Cherie Mals is too smart!Charlz umemkata kwa kelele kwenye points nyingi sana please uwe unaruhusu mtu ku air out mawazo yake and you have to respect that.
@ernestjosephat9500
2 ай бұрын
Kabisa mpaka mtu unayetazama unakuwa annoyed too much kelele your show is good but punguza kelele na kuwakatisha maongez wageni wako
@mariodarabe99
4 ай бұрын
huu ni ushauri wangu wa bure kwa huyu matukio its just out of love podcast iko poa sana , sema jamaa ana interrupt sana ,unajaribu kuchekesha wakati watu wako serious just try to give space to the speakers and eventually you will gain more credits ..... much love.
@Tariq_Tryagain
4 ай бұрын
I gained n' learning a lot as always🙌🙏.. brother Matukio u r so energetic bro😂🤝.. yani vibe lako na kupinga kwako wageni ndo huaga vinafanya na-enjoy th show😂😂.. mega S/O to u n' the whole JUNCTION crew.. n' also 3hrs could b more better plzz🙏
@iRocNetworks
4 ай бұрын
Glad you enjoyed it🔥💯
@Tariq_Tryagain
4 ай бұрын
@@iRocNetworks 🙏🙏
@derickdepota101
4 ай бұрын
Kochaaa George Ambangile🙌🏿
@iRocNetworks
4 ай бұрын
💯💯
@godfreypeter9265
4 ай бұрын
Nafatilia sana hichi kipindi nakubali creativity iliopo ndan ya hiki kipindi watu mashuhuri ambao wapo ila nitafurahi sana siku mkamualika Dr. Galvin Kweka
@willowilbard6119
3 ай бұрын
Habari muwe mnakata kwa vipande vitatu au viwili isiwe ndefu moja kwa moja
@raymondbashemera5205
4 ай бұрын
Background music ingekuepo alternatively show ingekua kali… conversation inakua flat sana bila back beats
@gtunewaves2867
4 ай бұрын
sema charlz punguzaga kelele ni sawa kucheka lkn kuna muda inapitiliza mno inakua fujo flani hv
@iRocNetworks
4 ай бұрын
Thank you for your feedback
@Tariq_Tryagain
4 ай бұрын
@@iRocNetworks don't stop that sh!t bro.. yani ndo inachangamsha show kinoma na najua huwezi iacha coz it's your nature😂 AROOOOOO😂😂🙌
@sharifbundala8798
4 ай бұрын
Endelea bro, be yourself, that's your identity.
@jameskorg7559
4 ай бұрын
Oyaa matukio vibe lako ni nomaa 🔥🔥 hawa wanataka show inune tuje kwenye show tumenuna oyaa.. keep it up mtu wangu ✊tunaangalia show mwanzo mwisho kwasababu tunaenjoy mzee wangu 😎😂
@MomaDedu
4 ай бұрын
Binafsi napenda sababu inachangamsha kipindi @@iRocNetworks
@oprahmenash4709
4 ай бұрын
Ambangile made me watch this show hongereni team for the great work 🔥😊
@iRocNetworks
4 ай бұрын
welcome 🔥🔥
@daudisiray2210
3 ай бұрын
Kaka interview zako nzuri sana lakini punguza kucheka cheka mpk sehemu za serious. Unawa interupt wazungumzaji
@athumanii
4 ай бұрын
Host please next time punguza kelele mkuu, mbwembwe unazidisha , acha mtu aongee amalize
@moriceisaiah8152
4 ай бұрын
Ila Charles mbona umekuwa unamkandia huyu Mdada? Afu Joji huyu angekuww hajaoa tungeanza muonea huruma
@iRocNetworks
4 ай бұрын
😀😀
@Tech_A2Z.
4 ай бұрын
Brother sijui kama nitakua nime stretch sana ila kama ukiwa una fanya na Mens talk pita na ile idea ya (boys boys) 😎 ..ni wazo tu ila big up sana
@silverman6930
4 ай бұрын
Ongea kiswahili …🇬🇧✌️
@hassanchikwaya4170
2 ай бұрын
Huyo demu ana tuchanganya anaongea English na kiswahili pamoja
@eliamtani2840
4 ай бұрын
hii interview ilikua inamuhitaji ambangile tu,
@hassanchikwaya4170
2 ай бұрын
Kabisa
@brayanjoel921
4 ай бұрын
Ila matukio mkewako atapata kazi zaidi ya kazi
@iRocNetworks
4 ай бұрын
😂😂😂
@sadiqrifay5448
4 ай бұрын
Dah hii setup ya shoo, light,image are realy good 🔥🔥🔥🔥🔥
@iRocNetworks
4 ай бұрын
🔥🔥🔥
@silverman6930
4 ай бұрын
George with the awwwww moment .. that’s so romantic .. you won’t survive without her … Lilly … you’re special to this man . Chaz your next ..: my bro one love ❤️
@silverman6930
4 ай бұрын
Kapanick this sis ..: Chaz big up pushing people from their comfort zone… I love the show man 🇬🇧🇬🇧🇬🇧😂
@rebbywealth9869
4 ай бұрын
Comments zangu huwa zinayeyuka tu.... 2nd time hii
Пікірлер: 57