Duuuh nilijua nimeona kila kitu kumbe bado aiseee🤣🤣🤣
@aishawhite1107
2 жыл бұрын
Nyama nyama ya Kuku nyama 🤣🤣🤣ya nyumbu nyama 😂😂😂😂love Tanzania hakuna kuhesabiwa Bure
@elizabethjakobo279
2 жыл бұрын
😂😂
@tousihhhh6765
2 жыл бұрын
namm sihesabiw had muniletee piza😍😍🏃♂️
@ferouzmasoud4870
2 жыл бұрын
Hii Kali kwel Tz Nchi yà amani na mm nataka Nyama ya swala ndyo mnihesabu
@doza1031
2 жыл бұрын
ok sawa kamateni mbuni mutoe manyoya tu alafu muwawache waendelee na maisha yao
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@karimjuma4019
2 жыл бұрын
Kazi kweli kweli
@alphoncemayala4214
2 жыл бұрын
Aaaa!!kumbeeee!!!! Ahaaa nimeelrewa sehemu walipo pishana wakulungwa walitaka mbuni yure ndege ila kulingana namazingila ya gafra bini vuu jamaa wakajikuta wanaagiza nyumbu 😂😂😂nyumbu wameletwa mhenga kakumbuka, wapi alipo kosea😂😂😂😂😂😂😂safi sana sema serkali mungewaacha2 wakaishi nawanyama popote pare, kwanza hawanashida yoyote wala hawaleti usumbufu oote kwa raia, 😂😂kesi yao kuu ni nyama2
@johngerald4677
2 жыл бұрын
Hongern wahanzabe wenzenu tumepigwa uku
@faustinaurio3703
2 жыл бұрын
Na simngechukua na hao nyumbu halafu waendelee kusubiri mbuni dawa ..hawana asante
@rashidyally8715
2 жыл бұрын
Oya Kuna jamaa mmoja anaitwa dudukwee sijamuona hao 😄😄😄
😂😂😂😂😂 Ila nimependa mh mkuu wa mkoa wala hajawamind kawasikiliza kama wanachosema cha maana kumbe wanazingua 😂😂 minyama yote hiyo wao hawashukuru wanadai vingine wafimbo hawa
@Kanyawela
2 жыл бұрын
Ivi kweli Nchi italikubali hili la kichawi kutambika Nchi ikitambika kwa kuwaeshimu watambikaji na sisi tunaemueshimu Mungu hatukubali kutambika
@chihomaempire8850
2 жыл бұрын
Kama unavo heshimu imani yako heshimu pia na imani za watu wengine hakuna mwenye hakika ya kweli tunaemuabudu yupo ama laa
@Kanyawela
2 жыл бұрын
@@chihomaempire8850 sisi tunamwabudu aliyetuhumba tuna hakika kabisa ila wengine wanalazimishwa kuabudu vilivyoumbwa na Mungu hapo mpaka uambiwe unajionea mwenyewe
@salamanhonya9677
2 жыл бұрын
Mama Samia Suluhu Oyeeeee!!! IPO vizuri. Amani ya Watanzania.
@salamanhonya9677
2 жыл бұрын
Wapelekeeni na Siku nyingine tena wajameni mweee!!
@yohanasport5929
2 жыл бұрын
Amani mamitozo ya ajabu ajabu
@kagarukifred7372
2 жыл бұрын
Kuna mwenye jezi ya utopolo
@ibrahimabel8360
2 жыл бұрын
Hii ndio Tz duuuuu,sijui kwann nimekubali kuhesabiwa bure
@zulfaissa7814
2 жыл бұрын
Mbona nchi wanao faidika nao niwachache
@ibrahimabel8360
2 жыл бұрын
@@zulfaissa7814 wengine tuendelee kujikaza tu😭😭😭
@agnessrichard253
2 жыл бұрын
😆😆🤣🤣kwaio hawa maboss wameamua kutumikisha serikali 😅😅😅 hya kimbieni mtafte mbuni
@sabihahamadi2287
Жыл бұрын
Mtihani muandishi kua makini na hao watu. Watuu wanao penda nyama ni hatari kweli
@sirizamwili
2 жыл бұрын
Magoya - Manyoya kwaajili ya Tambiko. Aisee! Twendeni tukatambikie mizimu.
@adrianofesto7301
2 жыл бұрын
Daaaah atar
@annavicter4326
2 жыл бұрын
Mhhh Yani mnavyojichekesha km vizur mariasili mnalishana kwa sababu ya sensa 😭😭mhhh hamna kazi amna bazi
@ludobudege1662
2 жыл бұрын
Seeikali inatuuma nguvu nyingi ili watu wahesabiwe kama mtu hataki unaachana nae hii nchi siiyelewi kabisa
@jamessichimata36
2 жыл бұрын
Mimi nileteeni nyama ya twiga sijawahi kula jamani nasikia ni mtam sana.
@tramyspinkiebee3536
2 жыл бұрын
Hahahhahaaaaaaaaaa hiii nchi bana..so na mimi nikisema nigome nipewe mkwanja itakuwaje😂😂😂😂😂😂...jaman achen kwanza nicheke halaf ntarudi kuangalia
Kumbe tungesema tozo,miamala,madini ya ruby kule Dubai kupungua kwa bei za bidhaa ajira kwanza kwa vijana tulio mtaani na mengn kama hayo yatekelezwe kwanza ndio tuhesabiwe tungefanikiwa aloo nimejifunza kitu....
@livingstonekabantega
2 жыл бұрын
Hao wenzio wanasikilizwa kwasabab wanaleta watalii wengi nchini na serikali kupata mapato Sasa wewe una faida Gani kwa serikali adi usikilizwe we unafikili wachaga, wahaya , wasukuma,wanyampaa serikali haiwaoni .
@mosesshekalage597
2 жыл бұрын
Hawa wanabahati magu angekuwepo wangekula viboko wote saiv wanadeka
@estermathias8354
2 жыл бұрын
😄😄😄🤣🤣🤣
@livingstonekabantega
2 жыл бұрын
Sasa kama wanaingiza mapato Kwa serikali kupitia watalii Kila siku kwanini wasideke
@shannylarry5181
2 жыл бұрын
Elimu ndogo Sana, anaongea kwa ujasiri kabisa eti wanataka mbuni😂🤣😂🤣wenzenu tumehesabiwa kavu kavu huku!!
@mumukinga8327
2 жыл бұрын
😀😀yaan km vile nchi Yao peke yao
@khamismgunya4519
2 жыл бұрын
wajinga kweli
@saimonijonas4356
2 жыл бұрын
Naomba wasiwaletee hizo mbuni.Maana amesema kuna mbadala wakujitibia magonjwa.Basi huo mpadala ndio watautumia wasitutie hasara ya mbuni.
@medimisi6930
2 жыл бұрын
Hahaaa nimefurahi,wahasabe hongela
@khamismgunya4519
2 жыл бұрын
@@medimisi6930 njoo namm nikupe happyy
@chalechaletv8658
2 жыл бұрын
Bimkubwa km wana linga nyama lete uk dar na mchele kilo 1 wata niesabu mm ad miti yangu😂😂😂
@hollymore4904
2 жыл бұрын
Wanadeka washenz
@homeboybeyondtheborders4935
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@laoiyadi1176
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka ujue
@uledimtumwa2406
2 жыл бұрын
Tatizo mfumo wa maisha yao ni kuwinda kila uchao.
@hollymore4904
2 жыл бұрын
@@uledimtumwa2406 me maisha yangu kutafta hela....ko niidai serikali pesa ndo Inihesabu
@hollymore4904
2 жыл бұрын
@@laoiyadi1176 utafikiri wamefuga wao 😂
@eliudijustinyindi5939
2 жыл бұрын
Imeishaiyooo
@fatumasalum7973
2 жыл бұрын
Hii nnchi ina Uhuru Sana jaman
@idrissatuppa3997
2 жыл бұрын
Muwe na Shukrani Anapewa nyumbu anarazimisha apewe na Mbuni. Au mnajiona nyie peke yenu ndy mnahaki ya kutumia maliw asili za Tanzania.
@Baday_8
2 жыл бұрын
Weunataka😂😂😂🙌
@florenciamassawe4925
2 жыл бұрын
TAWA hebu tupeni elimu juu ya hawa wenzetu Wahazabe na hii desturi yao ya kuwinda wanyama. Je sheria inasemaje. Wanaruhusiwa kumiliki wanyama hao au ikoje. Naomba kuelimishwa juu ya hili.
@livingstonekabantega
2 жыл бұрын
Yaani unasema waruhusiwe , Kwaio unataka wasirusiwe kuwimda Ili na serikali ikose mapato ujui Ili kabila linaingizia serikali mapato kupitia kuwinda Kwaio afu unasema wazuiwe
@samsonmwampamba6180
2 жыл бұрын
Kwa uncle magu wangedai mbuni kweli?
@charlessomeke8992
2 жыл бұрын
Hawa nawafaham vizr hata kanisani kama hakuna chakula hawatakuja kusali pia shuleni watoto bila chakula hawatasoma
@mwajumahamisi2006
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@reginamao3450
2 жыл бұрын
Hahahaha,kwa hiyo tumbo kwanza
@aristidestibaijuka3428
2 жыл бұрын
Mama Samia na serikali yake ni s nikivu Sana ,naomba viongozi wengine waige kiongozi wetu na naomba NSSF itupatie chetu sisi wafanya kazi binafsi tulioacha kazi ili fedha zetu zitusaidie kwenye maisha haya magumu
@robertphilip385
2 жыл бұрын
Kundanganya watu na nyama ya siku moja ndo usikivu? Hawatu wanatakiwa wapate elimu iliwaachane na utamaduni wakizamani
@gibsonjosephat6352
2 жыл бұрын
Tozo kwenye Miamala na. Mabenki hajasikia?
@livingstonekabantega
2 жыл бұрын
Hawa wanasukilizwa Kwa sabab wanaingizia mapato serikali kuna makabila mengi ya asili Tanzania ila Ili ndo kabila marufu duniani
@yohanasport5929
2 жыл бұрын
Sikivu na mitozo hiyo
@allytv1714
2 жыл бұрын
Iv ndivo watawala manawadanganya at kwenye uchaguzi awajuii wanachokichagua cz hawana elimu chekii jamani wamepiwa nyama basi uchaguzi mtawapa kanga na kofia
@sadabahla7120
2 жыл бұрын
Mtasubir Sana mbuni yani mnsleta janja janja
@sabinaonline6575
2 жыл бұрын
Wapewe vyoo wapewe elimu
@IdrisaTuppa
Ай бұрын
Dudukwe Simuoni Yuko Wapi
@adelaanteri337
2 жыл бұрын
Hahahaaaa! Manyara hoyee. Penda sn. Jiran zangu
@kulwarahmu5031
2 жыл бұрын
Awa nao mxiueee wanajikuta special wachafuuu weusii mxiueee
@maryamconstantine2232
2 жыл бұрын
Ambao na ss bado tujahesabiwa mje hata na bagga basi ili mchakato wa kuhesabiwa uende poa
@juliusdonard933
2 жыл бұрын
Daaa serikal mfanye kituu Wapatee elimu
@mwinukafundibombanjombe
2 жыл бұрын
Uhuru uliopitiliza 😂😂😂😂
@floranceluqman2951
2 жыл бұрын
Wasituchanganye hao wehu kama hawataki kuhesabiwa kavu kavu peleka JWTZ wenyewe watahesabiwa bila kelele wanataka kukwamisha mpango wa serilkali tu
@mgombabraison420
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@Juke995
2 жыл бұрын
Kwa hiyo bila nyama wangewageuza watu Wa sensa kitoweo ama 😂kwanza walitaka mbuni Ila basi tu 🤣
@alphoncemayala4214
2 жыл бұрын
Kumbe naww umemuerewa😂😂😂😂😂😂 hatari sana
@modysultan6170
2 жыл бұрын
🤣
@pelinakalinga2100
2 жыл бұрын
🤣
@sabihahamadi2287
Жыл бұрын
Heeeeeee hawa watu wanamajanga wanashariti kweli wanawapa mashariti kwa viongozi wao
@juniorjuma2562
2 жыл бұрын
kwahiyo hao nyumbu inakuaje sasa waludishwe ama🤪🤪🤪 hii nchi hii ya ovyoo sanaaa
@sadabahla7120
2 жыл бұрын
Watakula nyama ila ngozi awana kazi n ayo
@juniorjuma2562
2 жыл бұрын
@@sadabahla7120 wakt wao wanataka mbuni wangu hujaelewa hapo,🤣🤣
@tumainimtingitingi4883
2 жыл бұрын
Ana leo wamependeza
@othumanichabai2906
2 жыл бұрын
Mimi ndomaana nmekataa. Kuhesabiwa
@suleshsneider8545
2 жыл бұрын
Maake kwanza ncheke. Sasa na cc wakwere tuleteeni PEMBE za ndovu.. La cvyo mtahesabu mapapai
@Commentsplus
2 жыл бұрын
Hawa wanahitaji wapigwe kama ngoma ndo wataelewaa
@suedseif6495
2 жыл бұрын
Hawa nao wasiwaendekeze sana mbona huku tunahesabiwa bila hata ya nyama
@godfreymsafiri6508
2 жыл бұрын
Mbn wanapelekesh selikal
@annavicter4326
2 жыл бұрын
Mhhh kwaio kumbe wengine mnawaogopa mpaka muwaonge nyama ndio muwahesabu iyo kisayansi tunaita rushwaaa
@shanifesto9037
2 жыл бұрын
Dahh tabu kwa kweli
@aishaissa2512
2 жыл бұрын
Mbuni siwataisha sasa
@allytv1714
2 жыл бұрын
Wapeni elimu na maendeleo na siyo wanyama
@muuhviva241
2 жыл бұрын
Umeanza uwongo sasa milladi
@dimiledimile5634
2 жыл бұрын
Kwahio Yanga inawakilishwa hadi huko
@milley7185
2 жыл бұрын
Nahitaji interview 🙌
@lathifaa860
2 жыл бұрын
Kazi kwali kwali
@mirajiramadhanikyande6173
2 жыл бұрын
Wakipewa Mbuni watatosheka?
@stejasatv7349
2 жыл бұрын
Sasa baada ya kuomba vifaa vya kiafya , kielimu ,kimiundombinu hii ni kuambudu Miungu hapa ndipo wazungu wanatuachia
@sailicekomba8075
2 жыл бұрын
Tuwe na kiasi kila kitu kikosoa tu jamani
@comics3437
2 жыл бұрын
These people are very INTELLIGENT, Yaani wanajielewa na they know what they want
@samwelsanga5339
2 жыл бұрын
Wapuuz kwel kwel hawa
@anessabinery5654
2 жыл бұрын
Msije kunihesabu mpaka mniletee Simba ,,alaaaaa nataka nyama ya simba
@ramatandula7734
2 жыл бұрын
Wahadzabe ndo mtoto wamwisho watanzania atatozo hawana kwahyo makabila mengine tujitahidi tukaoe huko wazee
@paulochesco8675
2 жыл бұрын
Senza hoooyeeeeeeeeeee
@mercypeter162
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂Kazi ipo
@user-vh8em2bj9t
5 ай бұрын
Yombo
@nasramkungwa3647
2 жыл бұрын
Acheni upendeleo ao mbuni tuleteeni na sisi huku tuonje nyama yao sio tunaishia kuwaona kwenye TV 📺 tu
@surusuru1994
2 жыл бұрын
😀😀😀😀😀Hatary jamn
@joycepima1844
2 жыл бұрын
HIVI INGEKUWAJE JAMII ZA NCHI NZIMA ZINGEDAI NYAMA KABLA YA SENSA? NYUMBU WANGEISHA NA TUNGEENDA KUAZIMA KENYA 🤣🤣🤣
@ngwanamabande8036
2 жыл бұрын
Serikali inakwama sisi tukisema tunataka tembo mtareta
@chinischinis6371
2 жыл бұрын
au wakikosa ao mbuni wawapelekee ata nyani tu ao jamaa mbona wanakulaga tu
@shanisshow1864
2 жыл бұрын
Watu wanawabeza na kuwatukana jamii ya wahadzabe kwakuwa ndo mmeshikilia nchii na unyanyapaaji mkuu na kuitumia jamii hii kwa maslahi… yenu binafsi.. mnatoa maini bila kuheshimu asili ya watu… Mbona hatudai ajira na fursa mnazodai kwakupeana kwa kwakiukoo na kindugu na ukabila maofisini… leo kunavijna wa hamii wamesoma ila ajira kwao shida…. Mnawabeza na kuwadhalilisha pumbavu zenu
@Mimi-wf7mb
2 жыл бұрын
Well said. Tunawatumia wananchi tunapowahitaji. Tukimaliza tunawabwaga
@livingstonekabantega
2 жыл бұрын
Hawa lazima wasikilizwe waletewe wanacho taka kwasabab wanaingiza mapato Kwa serikali wewe kabila lako linaingizia nin serikali Hadi usikilizwe unacho taka
@hamadimgaza9351
2 жыл бұрын
Hawa viumbe watatumalizia wanyama wetu
@kasukukasuku3896
2 жыл бұрын
Magoya ni manyoya🤣🤣🤣🤣🤣
@salama1113
2 жыл бұрын
Make kwanza ncheke nyumbu washa kufa na mbuni wanatakiwa😂😂😂😂😂😂
@mbwanakiting7180
2 жыл бұрын
Acheni upumbavu msiue mbuni wetu Kwa ujinga wenu
@sabastianraymond.6383
2 жыл бұрын
TZ
@merydavis3860
2 жыл бұрын
Last born wa Mama Samia ndio maana mnapendwa !
@jacksongidion5170
2 жыл бұрын
7
@zakiamseka9698
2 жыл бұрын
Mmmmh mbona wanadeka sana?aisee
@magneticofficialtz
2 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/s6iqyWh4iF-Dh3Y mdada wa kazi kafumaniwa wakifanya mapenzi na mlinzi jikoni duh dunia imevaa
@johnmatiko5086
2 жыл бұрын
Kombe Kuna wababe wasiotishia jera endapo hutoesabiwa
@esterrobart9750
2 жыл бұрын
Mh watu hawa bado wapo nyuma sana waelimishwe watakaa sawa
@joycesanga4378
2 жыл бұрын
Mm sijui niombe nn ili nihesabiwa 🤣🤣
@cmantz8837
2 жыл бұрын
Pigeni bakola hao wanaipa mashariti serikali je jamii zote zikitoa masharti itakuwaje?
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
2 жыл бұрын
Nashangaa Sna
@salminmabrouk5433
2 жыл бұрын
Wahazabe kiboko yao
@mashaurimvungi2232
2 жыл бұрын
Du hatari
@moseskisingi7696
2 жыл бұрын
Hii ni hatari sana japo inachukuliwa kiurahisi. Tanzania yenye makabila zaidi ya 100 unawezaje kuweka mapatano na kabila moja juu ya matakwa yao na kudhani makabila mengine hayana mila zao pia? Mwisho wa siku huu ni ujumbe kwa watanzania ambao hudhani kuwa hawana sauti na uwezo wa kugomea mambo wanayo dhani hayawapendezi. Tatizo ni hofu yetu juu ya watawala na mgawanyiko wetu ambavyo hutumika kama mtaji kwa watawala.
@winfordmwangonda5375
2 жыл бұрын
Moses uko sahihi,ila kubali kuna Jamii zipo nyuma sana kielimu pia kiufahamu.Hawa watu hawakai sehemu moja ,huhama sehemu moja kwenda nyingine. Naimini ufahamu na elimu ya jamii yako iko juu sana kuliko hawa watu,pia serikali haitaji ata kutumia nguvu au ushawishi ,sababu mnajielewa
@khamismgunya4519
2 жыл бұрын
msilete ujinga
@faridaaloyce4330
2 жыл бұрын
Nyumbu hoyeee...hahahahaaaa
@praygodijiko4969
Жыл бұрын
wanadeka awa watu pori
@nyangigenyabitwano1180
2 жыл бұрын
Watu na misimamo yao
@dicktv8762
2 жыл бұрын
Nasisi dar tunataka chpc kuku ndo tuhesabiwe
@patrickmarwa5024
2 жыл бұрын
Mziki awa jamaa si mchezo
@donmoofmmawaidhaaudio4508
2 жыл бұрын
Na mimi nataka KUAJILIWA. Nisipoajiliwa sihesabiwi 🤣🤣🤣
@livingstonekabantega
2 жыл бұрын
Acha zako wenzio wanaingizia serikali mapato ndo mana wanasikilizwa wewe una faida Gani adi usikilizwe
@magrethmmbaga7098
2 жыл бұрын
Serekali haina dini ila watu wake. Iweje Serikali kutoa mali ya uma kufanyia matambiko kwa watu flani .Kila kabila likisema litambike yakwao je watapewa vyakufanyia hayo matambiko?mimi nafikiri tusirudi nyuma .mwacheni Mungu muumbaji atawale Tanzania. Tusihusishe taifa na matambiko viongozi wa dini mnasemaje
@titusmisalaba1971
2 жыл бұрын
Kaombe tu na wewe ufanye matambiko ya kikwenu! Unachoamini wewe si wanachoamini wao, imani za watu ziheshimiwe
Пікірлер: 204