Kwa nini mdanganye mseme maoni ya Samia wakati wote tunafahamu JPM alianzisha ujenzi wote huo>1 treni la Kwanza la MGR liliingiza mzigo wa kwanza JPM akiwa bado yupo madarakani, tena kabla ya muhula wake wa pili!!! Aibu sana mnapojaribu kumdiscredit JPM
Пікірлер: 3