Ripoti za Ayo Tv leo zinatokea Uwanja wa Benjamin Mkapa wengine wakipaita Lupaso ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 31 kwa ajili ya ukarabati wa uwanja huo.
Timu ya Ayo Tv imefika hadi Lupaso na kushuhudia maboresho yaliyofanyika ikiwemo Taa, Screen za LED, vyumba vya Wachezaji, nyasi mpya na huduma ya Internet
Kaimu Meneja wa Uwanja Milinde Mahona ameeleza kuwa Uwanja huo ulizinduliwa mwaka 2007 ni takribani miaka 17 haujafanyiwa ukarabati Mkubwa kama huo unaoendelea.
Негізгі бет TAZAMA MUONEKANO MPYA UWANJA WA MKAPA TAA KILA KONA, INTERNET BURE, RAIS SAMIA AMWAGA BILIONI 31
Пікірлер: 251