Nashindwa kujua Mungu ana makusudi gan na mm maana nimekuwa na mzigo sana juu ya waimbaji,nimekuwa nikiugua sana kwa ajili ya huduma zao ....kaka Gwamaka kupitia ushuhuda Mungu wa mbinguni akuinue viwango visivyovyakawaida KATIKA JINA LA YESU!!! 🙏🙏🙏
@harunjustin5521
Жыл бұрын
Namukubali sanaaaa uyoo mwamba Mr mfinanga mwakalingaa ahaaaaaa fire
@upendodavid3081
Жыл бұрын
Shangiliaaaa piga keleleee oohooooo kwa bwanaaaaaa mungu anapaswa kushangiliwaaaaaa kabisaaaaa
@ErickSimeonkahiga
2 жыл бұрын
Nimekuombea Sana, Napenda Huduma yako Gwamaka Mwakalinga , Nashukuru Kwa matendo ya mungu kwa maisha yako, Na uko deep man Receive Love from Kenya🇰🇪
@barshermedenterprises7114
2 жыл бұрын
AM in kenya and been praying for Gwamaka, he is a blessing to the kingdom
@ruthachieng1740
2 жыл бұрын
Gwamaka Mungu wako unayemtumikia akurejeshe kwenye zamu yako
@jasinthakalemera9505
2 жыл бұрын
Mungu ni mwema jamaniiii azidi kumtetea mtumishi wa Bwana aendelee kuishi kwa ajili yetu
@davidmsemo8892
2 жыл бұрын
Hii ilikuwa vita ktk ulimwengu wa roho, na ni pepo hilo na hii nikutokana na huduma yako Gwamaka, but still God is good na Mungu anakupeleka kwenye kiwango kingine
@atuganilemalango1489
2 жыл бұрын
There is no premature death in Jesus name. Be healed brother. Your ministry is a blessing to many of us.
@lowassaloitore4774
2 жыл бұрын
Mungu atakuponya Mtumishi, Kama ulivyosema kwamba kuna ujumbe ambao Mungu anataka upate na kupitia hapo wengi wataponywa na Mungu Wetu Mkuu, Na Mwenye Nguvu... Mungu aendelee kukuandaa kwa ajili ya kusudi lake hapa duniani.
@farajalukosi8462
2 жыл бұрын
Amepita katika Moto na kutoka Kama dhahabu, Mungu yupo , maombi Yana nguvu, Barikiwa Gwamaka uinuliwe zaidi
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@brother_majesty
2 жыл бұрын
Nuru Imerejea..Mungu ni Mwema Sana. Glory to His Holy Name
@marym8017
2 жыл бұрын
Testimony yako Gwamaka imenipa nguvu kama Mkristo... Mungu akuhifadhi na huduma aliokupa Amen. Wewe ni mshindi
@upendodavid3081
Жыл бұрын
Gwamaka ulikuja mwanza ukafanya uduma ya uimbaji kanisan wakati uo nilikuwa naomba nakusifu saaaana ndani yangu nilikuwa najikuta naomba maombi ya shukran Yan na bubujika kwa shukran tu ulisogelea unaniambia unaona kitu ndani yangu na pía ukasema mungu anakitu kikubwa kwangu wakat unaniambia vitu hivyo nilikuwa nimetoka kwenye ujane wa miez mitatu nyuma lakin bado nilikuwa ninamshukuru mungu sana sana hivyo hapa nilipo napaswa kusema niña aman na nime stawi kama gustan yenye rutuba kabisa mungu apewe sifa
@japhetjoram7800
2 жыл бұрын
MUNGU wa mbingu na nchi akuponye Gwamaka.Bado una kusudi la MUNGU ndani yako na MUNGU hana tabia ya kuitelekeza kazi yake iishie njiani!always MUNGU akianzisha lazima akamilishe!You are blessed in JESUS NAME!
@priscampolenkile6381
2 жыл бұрын
Ameeen ameen Mungu hajawahi muacha mtu wake
@addalazaro5579
2 жыл бұрын
Mungu amekuwa mwema mno kwa gwamaka he's a living testimony to us
@devothajoseph5386
2 жыл бұрын
wow... Glory to GOD, Utaishi sana GWAMAKA Ukitusimilia na kuwasimulia vizazi vijavyo ukuu wa` MUNGU
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@shalomchaula4420
2 жыл бұрын
Mungu ana mambo yake ya sirini ndo maana ukifika hatua za juu Sanaa unasema neno Moja tu "mwache Mungu aitwe Mungu".....bro nakumbuka ulivyokuja dodoma ukaja ICC be healed and anointed for the Kingdom glory of God.
@priscashoo4513
2 жыл бұрын
Namshukuru MUNGU kwaajil yako Kaka Gwamaka unapendwa Sana na Mungu na sisi tunakupenda pia ❤️ azid kukutunza
@marygregory7566
2 жыл бұрын
Roho wa Mungu ananijia kwa nguvu ninaposikiliza ushuhuda huu... Mungu akaniambia HIYO NI NJIA YA MUNGU KUKUTAMBULISHA KWA WATU.
@uwezoseleman5530
2 жыл бұрын
Stay strong man of God that's the sign that yr service is accepted to God! Tunapenda huduma yako u will live to the fullest and all these challenges shall turn into testimony Amen Amen Ame
@veronicalameck6982
2 жыл бұрын
MUNGU ni mwema, Yesu akutunze na uzidi kuinuliwa zaidi ktk huduma yako
@angelaswila6632
2 жыл бұрын
Mtumishi Mungu Ni mwaminifu mno Kuna Jambo kubwa la Kimungu mbele yako utavuka. Isaya 7:7
@nurukipato5471
Жыл бұрын
Glory to God...hakika uhai wetu umefichwa ndani ya Yesu.
@joshuamwasandube5279
Жыл бұрын
May God heal you Gwamaka, am much blessed listen your given anointed songs
@elizabethngala5366
2 жыл бұрын
Mungu ni mwaminifi, it's just a season and you will be more stronger than ever,kazi hujamaliza .
@candylinahlinus6018
2 жыл бұрын
Mungu akutunze jamani...shetani ameshindwa..
@vailetheanyambilile9749
2 жыл бұрын
Nime furahi kumwona kapona huyu Kaka Mungu ni mwema sana
@daktarikiganjani4031
2 жыл бұрын
Kaka Yangu nashukuru sana kwa kutiwa moyo ili uje ushuhudie.... Kwa neema hyo hyo sisi Daktari kiganjani tunatoa elimu kwa namna rahisi. Tunamshukuru Mungu kwakua sisi tunatoa elimu, Mungu anaponya.. Na wewe ubarikiwe kwa kushare.
@eunicedan
2 жыл бұрын
Uponyaji.🙌🙌.uponyaji Kwa ndugu Gwamaka Mungu ni mwaminifu ashafanya sikujua haki🤔 vile naimba nyimbo zenu Uminiliwa zaidi ya milima' my favorite. You're blessed 🙌 and family
@levinanaftal6945
Жыл бұрын
Me mwenyewe nililia Ila ashukuriwe Mungu wa mbinguni ametenda🙏
@tinahmtei9183
2 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu Mfinanga nakumbuka wakati unafundisha somo la kukinywea kikombe kijitonyama. Nilikuwa napitia mahali paajabu sana na baada ya kuvuka nikakushuhudia. Namshukuru Mungu kwaajili ya huu ushuhuda wa mtumishi Gwamaka maana MUNGU amenithibitishia kwa mara nyingine kwamba yupo na anafanya mambo yaajabu sana. Vitu vingi ameongea Gwamaka nami nilivipitia , kumsikia MUNGU kwa wazi na wakati mwingine kujikataa na Mungu kuachilia vitu vingi sana hizi nyakati ngumu. Naelewa na ni watu wachache sana wenye hii Neema! Namfurahia huyu Mungu sana. Moyo wangu unafurahia sana alichofanya kwa Gwamaka 😭😭😭
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Umebarikiwa sana, Utukufu apewe Bwana wetu Yesu Kristo.
@missenika8623
2 жыл бұрын
Hili somo lipo hapa KZitem? Kama lipo naomba nisaidie link
@jenifamoses4276
2 жыл бұрын
Mungu na azidi kukuponya na kukubariki kwa habari ya afya yako Gwamaka
@bahatizuberi9265
2 жыл бұрын
Glory to God. Uhai wako ufichwe ndani ya damu ya Yesu. Mungu aendelee kukuimarisha kwa utukufu wake. Amina.
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@eliakimmtawa9866
Жыл бұрын
Shalom Mfinanga may God teach u his truth and ways
@dieudonnealuta3373
2 жыл бұрын
OMG!!!!!!!! Suffering from Diabetes is one of the worst challenge. To see how strong GWAMAKA was in 2020 and the current video, all i can say, MAY GOD BE PRAISED FOR YOUR HEALING. May His protection be on you always. May this challenge strengthens your faith in the Lord.
@annahillary349
2 жыл бұрын
Powerful interview 🔥🔥🔥🔥🔥Gwamaka Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@buberwakahatano8766
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Bro. Gadiel Mfinanga Kwa hii interview ya Gwamaka Mwakalinga, imetugusa na kunikumbusha namna ya kuliishi kusudi la Mungu
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@polinenamirembe8059
2 жыл бұрын
Gwamaka you are my mentor..may the lord do you good
@happyallan508
2 жыл бұрын
God of Glory Tunamtukuza Mungu pamoja na wewe Nyimbo zako zina upako na zinaendelea kuminister ndani yangu..be Blessed man of God..wewe ni mshindi na ww ni afya
@ndembwamponda7674
2 жыл бұрын
Yeah! Ni wakati wa kuinua madhabahu halisi ya Mungu Aliye Hai ktk Tanzania bara na Visiwani. Asante sana Mtumishi wa Bwana Yesu Kristo kwa ushuhuda nimejifunza na kunifanya niendelee kumuangalia Mungu Aliye Hai.
@huldavagheni6186
2 жыл бұрын
Kwakupigwa kwa Yesu tumepona. Kaka, you are such a blessing to God's kingdom. hee upone kwa jina la Yesu Kristo. we are praying and we love you Minister of the gospel.
@esthersima8423
2 жыл бұрын
Mtumishi kaka g waombaj wa dodoma tunakusubir kwa ham kwenye across of the year inayoandaliwa na mwalim Emanuel shemdoe 1.6 next week na pia miez mitatu nyuma kwenye madhabahu ya kkkt cathedral dodoma tulikataa magonjwa na vifo kabla ya wakat na mtumish mfinanga naiona asgment ambayo Mungu amekupa mtumish hongera kwa kaz nzur mtumish ss ni washind kaz ya Mungu iendelee tunakupenda mtumish Mungu akupiganie
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@elizabethngala5366
2 жыл бұрын
Wewe niwa maana Sana kwa ufalme wa Mungu, healing is your potion in Jesus name
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@rachellyeme3097
2 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana
@hosearenatus4917
2 жыл бұрын
Mungu yupo nawe brother Atakuponya
@MissG_the_artist
2 жыл бұрын
You are healed Gwamaka in Jesus Name
@renatanyange9270
2 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@gmmassawegilbert
2 жыл бұрын
Glory to Jesus.Aisee Kuna darasa kubwa sana kupitia wewe.Nimefurahi namna ulivyo focused despite all that happened.Mungu aendele kukutumia.
Alaa..I didn't know you were unwell till nmeona hii video.......all glory to God for your recovery
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Pole saana
@cadolinahmwantake3076
2 жыл бұрын
Amen 🙌
@davidngailo7966
2 жыл бұрын
🙌🙌Mungu aendelee kukulinda mtumishi .
@monicabaltarzali7585
2 жыл бұрын
Amen Amen🙏🙏🙏
@calebmbugua745
2 жыл бұрын
May God heal you bro Gwamaka! You are a great encouragement to the body of Christ
@salomembiku4256
2 жыл бұрын
Yesu ni Mwema sana........
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@Dr_Drip777
2 жыл бұрын
Imenibariki sana.
@miriamblessing101
2 жыл бұрын
Glory to God ushuhuda huu umenijenga 🙏🙏
@fridadenis
2 жыл бұрын
Mungu azidi kukuhimarisha kaka @gwamaka ...kaka @mfinanga Mungu akubariki sana kazi yako ni njema
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen,amen..
@mikalijesmart3546
2 жыл бұрын
Mungu akupiganie Gwamaka na Familyy
@godfreysanziki1461
2 жыл бұрын
Upo humble sana bro, Mungu akuinue sana
@immamwangasi2934
2 жыл бұрын
MUNGU ni mwema sana
@atufigwegeaward1185
2 жыл бұрын
vessel ! ✨🙌🏾
@sia8418
2 жыл бұрын
Kaka G , thank you for the interview... ila niombi tuu kuwa kusiwepo wa interruptions kwa muongeaji ..inasaidia kwa sisi tunaowasikiliza kuweza kufocus
@benjooh_official8944
2 жыл бұрын
This is true kaka mfinanga don't jump to much to conclusions or too fast aisee muache mtu ajielezee vizurii kwa wakati mpana hata kama unajuwa history ya mtu unaye mhoji just give him a space ili sisi tunaongalia tuweze kujifunza n.k aisee ,also pangilia maswali vizurii punguza speed .All in all ubarikiwe saana kaka mfinanga na Gwamaka mnafanya kazii nzurii Mungu awabariki .🙏
@barakakamugisha8182
2 жыл бұрын
Saana ina interrupt mno... Hope ametuelewa... We love and appreciate what you're doing
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen
@stellawekesa27
2 жыл бұрын
Praying for you bro. You're a blessing to me. Singing your sing Umeinuliwa and Wastahili. Aluta continua. From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen,
@marypanga9291
2 жыл бұрын
Amen
@priscampolenkile6381
2 жыл бұрын
Yes Mungu mwema sana sana! Jina lake libarikiwe sana kwa kukuvusha katika yote
@josevumilia726
2 жыл бұрын
Amen Amen Dieu soit loué Drc kinshasa
@endlessloveofchristlovewor9991
2 жыл бұрын
BWANA AKUPONYE KWA JINA LA YESU KWA DAMU YA YESU.
@deborahlusenga3574
2 жыл бұрын
I like that you are strong despite the challenges you came accross, May God continue to heal you for his glory.
@emmanueltitus6438
2 жыл бұрын
Amen Groly be to God
@kemmymugele350
2 жыл бұрын
We speak healing in the might name of Jesus, Zaburi ya 91
@euzebianicholaus6067
2 жыл бұрын
MUNGU azidi kujitwalia UTUKUFU kupitia kila unachofanya
@brownhenry1916
2 жыл бұрын
Hata Mimi nilipata hii shida ya Kizunguzungu, Cha kuanguka, Nilienda hospital kadhaa na sikuonekana mgonjwa Siku niliamua kuomba nilipona permanent
@happyngungur8868
2 жыл бұрын
Glory to God
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Utukufu kwa Yesu Kristo.
@salomemutete2090
2 жыл бұрын
Our God is a powerful healer
@Nsumbakeston
2 жыл бұрын
🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@pascalwaryoba8921
2 жыл бұрын
MUNGU akutunze
@gertrudekopiyo
2 жыл бұрын
What a great testimony! I pray that your courage continues to draw many to God. God bless you. I have been blessed
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Amen.
@Krystal-austine
2 жыл бұрын
Background music too noisy
@vanessasalema6087
2 жыл бұрын
Amen!!! God is great....
@vanessasalema6087
2 жыл бұрын
Be blessing...
@florabernard2056
2 жыл бұрын
No premature death in Jesus name. Yote Bwana aliyokusikiliza it's a great prove that God still has plan ahead of you bro.Mtu wakufa hasikii mambo yajayo anachoona ni mwisho wake lakini wewe mwisho unakusogelea but still Bwana anakutazamazisha mbali namna hiyo.Bado Bwana anakushirikisha mambo ya wengine ?Bro umebeba matumaini ya wengi hutakufa utaishi ili Bwana ajitukuze zaidi.
@henrynkya5446
2 жыл бұрын
Ila mfinanga unaongea sana keep distence.ili tumsikie kaka vzri
@addalazaro5579
2 жыл бұрын
Shetani mshenzi sana aliingia kwene anga lako bila kujua wewe ni mpakwa mafuta mkubwa wa Bwana
@vanessasalema6087
2 жыл бұрын
😄😄😄😄 Samson n mtot wa ngapi
@vanessasalema6087
2 жыл бұрын
Kwa YAKOBO !!!! Ivvv ka mfinanga hyo Bible yako n ya wap😄😄😄😂
@sheephiloz
2 жыл бұрын
to God be the glory..which year was he sick?
@Agatee01
2 жыл бұрын
Jifunze kuskliza kaka, yan unainterrupt had hatureceive😅
@victorymediatz
2 жыл бұрын
Poleeeee sanaaa
@Agatee01
2 жыл бұрын
@@victorymediatz its okay Sir.
@MaggieG276
2 жыл бұрын
The background music is so loud
@Agatee01
2 жыл бұрын
@@MaggieG276 eeh mbona hapanaa, uko sawa tuh
@sebastiandeus763
2 жыл бұрын
Interview nzuri lakini Ushauri wangu kwako kaka G, punguza miguno wakati mtu anaongea inazingua balaa lakini pia mpe mtu gep lakuongea ukimuuliza swali mpe mda ajielezee hadi amalize ndioo umuulize sio zile naelewaa mnhh zinazingua igeni kwa Millard basi
Пікірлер: 122