Barikiwa mno kazi nzuri. Excellent Mavo's. Popote mlipo kunyweni Maji ya Baraka free Mpate Baraka Mingi..
@cosmasbarnabas4927
10 ай бұрын
Ewaaaaaa. Kitu fln Cha tofauti sana. Nimeupenda sana huu wimbo na namna mlivyoutendea haki. Hiyo behind the scene imenogesha zaidi. "Hii video inaonesha uhalisia wa maisha yetu ya sasa" Safi sana.
@georgekabelwa9904
9 ай бұрын
Asante Kaka
@jovindaud8220
10 ай бұрын
Mambo mazuri ongereni kwa kazi nzuri
@mariafortunatus-bp1df
10 ай бұрын
Kazi nzur tumsifu Mungu Kwa nyimbo na utukufu wake
@alexkamugisha3526
10 ай бұрын
Hongereni sana kwa utume
@esteradam437
10 ай бұрын
Pongezi kwenu wimbo umebeba dhana nzito yenye kutufundisha mengi, The MAVOS nawatakieni uinjilishaji mwema 🙏
@imanhaonga6687
10 ай бұрын
nimeipenda san hii.Hongereni kwa ubunifu wapendwa
@elizabethndanu3047
10 ай бұрын
Waooh!!!Iko njema hataree mungu aendelee kuwatunza Watu wake na injili iendelee kusonga mbele
@joeminhoz7289
10 ай бұрын
Huduma nzuri sanaa Mungu awabariki nyote 😇😇😇
@andreagwasa329
10 ай бұрын
Tunasubiri
@dorahmanyilika6127
3 ай бұрын
Hongereni sana da wakatoliki tuko juu jamani
@agamay4849
5 ай бұрын
Mbarikiwe kwa kazi nzuri ya uinjisti kwa njia ya nyimbo❤
Пікірлер: 19