Mim nishabiki wa Yanga lakin napenda sana utani wa Ally kamwe na Ahmed
@AthumanSeleman-zz3im
8 ай бұрын
Mpira siyo ugonvi
@menaurukivuyo6796
2 ай бұрын
Hawa ni wasomi wanajua maana watani wa jadi barikiwa sana nimeipenda sana umoja kama huo ila najua Utopolo fc mtaaribiwa Sasa na huyo zeru zeru Manyara,,, shikamaneni sana ❤❤ love you Simba nguvu Moja UBAYA UBWELA 🎉🎉
@DikelediAnnaLetsitsa
5 ай бұрын
Hawa wawili wanapatiana sana mungu awabariki katika kazi zenu.
@hassanmoshi5439
2 ай бұрын
Mm nawapenda Sana
@oswardlonginoosward9832
5 ай бұрын
Ahmed Ally apo ni kama shabik tu sio semaji😂😂
@BoniphaceCrever
8 ай бұрын
watan jaman hongeren
@BensonMpomo
6 ай бұрын
ndo utam wa yanga na simba yani tunacheka mbaka unainjoy
@RauwrencMbwana
5 ай бұрын
Amed amekua mdogo
@AbdulKigoda
Ай бұрын
Hawa wanapendana jamani na wanajua
@NaomyDaniel
26 күн бұрын
Jaman😅
@BarakaGavana
8 ай бұрын
😊❤❤❤
@abbyn.mwamba
Ай бұрын
nafurah yani mnacheka mnainjoi kipindi yupo manara mambo aya hayapo
@Naju645
2 ай бұрын
Atafungua TV yake anamaanisha manara alitoka akaja ali😅😅😅😅😅😅
@WinifridaLyanzle
Ай бұрын
utani sio ugomvi wala chuki hongeleni sana jmn
@jumannekambangwa3554
2 ай бұрын
Manara ameumbwa kama shetani si msemaji bali ni fitna tu
@NassoroGombo
2 ай бұрын
Mpira niburudani na utani ni mojawapo ya burudani
@JoyceMsambili
Ай бұрын
Napendaga tu kuskia utan wao😊😊😊
@BakariShabani-nf4rz
2 ай бұрын
Hadi rahaa
@AngelGabriel-y6e
7 ай бұрын
Watani wawili maua yenu🌹🌹🌹
@Friday-nx8pm
3 ай бұрын
Hapo utani umekaa vyema!
@stevensosipita
2 ай бұрын
NIMEFURAHI SANA KUONA WAMBA HAWA KUKUTANA USO KWA USO
@mhlegusekambona2818
2 ай бұрын
Yaani hawa ndio was wasemaji ambao ni watani wa jadi, sio Manara
Пікірлер: 44