WAPE TABASAMU | Mazungumzo baada ya mechi bado ni ubishani wa makocha Ally Kamwe na Hasheem Ibwe…. Malalamiko ya kuhujumiwa kutoka kwa Kibwana Shomary na tambo za kibabe kutoka kwa Dikson Job.
Hawa hapa wote wakitoa pongeza na kuwashukuru wakazi wa Morogoro kwa muitikio waliouonesha…. ….
FT: Team Kibwana 2-6 Team Job
Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD
#MechiYaHisani #WapeTabasamu #WapeTabasamu2024
Негізгі бет Team Kibwana 2-6 Team Job | Kibwana alia kuhujumiwa, Kamwe na Ibwe waendeleza ubishi, Job atamba
Пікірлер: 66