila alivokufa tu kawa mzuri kwahio mashambulizi tumemgeuzia mama sasa 😁 wtz raha sana
@salumabdallah6680
2 жыл бұрын
@@onesmojustice2348 maana yangu ukitizama clip zake za nyuma utakuta comments chache sana za kipindi hicho ila baada ya kufa kwenye hizo hizo clip unakuta comments mpya kibao za kumfagilia kiufupi hata wewe ukifa utafagiliwa tu 😃
@mamiyfeiy
2 жыл бұрын
ishiii ulaaniwe kufa usifiwe
@mamiyfeiy
2 жыл бұрын
@@salumabdallah6680 watu wengi koment wamezifuta kwa aibuuu hiii dunia ukifanya jema halionekani hadi upigwe Dongo la mata.... ndio watajua umuhimu wako
@omarabeid7490
2 жыл бұрын
Right
@humayraakhamisi9952
2 жыл бұрын
Watu roho mby tu zinawasumbua ovyooo kuwen nanyie marais bc
Ndio nyie jirani kaweka bati nyumba yake wewe unapanda pressure. Mama kahangaika upande wake na mtoto anahangaika upande wake , dini yetu inakataza kumtegemea mtu, kwa sababu sote ni WA Allah na kwake tutarejea.
@simulizizamwanaupwa2644
2 жыл бұрын
Sijui jimbo lina mwenyewe au washawahi wengine?
@meshackmwakunja
Жыл бұрын
Daaaaa sisi watoto wachini tulio sota kusoma ukipata nafasi kama hiiii niiite mmbwa apo kila mtu anakula alicho panda
@nunuuali5316
2 жыл бұрын
Wamefanana kweli kweli
@ronaldmwiriigi1235
2 жыл бұрын
Congratulations rais
@fredymwanzi4448
Жыл бұрын
Wake,watoto wa Marais ndio miradi yao hiyo badaye hela za Serikali zinakuwa zinahamishwa kupeleka huko. Salama Kikwete,Anna Mkapa,Mke wa Mwinyi wote hao walitengeneza foundation lengo kuu ni kuchota fedha za Serikali-sasa ni zamu ya Mtoto wa SAMIA
@zakariamufuruki1725
2 жыл бұрын
Mabruq mabruq (mama anaupiga mwingi )
@florahmushi748
Жыл бұрын
Hadi sauti ni ya mama anafanana nae sana
@comoyoorganisation6426
5 ай бұрын
Hata sisi ni wadau wa elimu mje kuchukua counter book 50
@verdianabanabi2205
2 жыл бұрын
Tutaona mengi mwaka huu
@cipladapretty8617
2 жыл бұрын
Hahahahha
@aishashaibu4772
2 жыл бұрын
😅😅😅😅
@veronicabwamukuru1265
2 жыл бұрын
Kabisa, kuishi kwingi kuona mengi
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
KWANI MIAKA ILIOPITA ULIKUWA HUONI????
@virginiamutisya6216
2 жыл бұрын
Good speech maintain Swahili don't mix unakoroga watu wasiojua kizungu ukifahamu English is not Tanzanian thing. We respect Tanzania with Swahili language
@jaymandy8136
2 жыл бұрын
Mbona ww hapo umechanganya na kizungu?
@salimmalaka256
2 жыл бұрын
@@jaymandy8136 🤣🤣🤣🤣🤣👍👍👍
@goldengirltanzania.458
2 жыл бұрын
Kwakweli,we umeongea point
@mohamedkutwambi
2 жыл бұрын
Na wewe je mbona Kiswa English 🤣🤣🤣🤣
@clementthehero
2 жыл бұрын
Sa mbona wee umechanganya sasa hapo? Fala sana 🤣
@saidiathuman-og6bc
Жыл бұрын
Pigeni izosafiii zenu lakin wanaume tunapotea ktk sekta mbalimbali sauti za wanaume zipo gizani sasa
@miltonjohn9779
Жыл бұрын
Mlimuuwa Magufuli Ili mtuibie mchanga wa madini moereke kwenu zbr
@malecellacaezaryj2414
2 жыл бұрын
💪💪💪Speech.
@christercheru8328
2 жыл бұрын
Powerful
@rehemakomba6376
Жыл бұрын
Kuna wagonjwa huku wanakufa mahospitalini kwa kukosa fedha za matibabu tembekea mahospitalini kaone uhitaji wa wagonjwa na kutembelea basi wodi za wazazi mahospitalini ni jambo la muhimu sana
@user-wh7gj9ug9s
7 ай бұрын
Scheme maneno mlitakaje na yy anaishi jinsi alivyo na anatenda kama apendavyo
@piuspatrick28
2 жыл бұрын
Nimesikia salaam ya kihisilam ila Ile ya kina gwajima. Hakuna watajijua
@yusufuheri6524
2 жыл бұрын
We nae kwakukaririshwa hujambo
@shufaamnyoty5626
Жыл бұрын
Hiyo sio salamu ya kiislam. Maana yake kasema amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yenu. Ni lugha tu ya kiarabu katumia acha makasirilko ndugu yangu hiyo ni lugha tu hata wewe unaweza kuitumia. Generally ulimwengu anaitumia kila akizungumza na watu. In short hiyo ni lugha tu usiichanganye na dini ya kiislam
@user-xh6tb2oh1q
8 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah
@ahmadmohd3771
2 жыл бұрын
Mama anaupiga mwingi mitano Tena😂😂😂
@georgenyoni9879
Жыл бұрын
Powerful lady
@qaboosabdulrrahmaan1314
Жыл бұрын
mi naona kilichobakia ni mama tu amwachie mtoto majukumu ya uraisi amalizie.vijana ndo bomba
@bakarpaul5046
2 жыл бұрын
Angalau yeye ana tako kidogo
@mariammkwabi7101
2 жыл бұрын
😂😂😂
@samsgilman01
2 жыл бұрын
😂😂😂
@lucyjeremia1381
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@joshuamchiwa861
2 жыл бұрын
Chunga kauli zako mkuu, hasa kwa viongozi wa kitaifa. Nakushauri futa post yako. Kama watoto wako wanapata rizki Mshukuru tuu Mungu.
@nassoralinassor1698
2 жыл бұрын
Dada jiamini kama mama samia akisimama hatetereki Mashallah
@marianajohn5415
2 жыл бұрын
Super woman 🥰🥰🥰
@mariajoseph3743
2 жыл бұрын
Sawa mungu akubariki Sana
@djfiremoto3429
Жыл бұрын
Daah Mtoto wa Mama♥️
@neemamanga9179
Жыл бұрын
Mama ni Rais alale aaah wapi ni zamu yenu.
@hammymohamed9233
Жыл бұрын
Maasha_Allah
@jeninmaleko1989
Жыл бұрын
Sisi ambao wazazi wetu hawakusoma na watoto hatuja soma wazazi wetu wataangalia kama tunajua kulima vizuri kama wao
@judithsodunga6231
2 жыл бұрын
Super
@mashramadhani1989
Жыл бұрын
Umeolewa Dada daaaaaa MTU kweli
@fredymwanzi4448
Жыл бұрын
Ndio mke wa Mchengerwa ama?
@adammtinga8738
Жыл бұрын
Nchi ya Tanzania inafahamika Kwa watu wa dini zote Hivyo basi kumbukeni kusalimia dini zote ikiwa pamoja na wasiokuwa na dini Itapendeza sana
@meshackmwakunja
Жыл бұрын
Apo kupigiana debe tu anataka kupewa cheo muwe make mno na wapigaji hawa
@RamaRama-wc1oc
2 жыл бұрын
Hongera ni nzuri sana
@aminaswai4825
2 жыл бұрын
Supper girl Bravo Bravo. Big up and Kongole mwanetu.
Пікірлер: 573