Safi sana Prince Katega. Haya mambo yanapaswa kufundishwa kwa watanzania. Wakoloni walifunika ukweli kuhusu mwafrika. Lazima tuandike historia yetu
@stephanokigosi656
Жыл бұрын
Asante sana prince Katega 🔥🔥🔥🔥🔥
@tabarokaijage3257
3 жыл бұрын
Jitambue binti na mwana wa Mama Afrika ...Amka uende nami prince Katega II ...kumepambazuka
@marthadawite1300
3 жыл бұрын
Kemet ni Egypt na mafarao ni waafrica kabisa ujue ukuu wa mwafrica
@augustineenock7372
3 жыл бұрын
Yani hawa wazungu wanajikuta ndo Mungu kumbe vilaza tu, serikali yetu, itumie nguvu kubwa kuludisha utamaduni wetu, tumedanganywa sana na hawa na serikali isipo angalia wata tumaliza kabisa na wanatumia chanjo zao hizo, seri yetu iamke jamani mbona viongozi wetu wana penda sana mambo ya kizungu hayatufikishi popote bali ndo yanazidi kutupoteza kwaenye ramani. Naumia sana.
@hamisiramadhani9217
Жыл бұрын
Mi nashukulu Sana katega kwakualikwa tbc chombo chataifa.
@user-cg7ud4pp5j
11 ай бұрын
Am proud to be an African
@wanva1233
3 жыл бұрын
Safi sana Prince Kattega II
@org5233
Жыл бұрын
Baba katega wanakuchukulia poa ila hata sisi vijani Mitaani tunakuelewa
@sahalexcha3036
3 жыл бұрын
kategaaaaaaaaa swafiiiiiii kabsa inabidi fufungue shule zetu
@johsenlezumbel9672
3 жыл бұрын
Ndio tupo pamoja wa Africa lazma tuji tambuwe
@METHODGELVAZ
10 ай бұрын
Naomb prince utupe historia ya Sheba,kushi na wanodi weupe na weusi
@innocentjakson6567
2 жыл бұрын
Tuko pamoja
@diamondkamugisha6672
3 жыл бұрын
Yes mkuu uko vizur
@mashakakwembe7482
Жыл бұрын
Katega tupo nyuma yako endelea kudadavua tuliyofichwa ikosiku tutarudi kwenye asili yetu
@marthadawite1300
3 жыл бұрын
90% of your knowledge is things of past 10% is present
Пікірлер: 16