Ferit ni mwaka mmoja na mwezi mmoja kasoro tarehe nimempita wk kama mbil
@Elizakilisipinilikolika1996
5 ай бұрын
Seyranni nimezaliwa naye nwezi moja kasoro tarehe tu jaman
@We_gram
5 ай бұрын
Hongera
@YakoubAli-w3y
Күн бұрын
❤❤
@zaudatmakula3454
5 ай бұрын
Ifakati nimezaliwa naye mwezi mmoja kasoro mwaka
@We_gram
5 ай бұрын
Hahaha Hongera sana
@AzizaHussein-wq8ql
3 ай бұрын
@@We_gramsasa unampa hongera ya mwenzi tu bila ata mwaka je akiwa na miaka 20 alafu wamefanana tu mwezi wa kuzaliwa ata miaka hawalingani yaani pesa inatoka mbali mno😂😂😂😂😂😂😂
@zamilahemed7037
5 ай бұрын
Tarehe sio talehe
@ShamsahSaid
3 ай бұрын
😢seyran ilo❤
@SalmaChindole
5 ай бұрын
🎉❤
@RehemaOnesmo-nq4xe
5 ай бұрын
jaman nimefanana na ferit na seilan
@AmosiMbawala
5 ай бұрын
❤❤
@ShamsahSaid
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ ilove
@SalhaMfaume
5 ай бұрын
Ferit nimezaliwa nae tarehe na mwezi mmoja kasoro mwaka tu
@We_gram
5 ай бұрын
hongra
@SalhaMfaume
5 ай бұрын
Asante 🥰🥰
@SalmaChindole
5 ай бұрын
Seyran nimezaliwa nae tarehe moja mwaka hadi mwezi jaman no nina bahati
@We_gram
5 ай бұрын
Duh hongera sana, Ni furaha kuzaliwa siku moja na mtu maarufu unayemjua
@AzizaHussein-wq8ql
3 ай бұрын
@@We_gram😂😂😂😢😢😢 Turckey na Tanzania wapi na wapi ukute ata umezaliwa sawa na mtoto Raisi ila hata hawakutambui uu sasa ni upuuzi 😅😅😅😅
@HidayaMiho
4 ай бұрын
Nivizr
@VisionLukali-il8dm
3 ай бұрын
Hii
@nishamwenendi-vh4wk
5 ай бұрын
Ujui kutofautisha au
@thamraabdul3740
Ай бұрын
Kwaniwewe hauwezi kuongea vuri
@japhetsaweruo-m2h
Ай бұрын
😂 Acha wivu
@LucySulle-vg7kr
4 ай бұрын
Mbn hawajasema wa yusuph
@EmilyMathias-up2uc
5 ай бұрын
Duuuuuuu
@MamyMamy-wf6pp
5 ай бұрын
Tofautisha athman na othman
@We_gram
5 ай бұрын
anaitwa Osuman
@MuniraMtoro
3 ай бұрын
Hhi
@faidhamyovela179
5 ай бұрын
abidin wa 92 sio 91 kama ana miaka 32 ni wa 92 na w wmtamgazan vip
@We_gram
5 ай бұрын
mtu akizaliwa miezi ya mwisho huwa miaka yake hatuihesabii kama kawaida
@AshuraMaulid
5 ай бұрын
sasa mbona kazm aga ni mzee sana tofauti na miaka yake mtu wa 1980 ana miaka 44 ukimuangalia nikama anamiaka 60 au mlevi wa pombe maana pombe nayo ukiendekeza inazeesha haraka
@We_gram
5 ай бұрын
Labda itakua Mlevi😂😂🙌
@AzizaHussein-wq8ql
3 ай бұрын
@@We_gram😂😂😂😂😂😂😂 wew unawapotosha wenzio kajikondesha na kujiweka vile kwa sababu amepewa uhusika wa baba wa mabinti wawili na wanaoozeshwa sasa mlitaka ajiweke vipi mfwatilieni kazimu kwa makini kwenye acount zake ndo mtajua ni mdogo au la na pia yeye so mlevi ni msomi na nimtu mwenye elimu yake awezi kuzeeshwa na pombe pia mwili wake tu ndo unaonfanya ivo wew sasa unasaport ivo je sisi tutasaport nini kama auna taarifa zao kuhusu maisha yao si uache tu kuliko kutubwabwanyia apa umekuta kastory kao jafupi na wew ukakabeba ivoivo unafanya kazi gani sasa api kama hauna historia zao za maisha yao bora uache tu kuliko kuja kutupotosha apa umeboa kinoma mshikaji achana na ayo mambo wee tuletee tu za apa apa Afrika maan za Uturiki zimekushinda sijapenda na uu uizi wako wa kuiba mastory ya waandishi wengine uko😏😏😏😏🤮😲😲😲😲😲
Пікірлер: 36