io story ya kuingia porini kutafuta amani kweli ni ya kishujaa,
@kasimkassam9565
4 ай бұрын
Rais Nyusi Akiri nyingi sanaa mzeee
@alvinsafi2733
4 ай бұрын
Raisi wangu na yeye anajua kiswahili vizuri sana😅😅
@michelongolo7553
4 ай бұрын
Philipe unaongea kiswahili kizuri lakin inchi yako inakushinda mzee baba. Sisi huku hatuna furaha na wewe kabisa tumechoka ,nendaaaa huko
@prosperidinya5864
4 ай бұрын
Filipe unaongea kiswahili kizuri, wala usiwe na wasiwasi
@salmaheri971
4 ай бұрын
Nilicho jifunza kwa viongozi wetu ni mfumo waliyo wekewa na wazungu
@alfinmbilinyi5985
4 ай бұрын
🇹🇿Hii nchi ya Msumbiji si ingeungana tu na Tanzania kuwa nchi moja?Naona watu wake ni wamoja na kila kitu wanafanana.kuna wangoni,wamakonde,wamakua,wayao na wanaongea kiswahili kizuri.kuna haja mozambique kuanza kutumia kiswahili mashuleni ili watoto waache tumia kireno lugha ya kikoloni za kutugawa na kutuibia utajiri wetu.Hongera Rais nyusi kwa lugha nzuri ya kiswahili.pia nyusi jenga bara bara za lami kuunganisha Tanzania na Msumbiji hasa maeneo ya newala, songea,na tunduru ili uchumi wa wananchi wa Msumbiji na Tanzania uwe mzuri.pia maisha yatakuwa ya raha kwa nchi zote mbili mungu akubariki sana na akupe nguvu pia kufanya makubwa katika nchi yako
@othumanlorenzo260
4 ай бұрын
hao sio watawala , mzee wangu watawala wakonkule juu maputo
@abdulhakimhasan7673
Ай бұрын
@@othumanlorenzo260Tunafahamu kuwa mna bwanwa , poleni .
Пікірлер: 12